Pages

CHATU MLAFI ASHINDWA KUTEMBEA BAADA YA KUMEZA MBUZI.

 CHATUNYOKA aina ya chatu akiwa ameshindwa kutembea baada ya kumeza mbuzi ambapo desturi ya nyoka huyo pindi anapomeza mnyama mkubwa huwa na kawaida ya kukaa eneo hilo la tukio kwa zaidi ya wiki moja na kuendelea mpaka mnyama huyo aliyemmeza aanze kuyeyuka katika tumbo lake, huyo ndiye chatu. CHATU

BARACK OBAMA RAIS WA TANZANIA, YaleYaleee..!

 BARACK OBAMA RAIS WA TANZANIA
Moja ya kituo cha luninga kikiwa kimeandika kuwa Rais wa Mareni Barack Obama ni Rais wa Tanzania, kosa hilo lilifanyika wakati Obama akiongea na waandishi wa habari Ikulu jijini Dar es salaam (Tazama picha kwa umakini hapo juu) baada ya kuwasili nchini kitokea Afrika ya Kussini katika ziara ya nchi tatu za afrika ikiwemo Senegal, Afrika ya Kusini na Tanzania ambapo leo amejerea nchini Marekani.

OBAMA AMFUNIKA KIKWETE ktk Soka Danadana Agalia Picha

OBAMA AMFUNIKA KIKWETE 
Rais Kikwete akimwangalia Obama wakati akipiga mpira danadana.UBUNGO OBAMA akionyesha uwezo wa kumiliki mpira kwa kupiga kichwa bila kutua chini wakati alipotembelea mit
ambo ya kuvua umeme Ubungo jijini Dar es salaam muda mfupi kabla ya kuondoka nchini. Rais Kikwete  
Hapa akipiga danadana huku akishuhudiwa na Rais wa Tanzania Jakaya Kikwete

TANZANIAN TRADITIONAL NGOMA TREAT FOR BARACK & MICHELLE OBAMA IN DAR ES SALAAM (Video)

Mizengo Pinda Amsindikiza Mfalme Mswati wa Swaziland Baada ya Kufungua Maonyesho ya Biashara ya Kimataifa Kwenye Uwanja wa Mwalimu Nyerere Julai 1


Mfalme Mswati wa Swaziland akisindikizwa na Waziri Mkuu, Mizengo Pinda wakati alipoondoka kwenye uwanja wa ndege wa Mwalimu Julius Nyerere jijini Dar es salaam kurejea nyumbani baada ya kufungua maonyesho ya Biashara ya Kimataifa kwenye uwanja wa Mwalimu Nyerere Julai 1,2013.

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akiagana na mfalme Mswati wa Swaziland
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akiagana na mfalme Mswati wa Swaziland ambaye aliondoka nchini baada ya kufungua maonyesho ya Kiataifa ya Biashara kwenye uwanja wa Mwalimu Julius Nyerere jijini Dar es salaam Julai 1, 2013. Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu

Rais Wa Marekani Barack Obama na Rais Kikwete Watembelea Mradi wa Umeme wa Symbion Ubungo Jijini Dar es Salaam

 Obama wa Marekani na Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete
Rais Barrack Obama wa Marekani na Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete wakizungumza na watendaji wa kuu wa sekta ya umeme nchini.Kushoto ni Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati na Madini Mr.Maswi,mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam Sadik Meck Sadik na watatu kushoto ni Waziri wa Nishati na Madini Profesa Sospeter Muhongo wakati kiongozi huyo wa Marekani alipotembelea mradi wa kuzalisha umeme unaofanywa na kampuni ya Symbion power ya Marekani huko Ubungo jijini Dar es Salaam leo
Mradi wa Umeme wa Symbion Ubungo
Mradi wa Umeme wa Symbion Ubungo
Mradi wa Umeme wa Symbion Ubungo
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete pamoja na mwenyeji wake Rais Barrack Obama wa Marekani wakipata maelezo juu ya kituo cha uzalishaji wa Umeme Ubungo kinachoendeshwa na kampuni ya symbion power wakati viongozi hao walipofanya ziara katika kituo hicho leo asubuhi.Watatu kushoto ni Mkurugenzi mkuu wa Kampuni ya Symbion Power Bwana Paul Hinks.
Picha na IKULU

Iyanla to DMX: "Do You Want to Live Your Life as a Clean Man?" - Iyanla Fix My Life - OWN (Video)

USIOMBE IKUKUTE

USIOMBE

NAFASI MPYA ZA KAZI TANZANIA MPAKA JULAI 25

SENIOR LECTURER / LECTURER
Qualifications: PhD in Hydrology,
Hydraulics,Computational Fluid Mechanics/Dynamics/Hydrological Modeling Water Resources/Soil
Apply: Deputy Vice Chancellor -
Palanning, Finance and
Administration
The Nelson Mandela African Institute of Science and Technology
Box 447 , Arusha
Details: Mwananchi , 28 june 2013
Deadline: July 14, 2013

PROFESSOR/ASSOCIATE PROFESSOR
Qualifications: PhD and Master’s in Hydraulics,Computational Fluid Mechanics/Dynamics/Hydrological Modeling /Water Resources/Soil
Apply: Deputy Vice Chancellor -
Palanning, Finance and
Administration
The Nelson Mandela African Institute of Science and Technology
Box 447 , Arusha
Details: Mwananchi , 28 june 2013
Deadline: July 14, 2013

PROFESSOR/ASSOCIATE PROFESSOR / SENIOR LECTURER/LECTURER/ ASSISTANT LECTURER
Qualifications: PhD and Master’s in Biostastics,Master’s in Biostastics
Apply: Deputy Vice Chancellor -
Palanning, Finance and
Administration
The Nelson Mandela African Institute of Science and Technology
Box 447 , Arusha
Details: Mwananchi ,
28 june 2013
Deadline: July 14, 2013

PROFESSOR/ASSOCIATE PROFESSOR / SENIOR LECTURER/LECTURER/ ASSISTANT LECTURER- 2 POSTS
Qualifications: PhD and Master’s in Conservation Biology,Analytical Organic Chemistry,Master’s in Conservation Biology/Analytical
Apply: Deputy Vice Chancellor -
Palanning, Finance and
Administration
The Nelson Mandela African Institute of Science and Technology
Box 447 , Arusha
Details: Mwananchi ,
28 june 2013
Deadline: July 14, 2013

PROFESSOR/ASSOCIATE PROFESSOR / SENIOR LECTURER
Qualifications: PhD and Master’s in food Chemistry,first degree in Chemistry of Food Sciences
Apply: Deputy Vice Chancellor -
Palanning, Finance and
Administration
The Nelson Mandela African Institute of Science and Technology
Box 447 , Arusha
Details: Mwananchi ,
28 june 2013
Deadline: July 14, 2013

PROFESSOR/ASSOCIATE PROFESSOR /SENIOR LECTURER/LECTURER - 2 POSITIONS
Qualifications: PhD and Master’s Plant Biotechnology with knowledge in Molecular Biology and Biotic/Abiotic stress Biology,first degree in Agriculture mandatory
Apply: Deputy Vice Chancellor -
Palanning, Finance and
Administration
The Nelson Mandela African Institute of Science and Technology
Box 447 , Arusha
Details: Mwananchi , 28 june 2013
Deadline: July 14, 2013

ASSOCIATE PROFESSOR / SENIOR LECTURER/LECTURER
Qualifications: PhD and Master’s Public Health or Epidemiology first degree in Medicine mandatory
Apply: Deputy Vice Chancellor -
Palanning, Finance and
Administration
The Nelson Mandela African Institute of Science and Technology
Box 447 , Arusha
Details: Mwananchi , 28 june 2013
Deadline: July 14, 2013

ASSOCIATE PROFESSOR / SENIOR LECTURER/LECTURER- 2 POSITIONS Qualifications: PhD,Master’s and Bachelor’s in Bioengineering/Chemical Engineering/Life Sciences with experience in potent Chemistry/Drug Design and or Vaccine Discovery
Apply: Deputy Vice Chancellor -
Palanning, Finance and
Administration
The Nelson Mandela African Institute of Science and Technology
Box 447 , Arusha
Details: Mwananchi , 28 june 2013
Deadline: July 14, 2013

PROFESSOR/ASSOCIATE PROFESSOR /SENIOR LECTURER
Qualifications: PhD holders with Master’s in Bioinformatics and Bachelor’s in Biology or Computer Sciences
Apply: Deputy Vice Chancellor -
Palanning, Finance and
Administration
The Nelson Mandela African Institute of Science and Technology
Box 447 , Arusha
Details: Mwananchi ,
28 june 2013
Deadline: July 14, 2013

PROJECT FINANCIAL CONTROLLER AND INVESTMENT MANAGER
Qualifications: A holder of Master’s degree in Finace,Economics,Business Administration or any related field
Apply: Managing Director
Develoipment House
Box 2669 , Dar es Salaam
Details: Daily News ,
26 june 2013
Deadline: July 15, 2013

HEAD OF PUBLIC PRIVATE PARTINERSHIP DEVELOPMENT
Qualifications: A holder of Master’s degree in Entrepreneurship,Economics,Marketing,Business Administration or equivalent
Apply: Managing Director
Develoipment House
Box 2669 , Dar es Salaam
Details: Daily News , 26 june 2013
Deadline: July 15, 2013

PRINCIPAL PROJECT OFFICER
Qualifications: A holder of Bachelor’s degree in Agriculture, Agricultural Economics,Economic
Planning, Agricultural Engineering,
or any related field
Apply: Managing Director
Develoipment House
Box 2669 , Dar es Salaam
Details: Daily News ,
26 june 2013
Deadline: July 15, 2013

ASSISTANT LECTURER
Qualifications: Holder of a Master’s degree with an avaerage of B or higher in a specialized functional area.in addition the candidate must have a minimum GPA of 3.5 in first degree and assessed as potentially good academically
Apply: The Deputy Vice Chancellor (Administration and Finance)
Box 1, Mzumbe University
Details: Daily News ,
26 june 2013
Deadline: July 25, 2013

TUTORIAL ASSISTANT
Qualifications: Holder of a first degree from recognised institutions with a GPA of 3.5 and above
Apply: The Deputy Vice Chancellor (Administration and Finance)
Box 1, Mzumbe University
Details: Daily News ,
26 june 2013
Deadline: July 25, 2013

ASSISTANT LECTURER
Qualifications: Holder of a Master’s degree in a specialized functional area, in addition the candidate must have a minimum GPA of 3.5 in first degree and assessed as potentially good academically
Apply: The Deputy Vice Chancellor (Administration and Finance)
Box 1, Mzumbe University
Details: Daily News ,
26 june 2013
Deadline: July 25, 2013

LOGISTICS COORDINATORS - MWANZA
Qualifications: Degree in Pharmacy,Public Health,Supply Chain Management or related field
Apply:Permanent Secretary, Ministry of Health and Social Welfare
Box 9083 , Dar es Salaam
Details: Daily News,
17 June 2013
Deadline: July 2, 2013

LECTURER
Qualifications: Holder of a good PhD degree in a specialized functional area
Apply: The Deputy Vice Chancellor (Administration and Finance)
Box 1, Mzumbe University
Details: Daily News ,
26 june 2013
Deadline: July 25, 2013

Maujanja Saplayaz ft. Mo Plus, G-Nako & JCB – Kipande Na Wana (Audio)

Maujanja Saplayaz ft. Mo Plus, G-Nako & JCB – Kipande Na Wana