Pages

Rwandan Bank Becomes First in The World to Launch mVisa..!

KIGALI, RWANDA The BusinessWeek, KIGALI, RWANDA—A Rwandan bank has introduced ‘mVisa’, a mobile banking solution, in a bid not to be left behind in this fast growing area of financial services.

“The mVisa which comes as the first innovative electronic product in the world will allow the bank’s clients to easily access their bank’s account via their phone and also help encourage non- account holders mainly rural folks to be bankable.

We are proud to be the first bank to launch this product in the world,” Lawson Naibo, the Bank of Kigali’s Chief Operations Officer said last week.

The product, designed by Visa Inc., has interoperability to mobile money in Rwanda and will see Bank of Kigali, Rwanda’s leading bank by market share, attempt woo more clients from the rural areas.

“Our product is an interoperable mobile branchless banking solution. It can service account holders from any other financial services provider in the country,” Naibo said.

“When Tigo and MTN extended their mobile money and included more features for its clients, it was obvious that the banking sector was feeling a pitch, because people were following convenience,” Job Opar, a consultant told East African Business Week in an interview.

People were picking interests in mobile banking products that’s why we were encouraging financial institutions to come up with innovative products to satisfy the customer demands,” Rita Ngarambe, the Executive Secretary of Association of Micro finance Institutions in Rwanda (AMIR) said.

Apparently, the banking sector was not happy late last year when Tigo launched its improved electronic wallet where a subscriber could pay bills, pay transport fares, transfer money to another person , or be able to buy products from a shop without holding cash.

Tigo Rwanda recently launched ‘tigomatic’ which allows people to access tigo cash mobile wallet , pay bills, withdraw or deposit using an Automated Teller machine operated by Tigo itself.

“To contain the grip from telecom companies, the banks thought partnership with mobile operators to carry out mobile money transactions for the the bank’s clients within the bank, something that instead gave another edge to telecoms.

“It was hard to convince someone who is already used to going to the agent on the street, transact his financial business to go to the bank again and join the long queues,” Gerald Jabo, a microfinance banking consultant said.

Nevertheless, with the launch of mVisa, a mobile banking solution, banks have the best armour to punch bank to telecoms.... Read more

MAAJABU: MCHEKI KUKU ANAYE ISHI HUKU AKIWA HANA KICHWA

Kware area in Ongata Rongai  
Residents of Kware area in Ongata Rongai are still in shock after stumbling upon a headless cock. It is suspected that it was used in witchcraft. Apparently, the cock showed no signs of pain.
Rachel Danson, a Kware resident, who operates a kiosk near the site where the headless cock was found, said that she found something put in a white polythene paper in the morning near her kiosk but she did not bother opening it since she thought it was waste dumped along the road by the residents. “I spotted the white polythene paper in the morning but I did not open it because I thought it was waste dumped along the road,” Rachel told The Standard. One of her neighbours later inspected the paper and informed her that it contained a breathing creature. “At first we were afraid to check but we opted to do so when another neighbour dared to open and find out what it was,” she said. Frightened residents ran for dear life when a cock without a head emerged from the polythene paper and walked freely along the road as another dead and rotten cock which was black in colour was left in the polythene paper. One resident alleged that the cock was probably used for witchcraft purposes, saying that the area is well identified with the practice.

Kanye West - Black Skinhead (Audio) Lyrics

HAWA HAPA WASHINDI WA PROMOSHENI YA 'MILIKI BIASHARA YAKO' TIGO

Tigo, Husn Seif Dar es Salaam, Julai 29, 2013 – Tigo Tanzania leo imefanya droo yake ya pili katika promosheni yao kabambe iitwayo “Miliki Biashara Yako” na kupata washindi wapya 7 wa wiki iliyopita ambapo kila mmoja alijishindia Bajaji mpya yenye thamani ya Tsh 6,700,000.
Washindi hao ni………
1.Nicolus Maliyatabu Sanga-mkazi Dsm(43)
2.Julius Dilikwije -mkazi wa Same
3.Isabellah edward Msemo(24)-dsm
4.Eliasa Hamisi Mbano(48)Tabora
5.Charles benedect Kato(41) -kinyerezi
6.Evelyn Elisalia Massawe-(22)mwanafunzi mkazi wa kimara
7.Khalidi Jafary Gomani(27)-dsm
  Meneja Bidhaa wa Kampuni ya Simu za Mkononi ya Tigo, Husn Seif (kushoto) akibofya kwenye kompyuta kumpata mmoja wa wateja saba walioshinda Bajaji katika droo ya kwanza ya Promosheni ya 'Miliki Biashara Yako' iliyofanyika Dar es Salaam leo. Kushoto ni Meneja wa Chapa ya Tigo, William Mpinga na Mkaguzi kutoka Bodi ya Taifa Kusimamia Michezo ya Kubahatisha, Bakar Maggid.

TIGO
Akizungumza katika mkutano na wanahabari waliohudhuria droo hiyo, Meneja Chapa wa Tigo, Bw. William Mpinga aliwapongeza washindi hao na kutoa rai kwa wateja wengine pia kushiriki katika promosheni hiyo.

“Kila mteja wa Tigo anao uwezo wa kujishindia Bajaji moja kila siku kwa muda wa siku 60 kwa kuongeza vocha ya Tsh 1,000 tu kwa siku. Ili kuhakikisha kuwa wateja wengi wanafurahia promosheni hii, mteja hahitaji kuweka vocha ya Tsh 1000 kwa mkupuo mmoja ili kushiriki, anaweza kuongeza salio kidogo kidogo hadi kufikisha kiasi cha Tsh 1000 kwa siku na kuweza kuingia kwenye droo. Vile vile mteja anaweza kuongeza salio mara nyingi awezavyo ili kujiongezea nafasi zaidi ya kujishindia Bajaji. Pamoja na hayo, ili kuwapatia urahisi zaidi wateja, bado mteja anaruhusiwa kuongeza salio pitia namna zote zile ikiwemo Tigo Rusha, Tigo Pesa au kwa vocha ya kawaida,” alisema Mpinga.

“Leo Tigo imetimiza tena kwa hatua ingine jukumu letu tulionao katika kuboresha na kugusa maisha ya Watanzania, kwa kuwapatia nafasi ya kumiliki biashara yao wenyewe kupitia promosheni hii ya “Miliki Biashara Yako”. Hii ni nafasi yakipekee ambapo wateja wetu wanapatiwa fursa ya kuwa wajasiriliamali, kujipatia kipato, kutoa ajira, pamoja na kutoa huduma ya usafiri wenye gharama nafuu kwa jamii.”

Promosheni hii inayalenga kuwainua wateja wake kiuchumi kwa kuwapatia fursa ya kushinda usafiri wa Bajaji 60 kwa muda wa miezi miwili ambapo kila siku mteja atajishindia Bajaji moja.

“Tunaamini kwamba promosheni hii itawapatia wateja wetu sababu nyingine yakutabasamu. Wateja 60 watakaopatikana washindi watajinyakulia Bajaji mpya kabisa ambapo wataweza kuzitumia kuanzisha biashara zao wenyewe. Biashara ya Bajaji ni biashara yenye faida sana, kwa siku mmiliki wa Bajaji anaweza kuingiza kipato cha kati ya Tsh 25,000 mpaka Tsh 30,000 kwa siku, sawa na Tsh 900,000 kwa mwezi, ambayo ni Tsh 10,800,000 kwa mwaka,” alielezea Mpinga.

Bw. Mpinga alisema kwamba kila Bajaji ina thamani ya Tsh 6,700,000. “Tayari Tigo imechukua jukumu la kulipia leseni ya barabara (road license) na bima ya Bajaji. Kwahiyo mteja atakuwa amebakiwa na jukumu la kuja kuchukua Bajaji yake na kuanzisha biashara yake mara moja,” alimalizia Mpinga.
Wiki iliyopita, Tigo ilifanya droo yake ya kwanza katika promosheni hii na kupata washindi watatu ambao tayari wameshakabidhiwa Bajaji zao katika hafla maalum iliyofanyika Soko Kuu, Kariakoo, wiki iliyopita.
KUHUSU TIGO:
Tigo ni mtandao wa kwanza wa simu za mkononi nchini Tanzania. Ilianza shughuli mwaka 1994 na inapatikana katika mikoa ishirini na sita (26)
Tanzania bara na visiwani.
Lengo la Tigo ni kuwa mtandao unaoongoza kwa kutoa huduma bora na za ubunifu Tanzania kwa wateja wake wote ambazo zinaendana na mahitaji yao kuanzia huduma za sauti za bei nafuu, vifurushi vya intaneti vyenye kasi kubwa na huduma bora za fedha za simu za mkononi kupitia Tigo Pesa.
Tigo ni sehemu ya kampuni kubwa ya <http://www.millicom.com/> Millicom
International Cellular S.A (MIC) ambayo ni ya unafuu wa huduma na inapatikana kirahisi kwa zaidi ya wateja milioni 43 katika masoko 13 barani
Afrika na Amerika ya Kusini.
"Tabasamu upo na Tigo"
Kwa maelezo zaidi wasiliana na:
Amani Nkurlu – Meneja Mahusiano
+255 658 870 107 au +255 712 223 839

Kobe Hoofin' It Around Italy With Busted Achilles

Kobe BryantWith his rehab in full swing, Kobe Bryant proved his achilles is healthy enough for tourist activity this weekend by strolling around Italy with his family.

Kobe -- along with his wife Vanessa and their daughters Natalia and Gianna -- were spotted walking around Capri like regular people.

Kobe recently told an Italian media outlet that he's in country for vacation -- but found some time to do some rehab at the Milanello Sports Centre, the training facility for famed Italian soccer club A.C. Milan.

As for Kobe and Vanessa ... we broke the story, VB called off the divorce back in January ... and it appears the two are just like peas and carrots again. TMZ reports

Promo ya Mkasi with Jokate

Young D -KIJUKUU (Audio)

Young D

Wake wa Viongozi wa Uamsho Wafunguka.

Viongozi wa Uamsho
Wake wa viongozi Jumuiya ya Uamsho Zanzibar, wameiomba serikali kuitazama kesi inayowakabili viongozi hao kwa jicho la uadilifu, haki na sheria ili kuonesha dhana ya utawala bora.

Wakizungumza na waandishi wa habari katika kongamano la wanawake wa Kiislamu lililofanyika msikiti wa Mbuyuni, kinamama hao wamelalamikia kesi hiyo kuchukua muda mrefu huku ikiwa hakuna hatua yoyote muhimu inayochukuliwa ili haki itendeke.

Wametaka vyombo vya sheria vifanye kazi kwa maadili, hasa ikizingatiwa kwamba Zanzibar ni mshiriki wa Muungano wa Tanzania ambayo ni mwanachama wa taasisi mbalimbali za kulinda na kuheshimu haki za binadamu ulimwenguni.

“Hatukusudii kuingilia kazi za mahakama, bali tunaeleza hali halisi ya uvunjwaji wa sheria na katiba ya nchi kwa vyombo vya sheria kufanya kazi kwa utashi bila ya kuzingatia haki za wanachi mbele ya sheria”, walidai wanawake hao.

Walidai kuwa, kitendo cha kunyima haki kinaweza kuitia doa kubwa mahakama na serikali mbele ya macho ya kimataifa.

Aidha, walitaja sababu za kuwekwa ndani waume zao kuwa ni harakati zakuongoza umma wa Wazanzibar kudai haki yao ya msingi juu ya hatima ya Zanzibar kuwa nchi yenye uhuru wa kujiamulia mambo yake.

Wameeleza kusikitishwa kwao kwa kusema kuwekwa ndani kwa waangalizi hao wa familia zao, kumewaathiri sana kisaikolojia na kiuchumi.

Pia wamesema mwenendo mzima wa taaluma za Kiislamu ambazo viongozi hao walikuwa wakifundisha katika madarsa mbalimbali kwenye misikitini na vyuo, umeathiriwa na kushikiliwa kwa viongozi hao.

Kwa hivyo wamevitaka vyombo vya sheria kufanya haki katika maamuzi yao ili kudumisha amani na utulivu uliopo pasi na kutia dosari serikali ya umoja wa kitaifa iliyowalea Wazanzibari pamoja.

Kupitia kongamano hilo, wanawake hao wameviomba vyombo vya sheria, kuwaruhusu viongozi hao kuonana na wake na ndugu zao wakati wanapofikishwa mahakamani kwa kusikilizwa kesi yao.

Katika hatua nyengine, kinamama hao wameunda kamati ya kufuatilia na kuratibu mwenendo wa kesi pamoja na kuonana na watendaji wa haki za binadamu.

East Africa Chamber of Commerce Trade Conference, Invitation

 East Africa Chamber of Commerce Trade Conference

Country Wiz Ft G Nako - Watch Me Mastering (Audio)

Country Wiz Ft G Nako - Watch Me Mastering