Pages

SMG De Swat -War (NOIZ Audio)

Tigo Imetoa Zawadi za Flat Screen Samsung LCD kwa Wateja Wake wa Facebook

 St. Joseph, Goodluck Msongore
Mwanafunzi wa chuo cha St. Joseph, Goodluck Msongore (23) akipokea zawadi ya Samsung LCD flat screen ya inchi 40 kutoka kwa Afisa Mtandao wa Kijamii wa Tigo Bi. Samira Bamaar katika hafla fupi iliyofanyika jana. Akishuhudia ni Meneja Chapa wa Tigo Bw. William Mpinga. Tigo imetoa flat screen hizo kama zawadi kwa washindi wa wateja wake wa Facebook waliojitokeza kushiriki mashindano ya kampuni hiyo iliyokuwa inasherekea ukarasa wake wa Facebook kufikisha zaidi ya watu 200,000 (laki 2) hivi karibuni.
Samira Bamaar
Mshindi wa pili, Steven Kisaru (22) ambaye ni mfanyakazi wa bandari Dar es Salaam akipokea kwa furaha remoti ya flat screen Samsung LCD yenye inchi 40 na thamani ya shilingi milioni 2 aliyojishindia kutoka katika ukurasa wa Facebook wa Tigo. Anayemkabidhi ni Afisa Mtandao wa Kijamii kutoka Tigo Bi. Samira Bamaar, huku Meneja Chapa wa Tigo Bw. William Mpinga akishuhudia. Katika mashindano hayo wateja wengine walijishindia simu za Samsung Galaxy S4, Ascend Y300 pamoja na modem na vocha kutoka Tigo.
Marty Lyanga
Afisa Mtandao wa Kijamii kutoka Tigo Bi. Samira Bamaar (kulia) akimkabidhi mshindi wa pili Marty Lyanga (25) flat screen aina ya Samsung LCD mpya kabisa yenye thamani ya shilingi milioni 2. Marty ni mwanafunzi wa Information Management katika chuo cha Tumaini, Dar es Salaam. Akishuhudia ni Meneja Chapa wa Tigo Bw. William Mpinga.
Bandari College, Daffd Laurent
Mwanafunzi wa Bandari College, Daffd Laurent (20), akionyeshea flat screen yake mpya aina ya Samsung LCD ya inchi 40 aliyejishindia katika ukurasa wa Facebook wa Tigo. Kulia ni Afisa Mtandao wa Kijamii kutoka Tigo Bi. Samira Bamaar. Tembelea ukurasa wa Tigo Facebook uweze kupata habari na kujishindia zawadi mbali mbali pitia www.facebook.com/TigoTanzania

Godzilla Ft Joti - Lakuchumpa (Official Video)

Thieves Have Returned Electronic Accessories They Stole From a Charity with an Apology Note..!

GOD BLESS.
The group brought back six computers with hard drives, a laptop and a bag of valuables which they took from aid organisation Sexual Assault Services Centre in San Bernadino, California. Along with the goods, they left a note apologising for taking the loot.

It read: “We had no idea what we were takeing. Here your stuff back. We hope that you guys can continue to make a difference in people’s lives. GOD BLESS. (sic)”
San Bernardino Police Lt Paul Williams told NBC Los Angeles: “This is the first time in my career I have seen the return of stolen items.
“It appears the guilt of taking the property caused the return of the items.”

Kipanya wa Leo

Kipanya

Watch Mkasi with Kali Ongala

DVj SweetP Mixtape - Sikiliza Bongo Hits za Nguvu

DVj SweetP Mixtape - Bongo Hits

New Registry for Foreign Temporary Workers in Sweden


 

The head of Sweden's work environment watchdog believes a new law forcing foreign employers to report temporary postings in a centralized registry will lead to a streamlined monitoring system.

The new law, which came into effect on Just 1st, states that foreign employers have to report when a foreign worker is assigned to work to Sweden for more than five days. The employer must report to the Swedish Work Environment Authority (Arbetsmiljöverket) at the latest when a posted worker begins work in Sweden.
Mikael Sjöberg, head of the authority, believes the new system will allow a smoother transfer for workers posted in Sweden and will to more transparent and simplified monitoring.

"There's more information available about who is actually in the country, so that both we, and for example the union, can review the operations," he told Sveriges Radio (SR).
Companies in the construction, IT, and manufacturing industry make up the bulk of the roughly 1,000 firms who have so far signed up for the scheme.

While the new law is a step in the right direction, according to Claes-Mikael Jonsson, a lawyer at the Swedish Trade Union Confederation LO, he worried that some companies won't take it seriously.
"This looks good on paper, but it has no relevance in practice for the posted workers who are in parts of the Swedish workforce where anomaly is the biggest," he said.

The Work Environment Authority is charged with monitoring that rules on registration are followed, and any employer that does not report a posting will be fined 20,000 kronor ($3,075).
SEE ALSO: Click here for the latest listings for jobs in Sweden
TT/The Local/og

SOMA TAARIFA TOKA JESHI LA POLISI KUHUSU KUJERUHIWA KWA SHEKHE PONDA


JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA
WIZARA YA MAMBO YA NDANI


JESHI LA POLISI 

JESHI LA POLISI TANZANIA
DAR ES SALAAM AGOSTI 10, 2013.

1. MNAMO TAREHE 10, AGOSTI ,2013 MAJIRA YA SAA 8 MCHANA, MAENEO YA SHULE YA MSINGI KIWANJA CHA NDEGE MANISPAA YA MOROGORO, KULIFANYIKA KONGAMANO LA BARAZA LA EID LILILOANDALIWA NA UMOJA WA WAHADHILI MKOANI MOROGORO. DAKIKA KUMI KABLA YA KONGAMANO HILO KUMALIZIKA ALIFIKA SHEKHE PONDA ISSA PONDA AMBAYE ALIZUNGUMZA KWA MUDA MFUPI.

2. KONGAMANO HILO LILIFUNGWA MAJIRA YA SAA 12:05 JIONI AMBAPO WATU WALIANZA KUTAWANYIKA, BAADHI YAO WAKIWA WAMEZINGIRA GARI DOGO ALILOKUWA AMEPANDA SHEKHE PONDA. BAADA YA KUTOKA KATIKA ENEO HILO, ASKARI WA JESHI LA POLISI WALIZUIA GARI HILO KWA MBELE KWA NIA YA KUTAKA KUMKAMATA SHEKHE PONDA AMBAYE MPAKA SASA ANATUHUMIWA KWA KOSA LA KUTOA MANENO YA UCHOCHEZI SEHEMU MBALIMBALI HAPA NCHINI YENYE MLENGO WA KUSABABISHA UVUNJIVU WA AMANI.

3. BAAADA YA ASKARI KUTAKA KUMKAMATA, WAFUASI WAKE WALIZUIA UKAMATAJI HUO KWA KUWARUSHIA MAWE ASKARI. KUFUATIA PURUKUSHANI HIYO, ASKARI WALIPIGA RISASI HEWANI KAMA ONYO LA KUWATAWANYA.

4. KATIKA VURUGU HIZO, WAFUASI HAO WALIFANIKIWA KUMTOROSHA MTUHUMIWA. HIVI SASA IMETHIBITIKA KUWA SHEKHE PONDA YUKO KATIKA HOSPITALI YA TAIFA YA MUHIMBILI AKITIBIWA JERAHA KATIKA BEGA LA MKONO WA KULIA LINALODAIWA ALILIPATA KATIKA PURUKUSHANI HIZO.

5. KUFUATIA TUKIO HILO, TIMU INAYOSHIRIKISHA WAJUMBE KUTOKA JUKWAA LA HAKI JINAI IKIONGOZWA NA KAMISHINA WA JESHI LA POLISI CP ISSAYA MNGULU IMEANZA KUFANYA UCHUNGUZI WA TUKIO HILO.

6. AIDHA, JESHI LA POLISI LINATOA WITO KWA WANANCHI KUWA WATULIVU WAKATI SUALA HILI LINASHUGHULIKIWA KISHERIA.
Imetolewa na:-
Advera Senso- SSP
Msemaji wa Jeshi la Polisi.