Je Askari Polisi Akikosea, Ashtakiwe Wapi?
Kimaadili, kazi ya msingi ya askari polisi ni kulinda raia na mali zao, wajibu wa msingi ambao umedumu kwa miaka mingi.
Hata hivyo, dhana ya polisi nchini kuwa walinzi wa raia na mali zao imeanza kukosa uhalisia na huenda huko tuendako ikapotea na askari haoi kuchukuliwa kama adui wa raia na mali zao.
Ninasema hivi kutokana na matukio ya uonevu wa wazi unaofanywa na askari hao dhidi ya raia wasio na hatia. Ipo mifano mingi ya unyanyasaji wa polisi dhidi ya raia.
Hapa ninazungumzia askari wa usalama barabarani, askari wa doria, askari wa upelelezi au hata askari wa vyeo vya juu ambao wengi wao hutumia nguvu nyingi na wakati mwingine silaha kupambana na mwananchi wasio na silaha.
Yaani, kila mmoja kwa nafasi yake anapuuza kwa makusudi wajibu wake kuwalinda raia na mali zao, badala yake anaamua kutumia mabavu ili kujinufaisha huku akimdidimiza mwananchi. Ipo mifano ya wazi. Ni matukio ya matumizi ya nguvu dhidi ya wananchi yanayofanywa na askari wetu katika sehemu mbalimbali za nchi.
Mfano hai ambao hautafutika mioyoni mwa wananchi ni mauaji ya kikatili yaliyofanywa hadharani na askari polisi dhidi ya mwandishi wa habari wa kituo cha runinga cha Channel Ten, Daudi Mwangosi ambaye aliuawa hadharani na askari polisi kule Nyololo, Mufindi mkoani Iringa mwaka jana kwa kutupiwa bomu la kutoa machozi.
Mbali na mauaji ya Mwangosi, yapo matumizi ya nguvu na mauaji kadhaa kwa raia yanayofanywa na polisi dhidi ya raia ambayo yanamweka askari mbali na mwananchi na kuifuta ile dhana iliyozoeleka kuwa Jeshi la Polisi ni walinzi wa raia na mali zao.
Mbali na hayo matukio yanayolalamikiwa kila kukicha na wananchi pamoja na watetezi wa haki za binadamu, upo unyanyasaji mkubwa unaofanywa na askari polisi dhidi ya raia mmoja mmoja ambao usipopigiwa kelele au kukemewa au kuingilia kati na Mkuu wa Jeshi hilo, IGP Said Mwema huenda kukajengeka uadui mkubwa kati ya raia na askari polisi nchini kote.
Mbali na matukio hayo makubwa, yapo matukio mbalimbali ya unyanyasaji yanayofanywa na askari polisi katika vituo vya polisi ambapo huwapiga watuhumiwa, kuwapora fedha zao pale wanapofika kama watuhumiwa wa uhalifu katika vituo vidogo.
Askari polisi wa vituo vidogo nchini wanawatambia raia na watuhumiwa kuwa mtu yeyote anapokuwa chini ya polisi hana haki yoyote na anaweza kupigwa hata kuuawa na hakuna sheria yoyote inayoweza kuchukuliwa dhidi ya muuaji kwa kuwa eti, yeye askari yupo kazini.
Kitendo cha polisi kupiga na kuua, iwe kwa raia asiye na tuhuma au mtuhumiwa si moja ya kazi ya askari. Mabango mengi yaliyoandikwa na kubandikwa katika vituo vya polisi yakielekeza mambo mbalimbali yamebakia kama ya biashara barabarani na hakuna ukweli wowote wa kile kinachoandikwa maana yameandikwa nao wenyewe.
Askari wanatafsiri kinyume maneno ‘police force’ kuwa yana maana ya askari kutumia nguvu na kwamba wanapoua mtuhumiwa au raia yeyote iwe kituoni au mahali pengine popote, hakuna utaratibu ulio wazi wa kuwachukulia hatua eti kwa kuwa hiyo ni moja ya kazi ya askari polisi anapovaa magwanda ya jeshi hilo.
Jukumu muhimu na la msingi walilo nalo askari kwa jeshi lao ni kutambua kuwa wapo kwa ajili ya ulinzi wa raia na mali zao, basi! Na raia anapokumbana na uonevu badala ya kupambana au kutumia nguvu kupata haki yake anapaswa kukimbilia polisi kutafuta msaada wa ulinzi na usalama wake na mali zake na si vinginevyo
Mwananchi
Ninasema hivi kutokana na matukio ya uonevu wa wazi unaofanywa na askari hao dhidi ya raia wasio na hatia. Ipo mifano mingi ya unyanyasaji wa polisi dhidi ya raia.
Hapa ninazungumzia askari wa usalama barabarani, askari wa doria, askari wa upelelezi au hata askari wa vyeo vya juu ambao wengi wao hutumia nguvu nyingi na wakati mwingine silaha kupambana na mwananchi wasio na silaha.
Yaani, kila mmoja kwa nafasi yake anapuuza kwa makusudi wajibu wake kuwalinda raia na mali zao, badala yake anaamua kutumia mabavu ili kujinufaisha huku akimdidimiza mwananchi. Ipo mifano ya wazi. Ni matukio ya matumizi ya nguvu dhidi ya wananchi yanayofanywa na askari wetu katika sehemu mbalimbali za nchi.
Mfano hai ambao hautafutika mioyoni mwa wananchi ni mauaji ya kikatili yaliyofanywa hadharani na askari polisi dhidi ya mwandishi wa habari wa kituo cha runinga cha Channel Ten, Daudi Mwangosi ambaye aliuawa hadharani na askari polisi kule Nyololo, Mufindi mkoani Iringa mwaka jana kwa kutupiwa bomu la kutoa machozi.
Mbali na mauaji ya Mwangosi, yapo matumizi ya nguvu na mauaji kadhaa kwa raia yanayofanywa na polisi dhidi ya raia ambayo yanamweka askari mbali na mwananchi na kuifuta ile dhana iliyozoeleka kuwa Jeshi la Polisi ni walinzi wa raia na mali zao.
Mbali na hayo matukio yanayolalamikiwa kila kukicha na wananchi pamoja na watetezi wa haki za binadamu, upo unyanyasaji mkubwa unaofanywa na askari polisi dhidi ya raia mmoja mmoja ambao usipopigiwa kelele au kukemewa au kuingilia kati na Mkuu wa Jeshi hilo, IGP Said Mwema huenda kukajengeka uadui mkubwa kati ya raia na askari polisi nchini kote.
Mbali na matukio hayo makubwa, yapo matukio mbalimbali ya unyanyasaji yanayofanywa na askari polisi katika vituo vya polisi ambapo huwapiga watuhumiwa, kuwapora fedha zao pale wanapofika kama watuhumiwa wa uhalifu katika vituo vidogo.
Askari polisi wa vituo vidogo nchini wanawatambia raia na watuhumiwa kuwa mtu yeyote anapokuwa chini ya polisi hana haki yoyote na anaweza kupigwa hata kuuawa na hakuna sheria yoyote inayoweza kuchukuliwa dhidi ya muuaji kwa kuwa eti, yeye askari yupo kazini.
Kitendo cha polisi kupiga na kuua, iwe kwa raia asiye na tuhuma au mtuhumiwa si moja ya kazi ya askari. Mabango mengi yaliyoandikwa na kubandikwa katika vituo vya polisi yakielekeza mambo mbalimbali yamebakia kama ya biashara barabarani na hakuna ukweli wowote wa kile kinachoandikwa maana yameandikwa nao wenyewe.
Askari wanatafsiri kinyume maneno ‘police force’ kuwa yana maana ya askari kutumia nguvu na kwamba wanapoua mtuhumiwa au raia yeyote iwe kituoni au mahali pengine popote, hakuna utaratibu ulio wazi wa kuwachukulia hatua eti kwa kuwa hiyo ni moja ya kazi ya askari polisi anapovaa magwanda ya jeshi hilo.
Jukumu muhimu na la msingi walilo nalo askari kwa jeshi lao ni kutambua kuwa wapo kwa ajili ya ulinzi wa raia na mali zao, basi! Na raia anapokumbana na uonevu badala ya kupambana au kutumia nguvu kupata haki yake anapaswa kukimbilia polisi kutafuta msaada wa ulinzi na usalama wake na mali zake na si vinginevyo
Mwananchi
Tindikali Yaendelea Kuuzwa Kama Njugu Mitaani Dar
Dar es Salaam. Siku chache baada ya wasichana wawili raia wa Uingereza kumwagiwa tindikali mjini Zanzibar, imebainika kuwa, tindikali za aina mbalimbali zinauzwa kiholela kama njugu jijini Dar es Salaam.
Uchunguzi uliofanywa na gazeti hili unaonyesha kuwa jijini Dar es Salaam yapo maduka mengi yanayouza tindikali ya kila aina na bidhaa hiyo inauzwa bila ya udhibiti wowote kuanzia Kariakoo hadi Vingunguti.
Wiki iliyopita, Mkemia Mkuu wa Serikali, Profesa Samwel Manyele alitoa miezi mitatu kwa wafanyabiashara wa tindikali kujisajili ili kuzuia kuongezeka kwa matukio ya uhalifu kwa kemikali hiyo nchini.
Uchunguzi uliofanywa na gazeti hili katika mitaa ya Dar es Salaam, umebaini kuwa tindikali za aina mbalimbali zinapatikana kwa wingi katika maduka ya rejareja na jumla, huku wauzaji wa bidhaa hizo wakishindwa kutoa tahadhari yoyote kwa wateja wao.
SOMA ZAIDI
Uchunguzi uliofanywa na gazeti hili unaonyesha kuwa jijini Dar es Salaam yapo maduka mengi yanayouza tindikali ya kila aina na bidhaa hiyo inauzwa bila ya udhibiti wowote kuanzia Kariakoo hadi Vingunguti.
Wiki iliyopita, Mkemia Mkuu wa Serikali, Profesa Samwel Manyele alitoa miezi mitatu kwa wafanyabiashara wa tindikali kujisajili ili kuzuia kuongezeka kwa matukio ya uhalifu kwa kemikali hiyo nchini.
Uchunguzi uliofanywa na gazeti hili katika mitaa ya Dar es Salaam, umebaini kuwa tindikali za aina mbalimbali zinapatikana kwa wingi katika maduka ya rejareja na jumla, huku wauzaji wa bidhaa hizo wakishindwa kutoa tahadhari yoyote kwa wateja wao.
SOMA ZAIDI
Google Blackout Sees Global Web Traffic Plunge by 40% -Internet apocalypse
Worldwide internet traffic plunged by about 40 per cent as Google services suffered an ‘unprecedented’ black-out, web experts have revealed.

The Google data center in Douglas Country, Georgia. The company is refusing to reveal what caused the ‘unprecedented’ blackout
The tech company said all of its services from Google Search to Gmail to YouTube to Google Drive went down for between one and five minutes last night but it refused to elaborate on the reasons why.
According to web analytics firm GoSquared, global internet traffic fell by around 40% during the black-out, reflecting Google’s massive grip on the web.
‘That’s huge,’ GoSquared developer Simon Tabor told Sky News. ‘As internet users, our reliance on Google.com being up is huge.
‘It’s also of note that pageviews spiked shortly afterwards, as users managed to get to their destination.’
A message on the Google Apps Dashboard showed all of its services were hit.
‘We’re aware of a problem with Gmail affecting a significant subset of users. The affected users are able to access Gmail, but are seeing error messages and/or other unexpected behaviour,’ it said.
A later message said: ‘Between 15:51 and 15:52 PDT, 50% to 70% of requests to Google received errors; service was mostly restored one minute later, and entirely restored after four minutes.’
Experts said the outage had cost the company about £330,000 and that the event was unheard of. They are baffled by the cause.
Computer website writer Neil McAllister added said technical experts would be ‘nervous’ as they sought to find out what happened.
‘Exactly how an operation like Google’s can even go dark like that, all at once, is anybody’s guess,’ he said.
By In2EastAfrica Reporter
The Google data center in Douglas Country, Georgia. The company is refusing to reveal what caused the ‘unprecedented’ blackout
The tech company said all of its services from Google Search to Gmail to YouTube to Google Drive went down for between one and five minutes last night but it refused to elaborate on the reasons why.
According to web analytics firm GoSquared, global internet traffic fell by around 40% during the black-out, reflecting Google’s massive grip on the web.
‘That’s huge,’ GoSquared developer Simon Tabor told Sky News. ‘As internet users, our reliance on Google.com being up is huge.
‘It’s also of note that pageviews spiked shortly afterwards, as users managed to get to their destination.’
A message on the Google Apps Dashboard showed all of its services were hit.
‘We’re aware of a problem with Gmail affecting a significant subset of users. The affected users are able to access Gmail, but are seeing error messages and/or other unexpected behaviour,’ it said.
A later message said: ‘Between 15:51 and 15:52 PDT, 50% to 70% of requests to Google received errors; service was mostly restored one minute later, and entirely restored after four minutes.’
Experts said the outage had cost the company about £330,000 and that the event was unheard of. They are baffled by the cause.
Computer website writer Neil McAllister added said technical experts would be ‘nervous’ as they sought to find out what happened.
‘Exactly how an operation like Google’s can even go dark like that, all at once, is anybody’s guess,’ he said.
By In2EastAfrica Reporter
Subscribe to:
Posts (Atom)



