
Signs of Abusive Relationship.
2)One of you wants to know where the other person is all the time.
3)One of you checks up on the other way too much – texting to see where you are and who you’re with.
4)One of you stops the other from seeing family or friends. They say stuff like, “You don’t need to see them” or “we only need each other” or “you’re friends are boring”.
5)One of you is a snoop and disrepects the right to privacy – reading texts, a private diary or journal, phone messages, Facebook stalking, or installing software programs that record what websites are visited.
6)One of you feels pressured, tricked or forced to do sexual things they don’t want to do.
7)One person feels scared to end the relationship because they are worried their BF or GF will hurt them, or will commit suicide.
8)Emotional manipulation like “If you really loved me, you would… (have sex/stop talking to your ex-boyfriend/spend every night with me…”).
9)One person often humiliates the other and makes them feel bad (eg. ”you’re stupid/embarrassing/fat /clumsy, ”no one else would want you, ”you can’t do anything right).
10)One person scares the other through threats, pushing, hitting, locking them in, smashing things or aggression –the other person feels so afraid of upsetting them that they just go along with the demands of their Boyfriend/Girlfriend.
11)Jealousy is used as an excuse to demand that the other person has to stop talking to other guys/girls, ex-partners, friends or family.
12)Sending nude or humiliating pictures around of your BF or GF without their consent.
Bandari D’Salaam Yapoteza Sh3 Trilioni
Kutokana na hali hiyo, wataalamu wameeleza kuwa bandari hiyo inahitaji kufanyiwa maboresho muhimu ya hali ya juu, ili fedha hizo zisaidie nchi kuacha kutegemea misaada ya maendeleo.
Kwa mujibu wa ripoti iliyopo kwenye kitabu cha Opening the Gates: How the port of Dar es Salaam can transform Tanzania, licha ya Bandari ya Dar es Salaam kuwa sehemu nzuri, imekosa uwezo hivyo usimamiaji sera bora za kuiboresha zinatekelezwa taratibu. Ripoti hiyo inaeleza kuwa, mwaka 2012 pekee bandari hiyo ilikosesha taifa kiasi hicho cha fedha, huku ikizikosesha nchi jirani Sh1.3 trilioni.
“Fedha hizo ni sawa na asilimia saba ya pato la taifa, kitu ambacho kinawaathiri wanunuzi, wafanyabiashara na wakala mbalimbali wa Serikali,” inaeleza.
Mchumi Mkuu wa Benki ya Dunia (WB), Jacques Morisset ameihimiza Tanzania kuifanya bandari hiyo kuwa moja ya vipaumbele vyake vya juu kwa ajili ya kukua kwa uchumi.
“Watumiaji Bandari ya Dar es Salaam wanalipa fedha nyingi kwa wasimamizi wa bandari na wakala mbalimbali, kwa ajili ya huduma zao kuliko Mombasa,” alisema Morisset.
Akizungumzia ripoti hiyo, Waziri wa Uchukuzi, Dk Harrison Mwakyembe alisema Serikali imekuwa ikijitahidi kuboresha bandari hiyo, lakini kazi ya ziada inahitajika kuifanya iweze kushindana na nyingine. “Tunahitaji nchi jirani ziendelee kuitumia bandari yetu, bado tuna kazi kubwa ya kufanya ndiyo maana niko hapa, tunahitaji kuimarisha Kitengo cha Operesheni na maeneo mengine,” alisema Dk Mwakyembe.
mwananchi
Kwa mujibu wa ripoti iliyopo kwenye kitabu cha Opening the Gates: How the port of Dar es Salaam can transform Tanzania, licha ya Bandari ya Dar es Salaam kuwa sehemu nzuri, imekosa uwezo hivyo usimamiaji sera bora za kuiboresha zinatekelezwa taratibu. Ripoti hiyo inaeleza kuwa, mwaka 2012 pekee bandari hiyo ilikosesha taifa kiasi hicho cha fedha, huku ikizikosesha nchi jirani Sh1.3 trilioni.
“Fedha hizo ni sawa na asilimia saba ya pato la taifa, kitu ambacho kinawaathiri wanunuzi, wafanyabiashara na wakala mbalimbali wa Serikali,” inaeleza.
Mchumi Mkuu wa Benki ya Dunia (WB), Jacques Morisset ameihimiza Tanzania kuifanya bandari hiyo kuwa moja ya vipaumbele vyake vya juu kwa ajili ya kukua kwa uchumi.
“Watumiaji Bandari ya Dar es Salaam wanalipa fedha nyingi kwa wasimamizi wa bandari na wakala mbalimbali, kwa ajili ya huduma zao kuliko Mombasa,” alisema Morisset.
Akizungumzia ripoti hiyo, Waziri wa Uchukuzi, Dk Harrison Mwakyembe alisema Serikali imekuwa ikijitahidi kuboresha bandari hiyo, lakini kazi ya ziada inahitajika kuifanya iweze kushindana na nyingine. “Tunahitaji nchi jirani ziendelee kuitumia bandari yetu, bado tuna kazi kubwa ya kufanya ndiyo maana niko hapa, tunahitaji kuimarisha Kitengo cha Operesheni na maeneo mengine,” alisema Dk Mwakyembe.
mwananchi
Mkali wa Vodacom
Je, unajiamini kuwa na kitu kinachokufanya uwe mkali mtarajiwa? Vodacom inatafuta mtangazaji mpya wa kipindi cha TV kitakachoanza hivi karibuni. Soma namna ya kushiriki na unaweza kuwa mmoja ya watangazaji wa kipindi hiki.
Kazi ni kwako.
Kazi ni kwako.
RAMA MLA WATU AACHIWA HURU.!!

Mahakama kuu kanda ya Dar es Salaam imeamua kumuachia huru Ramadhani Selemani Mussa ambaye alikuwa akikabiliwa na kesi ya kukutwa na kichwa cha mtu. Rama, ambaye muda wote huo alikuwa rumande gereza la Segerea akisota kusubiri hukumu yake, alikamatwa hospitali ya Muhimbili mwaka 2008 ambapo pia alikiri kuwa alikuwa na tabia ya kula nyama za watu ambayo amefundishwa kichawi toka alipokuwa mdogo. Mahakama imemuachia huru kwasababu mtuhumiwa alitenda kosa hilo pasipo kuwa na akili timamu. Hata hivyo mahakama hiyo imetoa agizo la kuendelea kumuweka kijana huyo katika hospitali ya wagonjwa wenye matatizo ya akili, hospitali ya Isanga iliyopo Dodoma mpaka pale atakapona ndipo aruhusiwe kurudi mtaaani.habari kutoka karibu ndani
Thug Life The Reality: Part 1&2 (Video)
Former rap star Napoleon, who is now known as Mutah Beale, converted to Islam in 2001. At the height of his fame he had the worldly life laid out for him, and with his friend Tu-Pac Shakur and the rap group Outlawz, they sold millions of records and became famous all over the world.
His life however was that of a gangster, it was a lifestyle with drugs, women, and murders common place in his environment. As a practising Muslim he now educates the youth about the harms of gangs, drugs and shows them that life style is not the way to success
His life however was that of a gangster, it was a lifestyle with drugs, women, and murders common place in his environment. As a practising Muslim he now educates the youth about the harms of gangs, drugs and shows them that life style is not the way to success
Idadi ya Watu Waliofariki Kwenye Vurugu Mtwara (Video)
Idadi ya watu waliokufa kwenye vurugu za mkoani Mtwara za kupinga gesi kusafirishwa kwenda Dar es Salaam imefikia wawili akiwemo mama mjamzito huku baadhi ya wakazi wa mkoa huo wakiwemo akinamama na watoto wakiyakimbia makazi yao kuogopa mabomu na kukimbilia hospitali ya rufaa ya Ligula kunusuru maisha yao.
POLISI ALIEKAMATWA NA GUNIA ZA BANGI ATOKOMEA KIZANI NA WALE WALIOKAMATWA NA FUVU NAO VILE VILE!
Na Eliya Mbonea, Arusha
ASKARI Polisi Koplo Edward, anayedaiwa kusafirisha dawa za kulevya (bangi) gunia 18 ametoroka chini ya ulinzi wa askari polisi saba na kutokomea kusikojulikana. Mtuhumiwa huyo, alikuwa dereva wa gari aina ya Toyota Landcruiser namba PT. 2025 la Kikosi cha Kutuliza Ghasia (FFU) Mkoa wa Arusha. Kamanda wa Polisi Mkoa wa Arusha, Liberatus Sabas, aliwaambia waandishi wa habari ofisini kwake jana, kwamba askari huyo akiwa chini ya ulinzi wa askari polisi saba, walikwenda nyumbani kwake kwa ajili ya ukaguzi. Alisema wakiwa nyumbani kwa mtuhumiwa, waliingia ndani kuendelea na upekuzi, lakini katika mazingira ya kutatanisha aliwatoroka na kukimbia bila kufanikiwa kumkamata.
Alisema kutokana na hali hiyo, polisi mkoani Arusha limemkamata Inspekta wa Polisi Izaack Manoni aliyekuwa anasimamia upekuzi huo.
“Inspekta Manoni yupo chini ya ulinzi na hatua za kinidhamu dhidi yake zitachukuliwa,” alisema ACP Sabas na kuongeza:“Mtuhumiwa Edward, anayetafutwa kwa sasa alishafukuzwa kazi, akipatikana atafikishwa mahakama ya kiraia kusomewa mashitaka ya kufanya biashara ya dawa za kulevya,” alisema.
Mei 18, mwaka huu saa 5 usiku eneo la Himo, polisi wa Kilimanjaro walikamata gari la polisi lenye namba PT 2025, likiwa limesheheni magunia 18 ya bangi likielekea Holili, karibu na mpaka wa Kenya.
Alisema tayari mtuhumiwa mwenzake ambaye ni askari polisi mwenye namba G. 2434 PC George, amesomewa mashitaka yake jana. Mbali na mtuhumiwa huyo, watuhumiwa wengine waliokamatwa na magunia 30 ya bangi wilayani Arumeru nao wamepandishwa kizimbani kusomewa mashitaka yao.
Taarifa kutoka eneo la Kwa-Morombo ilipo nyumba ya mtuhumiwa aliyetoroka, zilidai baada ya kufika nyumbani kwake, askari saba waliiongozana naye walimuamini na..
MOURINHO AGREE 4-YEAR POUND 250,000-A- WEEK CHELSEA DEAL

The Words of Woolwich Attack Suspect Michael 'Mujahid' Adebolajo (Video)
.."We must fight them. I apologise that women had to witness this today, but in our land our women have to see the same. You people will never be safe. Remove your government. They don't care about you."....
Subscribe to:
Posts (Atom)