Pages

Bibi Bomba 2013. Hizi Hapa Picha!

Bibi Bomba 2013
Mmoja wa washiriki wa shindano la Bibi Bomba awamu ya pili Bi.Anna Nicholaus akikabidhiwa fulana yenye jina lake na mmoja wa Waratibu wa shindano hilo,AJ Jonathan,wakati wa utambulisho rasmi wa washiriki hao mapema jana jioni mbele ya Wanahabari (hawapo pichani),uliofanyika kwenye ukumbi wa alliance française,jijini Dar.Aidha pia washiriki hao wapatao ishirini walipata nafasi ya kusaini mikataba yao na pia kuelezwa utaratibu mzima wa mchakato wa Bibi Bomba 2013. 
Bibi Bomba 2013
Bi.Anna Nicholaus akivalishwa fulana yake ya ushiriki kutoka kwa mmoja wa waratibu wa shindano hilo lenye msisimko mkubwa,Asmah Makau. 
Anna Nicholaus
Mshiriki mwingine wa shindano la Bibi Bomba.Bi.Tabitha Tungaraja akishukuru Mungu mara baada ya jina lake kutajwa na kuingia kwenye ushiriki wa shindano hilo,mbele ya baadhi ya waratibu wa shindano zima 
Tabitha Tungaraja
Pichani wa pili kushoto ni Meneja wa Clouds TV ambao ndio warushaji wa shindano la Bibi Bomba season 2,Bwa.Lee Ndayisaba akifafanua jambo mbele ya washiriki wa shindano hilo na wanahabari (hawapo pichani) kuhusiana uendeshaji na mchakato mzima wa shindano hilo ambalo limekuwa na msisimko mkubwa kwa watazamaji.Shoto ni mmoja wa waratibu wa shindano hilo Babuu wa Kitaa (Clouds TV),tatu shoto ni wawakilishi wa shirika la USAID,Bi.Naomi Kaspar pamoja na Dkt.May Bukuku, ambao wametoa mchango mkubwa kufanikisha maandalizi ya shindano hilo. 
 USAID,Bi.Naomi Kaspar pamoja na Dkt.May Bukuku,
Baadhi ya washiriki wa shindano la Bibi Bomba awamu ya pili 2013 wakiwa ndani ya ukumbi wa alliance française wakisiliza mchakato mzima wa utaratibu wa shindano hilo. 
Leaders Club,
Shindano hilo lilianza mchakato wake wa usaili katika viwanja vya Leaders Club, ambapo Mabibi zaidi ya 60 walijitokeza aidha kati yao waliingia katika mchujo wa awali na kupatikana Mabibi 20 ambao wameendelea kupigiwa kura hadi hii leo.

Shindano la Bibi Bomba season 2 limezinduliwa rasmi hapo jana katika ukumbi wa Alliance Française, ambapo bibi 20 wanaingia rasmi katika kinyanganyiro cha kumtafuta bibi Bomba kwa mwaka 2013.
"siku zote panapokuwa na watu wengi lazima vituko, kero ama ubabe lazima vinanafasi ya kujitokeza ili kutimiza ule msemo wa kiswahili unaosema “penye wengi kuna mengi” ..tunatarajia msisimko wa aina yake katika mashindano haya kwa mwaka huu.

tofauti pia na mwaka jana ambapo shindano hili lilidumu kwa mwezi mmoja,na mwaka huu Bibi bomba itachukua takriban miezi 3.Mengi mtayapata wakati kipindi kikiwa kinaruka kuanzia saa mbili na nusu usiku",alimaliza kusema Lee wa Clouds TV ,kituo ambacho kitakuwa kikirusha shindano hilo.

Tyler Perry Talks #Temptation New Movie (Video)

Picha Ya Leo

Picha Ya Leo

Instagram Breaks Records

Instagram fans seem happy with their favorite app’s newfound video upload capabilities. Per CNET, the Facebook-owned Instagram said on Friday that users have uploaded 5 million videos just 24 hours after it debuted its new video-sharing feature. What’s more, Instagram said that during peak hours users uploaded around 40 hours of video per minute. Instagram’s video sharing service, which lets users upload videos of up to 15 seconds in length, is an attempt by Facebook to keep up with Twitter’s popular Vine video app. With an active user count of around 130 million people, Instagram’s video sharing figures to be a very popular feature for mobile users.

Prezzo ft Chess -Celebration of Life (Video)

RAIS KIKWETE AONGELEA MANUFAA YA SAFARI ZA NJE YA NCHI (Video)

Kanye West Kim and Kardashian Name their Baby ‘North West’.

 Kanye West Kim and Kardashian ;A birth certificate reveals the name of their daughter, North West, who was born several weeks premature.
The name of their daughter has been the subject of much speculation reality television star Kim Kardashian and rapper Kanye West have named their baby daughter North West.

The unusual moniker is listed on the birth certificate from Los Angeles’ Cedars-Sinai Hospital, where the baby was born on Saturday.
West was with her for the delivery and the couple are reported to have now left the hospital with their child after welcoming her several weeks early.

The document does not mention a middle name. It also does not list her hair or eye colour or weight.
Some people may have thought the child’s first name would start with a K – like her parents and her aunties Kourtney and Khloe.

There was speculation earlier in the week that the pair had named her Kaidence Donda West as a tribute to Kanye’s late mother Dr Donda West.
But that did not turn out to be the case.
Kardashian, the 32-year-old star of the TV show Keeping Up With the Kardashians, was reportedly the only one to sign the birth certificate.
Mo

MTOTO KIBONGE KULIKO WOTE DUNIANI ..ANA MIAKA MINNE, KILO ZAIDI YA 60

 KIBONGE

 KIBONGE
 KIBONGE
 KIBONGE

Nakupenda Tanzania

Nakupenda Tanzania

Family Ordered Off EasyJet Flight Because Daughter Had Small Cut On Her Cheek..

Jersey and Newcastle, England
 A British family was kicked off a local plane flight because the pilot reportedly thought a small cut on their toddler’s face was a health and safety hazard.
Health and safety risk: The pilot of the easyJet flight deemed the wound a serious danger and told the family to get off the plane. (File photo) John Maitland, 33, and his partner, Laura Bishop, 36, were traveling with their 19-month old daughter, Robyn, between the Isle of Jersey and Newcastle, England this month when they boarded an easyJet flight, Sky News reported.
A stewardess noticed a scrape on Robyn’s cheek that she got after falling on a radiator while on vacation. The couple did not think the small cut was serious.
The stewardess alerted the pilot to the injury and the family was told they had to exit the plane.
“I couldn’t believe it. I started crying and I was pleading with him, saying ‘this is ridiculous, we’re only going to Newcastle, it’s about an hour’s flight’, but he insisted that he wouldn’t fly us,” Bishop told Sky.

The pilot reportedly was concerned that the cut was close to Robyn’s eye and may worsen during the flight due to the increase in cabin pressure.
“It’s just a little red mark on her face. It’s not even going to scar. It wasn’t deep. It didn’t really bleed at all,” the mother said.
Bishop said all of the family’s belongings were taken off the plane and the crew threatened to call the police if they refused to leave.
“The whole plane was sat looking at us. It was quite embarrassing really,” Bishop told the news station.

The airline reportedly advised the family to re-book their flight when they had a medical certificate saying Robyn was safe to fly.
“The doctor said he thought it was ridiculous. He said ‘you’re joking’,” Bishop told Sky.
The next available flight to Newcastle was three days later and the family says no help was offered to find a hotel or car for their inconvenience.

Bishop — who is seven-and-a-half months pregnant– missed an important baby scan scheduled at home as a result of the incident and the couple said they spent more than 900 dollars to change their plans.
According to Sky, an airline spokeswoman said: “The safety and wellbeing of our passengers is always easyJet’s highest priority. We are in contact with the family directly to resolve their issue over the flights and reassure them that the actions of our crew was from concern for and in the best interest of the child.”
But Bishop does not agree. “I think it’s crazy. It’s health and safety gone mad.”
Fox News