
Je Askari Polisi Akikosea, Ashtakiwe Wapi?
Kimaadili, kazi ya msingi ya askari polisi ni kulinda raia na mali zao, wajibu wa msingi ambao umedumu kwa miaka mingi.
Hata hivyo, dhana ya polisi nchini kuwa walinzi wa raia na mali zao imeanza kukosa uhalisia na huenda huko tuendako ikapotea na askari haoi kuchukuliwa kama adui wa raia na mali zao.
Ninasema hivi kutokana na matukio ya uonevu wa wazi unaofanywa na askari hao dhidi ya raia wasio na hatia. Ipo mifano mingi ya unyanyasaji wa polisi dhidi ya raia.
Hapa ninazungumzia askari wa usalama barabarani, askari wa doria, askari wa upelelezi au hata askari wa vyeo vya juu ambao wengi wao hutumia nguvu nyingi na wakati mwingine silaha kupambana na mwananchi wasio na silaha.
Yaani, kila mmoja kwa nafasi yake anapuuza kwa makusudi wajibu wake kuwalinda raia na mali zao, badala yake anaamua kutumia mabavu ili kujinufaisha huku akimdidimiza mwananchi. Ipo mifano ya wazi. Ni matukio ya matumizi ya nguvu dhidi ya wananchi yanayofanywa na askari wetu katika sehemu mbalimbali za nchi.
Mfano hai ambao hautafutika mioyoni mwa wananchi ni mauaji ya kikatili yaliyofanywa hadharani na askari polisi dhidi ya mwandishi wa habari wa kituo cha runinga cha Channel Ten, Daudi Mwangosi ambaye aliuawa hadharani na askari polisi kule Nyololo, Mufindi mkoani Iringa mwaka jana kwa kutupiwa bomu la kutoa machozi.
Mbali na mauaji ya Mwangosi, yapo matumizi ya nguvu na mauaji kadhaa kwa raia yanayofanywa na polisi dhidi ya raia ambayo yanamweka askari mbali na mwananchi na kuifuta ile dhana iliyozoeleka kuwa Jeshi la Polisi ni walinzi wa raia na mali zao.
Mbali na hayo matukio yanayolalamikiwa kila kukicha na wananchi pamoja na watetezi wa haki za binadamu, upo unyanyasaji mkubwa unaofanywa na askari polisi dhidi ya raia mmoja mmoja ambao usipopigiwa kelele au kukemewa au kuingilia kati na Mkuu wa Jeshi hilo, IGP Said Mwema huenda kukajengeka uadui mkubwa kati ya raia na askari polisi nchini kote.
Mbali na matukio hayo makubwa, yapo matukio mbalimbali ya unyanyasaji yanayofanywa na askari polisi katika vituo vya polisi ambapo huwapiga watuhumiwa, kuwapora fedha zao pale wanapofika kama watuhumiwa wa uhalifu katika vituo vidogo.
Askari polisi wa vituo vidogo nchini wanawatambia raia na watuhumiwa kuwa mtu yeyote anapokuwa chini ya polisi hana haki yoyote na anaweza kupigwa hata kuuawa na hakuna sheria yoyote inayoweza kuchukuliwa dhidi ya muuaji kwa kuwa eti, yeye askari yupo kazini.
Kitendo cha polisi kupiga na kuua, iwe kwa raia asiye na tuhuma au mtuhumiwa si moja ya kazi ya askari. Mabango mengi yaliyoandikwa na kubandikwa katika vituo vya polisi yakielekeza mambo mbalimbali yamebakia kama ya biashara barabarani na hakuna ukweli wowote wa kile kinachoandikwa maana yameandikwa nao wenyewe.
Askari wanatafsiri kinyume maneno ‘police force’ kuwa yana maana ya askari kutumia nguvu na kwamba wanapoua mtuhumiwa au raia yeyote iwe kituoni au mahali pengine popote, hakuna utaratibu ulio wazi wa kuwachukulia hatua eti kwa kuwa hiyo ni moja ya kazi ya askari polisi anapovaa magwanda ya jeshi hilo.
Jukumu muhimu na la msingi walilo nalo askari kwa jeshi lao ni kutambua kuwa wapo kwa ajili ya ulinzi wa raia na mali zao, basi! Na raia anapokumbana na uonevu badala ya kupambana au kutumia nguvu kupata haki yake anapaswa kukimbilia polisi kutafuta msaada wa ulinzi na usalama wake na mali zake na si vinginevyo
Mwananchi
Ninasema hivi kutokana na matukio ya uonevu wa wazi unaofanywa na askari hao dhidi ya raia wasio na hatia. Ipo mifano mingi ya unyanyasaji wa polisi dhidi ya raia.
Hapa ninazungumzia askari wa usalama barabarani, askari wa doria, askari wa upelelezi au hata askari wa vyeo vya juu ambao wengi wao hutumia nguvu nyingi na wakati mwingine silaha kupambana na mwananchi wasio na silaha.
Yaani, kila mmoja kwa nafasi yake anapuuza kwa makusudi wajibu wake kuwalinda raia na mali zao, badala yake anaamua kutumia mabavu ili kujinufaisha huku akimdidimiza mwananchi. Ipo mifano ya wazi. Ni matukio ya matumizi ya nguvu dhidi ya wananchi yanayofanywa na askari wetu katika sehemu mbalimbali za nchi.
Mfano hai ambao hautafutika mioyoni mwa wananchi ni mauaji ya kikatili yaliyofanywa hadharani na askari polisi dhidi ya mwandishi wa habari wa kituo cha runinga cha Channel Ten, Daudi Mwangosi ambaye aliuawa hadharani na askari polisi kule Nyololo, Mufindi mkoani Iringa mwaka jana kwa kutupiwa bomu la kutoa machozi.
Mbali na mauaji ya Mwangosi, yapo matumizi ya nguvu na mauaji kadhaa kwa raia yanayofanywa na polisi dhidi ya raia ambayo yanamweka askari mbali na mwananchi na kuifuta ile dhana iliyozoeleka kuwa Jeshi la Polisi ni walinzi wa raia na mali zao.
Mbali na hayo matukio yanayolalamikiwa kila kukicha na wananchi pamoja na watetezi wa haki za binadamu, upo unyanyasaji mkubwa unaofanywa na askari polisi dhidi ya raia mmoja mmoja ambao usipopigiwa kelele au kukemewa au kuingilia kati na Mkuu wa Jeshi hilo, IGP Said Mwema huenda kukajengeka uadui mkubwa kati ya raia na askari polisi nchini kote.
Mbali na matukio hayo makubwa, yapo matukio mbalimbali ya unyanyasaji yanayofanywa na askari polisi katika vituo vya polisi ambapo huwapiga watuhumiwa, kuwapora fedha zao pale wanapofika kama watuhumiwa wa uhalifu katika vituo vidogo.
Askari polisi wa vituo vidogo nchini wanawatambia raia na watuhumiwa kuwa mtu yeyote anapokuwa chini ya polisi hana haki yoyote na anaweza kupigwa hata kuuawa na hakuna sheria yoyote inayoweza kuchukuliwa dhidi ya muuaji kwa kuwa eti, yeye askari yupo kazini.
Kitendo cha polisi kupiga na kuua, iwe kwa raia asiye na tuhuma au mtuhumiwa si moja ya kazi ya askari. Mabango mengi yaliyoandikwa na kubandikwa katika vituo vya polisi yakielekeza mambo mbalimbali yamebakia kama ya biashara barabarani na hakuna ukweli wowote wa kile kinachoandikwa maana yameandikwa nao wenyewe.
Askari wanatafsiri kinyume maneno ‘police force’ kuwa yana maana ya askari kutumia nguvu na kwamba wanapoua mtuhumiwa au raia yeyote iwe kituoni au mahali pengine popote, hakuna utaratibu ulio wazi wa kuwachukulia hatua eti kwa kuwa hiyo ni moja ya kazi ya askari polisi anapovaa magwanda ya jeshi hilo.
Jukumu muhimu na la msingi walilo nalo askari kwa jeshi lao ni kutambua kuwa wapo kwa ajili ya ulinzi wa raia na mali zao, basi! Na raia anapokumbana na uonevu badala ya kupambana au kutumia nguvu kupata haki yake anapaswa kukimbilia polisi kutafuta msaada wa ulinzi na usalama wake na mali zake na si vinginevyo
Mwananchi
Tindikali Yaendelea Kuuzwa Kama Njugu Mitaani Dar
Dar es Salaam. Siku chache baada ya wasichana wawili raia wa Uingereza kumwagiwa tindikali mjini Zanzibar, imebainika kuwa, tindikali za aina mbalimbali zinauzwa kiholela kama njugu jijini Dar es Salaam.
Uchunguzi uliofanywa na gazeti hili unaonyesha kuwa jijini Dar es Salaam yapo maduka mengi yanayouza tindikali ya kila aina na bidhaa hiyo inauzwa bila ya udhibiti wowote kuanzia Kariakoo hadi Vingunguti.
Wiki iliyopita, Mkemia Mkuu wa Serikali, Profesa Samwel Manyele alitoa miezi mitatu kwa wafanyabiashara wa tindikali kujisajili ili kuzuia kuongezeka kwa matukio ya uhalifu kwa kemikali hiyo nchini.
Uchunguzi uliofanywa na gazeti hili katika mitaa ya Dar es Salaam, umebaini kuwa tindikali za aina mbalimbali zinapatikana kwa wingi katika maduka ya rejareja na jumla, huku wauzaji wa bidhaa hizo wakishindwa kutoa tahadhari yoyote kwa wateja wao.
SOMA ZAIDI
Uchunguzi uliofanywa na gazeti hili unaonyesha kuwa jijini Dar es Salaam yapo maduka mengi yanayouza tindikali ya kila aina na bidhaa hiyo inauzwa bila ya udhibiti wowote kuanzia Kariakoo hadi Vingunguti.
Wiki iliyopita, Mkemia Mkuu wa Serikali, Profesa Samwel Manyele alitoa miezi mitatu kwa wafanyabiashara wa tindikali kujisajili ili kuzuia kuongezeka kwa matukio ya uhalifu kwa kemikali hiyo nchini.
Uchunguzi uliofanywa na gazeti hili katika mitaa ya Dar es Salaam, umebaini kuwa tindikali za aina mbalimbali zinapatikana kwa wingi katika maduka ya rejareja na jumla, huku wauzaji wa bidhaa hizo wakishindwa kutoa tahadhari yoyote kwa wateja wao.
SOMA ZAIDI
Google Blackout Sees Global Web Traffic Plunge by 40% -Internet apocalypse
Worldwide internet traffic plunged by about 40 per cent as Google services suffered an ‘unprecedented’ black-out, web experts have revealed.

The Google data center in Douglas Country, Georgia. The company is refusing to reveal what caused the ‘unprecedented’ blackout
The tech company said all of its services from Google Search to Gmail to YouTube to Google Drive went down for between one and five minutes last night but it refused to elaborate on the reasons why.
According to web analytics firm GoSquared, global internet traffic fell by around 40% during the black-out, reflecting Google’s massive grip on the web.
‘That’s huge,’ GoSquared developer Simon Tabor told Sky News. ‘As internet users, our reliance on Google.com being up is huge.
‘It’s also of note that pageviews spiked shortly afterwards, as users managed to get to their destination.’
A message on the Google Apps Dashboard showed all of its services were hit.
‘We’re aware of a problem with Gmail affecting a significant subset of users. The affected users are able to access Gmail, but are seeing error messages and/or other unexpected behaviour,’ it said.
A later message said: ‘Between 15:51 and 15:52 PDT, 50% to 70% of requests to Google received errors; service was mostly restored one minute later, and entirely restored after four minutes.’
Experts said the outage had cost the company about £330,000 and that the event was unheard of. They are baffled by the cause.
Computer website writer Neil McAllister added said technical experts would be ‘nervous’ as they sought to find out what happened.
‘Exactly how an operation like Google’s can even go dark like that, all at once, is anybody’s guess,’ he said.
By In2EastAfrica Reporter
The Google data center in Douglas Country, Georgia. The company is refusing to reveal what caused the ‘unprecedented’ blackout
The tech company said all of its services from Google Search to Gmail to YouTube to Google Drive went down for between one and five minutes last night but it refused to elaborate on the reasons why.
According to web analytics firm GoSquared, global internet traffic fell by around 40% during the black-out, reflecting Google’s massive grip on the web.
‘That’s huge,’ GoSquared developer Simon Tabor told Sky News. ‘As internet users, our reliance on Google.com being up is huge.
‘It’s also of note that pageviews spiked shortly afterwards, as users managed to get to their destination.’
A message on the Google Apps Dashboard showed all of its services were hit.
‘We’re aware of a problem with Gmail affecting a significant subset of users. The affected users are able to access Gmail, but are seeing error messages and/or other unexpected behaviour,’ it said.
A later message said: ‘Between 15:51 and 15:52 PDT, 50% to 70% of requests to Google received errors; service was mostly restored one minute later, and entirely restored after four minutes.’
Experts said the outage had cost the company about £330,000 and that the event was unheard of. They are baffled by the cause.
Computer website writer Neil McAllister added said technical experts would be ‘nervous’ as they sought to find out what happened.
‘Exactly how an operation like Google’s can even go dark like that, all at once, is anybody’s guess,’ he said.
By In2EastAfrica Reporter
Tanzanian Blog Awards, Shindano la Mwaka Huu 2013

Jinsi ya kulink
1. Aandike post kuhusu shindano hili na kuwataarifu wasomaje wake katika post hiyo alinki kwetu...Tanzanian blog awards link.
2. Kama blog unayoipendekaza hatafanya hivyo blog yake haitashirikishwa
3. Unaweza kupendekeza blog katika vipengele vingi upedavyo lakini katika kila email unayotuma ni blog moja tu utaruhusiwa kuipendekeza kwa wakati mmoja
mfano: Kwenye subject unaandika jina la blog unayotaka kuipendekeza
tanzanianblogawards.blogspot.com
Kwenye body ya email unaandika vipengele unayotaka blog hiyo ishirikishwe
Best Agriculture
Best Beauty/Fashion Blog
etc etc
4. Email iwe ni ya ukweli kama tukiwa tunataka kuwasiliana na wewe kuhusu link ya blog uliyopendekeza tuweze kufanya hivyo na tuma mapendekezo yako kwa hii hapa Email
nomination@bloggersassociationoftanzania.com au tanzanianblogawards@gmail.com
5. Mwanzo wa kupokea mapendekezo hayo ni
Tarehe 17/8/ 2013 saa 12:01am mpaka tarehe 30/8/2013 saa 11:59pm saa za Africa mashariki
Vipengele
Best Agriculture
Best Beauty/Fashion Blog
Best Business Blog
Best Creative Writing Blog
Best Design/Graphic Design Blog
Best Educational Blog
Best Entertainments
Best Food Blog
Best General Blog
Best Inspiration Blog
Best Newcomer Blog
Best News Blog
Best Photography Blog
Best Political Blog
Best Religion Blog
Best Sports Blog
Best Technology Blog
Best Tots Blog (17 yr old and below)
Best Travel Blogs
TAARIFA YA HARAKATI YA JUMUIYA NA TAASISI ZA KIISLAM TANZANIA KWA VYOMBO VYA KHABARI
Bismillar Rahmanir Rahiim JUMUIYA NA TAASISI ZA KIISLAM (T)
Jana asubuhi majira ya saa nne na nusu askari wa jeshi la Polisi na watu wanaoaminika kuwa usalama wa taifa walikwenda hospitali ya Muhimbili (MOI) na kumchukua Sheikh Ponda Issa Ponda. Juhudi za Sheikh Mwenyewe, mkewe na waislam waliokuwepo pale hospitali kutaka abaki hospitalini kuendelea na matibabu hazikuzaa matunda. Mpaka Sasa bado tunafuatilia kujua mahali Kiongozi huyo wa Kiislam alikopelekwa.
Tumepokea kwa masikitiko makubwa sana habari hizi na tunashindwa kuamini kama mambo haya yanaweza kufanywa na Serikali inayodai kutawala kwa kufuata utawala bora unaojali sheria, uadilifu, utu na uhuru wa kujieleza.
Kitendo cha kumpiga risasi Sheikh Ponda na kisha kumchukua toka hospitalini na kumpeleka Gerezani kwa kukiuka taratibu ni kinyume cha haki za binadamu, utawala bora na uhuru wa maisha ya mtu. Matibabu ni haki mojawapo kwa binadamu yoyote hata kama kuna wanaomtuhumu. Tuhuma juu ya mtu si sababu ya kukiuka taratibu, kuvunja sheria na hata kumtisha unayemtuhumu kwani njia hiyo haiwezi kutatua tatizo bali inalifanya kuwa kubwa zaidi.
Jumuiya na Taasisi za Kiislam tunalaani kwa mara nyingine kitendo cha Polisi na Usalama wa Taifa kutenda vitendo vinavyoashiria uonevu kwa viongozi wa dini ya Kiislam na tunaitaka Serikali kutenda uadilifu kwa raia wake hata pale inapokuwa inaamini kuwa raia hao wanamakosa.
Jumuiya na Taasisi za Kiislamu zinapinga kwa kauli moja tume iliyoundwa na jeshi la polisi kuchunguza unyama aliofanyiwa Sheikh Ponda na waislamu hawatatoa ushirikiano kwa tume hiyo ya jeshi la polisi.
Jumuiya na Taasisi za Kiislam zinaitaka serikali kuunda tume huru itakayohusisha viongozi wa kiislamu wanaoaminika kwa ummah kuchunguza tukio la kupigwa risasi Sheikh Ponda Issa Ponda ili kujenga mustakbali mzuri wa amani ya Taifa letu.
Jumuiya na Taasisi za Kiislam hapa nchini zinaamini kuwa ufumbuzi wa suala la amani ya kweli na ya kudumu ya nchi yetu, upo katika kushughulikia madai ya msingi ya waislam dhidi ya Serikali ambayo ndio chanzo cha kupigwa risasi kwa Sheikh Ponda kwa kuyasema waziwazi, na si kwa kuwatesa, kuwadhalilisha na kuwaauwa Viongozi wa kiislam.
Kutokana na tukio hili Jumuiya na Taasisi za Kiislam zimeitisha mkutano wa dharura utaofanyika katika viwanja vya Nurul yakin siku ya Jumapili saa 9 alasili kutafakari kwa pamoja na hatimae kuchukua hatua za msingi zitazoleta tija ya kweli ili Viongozi wa Kiislam wasiendelee kudhalilishwa.
SHEIKH JUMA SAID ALLY
MWENYEKIT JUMUIYA NA TAASISI ZA KIISLAM
16/08/2013
Subscribe to:
Posts (Atom)