Pages

Katuni ya Leo

Katuni

Mkasi with Jokate Kidoti

AU, SADC, EU Watofautiana Ushindi wa Mugabe

AU, SADC, EU
Wafuasi wa Chama cha Zanu-PF kinachoongozwa na Robert Mugabe ambaye juzi alitangazwa kwa mara ya saba kuliongoza Taifa la Zimbabwe wakifurahia baada ya kutolewa kwa matokeo hayo.Picha na AFP

Harare. Baada ya kumalizika kwa Uchaguzi Mkuu wa Zimbabwe huku Rais Robert Mugabe akiibuka kidedea kwa mara ya saba, waangalizi wa Umoja wa Ulaya (EU), Umoja wa Afrika (AU), na Jumuiya ya Kiuchumi ya Kusini mwa Afrika (SADC), wametofautiana kuhusu matokeo hayo.
Wakati waangalizi AU na SADC wakisema uchaguzi huo ulikuwa huru na haki, wenzao wa EU wamesema kulikuwa na kasoro kadhaa. Hata hivyo, AU na SADC walisema kulikuwa na hitilafu katika daftari la wapigakura kwani baadhi hawakuruhusiwa kupiga kura wakati walikuwa na haki ya kufanya hivyo.

Waangalizi wa EU wameeleza wasiwasi wao juu ya kutokukamilika kwa ushiriki wa wapigakura na kwamba kulikuwa na udhaifu kwenye mchakato wa upigaji kura pamoja na ukosefu wa uwazi.

Kwa upande wake, Tume ya Uchaguzi ya Zimbabwe (ZEC), ilisema uchaguzi ulikuwa huru na wa haki, licha ya hitilafu mbalimbali zilizojitokeza. Mwenyekiti wa Tume hiyo, Solomon Zwana, alisema iwapo kuna chama ambacho hakijaridhishwa na matokeo, kinaweza kufuata njia za kisheria.  “Tuna imani vyama vitaheshimu ahadi walizoweka kwamba watafuata njia za kisheria na si kuanzisha vurugu. Hilo ndilo tumaini letu na ujumbe wetu kwa wadau wa kisiasa,” alisema Zwana.

Zuma wa kwanza kumpongeza Mugabe
Rais wa Afrika Kusini, Jacob Zuma amempongeza Rais mteule wa Zimbabwe, Robert Mugabe kwa kuchaguliwa tena kuliongoza taifa hilo la Kusini mwa Afrika. Katika salamu zake, Rais Zuma aliwataka wapinzani kukubaliana na matokeo hayo kwa ajili ya kudumisha amani nchini humo.” Zuma anaonekana kutofautiana na misimamo ya Marekani, Uingereza na Australia, zilizokataa kukubaliana na ushindi wa Mugabe.
Uchaguzi wa Zimbabwe umemrudisha madarakani Mugabe kwa ushindi wa asilimia 61 dhidi ya aliyekuwa Waziri wake Mkuu, Morgan Tsvangirai aliyeambulia asilimia 34.
Tsvangirai alisema kulikuwa na rafu na wizi wa kura na anapanga kwenda mahakamani kupinga uchaguzi huo.

Tsvangirai alifahamu mapema
Tangu kuanza kwa mchakato wa kura, Mgombea wa MDC, Morgan Tsvangirai aliapa kupinga matokeo hayo mahakamani na kusema chama chake kitasusia taasisi za Serikali.

“Hatutajihusisha na masuala yoyote ya Serikali... tutakwenda mahakamani kupinga matokeo haya,” alisema Tsvangirai aliyekuwa akiwania kiti hicho kwa mara ya tatu. Mugabe mwenye umri wa miaka 89, ameiongoza Zimbabwe tangu taifa hilo lilipopata uhuru wake kutoka kwa Waingereza 1980.

Baada ya ZEC kumtangaza Mugabe kuwa ndiye mshindi, Tsvangirai alisema uamuzi huo wa tume utaiyumbisha nchi hiyo. Alisema kutokana na kitendo cha udanganyifu na kuiba kura katika uchaguzi mkuu wa wiki iliyopita, Zimbabwe itaingia katika mzozo wa kikatiba, kisiasa na uchumi.

Mgombea huyo alitetea uamuzi wa MDC wa kuingia katika Serikali ya kugawana madaraka na Mugabe, ambaye alitoa amri ya kukamatwa kwake, kupigwa na kufikishwa mahakamani kwa madai ya uhaini. “Kushiriki kwetu kumeiokoa nchi hii, kwani shule, hospitali zilifungwa. Tulikuwa tunatumia sarafu ya Zimbabwe ambayo haikuwa na thamani, hakukuwa na bidhaa katika maduka, kila mtu alikuwa katika mtafaruku,” alisema.

Akiwa mwenye hasira, Tsvangirai alisema: “Siku za kuishi kwa kudanganywa zimekwisha na Jumatano (keshokutwa) MDC itawasilisha ushahidi wake wa udanganyifu katika Mahakama Kuu.”

Tsvangirai alisema atawasilisha waraka wa ‘upungufu wote na hali zote za kuendewa kinyume na sheria’ kwa SADC na kutoa wito wa kuitishwa kikao cha dharura cha jumuiya hiyo. “Haimaanishi kwamba SADC na AU ndivyo vigezo vya kimataifa vya uchaguzi wa huru na wa haki,” alisema Tsvangirai na kuongeza: “Niseme pia kwamba licha ya vikwazo tulivyokumbana navyo, baadhi yetu tuliamini kwamba uchaguzi huu ungesuluhisha matatizo ya kiuchumi na ya kisiasa hapa Zimbabwe.”

Tsvangirai alisema raia wa Zimbabwe watalazimika kubeba athari za uamuzi wa kisiasa na kiuchumi uliofanywa na Mugabe na Zanu-PF. Waziri wa Ulinzi, Emmerson Munangagwa alisema kwamba matokeo hayo ni mabadiliko ya mchezo.
“Mataifa ya Magharibi sasa yatabidi kutafuta ngazi na kushuka... uchaguzi wa kidemokrasia umefanyika nchini Zimbabwe,” alisema Munangagwa.
Mwananchi

Jetman Yves Rossy Flies Alongside B-17 Bomber Plane

A Swiss adventurer is making his first public flights in the United States this summer with his custom-built jet suit. Yves Rossy, also known as Jetman, flew in his carbon-Kevlar jetwing with four engines next to a B17 plane for reporters on Monday.

Morgan Heritage - Down By The River Live

Morgan Heritage - Nothing To Smile About

Nasa Finds Message From God on Mars Written On A Tablet.


According to the reports, the tablets were discovered by Nasa’s rover which landed on Mars August last year 2012… wonders shall never end.

NASA announced that its Curiosity Rover has found an unambiguous message from God written on tablets in a Martian cave. According to an official press release two giant stone slabs the size of small elephants were located deep inside a cavern abutting Aeolis Mons, a large mountain. Upon one tablet is a copy of the Ten Commandments and the text of John 3:16 written in 12 languages – including English, Spanish, Chinese, Basque and Hebrew. On the other tablet is a simple message in English reading “I am real.” According to top scientists who have studied the discovery extensively, these findings may have definitely established Christianity as the one true religion.

“This is amazing,” says Syms Covington, an Australian researcher working for NASA’s Mars Exploration Program. “We went into the cave looking for water, and we found proof of God’s existence instead. “I mean how else did those tablets get there? I can tell you one thing: there’s not a single atheist inside NASA’s control room now. What we saw was jaw-dropping.” …Continue

Quote of the Day

Quote

Time To Boost Your Facebook Fan Page Likes. Add New jQuery Popup with Timer..!

JQUERY POP-UP FACEBOOK LIKE BOX
Now its very easy to socially force your visitors to like your Facebook Fan Page. Actually this widget has a unique feature i.e it loads very fast,
New jQuery Popup Facebook Like Box along with timer is a new Blogger Widget which can help you to increase your Fan
page Likes.The most beautiful thing in this widget is that you can customize it Accordingly i.e you can change the time interval of Closing or You Can also change the Text "Like us On FB" and even the text "cancel".Once You added this Widget to Blogger,it will popup when someone land to your Blog and it will Provide a cool
look to the reader/visitor of Blog to socially force him for liking your Fan Page ;)

How To Add JQuery Pop-Up Facebook Like Box With Timer To Blogger

Before adding this Widget you need to install the jQuery Plugin,if
jQuery Plugin is already installed on your Blog,then No worry just
follow the below steps and install the widget,but if not,then Go To
Blogger Dashboard >> Click On Template >> and Search for
</Head> tag , now copy the below script and paste it above </head>tag.

<script type="text/javascript" src="http://ajax.googleapis.com/ajax/libs/jquery/1.8.2/jquery.js"></script>

After Installing the jQuery Plugin To Your Blog Follow below steps...
Go To Blogger Dashboard
Click On Layout
Now Click On Add a Gadget
FACEBOOK LIKE BOX
 Now a Box will Popup
Select HTML/JavaScript There
Now another Box will popup
Now Copy the below Script and make the specific changes
and paste it into the HTML/JavaScript Box
<style type='text/css'>
#makingdifferentpopup{
position: fixed;
top:100px;
z-index:9999;
display:none;
padding:0px;
right:600px;
border:10px solid rgba(82, 82, 82, 0.7);
-webkit-background-clip: padding-box; /* for Safari */
background-clip: padding-box; /* for IE9+, Firefox 4+, Opera, Chrome */
-webkit-border-radius:8px 8px 8px 8px;
-moz-border-radius:8px 8px 8px 8px;
border-radius:8px 8px 8px 8px;
width:400px;
height:360px;
overflow:hidden;
}
#makingdifferentpopup span{
font-size:20px !important;
font-weight:bold !important;
}
#makingdifferentpopup h1{
background:#6d84b4 url(https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEi769I5Kp8wNvsHm7S2oJxo5N7iWVx1e5UOh6xoHGVpuG-2ozyhus9zp7l2trH65CuvshHWe6A695nHtwEPw2C_ibgXbhou_dWuQlZNZUvR37YNaqR7itV8OjfcxPH4H-p4IJc5WUuzijxp/s1600/%255Bwww.gj37765.blogspot.com%255Dh1.png) 98% no-repeat;
border:1px solid #3b5998 !important;
color:#FFFFFF !important;
font-size:20px !important;
font-weight:700 !important;
padding:5px !important;
margin:0 !important;
font-family:'"lucida grande",tahoma,verdana,arial,sans-serif !important;
overflow:hidden !important;
}
.htmlarea{
font-size:12px !important;
font-weight:normal !important;
height:265px !important;
padding:1px !important;
background:#fff !important;
border-bottom:2px solid #ddd;
overflow:hidden !important;
}
#mdfooter{
text-align:left;
background:#F2F2F2 !important;
height:56px !important;
padding:10px 10px 10px 10px !important;
overflow:hidden !important;
}
#mdclose{
float:right;
background-color:#eee !important;
border:1px solid #ccc !important;
color:#111 !important;
font-weight:bold !important;
padding:5px 8px 5px 8px !important;
text-decoration:none !important;
display:inline-block !important;
font-family:'"lucida grande",tahoma,verdana,arial,sans-serif !important;
outline:none !important;
position:relative !important;
font-size:18px !important;
margin:1px !important;
}
#mdclose:active{
top:1px;
left:1px;
}
.grabthis{
bottom:80px;
font:8px "lucida grande",tahoma,verdana,arial,sans-serif;
position:absolute;
right:6px;
text-align:right;
z-index: 99999;
}
.grabthis a{
color: #000;
text-decoration:none;
}
.grabthis a:hover{
text-decoration:underline;
}
</style>
<script type='text/javascript'>
jQuery(document).ready(function() {
function makingdifferent_ppopup()  {
var sec = 10
var timer = setInterval(function() {
   $("#mdfooter span").text(sec--);
   if (sec == 0) {
      $("#makingdifferentpopup").fadeOut("slow");
      clearInterval(timer);
   }
},1000);
  var mdwh = jQuery(window).height();
  var mdpph = jQuery("#makingdifferentpopup").height();
  var mdfromTop = jQuery(window).scrollTop()+50;
 jQuery("#makingdifferentpopup").css({"top":mdfromTop});}
jQuery(window).fadeIn(makingdifferent_ppopup).resize(makingdifferent_ppopup)
 //alert(jQuery.cookie('sreqshown'));
 //var mdww = jQuery(window).width();
 //var mdppw = jQuery("#makingdifferentpopup").width();
 //var mdleftm = (mdww-mdppw)/2;
   var mdleftm = 500;
 //var mdwh = jQuery(window).height();
 //var mdpph = jQuery("#makingdifferentpopup").height();
 //var mdfromTop = (jQuery(window).scrollTop()+mdwh-mdpph) / 2;
 jQuery("#makingdifferentpopup").animate({opacity: "1", left: "0" , left:  mdleftm}, 0).show();
     jQuery("#mdclose").click(function() {
jQuery("#makingdifferentpopup").animate({opacity: "0", left: "-5000000"}, 1000).show();});});
</script>
<div id="makingdifferentpopup">
<h1>Join us on Facebook</h1>
<div class="htmlarea">
<iframe src="//www.facebook.com/plugins/likebox.php?href=https%3A%2F%2Fwww.facebook.com%2Ftipsbyharsha&amp;width=400&amp;colorscheme=light&amp;show_faces=true&amp;border_color=%23fff&amp;stream=false&amp;header=false&amp;height=250" scrolling="no" frameborder="0" style="border:none; overflow:hidden; width:400px; height:250px;" allowtransparency="true"></iframe>
<div class="grabthis">
By <a href="http://tipsbyharsha.blogspot.com/" target="_blank">tipsbyharsha</a> / <a href="http://tipsbyharsha.blogspot.com/" target="_blank">+Get This!</a>
</div>
</div>
<div id="mdfooter">
Please wait..<span>10</span> Seconds
<a href="#" id="mdclose" onclick="return false;">Cancel</a>
</div>
</div>
<!-- End popup -->

Changes In The Script Before Installing

  • Replace tips by harsha in the script with your Own Facebook Fan page username.
  • For changing the Time Interval,Change var sec = 10 with your Own Desire time.
  • If you are interested in changing the height and width of the Box Change 250 and 400 in the Script
  • For Changing The Text "Join us on Facebook" just change the text with your Own.
  • Change The Text "Cancel" with your Desire text
  • Now Copy the Script and paste it into the box 
  • Now hit Save and that's it 
  • Script Credit Purely Goes To "Tips By Harsha"
So What's Up :- Adding this jQuery Popup will force your Readers
to like your Fan page and as a result you can increase your Fan
page Likes,Share your Beautiful Ideas with us,and if you have any
Question ask us,stay Blessed ,Happy Blogging.
By Tipsbyharsha

MAAJABU YA ISTIGHFARI

HIFADHI ULIMI UTAKUHIFADHI

Meet 30 Year Old Mother of 17 Children: K24TV's Unsung Heroes

Imagine being a mother of seventeen children and still counting, and even more puzzling thats happening when one is just under 30 years. that is the story of Wamaitha Mwangi, a young lady who has dedicated herself to rescuing abandoned children.