
Obama:‘No Magic Formula’ To Stop Assad’s Violence!
Al Arabiya with the Associated Press -
U.S. President Barack Obama said Thursday that the U.S. and Turkey will continue adding pressure to oust Syrian President Bashar Assad from power, but there's "no magic formula" to stop his violence.
"We're going to keep increasing the pressure on the Assad regime and working with the Syrian opposition," Obama said during a news conference with Turkish Prime Minister Recep Tayyip Erdogan in the White House Rose Garden.
"We both agree that Assad needs to go," Obama added.
"There's no magic formula for dealing with an extraordinarily violent and difficult situation like Syria," Obama said.
Erdogan said the U.S. and Turkey have overlapping goals when it comes to Syria and that they both agree that violence in the war-torn country should come to an end.
The U.S. president said that the only way to resolve the crisis is for Assad to..
U.S. President Barack Obama said Thursday that the U.S. and Turkey will continue adding pressure to oust Syrian President Bashar Assad from power, but there's "no magic formula" to stop his violence.
"We're going to keep increasing the pressure on the Assad regime and working with the Syrian opposition," Obama said during a news conference with Turkish Prime Minister Recep Tayyip Erdogan in the White House Rose Garden.
"We both agree that Assad needs to go," Obama added.
"There's no magic formula for dealing with an extraordinarily violent and difficult situation like Syria," Obama said.
Erdogan said the U.S. and Turkey have overlapping goals when it comes to Syria and that they both agree that violence in the war-torn country should come to an end.
The U.S. president said that the only way to resolve the crisis is for Assad to..
DJ Boogie Blind @ Brooklyn Bowl, NYC n Crab Scratch | Shiftee's Salsa SOS
Boogie Blind Performing a DJ Set @ Brooklyn Bowl in Brooklyn, New York
City on May 10th, 2011. Presented by Tamir Z Brown and Lyrics To Go
Entertainment.
Nepal Plane Crash Left 21 Injured, Including 8 Japanese
Nepalese rescuers and other people stand near the wreckage of a Nepal Airlines plane that crashed on the banks of Kaligandaki river at Jomsom, some 200 kilometers (125 miles) northwest of Katmandu, Nepal, Thursday, May 16, 2013. The plane crashed while trying to land at Jomsom airport in northern Nepal early Thursday, injuring all 21 people on board. No one was killed.
Nepal Airlines plane crashed on the banks of Kaligandaki river at Jomsom, some 200 kilometers (125 miles) northwest of Katmandu, Nepal, Thursday, May 16, 2013. The plane crashed while trying to land at a mountain airstrip in northern Nepal early Thursday, injuring all 21 people on board. No one was killed
A Japanese tourist who survived a plane crash in Jomsom is evacuated to Pokhara for treatment, May 16, 2013. According to Nepal's Republica newspaper reports, the Nepali Airlines airplane that flew from Pokhara to Jomsom carrying 18 passengers (10 Nepali and 8 Japanese) crashed after it skidded off the runway and fell into the Kali-Gandaki River at around 8 AM local time. No casualties have been reported but some passenger sustained injuries from the accident.
Nepal Airlines plane crashed on the banks of Kaligandaki river at Jomsom, some 200 kilometers (125 miles) northwest of Katmandu, Nepal, Thursday, May 16, 2013. The plane crashed while trying to land at a mountain airstrip in northern Nepal early Thursday, injuring all 21 people on board. No one was killed
KATMANDU, Nepal (AP) -- A plane crashed while trying to land at a mountain airstrip in northern Nepal early Thursday, and all 21 people on board, including eight Japanese tourists, survived with injuries, police said.
Four of the injured were in critical condition, police officer Bhim Bahadur Chand said.
The state-owned Nepal Airlines plane was carrying eight Japanese tourists. The others on board, including three crew members, are all Nepali.The Canadian-built Twin Otter plane was trying to land at Jomsom airport, some 200 kilometers (125 miles) northwest of the capital, Katmandu, when it crashed on the banks of the Kaligandaki river.
POLISI MSTAAFU AMCHARANGA MWANAE WA MIAKA 4 KWA MAPANGA!!
Mkazi wa kitongoji cha Sango kata ya Nyasubi wilayani Kahama mkoa wa Shinyanga Samson Bwire (54), ameshikiliwa na jeshi la polisi kwa kumcharanga mapanga mtoto wake Devotha Gerald (4) kwa sababu za wivu wa kimapenzi.
Tukio hilo limetokea leo jioni nyumbani kwa Bwire baada ya kuanza kugombana na mke wake Happiness (28) Elias huku akiwa amelewa pombe ambapo, mkewe alikimbia kitu kilichosababisha kumgeukia mtoto Devotha na kuanza kumkata mapanga kichwani.
Kwa mujibu wa majirani, kelele zilisikika kutoka kwenye mji huo na kwamba walipoenda walimkuta Bwire akichoma nguo za mke wake, na alipowaona aliingia ndani na kuanza kumkata mapanga mtoto huyo huku akiwa amefunga mlango.
Mtoto Devotha na baba yake Bwire wote wamelazwa katika hospitali ya wilaya ya Kahama kwa matibabu huku Bwire akiwa Chini ya Ulinzi mkali wa polisi.
JITIHADA ZA KUOKOA MAISHA YA MTOTO ZIKIENDELEA INASIKITISHA SANA JAMANI
AFANDE BWIRE AKIWA NA PINGU ZAKE WODINI
MUNGU AMPE AHUENI MTOTO HUYU
Linah, Barnaba Kimenuka THT..!!?


Na. Andrew Chale
KUELEKEA shoo maalumu ya Miaka 13, ya mwanamuziki nguli wa bongo fleva nchini na kiongozi wa bendi yenye msisimko mkubwa ya ‘Machozi Band’, Judith Wambura ‘Lady Jay Dee’ au Jide’ huenda kwa upande wa wasanii wa Nyumba ya Vipaji ya THT, Linah Sanga na Barnaba mwaka huu ukawa mchungu kwao kufuatia kuwepo taarifa za kutimuliwa na uongozi wa juu.
Kwa mujibu wa vyanzo kutoka kwa mtu wa karibu wa Linah kilieleza kuwa mpaka sasa msanii huyo hana raha na wala hajui ataanza vipi katika harakati zake za kimuziki hasa kufuatia hivi karibuni kukacha shoo ya nguli Lady Jay Dee kwa shinikizo kutoka kwa wakubwa zake.
Hata hivyo, Linah inadaiwa uongozi wa juu umekaa kikao na hatua iliyofuatia kwenye kikao hicho ni kuwaondoa kabisa kwani huenda wakatia doa wasanii wenzao ndani ya kundi hilo.
“Juzi Lina,haikuwa kawaida yake maana hata alipopigiwa simu na ** kwa ajili ya hatua zingine alionekana kuw na hofu, na wala hakutaka kusikia ushahuri wangu ambao nilikuwa nikimhusia kuwa aachane na mawazo hayo kwani jambo analoliwaza huenda likaisha na hata maamuzi yatakayotoka yatakuwa ni kawaida” kilieleza chanzo kutoka kwa mtu wakaribu wa Lina, amabaye hata hivyo alisema kuwa huenda ukweli wa jambo ukawa hadharani.
Hata hivyo taarifa za ndani za uongozi wa THT zilibainisha kuwa mpango wao wa kuwashughulikia...
SOMA UFAFANUZI WA DAWA BANDIA ZA "ARV"
Baada ya ufafanuzi huo wa Mhe. Waziri kutolewa, kumekuwa na taarifa mbalimbali kupitia vyombo vya habari zinazoleta mkanganyiko kwa wananchi kuhusu suala hili.
Ili kuondoa mkanganyiko ambao umeanza kujitokeza, Wizara inapenda kutoa ufafanuzi kuhusu tamko lililotolewa na Mhe. Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii.
Aidha, kama ilivyoelezwa katika taarifa mbalimbali za umma zilizokwisha kutolewa na Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii pamoja na TFDA kuhusiana na suala hili, bado inasisitizwa kwamba kampuni ya TPI Ltd iliiuzia Bohari ya Dawa (MSD) dawa bandia aina ya TT-VIR 30 toleo Na. 0C.01.85, kwa mujibu wa nyaraka zilizopo.
Tunapenda kusisitiza kwamba, Mhe. Waziri katika hotuba yake hakukanusha kuwa kampuni ya TPI Ltd iliiuzia MSD dawa bandia bali alieleza kwamba uchunguzi wa awali katika kiwanda cha kampuni hiyo haukuonesha dawa hiyo ilizalishwa na TPI Ltd bali vifungashio ni vya TPI Ltd na nyaraka zinaonesha TPI Ltd kuiuzia MSD dawa hizo bandia.
Aidha, alieleza kuwa vyombo vya usalama bado vinaendelea kulichunguza suala hilo ili kubaini chanzo na wahusika wakuu wa dawa hizo bandia.
Kwa kuzingatia unyeti wa suala hili, Wizara inatoa wito kwa vyombo vya habari kusubiri hatma ya uchunguzi unaofanywa na vyombo vya usalama na kuepuka kutoa taarifa ambazo zinaweza kupotosha umma na jitihada kubwa za Serikali katika kupambana na dawa bandia nchini.
Imetolewa na:
N. Mwamwaja
MSEMAJI
16 Mei 2013
SISTER WA BANDIA AKAMATWA, HUKU MTUMISHI WA MAHAKAMA AKITUHUMIWA NA WIZI WA VIDHIBITI VYA MAHAKAMA,GUNIA ZA BANGI.
Mwanamke - anayejiita Sister Phylis Wanjiru Kamau, raia wa Kitui nchini Kenya akiwa ofisi za kamanda wa jeshi la Polisi mkoa wa Iringa, baada ya kukamatwa. Taarifa za kipolisi, za kukamatwa kwa Sister Feki Phylis Wanjiru Kamau. JESHI la polisi mkoa wa Iringa limemkamata mwanamke Phylis Wanjiru mwenye umri wa miaka 44 aliyevalia mavazi ya kitawa wa masister wa kanisa Kathoriki, ambapo baada ya kupekuliwa amekutwa na baadhi ya vielelezo vilivyobaini kuwa ni tapeli.
Wanjiru ambaye ni raia wa nchi ya Kenya amekamatwa na jeshi la polisi baada ya masister wenzie kubaini kama si mmoja wao, kutokana na kushindwa kufanya baadhi ya masuala ambayo ni msingi wa utawa wao.
Akizungumzia mkasa huo,
kamanda wa jeshi la Polisi mkoa wa Iringa Michael Kamuhanda amesema
mwanamke huyo kabila laKe ni Muwembu wa nchini Kenya amekamatwa katika
nyumba za masista zilizopo Ipogolo mjini Iringa. Aidha Kamuhanda amesema mwanamke huyo ambaye awali aligoma kutoa maelezo ya kina juu ya ujio wake nchini Tanzania, katika upekuzi walimkuta na baadhi ya chip (Line) za makampuni mbalimbali ya simu ya ndani na nje ya nchi.
Kamuhanda amesema Sister huyo bandia alikutwa pia akiwa na hati za kusafiria (Passport) mbili, moja ikiwa niya Africa Mashariki yenye namba Ke. 020659 huku hati ya nyingine ikiwa na jumuiya ya Kenya namba A. 1790366.
Amesema Sister huyo feki katika hati hizo ilionyesha kuwa alitembelea nchi ya Rwanda, Uganda pamoja na nchini Tanzania ambapo siku za hivi karibuni alikuwa Mkoani Mara Tarime.
Sister huyo FEKI amekuwa akitumia mbinu ya kujiangusha kama mtu mwenye ugonjwa wa kifafa pindi anapofanyiwa mahojiano, jambo linalowawia vigumu jeshi hilo kupata maelezo ya kina dhidi ya dhamira yake ya kuingia humu nchini.
Kamuhanda ameitaka jamii kuwa makini na wageni mbalimbali, huku akiwaasa kuacha tabia ya kuwaamini watu kwa muonekano wao, kutokana na mwanamke huyo kutumia njia hiyo ambayo inamfanya kila mtu kumuamini.
Katika tukio lingine jeshi la Polisi mkoani hapa linamshikiria mtumishi wa Mahakama ya ....
BAADA YA FERGIE NA SCHOLES SASA NI DAVID BECKHAM KUSTAAFU MWISHONI MWA MSIMU HUU
Kustaafu ndio habari iliyoshika hatamu nchini Uingereza hivi sasa - wiki moja baada ya kustaafu kwa Sir Alex Ferguson, Paul Scholes, leo hii mchezaji wa zamani wa Man United na nahodha wa zamani wa England DAVID BECKHAM ametangaza kutundika daluga. Beckham, 38, ameisadia Paris Saint-Germain kubeba kombe la Ligue 1 kwa mara ya kwanza ndani miaka 19 mwishoni mwa wiki hii.
Pamoja na kupewa ofa ya mkataba mpya na timu hiyo ya Ufaransa, mkongwe huyo atastaafu baada ya mchezo wa mwisho tarehe 26 mwezi huuA.
Alisema: “Shukrani sana kwa PSG kwa kunipa nafasi ya kuendelea kuwa hapa lakini sasa nadhani ni muda sahihi wa kustaafu, kucheza kwenye soka la kiwango cha juu”
Becks alianza kucheza akiwa na Manchester United, akifunga mabao 85 katika mechi 394, kabla ya kuhamia Real Madrid.
Aliondoka Spain kwa uhamisho mnono kujiunga na LA Galaxy mwaka 2007 pia aliwahi kucheza kwa mkopo mara kadhaa kwenye klabu ya AC Milan wakati akiwa kwenye Major League Soccer.
Pamoja na kupewa ofa ya mkataba mpya na timu hiyo ya Ufaransa, mkongwe huyo atastaafu baada ya mchezo wa mwisho tarehe 26 mwezi huuA.
Alisema: “Shukrani sana kwa PSG kwa kunipa nafasi ya kuendelea kuwa hapa lakini sasa nadhani ni muda sahihi wa kustaafu, kucheza kwenye soka la kiwango cha juu”
Becks alianza kucheza akiwa na Manchester United, akifunga mabao 85 katika mechi 394, kabla ya kuhamia Real Madrid.
Aliondoka Spain kwa uhamisho mnono kujiunga na LA Galaxy mwaka 2007 pia aliwahi kucheza kwa mkopo mara kadhaa kwenye klabu ya AC Milan wakati akiwa kwenye Major League Soccer.
Subscribe to:
Comments (Atom)


