Pages

Final call for artists - 31 July deadline! -Sauti za Busara

BUSARA PROMOTIONS
Are you an African musician or group? Applications for local and international artists who want to perform at the 11th edition of Sauti za Busara are open until 31st of July. The festival will be held from 13-16 February 2014. The online application form is on our website HERE or a paper version can be collected at our offices in Maisara, opposite Golf Club, in Zanzibar.
Over the past ten years we have had more than 250 groups perform, in all musical genres, always 110% live.
Note that we receive many applications each year and we take the time to review each application carefully. Please be patient as we review the applications and we will inform applicants as soon as we can after the selection committee meets in early August.
Your application must include the following:
A completed online or paper form including a short biography (max 1000 words).
One or two recent recordings (CD or DVD)
One or two photographs (JPG or paper)
Please send your recordings, photographs and any other material to our office address below:

BUSARA PROMOTIONS PO BOX 3635 STONE TOWN, ZANZIBAR, TANZANIA
Please note we will not accept applications and application materials after 31 July. Make sure we have received your full application (including hard copies of recordings) by that date.
 For more information see www.busaramusic.org/callforartists

Dj Choches/tecdjs -Bongomania 5 (Audio Mixing)

Dj Choches/tecdjs,Bongomania 5, ,Audio Mixing

TMK Wanaume Family - Tunafurahi (Audio)

MJANE ALIYEFUKUZWA KATIKA MSIBA WA MWANAJESHI WA JWTZ AJITOSA TENA KUHUDHURIA MAZISHI

FAMILIA ya Marehemu, Fortunatus Msofe, ambaye ni mmoja wa wapiganaji wa JWTZ, waliofia Darfur, wamemzuia aliyekuwa mchumba wake Amina Juma kushiriki katika mazishi na kumfungia mlango wa nyumba ya marehemu asiingie ndani mara tu baada ya taarifa za kifo cha marehemu kuwafikia.
Hata hivyo Amina amelazimika kwenda Tanga kushiriki shuguli za mazishi ya marehemu pamoja na kwamba familia ya marehemu haitaki kumuona katika msiba huo.
JWTZ
Akizungumza na gazeti moja la kilasiku la kiswahili nchini Tanzania, Amina alisema kwamba ingawa awali alikata tamaa ya kumzika mwenzake, lakini jana aliamua kwenda Tanga kuhudhuria mazishi na kwamba hatua hiyo ilikuja baada ya kujishauri sana.

Baba wa marehemu, Wilbad Msofe aliiambia gazeti hilo kutoka Kange, Tanga kuwa alishangazwa na hatua ya Amina kutowafahamisha kuhusu msiba huo. Alisema hiyo ndiyo sababu za yeye kuamua kutaka mwanawe apelekwe Kange kwa mazishi.

Akizungumza na gazeti hilo akiwa njiani kwenda Kange, Amina alisema: “Nilikuwa ninataka sana kumzika mwenzangu lakini ile hali ilikuwa imenichanganya pamoja na kwamba nilishauriwa, sasa nimekata shauri nakwenda Tanga.

“Najua kuna kitu hapa, lakini ‘Fortu’ kwa kuwa nilikuwa naye, na wana ndugu wa upande wa wake wameshanikana, mimi nitamzika tu mwenzangu na kurudi,” alisisitiza.

Miili ya wapiganaji hao iliagwa jana katika Makao Makuu ya Jeshi, yaliyoko Upanga na Rais Jakaya Kikwete ambaye pia ni Amiri Jeshi Mkuu, Mkuu wa Majeshi, Davis Mwamunyange, makamanda na wanajeshi walishiriki kuwaaga wanajeshi hao.

Akizungumza kwa masikitiko na huku sauti ikiwa imemkauka kutokana na kulia muda mrefu, Amina alisema: “Siwazii mtafaruku uliopo, moyo umenituma kwenda kumzika mume wangu, niliwaza usiku kucha na leo (jana) Jumatatu asubuhi nikaamua kwenda Tanga.”

“Msofe amekufa tulikuwa tuna mipango mingi, tulipanga harusi kubwa lakini haikuwahi kufanyika, niliongea naye alfajiri ya Jumamosi ya Julai 13, akaniambia tutaongea baadaye maana wanakwenda kwenye operesheni...

“Unajua tuliishi maisha ya kipekee sana tulipendana kiukweli hata majirani tuliokuwa tukiishi nao Mbezi na Visiga wanajua hilo na wengi walikuwa wakinisihi sana nisije kumuudhi huyu kijana.

"Nafsi inauma sana. Nawashangaa wazazi wake kwa kunikana"

NGURUMO ANATESEKA NA MARADHI KITANDANI,WENZAKE WADAIWA KUMTENGA

Muhidin Maalim Gurumo.
KILA binadamu hutamani kuwa na mwisho mzuri. Hakuna apendaye kupatwa na misukosuko ya kiafya, awe dhaifu hata kushindwa kutoka ndani angalau akajitafutie riziki.
Waja hupanga na kupangua tu lakini mwamuzi wa leo na kesho ni Mungu aliye juu! Tafakari leo upo vema, una siha njema, tena barabara kabisa. Ikifika nyakati upo ndani huwezi kutoka itakuwaje? Usimcheke anayelia leo, hujui kesho yako itakuwaje.
Muhidin Maalim Gurumo, 72, alipata kuwa mwanaume shupavu sana. Mungu akamjalia kipaji cha muziki, akabarikiwa nyota ya kupendwa. Asimamapo jukwaani basi mashabiki ni hoihoi na raha tupu.
Tangu miaka ya 1960 kama ungethubutu kutamka humjui Gurumo, ungeonekana mshamba mwenye tongotongo nyingi, mjini ungechekwa. Alikuwa staa mkubwa sana wa muziki. Jina lake limebaki juu kuanzia nyakati hizo mpaka sasa.
Ni kamanda hodari, aliyeifanya Bendi ya Msondo ‘Msondo Ngoma’ ipate heshima kubwa mpaka ikaitwa Baba ya Muziki Tanzania. Tungo zake nyingi ni lulu ambayo haitafutika kamwe. Kinachoumiza kwa sasa ni kuona Gurumo hawezi tena kusimama jukwaani.
Hana uwezo wa kutoa burudani iliyozoeleka. Ile sauti yake yenye mawimbi haipatikani tena katika majukwaa ya muziki. Kikubwa kinachotesa moyo ni kwamba Msondo ambayo ni bendi yake, akimiliki hisa za kutosha kama mmoja wa wamiliki, haina msaada wowote kwake.
Mzee analalamika. Msondo hii ndiyo ile aliyoivusha kupitia majina ya Nuta, Juwata,  na Ottu, ikiwa inamilikiwa na Chama cha Wafanyakazi. Hakujua kama mambo yangekuwa hivi leo.
Itambulike kuwa yeye akiwa na wenzake kama marehemu Shaaban Mhoja Kishiwa  maarufu kama ‘TX Moshi William’, Saidi Mabera, marehemu Suleiman Mbwembwe, Othuman Momba, Joseph Maina na wengineo, ndiyo waliounganisha nguvu na kuimiliki, baada ya chama cha wafanyakazi kujiondoa katika uendeshaji wa bendi.
Mzee analia ukata. Maradhi yanamtesa lakini shida za dunia na msongo wa mawazo ambao anao kutokana na kutengwa na wenzake, ni hatari kubwa inayofupisha siku zake za kuishi.
Muhidin Maalim Gurumo.ANAUMWA NINI? ALIANZA KUUMWA LII?
Katika mahojiano na mwandishi wetu, nyumbani kwake, Ubungo Garage, Dar es Salaam, Gurumo anasema: “Ninasumbuliwa na maradhi ya moyo. Nakumbuka  nilianza kuumwa yapata miaka mitatu iliyopita. Kipindi hicho ndipo nilipatwa matatizo ya kushindwa kuimba kwa sauti ya juu.
“Kila nilipojitahidi kuimba kwa sauti ya juu, nilijikuta nikichoka sana. Niliendelea...

JENGO LA OFISI YA MALKIA WA NYUKI MLEZI WA SIMBA LABOMOLEWA

Rahma Al Kharusi, maarufu kama Malkia wa Nyuki.
UTEKELEZAJI wa amri ya Waziri wa Ujenzi na Miundombinu, John Pombe Magufuri, umemuathiri Mlezi wa Simba, Rahma Al Kharusi, maarufu kama Malkia wa Nyuki, baada ya moja ya ofisi zake jijini Dar es Salaam kubomolewa.

Ofisi hiyo ambayo ilikuwa inaendesha shughuli za kampuni ya kuuza mafuta ya RPB Oil inayomilikiwa na Malkia wa Nyuki, imebomolewa.

Bomoabomoa hiyo ya Magufuri imepamba moto katika Barabara ya Old Bagamoyo na majumba kadhaa yamebomolewa kwa kuwa kuna ujenzi wa kuitanua barabara hiyo.

Ofisi ya Malkia wa Nyuki ilikuwa katika ghorofa ya kwanza ya jengo la Green Acres, katikati ya makumbusho na Victoria na imevunjwa.

Ingawa jengo hilo halijavunjwa lote, lakini sehemu ya ofisi ya RPB Oil iliyokuwa upande wa barabarani imebomolewa yote.
Malkia ndiye mwanamama aliyetikisa katika soka mwishoni mwa msimu uliopita baada ya kuilipia Simba zaidi ya Sh milioni 70 kwenda kuweka kambi nchini Oman.

Akalipa tena zaidi ya Sh milioni 50 kumpa kocha Milovan Cirkovic aliyekuwa anaidai Simba bila ya mafanikio. Baada ya hapo, Malkia amekuwa kimya na mashabiki wengi wamekuwa wakihoji kutaka kujua aliko.

Taarifa zinaeleza yuko nchini Oman anakoendelea na biashara zake, lakini ndugu yake mwingine alisema amebanwa na majukumu ya kampuni zake nchini Marekani.
 Na Saleh Ally

MFAHAMU MMILIKI WA HOME SHOPPING CENTRE ALIYEMWAGIWA TINDIKALI

MSHTUKO mkubwa ulijiri Jumamosi iliyopita, ikiwa ni baada ya kusambaa kwa habari za kumwagiwa tindikali, mfanyabiashara mwenye ‘levo’ ya ubilionea, Said Said Mohammed, 42, ambaye ndiye mmiliki na Mkurugenzi Mkuu wa Home Shopping Centre.
Said Mohammed Saad,
 Said ambaye kwa utambulisho mwingine anajulikana kama Said Mohammed Saad, alimwagiwa tindikali Ijumaa iliyopita, saa 2 usiku, lakini habari zake zikavuma Jumamosi, hivyo kuibua taharuki ya aina yake.

Kuhusu nani alimmwagia tindikali hiyo, sababu ya kutendwa unyama huo, yupi mhusika mkuu wa ukatili wenyewe na malengo ya uharamia, kwa jumla, hayo ni maswali yanayoendelea kuitesa familia yake, watu wa karibu pamoja na Jeshi la Polisi Tanzania.

Taarifa za kipolisi zinathibitisha kwamba alimwagiwa tindikali akiwa anazungumza na mfanyakazi wake wa duka lake lililopo kwenye Jengo la Msasani City Mall kisha akakimbizwa Hospitali ya Ami Wellness Centre, iliyopo Masaki, Dar es Salaam kabla ya kupelekwa Afrika Kusini kwa ndege ya kukodi ndani ya kipindi kisichozidi dakika 60.

SAID NI NANI?
Ni Mtanzania mwenye asili ya Bara la Asia. Inadaiwa kwamba ndugu zake wengi wana asili ya nchi za Yemen na Saudi Arabia.


Ndiye mmiliki wa Kampuni ya Home Shopping Center. Kampuni hiyo ina maduka mengi Dar es Salaam na katika mikoa kadhaa ambayo yanahusika zaidi na uuzaji wa vitu vya nyumbani na ofisini.

Anatajwa kuwa tajiri mwenye uwezo zaidi katika jumuiya ya wafanyabiashara wa eneo la Kariakoo, kifedha na ushawishi.
Inadaiwa kwamba wafanyabiashara wengi wenye...

Mahakama Yamruhusu Wilfred Lwakatare Kwenda India Kutibiwa

CHADEMA, Tanzania, Wilfed Lwakatare,
Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, jijini Dar es Salaam, imempa kibali Mkurugenzi wa Ulinzi na Usalama wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Wilfred Lwakatare, akatibiwe nje ya nchi.
Lwakatare ambaye anasumbuliwa na maumivu ya shingo, kwa sasa amelazwa katika Taasisi ya Mifupa katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili (Moi) kwa uangalizi maalumu na kufanya mazoezi, alipata kibali hicho kwa kuwa anakabiliwa na kesi ya kula njama za kumdhuru
Mhariri Mtendaji wa Gazeti la Mwananchi, Dennis Msacky.

Wakili wake, Nyaronyo Kicheere alililiambia gazeti hili nje ya mahakama kuwa Lwakatare anatarajiwa kupelekwa India, lakini akasema tarehe ya kusafirishwa inategemea na kukamilika kwa taratibu za hospitali alikolazwa, na kule anakopelekwa.

Mahakama hiyo ilitoa kibali ili akatibiwe nje ya nchi, baada ya Kicheere, kuiomba mahakama hiyo impe kibali ili akatibiwe nje kama ilivyopendekezwa na madaktari wake.

Akizungumza na gazeti hili, Lwakatare alisema ingawa yupo katika uangalizi maalumu, lakini amefikia uamuzi huo aliosema umekuja baada ya kujadiliana na madaktari wanaomuhudumia.

“Bado nafanya mazoezi, lakini kulingana na hali ilivyo imebidi nikae na madaktari nikashauriana nao nimewaomba niende nje ya nchi nikatibiwe kama itawezekana,”alisema Lwakatare.

Alisema pamoja na maombi hayo pia alikuwa anategemea kupata ruhusa kutoka mahakamani kwa sababu jana ilikuwa tarehe ya kuendelea kutajajwa kwa kesi yake baada ya kuachiwa kwa dhamana.

Alisema madaktari wanajaribu kufanya uchunguzi kwa kuzingatia uzoefu wao wao.

Awali aliwekwa katika Kitengo Maalumu cha Uangalizi wa madaktari na mazoezi kwa muda wa siku nne madaktari walimtaka kufanya mazoezi kwa saa tatu kwa siku ili aweze kupona tatizo hilo kabla kufikia hatua ya upasuaji.

Lwakatare ameomba kwenda kutibiwa nje ya nchi baada ya kukaa muda mrefu hospitalini hapo bila mabadiliko yoyote.

Lwakatare alifika Muhimbili Julai 10 kufuatia maumivu ya shingo ambayo chanzo ni chake ni ajali ambayo iliipata mwaka 2002.

Mbali na maombi ya kibali cha Lwakatare kwenda kutibiwa nje ya nchi, Wakili Nyaronyo pia aliiomba mahakama hiyo imchukulie hatua mshirika wa Lwakatare kwenye kesi hiyo Ludovick Joseph Rwezaura kwa kosa la kuandika makala kwenye mitandao ya kijamii, akilenga kujitetea dhidi ya shtaka linalomkabili na Lwakatare.

Wakili Nyaronyo alililalamikia kitendo cha Ludovick, akidai kuwa si sahihi kujitetea katika jukwaa lingine nje ya mahakama.
Katika mitandao hiyo Ludovick pamoja na kueleza uhusiano wake na watu mbalimbali akiwemo Naibu Katibu Mkuu wa CCM, Mwigulu Nchemba na Lwakatare, pia amekanusha tuhuma mbalimbali kuhusu kesi hiyo.

MWANANCHI

Get to Know Big Guy's Ride na Price Tag ..You Know..!

KANYE WEST
KANYE WEST
 This $750,000 Lamborghini Aventador was recently scratched up, as he tried to get into Kim Kardashian’s property; it was squeezed by the electric gates as he drove through.
LUDACRIS
LUDACRIS
 The $300,000 Ferrari FF is a hatchback, and a very fast one. It’s capable of going from 0 to 60 mph in 3.5 seconds.
50 CENT
50 CENT
 A Lamborghini Murciellago will cost you about $350,000.
NICK MINAJ
NICK MINAJ
 Nicki’s pink Bentley Continental GT costs around $175,000.
WAKA FLOCKA FLAME
Rolls Royce Ghost
 The Rolls Royce Ghost costs around $280,000. It looks classy yet aggressive.

TYGA
TYGA
 Tyga’s Audi R8 is covered in a special Gold paint job. It costs $200,000 even without the paint.
THE GAME
THE GAME
  A new Ferrari F430 costs around $200,000. The Game bought this one in France, covered completely in leather. Very unique.
T.I
T.I
 A new Ferrari 599 costs around $310,000 and has 750 horsepower. This is one of the fastest Ferrari's ever!
DRAKE
DRAKE
 You can get a Bugatti Veyron for about $2.5 million, and that’s without any bells and whistles. Drake “started from the bottom” and now he’s in this car.
 WIZ KHALIFA
 WIZ KHALIFA
This Dodge Challenger SRT8 is Black and Yellow.

TY NITTY "RUFF RYDER" (OFFICIAL VIDEO)