Pages

Bomu Arusha Lmezua Utata Kidiplomasia

Dar es Salaam/Arusha Dar es Salaam/Arusha. Utata wa kidiplomasia ulioibuka kuhusu raia wa kigeni kukamatwa wakituhumiwa kwa mlipuko wa bomu katika Kanisa Katoliki umemlazimu Waziri wa Mambo ya Nchi za Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bernard Membe kutua jijini Arusha kusawazisha mambo.
Membe alisema jana kuwa atakwenda huko kufuatilia suala hilo na hasa kwa kukamatwa raia wa kigeni wakihusishwa na tukio hilo, wakiwa ni miongoni mwa watu 12 wanaoshikiliwa na polisi wakituhumiwa kuhusika na shambulio hilo lililoua watu watatu na wengine zaidi ya 60 kujeruhiwa.

“Ninakwenda Arusha kesho (leo) ili kufahamu undani wa suala hili. Baada ya kwenda ndiyo nitakuwa katika nafasi ya kuongelea mambo haya,” alisema Membe wakati alipoulizwa jana kuhusu malalamiko ya nchi za Saudi Arabia na Falme za Kiarabu (UAE) kuhusu kukamatwa kwa raia wao.
Watu wanaoshikiliwa na polisi kwa tuhuma hizi ni pamoja na...

Chris Brown's Scary Curbside Art

Chris Brown
LOS ANGELES (AP) — Grammy-winning musician Chris Brown's neighbors are unhappy with what some are calling frightening art he's chosen to have painted along the curb of his Hollywood Hills home.

A neighborhood group said the grimacing, sharp-toothed, red-eyed goblins painted along a retaining wall have been scaring children, and is an eyesore to boot, according to the Los Angeles Times Hollywood Dell Civic Association,
"There are lots of babies, lots of children, and they're literally frightened. It's like devils on the wall — big scary eyes and big scary teeth, and just the whole vibe is not what we're used to," Patti Negri, president of the Hollywood Dell Civic Association, told the newspaper.
L.A. city code officials responded to complaints about the monster art and cited the "Run It!" singer $376 for unpermitted and excessive signage.Under city ordinances, it's illegal to create murals on most private properties. Though that didn't stop Madonna from painting her Hollywood Hills home in red and yellow stripes in the 1990s.

Brown has been ordered to remove the goblin paintings within 30 days, but his attorney Mark Geragos said the musician is not backing down.
"They are trying to suspend the First Amendment," Geragos said.
Geragos alleges neighbors are harassing Brown and have also made parking complaints about him and called animal control.
In a telephone interview with The Associated Press on Saturday, Negri said all she wants is for Brown to "tone it down and be a better neighbor."Brown's tumultuous relationship with singer Rihanna and foul-mouthed Twitter presence have given him a bad boy reputation.
Brown won a Grammy in 2011 for Best R&B Album with "F.A.M.E." and was arrested shortly after the 2009 awards ceremony for assaulting Rihanna.
"I know a $300 fine is probably pocket change. But hopefully and maybe, he'll just see the light and decide to be a good neighbor," Negri told the Times. "We're happy to have him — if he just tones it down."

Angalia Video ya Diamond Ndani ya The Sporah Show, Anatiririkaaa Yote ila Kigugumizi Kibao..!

Suddy Baya ft. Maadui - Lecture (Audio)

Suddy Baya ft. Maadui - Lecture

Blog Zote za Tanzania Sasa Zinapatikana Ndani ya Blog Moja (Directory) Inaitwa Bongo Blogs

Tanzania Directory 
Acha kuzunguka blog kibao bila kupata habari uliyokua unaitafuta,  Blog ni moja tu Bongo Blogs ndio unatakiwa kukumbuka halafu nyinginezo zooote utazipata ndani yake (Bongo Blogs) bofya link..
 >> Bongo Blogs
 http://bongoblogs.blogspot.com
Blog yako ya Taifa

Video ya Mrisho Mpoto: Ukiona Mwenzako Amechukua Kijiti Usilalamike Kwenye Media, Jipange..!

Facebook - How Do They Do It

Ever wondered how Facebook stores all that data for 1 in 7 of the worlds population !!!
Nope... neither did I...
Anyway here's how it's done if you really wanted to know.

Diamond Kulamba Deal la Miito ya Simu (Caller Tune) Uingereza!

Makampuni ya Simu, WAKATI baadhi ya wasanii wakijitoa katika mikataba ya kuuza miito ya nyimbo zao kwenye Makampuni ya Simu, Msanii maafuru ndani na nje ya nchi Naseeb Abdul Diamond amekuwa msanii wa kwanza kupata mkataba wa kuuza nyimbo zake kwenye miito ya simu nchini Uingereza.

Diamond ambaye ndiye msanii pekee wa bongo fleva anaelipwa pesa nyingi nchini kutokana na mauzo ya nyimbo zake katika miito ya simu( caller tune), amesema kwamba miito hiyo ya simu itaongeza mauzo ya kazi zake na kwamba watanzania wanaoishi nchini humo pia watapata fulsa ya kusikiliza nyimbo zake kila wakati.

Mwanamuziki huyo wa Bongo Fleva amepata dili hilo kubwa la kuuza miito hiyo ya simu na kuwa msanii wa kwanza nchini kujipatia kitita kikubwa cha fedha kupitia nyimbo zake(caller tune) Nchini Uingereza. Dili hilo limeonyesha kumfurahisha sana Diamond kwani tayari anaamini kuwa kazi anayoifanya ni nzuri na naweza kusikilizwa na watanzania waishio Uingereza na Waingereza pia kwa kununua miito ya simu wakiwa nnchini humo. Msanii huyo anajivunia suala hilo kwa sababu itawezesha watanzania waishio nchini Uingereza kupata nyimbo zake kwa wakati unaotakiwa tofauti na ilivyo sasa.
Diamond Platinum ambaye hivi karibuni alikumbwa na kashfa ya kudanganya umma kuwa mpenzi wake wa sasa ambaye ni mtangazaji wa Runinga katika kituo cha DTV Peniel Mungilwa 'Penny' ni mjamzito wa miezi mitatu alikuwa nchini humo kwa ziara ya kisanaa.
Hata hivyo mwana dada huyo alikanusha taarifa hizo na kudai kwamba hana ujauzito wa msanii huyo na kwamba hajawai kubeba ujauzito wake.

Happy Mother's Day to All Mothers in The World

Happy Mother's Day
A Mother loves right from the beginning star. she holds her baby close to her heart. the bond that grows will never falter. her love is strong it will never alter. a mother gives never ending love. she never feels that she has given enough. for u she will always do  her best. give ur mother a day to have some peace of mind be gentle, be good, be helpful and be kind.
Happy mothers day to all mothers in the world.
From DarSlam Team

Jakaya Mrisho Kikwete wa Enzi Zileee

Jakaya Mrisho Kikwete
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Ndugu Jakaya Mrisho Kikwete akionekana katika Sare zake za Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ).Picha hii inatajwa kupigwa Mwanzoni mwa Miaka ya 80 wakati huo Ndugu Jakaya Mrisho Kikwete akiwa Jeshini.