Pages

SURUALI ZA KUBANA KWA MWANAUME ZINA MADHARA

SURUALI ZA KUBANADk Vincent Kafuuza wa Kituo cha Friends Polyclinic & Ambulance Service alisema siyo tu kuhusu suruali za kubana, lakini nguo zozote za kubana siyo nzuri kuwa mavazi ya kila siku.
Alieleza kuwa mwili unahitaji kupumua, hali ambayo hufanyika kupitia kutoka jasho kwenye vinyweleo kwenye ngozi na jasho linatakiwa kukauka lenyewe taratibu.
Dk Kafuuza alisema ikiwa mtu amevaa jinzi ya kubana au .nguo ya ndani ya kubana, jasho litagandana kwenye vinyweleo vya ngozi na wakati mwingine inaweza kusababisha magonjwa ya ngozi kama vile ‘fangasi’, maumivu ya mwili na vipele katika mapaja na sehemu zingine za siri.
“Wanaume ambao wanavaa suruali za kubana wana hatari ya kupunguza kiwango cha mbegu za uzazi.
Na wakati mwingine zinaweza kupungua kwa kiwango kikubwa na kumfanya mwanamume ashindwe kumpa ujauzito mwanamke,” alisema Dk Kafuuza.
Dk Kafuuza alisema suruali za kubana zina kawaida ya kusukuma ndani sehemu zinazotunza mbegu za uzazi za mwanamume, hali inayosababisha matatizo kama vile uvimbe na ngozi kubabuka.
Nguo za ndani za kubana zinazuia kukuwa kwa mbegu za uzazi.

Wakati joto la kawaida la mwili ni sentigredi 37, mfuko wa mbegu za uzazi wa mwanamume unahitaji kiwango cha joto kati ya sentigredi 35.5 na 36 ili kufanya kazi katika hali ya kawaida.
Dk Charles Kiggundu ambaye ni Mshauri wa Hospitali ya Mulago na Chuo Kikuu cha Afya cha Makerere, alisema joto la mbegu za uzazi za mwanamume linaweza kuongezeka ikiwa mfuko unaozishika utafifia ndani ya mwili kwa muda mrefu, kwa mfano kama mwanamume amevaa nguo ya ndani ya kubana.
Kwa mujibu wa Dk Lawrence Kazibwe wa Hospitali ya Mulago, alisema mbegu za uzazi za mwanamume ziko kwenye mfuko maalumu kwa sababu zinahitaji kuwa zimepoa zaidi ya maeneo mengine ya mwili, ili ziwe kwenye mazingira tulivu.
Alisema lengo hilo linaweza kuvurugika iwapo mwanamume atavaa suruali ya kubana ambayo itazifanya mbegu za uzazi zikose mawasiliano ya kawaida na sehemu nyingine ya mwili, ambayo ni kupata joto linalotakiwa.
“Baadhi ya wanaume wanafikiri kusafirisha mbegu za uzazi pekee kwa mwanamke ndiko kunawezesha mwanamke kupata ujauzito, lakini urutubishaji hauwezi kutokea katika sehemu za kikeni,
kwa kuwa mbegu za uzazi lazima zipite kwenye mrija unaotakiwa kukutana na mayai mengine.
Hivyo basi mbegu za uzazi zinahitaji kuwa na nguvu na nyingi ili ziweze kuyafikia mayai ya kikeni na kuwezesha kupata ujauzito,” alifafanua Kiggundu.
Kiggundu alisema; “Hebu fikiria katika hali ambayo mbegu za uzazi ni chache na dhaifu! Hii ina maana hazitaweza kurutubisha mayai ya kike.
Hivyo unaweza kutoa mbegu za uzazi wakati wa tendo la ndoa, lakini hakuna ubebaji mimba utakaofanyika.”
Mbegu za uzazi ambazo ni dhaifu, kama vile zile ambazo hazina mkia, zenye mkia mkubwa, zenye mkia mdogo, zilizopinda kichwani na zile zenye mikia miwili, haziwezi kupenye kwenye mrija wa kwenda kwenye mayai ya uzazi ya kike.
Imeandikwa na Noor Shija kwa msaada wa mtandao.

GET TO KNOW MASOUD wa KIPANYA

His name is Ali Masoud but his cartoon fans knows him as Masoud, that's the name that has been appearing on his cartoons for almost Seventeen years now and others like me knows him as Masoud Kipanya.His birthday is on 23rd of JUNE During his childhood especially when he was in primary school he was funny.Apart from drawing, Masoud used to write funny news bulletins and read them to his friends @ school..Yebooo
When he was in standard one at Kijitonyama Primary School he used to go to school with his brother's drawings and pretended that they were done by him. When he reached standard two he decided to stop telling lies, he tried to sketch and the results were amazing. From that moment sky was the only limit for him. He developed his talent by mainly concentrating on portraits and he drew almost all the photos that came his way, and he was good…..

His first illustration appeared in the Heko magazine in 1988 and by the beginning of 1989 the magazine was turned into weekly newspaper and the owner asked him if he could draw cartoons especially caricatures of politicians, with his background as a portrait artist that was not an issue and that was when the President Ali Hassan Mwinyi and his cabinet begun to feel the stroke of Masoud's pen.
While with Heko Publishers Masoud got a chance to publish his 32 pages comic book titled ‘Heka Heka za Kalunde Mombasa, a story which was depicting the life of young man who was seeking the greener pasture by stowaway, he illegally boarded the ship in the Dar es salaam Port and found himself in Mombasa where he went through a lot of hardships.
Masoud went on working for different newspapers including Baraza, Business Times, BBC Focus on Africa and kept on doing portraits and paintings while participating in art exhibitions. In 1994 he joined the first independent Tanzanian daily paper, Majira as an editorial cartoonist. While working for Majira he was also appointed to head the weekly cartoon newspaper, Sanifu which was another sharp needle for politicians.

He got married to Sarah in 1999 and in the same year he decided to broaden the spectrum of his art activities by joining the Clouds Entertainment as a radio presenter where he begun with the children's program. In 2000 Masoud and Sarah got a baby boy who was named after Malcolm X, unfortunately things didn't turn according to their plan and they divorced in November 2002.Masoud is an artist who believes in living life as it comes, as the flow forces its way through, he easily goes along with it. He believes that when one feels like screaming then nothing should stop that person from screaming. To him happiness is always created by the person himself thus nobody in this world should complain that this or that person makes him happy or unhappy. Masoud believes in going to an extra mile just to be happy for he only lives once.
He consequently acknowledges the fact that being an artist costs him and he stresses this by saying “Artists tend to want to have their own world where they could live and do things as they wish. They have their way of looking at things, not a normal way. They apply art in every thing and every step of their life to the extent of becoming nuisance to those around them. They are easily identified as the most selfish people the world has ever seen though in realistic they are not.”

Masoud discloses that those who fall in love with artists may agree with him for in most cases they end up being disappointed simply because they don't understand them. It is very difficult to live with an artist. They never reach a conclusion as a normal person does and this can be seen when they work, it is only the deadlines that make them stop doing what they do, they are never satisfied with the strokes of their brushes or pens, given time they can spend time putting the unthinkable and impossible details on their drawings and funny enough they do the same to their daily lives.
On the issue of not easily being satisfied as an artist which others regard it as being perfectionist, Masoud recalls one incident when he was designing a logo for his clothing line, “to date, I have done about twenty drawings and I'm still not happy about the way they look, surprisingly, people love each of them, I'm confused but I guess I just have to learn how to agree with me, myself and I.
I personally can not call this state as ‘being perfectionist' to me it's just a state of not wanting to irritate the eye of the person who will be watching what I have done. It has got nothing to do with being perfectionist.
Throughout his life as an artist Masoud has been around the world attending symposiums, exhibitions and other art activities and he has won several awards and prizes in art competitions. As a human being, Masoud is ambitious. his ambitions are, to become the president of the United Republic of Tanzania, to own a significant number of outlets worldwide that will be selling his cloths (he owns a clothing line ‘KP' which is a contraction of the word Kipanya) and to have a syndicate that will be selling his animation cartoons worldwide. To him it doesn't matter which comes first though it seems like clothing line is getting all the attention as a top priority. His own philosophy is ‘God gave us tomorrow to rectify our yesterday's mistakes'

SHORT STORY ya PREZZO MWANAMUZIKI WA KENYA.

CMB Prezzo.

CMB Prezzo.
JACKSON Ngechu Makini ‘CMB Prezzo’ alizaliwa siku ya Jumatano ya Januari 09, mwaka 1980. Ni rapa lejendari wa Kenya ambaye alikuwa mmoja wa mastaa waliowakilisha nchi zao katika Shindano ya Big Brother Africa ‘StarGame’, 2012.

Kama ulikuwa hujui, jamaa alizaliwa katika Jiji la Nairobi miaka 33 iliyopita, alikulia maisha ya kitaani eneo la Eastleigh na atakuwa mmoja wa wanamuziki wakali watakaoshusha bonge la burudani katika Tamasha la Matumani 2013 litakolofunga mitaa ya Jiji la Dar na viunga vyake kwenye Uwanja wa Taifa, Julai 7, mwaka huu.

Prezzo ni mwanamuziki mkubwa ambaye alianza ‘kuhaso’ katika muziki miaka mingi, alikuja kuwika kwenye miaka ya mwanzoni mwa karne ya 21.

Pamoja na kukumbana na vipingamizi vingi, nyota ilikuja kung’aa baada ya nyimbo zake kukubalika kwa maelfu ya mashabiki wake waliokuwa wakizisikiliza, kuziomba kwenye stesheni mbalimbali za redio na runinga huku wakihudhuria katika matamasha yake ya wazi na klabu.


Albam yake ya kwanza ni Naleta Action aliyoiachia mwaka 2004 ikiwa na ngoma zilizoshika kama Naleta Action, Lets Get Down, Mahangaiko, Leo ni Leo, Mimi na Wewe, Mafans na nyingine zilizobamba.
Katika albam hiyo, jamaa alimshirikisha mama yake ambaye aliimba mistari kadhaa katika moja ya nyimbo zake.

Albam hiyo iliuza nakala nyingi na kumfanya Prezzo kuamini kuwa alishakubali Afrika Mashariki kutokana na aina ya ngoma zake zenye hisia.
Prezzo anajulikana kutokana na aina ya maisha ya gharama anayopendelea kama kuvaa mikufu ya bei ghali, nguo, magari ya vitu vingine vya kitajiri.

Baadaye mtu mzima Prezzo alishirikishwa kwenye ngoma ya Tazama Mbele ya aliyewahi kuwa mpenzi wake wa kipindi hicho iliyotengenezwa na Ennovator wa Samawati Productions huku video yake ikisimamiwa na Ted Josiah. Ngoma hiyo ilifanya vizuri kwa kushika namba moja kwa wiki nane katika stesheni mbalimbali za redio na runinga Afrika Mashariki.

Mwaka 2006, Prezzo aliachia singo mpya ya P.R.E.Z.Z.O ambapo video yake ilisimamiwa na Ted Josiah wa Blu Zebra. Video ilikuwa kali lakini ilikutana na maneno mengi ikidaiwa ilitengenezwa kwa gharama kubwa sana ya Sh. 500,000 za Kenya. Hakukuwa na video iliyokuwa imetumia kiasi hicho cha fedha kwa wakati huo.

Ulipita ukimya kidogo, akiendelea kugonga shoo za ndani na nje ya Afrika Mashariki, Nigeria na Ulaya. Baadaye aliendelea na mtindo wa kuachia singo mojamoja kama Liqher, My City My Town, Unataka Nini, 4sho 4shizzy aliyomshirikisha Ulopa, Nipe Nikupe aliofanya na AY na Celebration of Life aliyoachia hivi karibuni akimshirikisha Chess.

BIG BROTHER AFRICA ‘STARGAME’ 2012
Prezzo aliingia kwenye kinyang’anyiro cha BBA ‘StarGame’ 2012 baada ya kuona ni kitu kitakachompa changamoto nyingi kwenye maisha.
Mbali na kutamani mkwanja, alitaka kuonekana kwenye runinga kubwa za Afrika kwa saa 24, na siku saba kwa kuwa ni mtu anayependa kuonekana kuwa yupo ‘attention.
Anasema anapenda kuangalia runinga na sinema kama Scarface na watu anaowazimia katika tasnia hiyo ni Al Pacino na Mos Def wa mtoni. Anakula chochote isipokuwa kitimoto. Kitabu anachokipenda ni 48 Laws of Power.

ANATAKA KUWA KAMA OBAMA
Sehemu anayoipenda Kenya ni Nairobi na haijalishi ni Kaskazini au Kusini ilimradi tu nyumbani ni nyumbani. Anatamani awe kama Rais Barack Obama wa Marekani kwa sababu anajiamini mwenyewe na anaweza kufanya kilichoshindikana kikawezekana kutokana na ushawishi alionao.

MAISHA YA MAPENZI
Katika masuala ya kimapenzi CMB Prezzo amekuwa gumzo kwa kipindi chote cha ustaa wake na mengi yamekuwa yakisemwa.

PREZZO NA SHEILA
Tukiacha huko nyuma akiwa mtoto wa vitoto, Prezzo aliwahi kugeuka gumzo baada ya kutoka na msichana mrembo wa Kenya, Sheila Mwanyigha ‘Nikki’.

Ni kweli wawili hao walidumu kwa muda mrefu huku wakitoka ‘out’ na kwenye shughuli mbalimbali wakitumia msafara wa magari ya gharama kama Limousine, yaani kama rais. Kuna wakati ilielezwa kuwa ndiye msanii wa kwanza kutumia helikopta Afrika Mashariki huku baadhi wakisema kuwa ilikuwa ya mama yake.

Pamoja na kudumu na Nikki kwa muda mrefu, ghafla ulipita ukimya huku kukiibuka madai kuwa alioa kimyakimya.

Hata hivyo, alipotangazwa kwenda BBA, kuliibuka habari kuwa ana mwanamke mwingine aliyetajwa kwa jina la Huddah Monroe ‘The Lady Boss’ ambaye aliiwakilisha Kenya BBA mwaka huu kabla ya kutolewa wiki ya kwanza.

PREZZO NA GOLDIE
Akiwa mjengoni BBA, Prezzo alidaiwa kuwa na uhusiano wa kimapenzi na Mshiriki wa Nigeria, Mwanamuziki Goldie aliyekutwa na umauti siku chache baada ya kumalizika kwa shindano hilo huku kukiwa na taarifa kuwa wawili hao walipanga kufunga ndoa ‘soo’.


PREZZO, DIVA NA THE LADY BOSI
Siku chache baada ya Goldie kufariki dunia, Prezzo alitimba Bongo kwa sababu ni rafiki mkubwa wa akina Ambwene Yessayah ‘AY’ ndipo kukaibuka madai kuwa alinasa kwenye penzi la Loveness Malinzi ‘Diva’ wa Clouds FM.

Kukawa na maneno mengi, Diva akapata ‘kick’ kwenye vyombo vya habari Afrika Mashariki na kwingineko.

Wakati hayo yakiendelea, hivi karibuni kuliibuka ‘drama’ nyingine. Safari hii The Lady Boss aliibuka na kudai kuwa Diva amemnyang’anya tonge mdomoni hivyo kuthibitisha kuwa pamoja na ukongwe, Prezzo naye ni sukari ya warembo!.
Makala: Sifael Paul
GPS

Godzillah ft. Walter - Thanks God (Audio)

Godzillah ft. Walter - Thanks God


Bob Haisa -Amechoka Wakukaya (Audio)

Bob Haisa-Amechoka Wakukaya

Dynamo Bus Levitation Explained..!

Dynamo bus levitation revealed. If you don't want to know how he did it, don't watch.

Dynamo 'levitates' on the side of a London double decker bus. Watch how he did it..

Flo Rida’s GOLD PLATED Bugatti Veyron

 Gold chrome-wrapped Bugatti
If you thought flossing and stunting were two unrelated words, one meaning to clean one’s teeth with a string, while the other referring to jumping through a window made of sugar, the English language slang says no!
Flossing and stunting is what “ballers and gangsters” do, and it basically means to show off one's opulent material possessions, and really make sure everybody has seen you, so that you make insecure less financially fortunate people feel uneasy.
 Bugatti Veyron,
Musician Flo Rida can now be added to that category with ease, and while his previous rides were always head turning (and not necessarily in a positive way, may I add), his most recently acquired vehicle beats them all. It’s a gold chrome-wrapped Bugatti Veyron, which stands out, a lot, like you can’t not look at it when it passes by, in all its flossin’ glory.
The Ride cost a whooping $1.7m.




Bugatti Veyron,

ILE ya MWANAUME PESA, UHENDSAM MBWEMBWE HI HAPA, ASIKWAMBIE MTU

MWANAUME PESA,

Hardname -Stress (Audio)

Hardname -Stress

Stamina ft Rich Mavoko - Jamvi la Wageni (Audio)

Stamina ft Rich Mavoko - Jamvi la Wageni