Kutokana na ujio wa rais Obama nchini pamoja na viongozi wengine wa kimataifa,ITV imezunguka katika maeneo mbalimbali ya jiji la Dar Es Salaam na kushuhudia zoezi la kuwaondoa wafanyabishara wadogodogo likiendelea chini ya usimamizi wa jeshi la polisi ikiwemo eneo la Ubungo ambapo rais Obama anatarajiwa kufanya ziara yake ya pili katika mtambo wa umeme wa Symbion power.
Mbunge ‘Sugu’ afikishwa Mahakamani na Kushinda Kesi ya Kumuita Waziri Mkuu ‘Mpumbavu’
Na Mjengwa
President Kikwete talks about U.S President Obama Visit to Tanzania
Tanzania High Commission in association with Urban Pulse Creative Media & Freddy Macha presents a short video interview of the Tanzanian President H.E Jakaya Kikwete talking about U.S President Barack Obama visit to Tanzania plus relationship between Tanzania and other developed countries e.g. China, German, US, Britain e.t.c.
MREMBO MWINGINE AMEKAMATWA NA MADAWA YA KULEVYA YENYE THAMANI YA MILIONI 170.
Pretty saadah
Siku ya graduu yake mwaka jana apooo
A BUSINESSWOMAN, Saada Kilongo (26), appeared before the Kisutu Resident Magistrate's Court in Dar es Salaam yesterday charged with trafficking narcotic drugs worth more than 170m/-.
Before Senior Resident Magistrate Nyigulila Mwasebo, the accused was not allowed to enter any plea to the charge. She was remanded until July 10, this year, when the case will be mentioned.
Na Juma Mtanda
Tamasha la Tigo Mini Kabaang Kufanyika Jijini Mwanza
Msanii wa bongo flava Diamond Platnumz akizungumza na waandishi wa habari(hawapo pichani) kuhusu tamasha kubwa la Tigo Mini Kabaang litalofanyika mjini Mwanza siku ya Jumapili pembeni yake meneja chapa ya TigoTanzania Bw. William Mpinga.
Msanii Madee akizungumza na waandishi wa habari(hawapo pichani) kuhusu tamasha kubwa la Tigo Mini Kabaang litalofanyika mjini Mwanza siku ya jumapili pembeni yake meneja chapa ya TigoTanzania bw.William Mpinga na Diamond Platinumz.
Msanii Bora wa mwaka Diamond Platinumz, Fid Q na wasanii wengine sita wanatarijiwa kupagawisha mashabiki zaidi ya elfu sitini katika tamasha la Tigo Mini Kabaang litakayofanyika jijini Mwanza (Rock city) Jumapili hii ya Juni 30.
Akizungumza na waandishi wa habari kuhusu tamasha hilo, Meneja wa Chapa wa Tigo Bw. William Mpinga alisema kwamba lengo la tamasha hilo ni kujenga mahusiano ya karibu na wateja wao kwa kutumia sanaa ya muziki kama njia ya kutangaza huduma za Tigo na bidhaa zake za vifurushi kwa wateja wengi zaidi.
“Tunaamini kwamba tamasha hili litajenga mazingira mazuri yakufanya kampuni na wateja wetu kuelewana zaidi. Mwisho wa siku tunatarajia wateja wetu kujumuika nasi, kupata burudani yakutosha na kuelimishwa zaidi kuhusu huduma zetu mbali mbali zenye ubora na unafuu kama Mini Kabaang,” alisema Mpinga.
Mini Kabaang inatoa muda wa maongezi wa dakika 20 za bure, 50MB ya kifurushi cha intaneti, pamoja na ujumbe mfupi 100 kwa shilingi 475 tu kwa siku.
Mkutano huo wa waandishi wa habari pia ulihudhuriwa na wasanii wakubwa kama Madee wa Tip Top, Ney wa Mitego, Roma Mkatoliki, Richi Mavoko, Recho, Kazi Kwanza, Diamond Platnumz na Fid Q, ambao ndio wasanii wa Bongo Fleva watakaopamba siku hiyo ya Jumapili katika viwanja vya CCM Kirumba kuanzia saa 4 asubuhi mpaka saa 12 jioni.
“Mimi pamoja na wasanii wenzangu tunayo furaha kubwa kushiriki katika tamasha la Tigo Mini Kabaang litakalofanyika jijini Mwanza, hakika watu wa Rock city ni washabiki wakubwa wa muziki wetu, na tunatarajia kwenda kuwapa burudani ya kutosha,” alieleza Diamond Platnumz alipoulizwa kuhusu tamasha hilo.
“Binafsi nina furaha yakipekee kufanya tamasha langu la kwanza la wazi jijini Mwanza. Naamini hao mashabiki elfu sitini na zaidi wataonyesha mapenzi ya dhati kwa muziki wangu. Ninahamu sana ya kufika na kufanya tamasha hii,” aliongeza super staa huyo.
“Tamasha hili la Tigo Mwanza Mini Kabaang pia litawapa fursa mashabiki kujishindia zawadi mbali mbali kama vile simu, vocha, fulana za nembo ya Tigo na nyingine nyingi. Hakutakuwa na kiingilio siku hiyo, tunapenda kuwakaribisha kila mteja wa Tigo na mshabiki wa bongo fleva kujumuika na kushiriki nasi,” aliongezea Mpinga.
“MINI KABAANG” ni kifurushi cha siku ambacho mteja akijiunga anapata dakika 20 za muda wa maongezi ambazo anaweza kuzitumia kupiga simu kwenda mtandao wowote ule, pia anapata kifurushi cha 50MB ya intaneti na kuweza kutuma ujumbe mfupi 100 kwa mtandao wowote. Kutumia kifurushi hiki mteja anabidi apige namba *148*01#. Huduma hii inapatikana kwa wateja wote wa Tigo kwa gharama nafuu ya shilingi 475 tu kwa siku.
Tamasha za Mini Kabaang ni mfululizo wa maonyesho ya muziki yanayoandaliwa na Tigo, yamekwisha fanyika Morogoro, Moshi na sasa Mwanza. Mikoa mengine itakayofuata ni Mbeya, Dodoma na mikoa mingine.
MUONEKANO MPYA WA BANDARI YA ZANZIBAR kwa Picha Zaidi

Hii ni hatua nzuri ya maendeleo kwa nchi nzima....ukiangalia kwa umakini picha hizi kwa ghafla unaweza usiamini kama ni zanzibar labda baadhi ya muonekano wa juu utagundua ndio kisiwani zanzibar...Maendeleo yaliyokuwepo kwenye bandari hii ni makubwa sana
ukilinganisha na Bandari ya zamaniilivyokuwa inaonekana lakini kwa sasa ni kitu kingine,ukifika bandarini hapo unaweza ukasahaukama upo kisiwani hapo...!Ni maendeleo makubwa kabisa kwa kisiwani zanzibar na ni
mfano wa kuigwa kokote pale kwahatua waliyopiga....Zifuatazo Ni Picha za muonekano huo mpya wa Bandari ya kisiwani zanzibar....!!
Inasemekana Mmiliki wa Azam Ndugu Bakhresa ndio aliedhamini
mchakato mzima wa kutengenezwa kwa bandari hiyo...!!
PONGEZI KUBWA KWA ZANZIBAR




Muonekano kwa usiku kwenye geti la kutokea bandarini hapo...!!



Sehemu ya ndani kwenye mapokezi....!!










Matangazo Msimu wa SabaSaba. Wahi Mapema, Nafasi ni Yako Kabla Haijachukuliwa!!
Kwa wadau wetu
walio na matangazo ya aina yoyote na ukubwa wa saiz yoyote ikiwa ni
pamoja kama unakodisha au unauza Shamba, Nyumba, Gari, Duka, Saluni,
Ofisi,Kiwanda, Kampuni na Kadhalika.
Pia ni fursa kwako kua Sponsor wetu
kwa matangazo ya muda mrefu.
Kumbuka mtandao wetu ni maarufu
unatembelewa na watu wote ulimwenguni kutokana na mfumo wetu wa
usambazaji wa habari ktk tovuti zetu nyingine pia mitandao ya kijamii.
..Hii ni nafasi yako. Wahi sasa..!! Bei ni nafuu sana.
Kwa maelewano
usisite kutuandikia Barua pepe kupitia darslam@rocketmail.com
Pia tunapokea habari mbalimbali buree.
Bila kusahau Blog yako ya Taifa ..Bongo Blogs - Blog za Bongo
Bila kusahau Blog yako ya Taifa ..Bongo Blogs - Blog za Bongo
Inakupa fursa husika.
Kazi ni kwako...!
Why is Tanzania Such a Great Safari Destination?

-Superb wildlife viewing in top-class parks. Two are Unesco World Heritage Sites.
-The annual great migration where over 2.5 million wildebeest and zebra migrate from Serengeti National -Park in Tanzania to Masai Mara National Reserve in Kenya.
-Authentic African wilderness with unfenced parks, dirt roads and endless plains.
-A wide range of budget, mid-range and luxury safari options.
-Beach holiday extensions on Zanzibar Island, including kite-surfing.
-Best chimp tracking of Africa in Gombe- and Mahale Mountains National Park.
-Extend your safari holiday by climbing Africa’s highest mountain; Mount Kilimanjaro.
-Direct flights from abroad make the northern and southern safari circuits easily accessible.
-Politically stable and generally safe country.
Subscribe to:
Posts (Atom)