Pages

NGURUMO ANATESEKA NA MARADHI KITANDANI,WENZAKE WADAIWA KUMTENGA

Muhidin Maalim Gurumo.
KILA binadamu hutamani kuwa na mwisho mzuri. Hakuna apendaye kupatwa na misukosuko ya kiafya, awe dhaifu hata kushindwa kutoka ndani angalau akajitafutie riziki.
Waja hupanga na kupangua tu lakini mwamuzi wa leo na kesho ni Mungu aliye juu! Tafakari leo upo vema, una siha njema, tena barabara kabisa. Ikifika nyakati upo ndani huwezi kutoka itakuwaje? Usimcheke anayelia leo, hujui kesho yako itakuwaje.
Muhidin Maalim Gurumo, 72, alipata kuwa mwanaume shupavu sana. Mungu akamjalia kipaji cha muziki, akabarikiwa nyota ya kupendwa. Asimamapo jukwaani basi mashabiki ni hoihoi na raha tupu.
Tangu miaka ya 1960 kama ungethubutu kutamka humjui Gurumo, ungeonekana mshamba mwenye tongotongo nyingi, mjini ungechekwa. Alikuwa staa mkubwa sana wa muziki. Jina lake limebaki juu kuanzia nyakati hizo mpaka sasa.
Ni kamanda hodari, aliyeifanya Bendi ya Msondo ‘Msondo Ngoma’ ipate heshima kubwa mpaka ikaitwa Baba ya Muziki Tanzania. Tungo zake nyingi ni lulu ambayo haitafutika kamwe. Kinachoumiza kwa sasa ni kuona Gurumo hawezi tena kusimama jukwaani.
Hana uwezo wa kutoa burudani iliyozoeleka. Ile sauti yake yenye mawimbi haipatikani tena katika majukwaa ya muziki. Kikubwa kinachotesa moyo ni kwamba Msondo ambayo ni bendi yake, akimiliki hisa za kutosha kama mmoja wa wamiliki, haina msaada wowote kwake.
Mzee analalamika. Msondo hii ndiyo ile aliyoivusha kupitia majina ya Nuta, Juwata,  na Ottu, ikiwa inamilikiwa na Chama cha Wafanyakazi. Hakujua kama mambo yangekuwa hivi leo.
Itambulike kuwa yeye akiwa na wenzake kama marehemu Shaaban Mhoja Kishiwa  maarufu kama ‘TX Moshi William’, Saidi Mabera, marehemu Suleiman Mbwembwe, Othuman Momba, Joseph Maina na wengineo, ndiyo waliounganisha nguvu na kuimiliki, baada ya chama cha wafanyakazi kujiondoa katika uendeshaji wa bendi.
Mzee analia ukata. Maradhi yanamtesa lakini shida za dunia na msongo wa mawazo ambao anao kutokana na kutengwa na wenzake, ni hatari kubwa inayofupisha siku zake za kuishi.
Muhidin Maalim Gurumo.ANAUMWA NINI? ALIANZA KUUMWA LII?
Katika mahojiano na mwandishi wetu, nyumbani kwake, Ubungo Garage, Dar es Salaam, Gurumo anasema: “Ninasumbuliwa na maradhi ya moyo. Nakumbuka  nilianza kuumwa yapata miaka mitatu iliyopita. Kipindi hicho ndipo nilipatwa matatizo ya kushindwa kuimba kwa sauti ya juu.
“Kila nilipojitahidi kuimba kwa sauti ya juu, nilijikuta nikichoka sana. Niliendelea...

JENGO LA OFISI YA MALKIA WA NYUKI MLEZI WA SIMBA LABOMOLEWA

Rahma Al Kharusi, maarufu kama Malkia wa Nyuki.
UTEKELEZAJI wa amri ya Waziri wa Ujenzi na Miundombinu, John Pombe Magufuri, umemuathiri Mlezi wa Simba, Rahma Al Kharusi, maarufu kama Malkia wa Nyuki, baada ya moja ya ofisi zake jijini Dar es Salaam kubomolewa.

Ofisi hiyo ambayo ilikuwa inaendesha shughuli za kampuni ya kuuza mafuta ya RPB Oil inayomilikiwa na Malkia wa Nyuki, imebomolewa.

Bomoabomoa hiyo ya Magufuri imepamba moto katika Barabara ya Old Bagamoyo na majumba kadhaa yamebomolewa kwa kuwa kuna ujenzi wa kuitanua barabara hiyo.

Ofisi ya Malkia wa Nyuki ilikuwa katika ghorofa ya kwanza ya jengo la Green Acres, katikati ya makumbusho na Victoria na imevunjwa.

Ingawa jengo hilo halijavunjwa lote, lakini sehemu ya ofisi ya RPB Oil iliyokuwa upande wa barabarani imebomolewa yote.
Malkia ndiye mwanamama aliyetikisa katika soka mwishoni mwa msimu uliopita baada ya kuilipia Simba zaidi ya Sh milioni 70 kwenda kuweka kambi nchini Oman.

Akalipa tena zaidi ya Sh milioni 50 kumpa kocha Milovan Cirkovic aliyekuwa anaidai Simba bila ya mafanikio. Baada ya hapo, Malkia amekuwa kimya na mashabiki wengi wamekuwa wakihoji kutaka kujua aliko.

Taarifa zinaeleza yuko nchini Oman anakoendelea na biashara zake, lakini ndugu yake mwingine alisema amebanwa na majukumu ya kampuni zake nchini Marekani.
 Na Saleh Ally

MFAHAMU MMILIKI WA HOME SHOPPING CENTRE ALIYEMWAGIWA TINDIKALI

MSHTUKO mkubwa ulijiri Jumamosi iliyopita, ikiwa ni baada ya kusambaa kwa habari za kumwagiwa tindikali, mfanyabiashara mwenye ‘levo’ ya ubilionea, Said Said Mohammed, 42, ambaye ndiye mmiliki na Mkurugenzi Mkuu wa Home Shopping Centre.
Said Mohammed Saad,
 Said ambaye kwa utambulisho mwingine anajulikana kama Said Mohammed Saad, alimwagiwa tindikali Ijumaa iliyopita, saa 2 usiku, lakini habari zake zikavuma Jumamosi, hivyo kuibua taharuki ya aina yake.

Kuhusu nani alimmwagia tindikali hiyo, sababu ya kutendwa unyama huo, yupi mhusika mkuu wa ukatili wenyewe na malengo ya uharamia, kwa jumla, hayo ni maswali yanayoendelea kuitesa familia yake, watu wa karibu pamoja na Jeshi la Polisi Tanzania.

Taarifa za kipolisi zinathibitisha kwamba alimwagiwa tindikali akiwa anazungumza na mfanyakazi wake wa duka lake lililopo kwenye Jengo la Msasani City Mall kisha akakimbizwa Hospitali ya Ami Wellness Centre, iliyopo Masaki, Dar es Salaam kabla ya kupelekwa Afrika Kusini kwa ndege ya kukodi ndani ya kipindi kisichozidi dakika 60.

SAID NI NANI?
Ni Mtanzania mwenye asili ya Bara la Asia. Inadaiwa kwamba ndugu zake wengi wana asili ya nchi za Yemen na Saudi Arabia.


Ndiye mmiliki wa Kampuni ya Home Shopping Center. Kampuni hiyo ina maduka mengi Dar es Salaam na katika mikoa kadhaa ambayo yanahusika zaidi na uuzaji wa vitu vya nyumbani na ofisini.

Anatajwa kuwa tajiri mwenye uwezo zaidi katika jumuiya ya wafanyabiashara wa eneo la Kariakoo, kifedha na ushawishi.
Inadaiwa kwamba wafanyabiashara wengi wenye...

Mahakama Yamruhusu Wilfred Lwakatare Kwenda India Kutibiwa

CHADEMA, Tanzania, Wilfed Lwakatare,
Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, jijini Dar es Salaam, imempa kibali Mkurugenzi wa Ulinzi na Usalama wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Wilfred Lwakatare, akatibiwe nje ya nchi.
Lwakatare ambaye anasumbuliwa na maumivu ya shingo, kwa sasa amelazwa katika Taasisi ya Mifupa katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili (Moi) kwa uangalizi maalumu na kufanya mazoezi, alipata kibali hicho kwa kuwa anakabiliwa na kesi ya kula njama za kumdhuru
Mhariri Mtendaji wa Gazeti la Mwananchi, Dennis Msacky.

Wakili wake, Nyaronyo Kicheere alililiambia gazeti hili nje ya mahakama kuwa Lwakatare anatarajiwa kupelekwa India, lakini akasema tarehe ya kusafirishwa inategemea na kukamilika kwa taratibu za hospitali alikolazwa, na kule anakopelekwa.

Mahakama hiyo ilitoa kibali ili akatibiwe nje ya nchi, baada ya Kicheere, kuiomba mahakama hiyo impe kibali ili akatibiwe nje kama ilivyopendekezwa na madaktari wake.

Akizungumza na gazeti hili, Lwakatare alisema ingawa yupo katika uangalizi maalumu, lakini amefikia uamuzi huo aliosema umekuja baada ya kujadiliana na madaktari wanaomuhudumia.

“Bado nafanya mazoezi, lakini kulingana na hali ilivyo imebidi nikae na madaktari nikashauriana nao nimewaomba niende nje ya nchi nikatibiwe kama itawezekana,”alisema Lwakatare.

Alisema pamoja na maombi hayo pia alikuwa anategemea kupata ruhusa kutoka mahakamani kwa sababu jana ilikuwa tarehe ya kuendelea kutajajwa kwa kesi yake baada ya kuachiwa kwa dhamana.

Alisema madaktari wanajaribu kufanya uchunguzi kwa kuzingatia uzoefu wao wao.

Awali aliwekwa katika Kitengo Maalumu cha Uangalizi wa madaktari na mazoezi kwa muda wa siku nne madaktari walimtaka kufanya mazoezi kwa saa tatu kwa siku ili aweze kupona tatizo hilo kabla kufikia hatua ya upasuaji.

Lwakatare ameomba kwenda kutibiwa nje ya nchi baada ya kukaa muda mrefu hospitalini hapo bila mabadiliko yoyote.

Lwakatare alifika Muhimbili Julai 10 kufuatia maumivu ya shingo ambayo chanzo ni chake ni ajali ambayo iliipata mwaka 2002.

Mbali na maombi ya kibali cha Lwakatare kwenda kutibiwa nje ya nchi, Wakili Nyaronyo pia aliiomba mahakama hiyo imchukulie hatua mshirika wa Lwakatare kwenye kesi hiyo Ludovick Joseph Rwezaura kwa kosa la kuandika makala kwenye mitandao ya kijamii, akilenga kujitetea dhidi ya shtaka linalomkabili na Lwakatare.

Wakili Nyaronyo alililalamikia kitendo cha Ludovick, akidai kuwa si sahihi kujitetea katika jukwaa lingine nje ya mahakama.
Katika mitandao hiyo Ludovick pamoja na kueleza uhusiano wake na watu mbalimbali akiwemo Naibu Katibu Mkuu wa CCM, Mwigulu Nchemba na Lwakatare, pia amekanusha tuhuma mbalimbali kuhusu kesi hiyo.

MWANANCHI

Get to Know Big Guy's Ride na Price Tag ..You Know..!

KANYE WEST
KANYE WEST
 This $750,000 Lamborghini Aventador was recently scratched up, as he tried to get into Kim Kardashian’s property; it was squeezed by the electric gates as he drove through.
LUDACRIS
LUDACRIS
 The $300,000 Ferrari FF is a hatchback, and a very fast one. It’s capable of going from 0 to 60 mph in 3.5 seconds.
50 CENT
50 CENT
 A Lamborghini Murciellago will cost you about $350,000.
NICK MINAJ
NICK MINAJ
 Nicki’s pink Bentley Continental GT costs around $175,000.
WAKA FLOCKA FLAME
Rolls Royce Ghost
 The Rolls Royce Ghost costs around $280,000. It looks classy yet aggressive.

TYGA
TYGA
 Tyga’s Audi R8 is covered in a special Gold paint job. It costs $200,000 even without the paint.
THE GAME
THE GAME
  A new Ferrari F430 costs around $200,000. The Game bought this one in France, covered completely in leather. Very unique.
T.I
T.I
 A new Ferrari 599 costs around $310,000 and has 750 horsepower. This is one of the fastest Ferrari's ever!
DRAKE
DRAKE
 You can get a Bugatti Veyron for about $2.5 million, and that’s without any bells and whistles. Drake “started from the bottom” and now he’s in this car.
 WIZ KHALIFA
 WIZ KHALIFA
This Dodge Challenger SRT8 is Black and Yellow.

TY NITTY "RUFF RYDER" (OFFICIAL VIDEO)

Duchess of Cambridge Gives Birth to Son 8lbs 4ozs -Royal Baby Boy

The Duchess of Cambridge has given birth to a son, Kensington Palace has confirmed.

The baby weighed 8lbs 6oz and was born at 4.24pm.
Royal Highness
Crowds cheer after hearing of the royal baby announcement at St Mary's hospital on Monday evening. The palace said in a statement: "Her Royal Highness The Duchess of Cambridge was safely delivered of a son at 4.24pm. The baby weighs 8lbs 6oz. The Duke of Cambridge was present for the birth.

The Prince of Wales said that he was "enormously proud and happy to be a grandfather for the first time", adding that it was "an incredibly special moment for William and Catherine".
"The Queen, The Duke of Edinburgh, The Prince of Wales, The Duchess of Cornwall, Prince Harry and members of both families have been informed and are delighted with the news.
The Queen, The Duke of Edinburgh, The Prince of Wales, The Duchess of Cornwall, Prince Harry
 The Duke and a pregnant Duchess of Cambridge at Westminster Abbey last month. (PA)
"Her Royal Highness and her child are both doing well and will remain in hospital overnight."

The Miraa'cle Tree Part 2

Now on the 24th of July 2013 a case will be up for hearing at the High Court sitting in Nairobi where a group of Miraa traders are seeking to have Miraa removed from NACADA's list as a drug. While the fight continues in the courtrooms, the Ameru people continue to fight for their heritage and culture. In the second and final part of a series we are calling the Miraa'cle tree Willis Raburu delves into the cultural value placed on Miraa and as he now tells us not only is Miraa used to pay dowry in Meru county but in dispute resolution as well. Let's take a look.

PICHA ZA RAIS KIKWETE ALIPOWAONGOZA WANANCHI KUTOA HESHIMA ZA MWISHO KWA WANAJESHI WALIOFARIKI DARFUL

KIKWETE

Rais Jakaya Kikwete, mkewe Mama Salma, wakitoa heshima za mwisho mbele ya majeneza yenye miili ya Askari wa Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) waliopoteza maisha Jimboni Darfur nchini Sudan Julai 13, 2013 kutokana na shambulizi la

Watch Mkasi TV with Jerry Silaa