Pages

Polisi Wakamatwa na Fuvu la Binadamu!!

-Wadaiwa kulitumia kuomba rushwa kwa mfanyabiashara
-Washikiliwa kituo cha polisi kwa mahojiano
JESHI la Polisi mkoani Morogoro limeingia kwenye kashfa nzito baada ya askari wake watatu na raia wanne kukamatwa wakiwa na kichwa cha binadamu. Tukio hilo lilitokea Mei 7 mwaka huu katika eneo la Mgudeni- Dumila wilayani Kilosa. Inaelezwa kuwa polisi hao kwa kushirikiana na raia hao walikwenda nyumbani kwa mfanyabiashara Samson Mura na kutaka kumbambikizia kesi ya mauaji.

Mbali ya kubambikizia kesi hiyo, polisi hao wanadaiwa kuomba wapewe Sh milioni 25 na mfanyabiashara huyo ili wasimpeleke kituoni. Wakizungumza na MTANZANIA jana, baadhi ya wananchi walisema wameshangazwa na askari hao ambao wawili ni wa Kituo cha Polisi Dumila na mmoja wa Kituo cha Polisi Mvomero.
Walisema siku ya tukio, polisi hao walifuatana na raia mmoja ambaye jina lake limehifadhiwa kwa ajili ya masuala ya usalama.
Mwenyekiti wa Mtaa wa Mgudeni,Zaituni Kifutu alisema walishangazwa na tukio hilo. “Tumeshangazwa mno na askari hawa… sijui walichukulia wapi mafunzo yao? Kama walibaini kuwapo tukio hili kwa nini hawakutaka kulifikisha kituoni?  “Inasikitisha mno, eti wao kwa kushirikiana na mfanyabiashara wanakwenda kudai kwa mwanakijiji mwenzetu wapewe Sh milioni 25… haiingi akilini hata kidogo wakamate mhalifu halafu washirikiane kwenda kuomba fedha.

“Tunaona na mazingira ambayo askari na raia huyo ambao walifika kwenye nyumba ya..

Kesi Mauji ya Padri Mushi: Nyaraka za Siri Zavujishwa Mahakamani

Kesi Mauji ya Padri Mush
Ibrahim Mzee Ibrahim
Mkurugenzi wa Mashtaka ya Umma Zanzibar,(DPP)
Nyaraka za barua za mawasiliano kuhusu maendeleo ya jalada la kesi ya mauaji ya Padri Evarist Mushi inayomkabili Omar Mussa Makame, zimevuja baada ya wakili anayemtetea mtuhumiwa huyo kuziwasilisha mahakamani jana mjini Zanzibar.

Barua hizo pamoja na taarifa za kikao kilichofanyika Aprili 4 mwaka huu kujadili jalada la uchunguzi wa kesi hiyo inadaiwa kiliwahusisha Mwanasheria Mkuu wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar Othman Masoud Othman, Mkurugenzi wa Mashtaka ya Umma (DPP) Ibrahim Mzee Ibrahim, Kamishna wa Jeshi la Polisi Zanzibar, Mussa Ali Mussa na Naibu Mkurugenzi wa Makosa ya Jinai na Upelelezi, (DDCI) Yusuph Ilembo. Wakili wa upande wa utetezi Abdallah Juma Mohamed alitoa taarifa hizo wakati akipinga hoja ya Mwendesha Mashtaka wa Serikali, Abdallah Issa Mgongo, baada ya kuiomba Mahakama Kuu kuahirisha shauri la kesi hiyo kwa madai upelelezi bado haujakamilika.

Wakili huyo alisema kwamba amefanikiwa kupata barua yenye kumbukumbu namba BUB/P89/VOLV/54 ya Machi 25 mwaka huu, ambayo imeandikwa na Inspekta wa Jeshi la Polisi Suleiman Suleiman kwenda kwa Mkuu wa Upelelezi wa Mkoa wa Mjini Magharibi ambayo ilikuwa ikimtaka mkuu wa...

MTOTO WA MIAKA 9 AUAWA KWA KUPIGWA RISASI NA POLISI HUKO TARIME

Polisi mkoani Tarime
Polisi mkoani Tarime wameua mtoto wa miaka 9, Deo Yakob, katika kilichoripotiwa kuwa pilikapilika za kukamata majambazi wanaoiba na kuua watu mpakani mwa Tanzania na Kenya.
Bado hakuna maelezo zaidi, kuhusu ni kitu kani kilichopelekea mtoto huyo kuuawa katika juhudi za polisi kukamata majambazi hayo. Pia haijafahamika kama polisi hao walifanikiwa kuwakamata majambazi...
Pichani ni wananchi wakiwa na mwili wa mtoto huyo ambaye alikua ni mwanafunzi wa darasa la tatu katika shule ya msingi ya Mturu, mjini Tarime.
tunaomba radhi kwa picha ya mtoto huyo

Tanzanian Wins GIST Start up Boot Camp

Arnold Minde
Arnold Minde of Safari Yetu from Tanzania, the winner of the business pitch competition at the GIST Startup Boot Camp—East Africa! Sarafi Yetu has developed a web and mobile-based ticketing system for intercity buses in Tanzanians that replaces the inefficient paper system. He won 600 USD and the top 11 got Nokia Phones.150 Entrepreneurs from all across East Africa went to Blue Pearl Hotel for the 2 day GIST Boot Camp.May 7 & 8.
Arnold Minde of Safari Yetu  GIST builds entrepreneurial ecosystems in 54 countries across the Middle East, Turkey, Asia and Africa by identifying, coaching, and funding the most promising technology entrepreneurs through its flagship competitions, start-up acceleration services, online social media platform and interactive mentorship programs. GIST forges partnerships, locally and globally, among technology entrepreneurs, angel investors, mentors, and experts, to foster human progress and prosperity. The GIST Initiative is a partnership led by the U.S. Department of State and CRDF Global.CRDF Global is an independent nonprofit organization that promotes international scientific and technical collaboration through grants, technical resources, and training. CRDF Global is based in Arlington, Virginia.
Deputy Minister of Communication Science & Tenchnology Hon. January Makamba . He gave a speech at the closing of the bootcamp.
GIST Boot Camp
The top 11 Winners

TAARIFA KUHUSU WASI WASI WA KINYWAJI CHA SODA ZINAZOZALISHWA TANZANIA

Mamlaka ya Chakula na Dawa (TFDA)
Mamlaka ya Chakula na Dawa (TFDA) ni taasisi iliyoundwa chini ya Sheria ya Chakula Dawa na Vipodozi Sura ya 219, ili kudhibiti ubora na usalama wa vyakula, dawa, vipodozi, na vifaa tiba kwa lengo la kulinda afya ya jamii dhidi ya madhara yatokanayo na matumizi ya bidhaa hizo.
Ili kutimiza wajibu huo, TFDA inasimamia pamoja na mambo mengine udhibiti wa uingizaji wa vyakula kutoka nje ya nchi na utengenezaji wa vyakula ndani ya nchi kwa ajili ya kulinda afya za watumiaji. Katika udhibiti wa vyakula hivyo, michakato mbalimbali hufanywa ili kuwa na uhakika juu ya usalama wake kwa; kufanya tathmini na uchunguzi wa kimaabara, kufanya ukaguzi na ufuatiliaji wa usalama wa bidhaa kwenye soko na hatimaye kusajili majengo na vyakula baada ya kujiridhisha juu ya usalama wake.

Kutokana na mfumo wa udhibiti uliopo, Mamlaka imesajili bidhaa mbalimbali za vyakula vilivyofungashwa ikiwa ni pamoja na vinywaji aina ya soda zinazozalishwa nchini na zinazoingizwa kutoka nje.
Hivi karibuni kulitolewa taarifa na baadhi ya vyombo vya habari nchini kueleza kuwa kinywaji cha soda ni sumu. Mamlaka ina mashaka juu ya taarifa iliyotolewa kwa sababu haidhani kama...

Tazama Video ya Kijana Anayesema ni Mdogo Wake Diamond Platnumz - Saleh Abdul

I Swear - Richie Longomba (OFFICIAL VIDEO)

GMXCelebrity101 With AY (Video)

Airtel Rising Stars Registration - Arsenal

Do you have what it takes to be the next Arsenal football star? Register for the Airtel Rising Stars and realize your dream.Get more information on: http://www.airtel-football.com/web/la...
Follow us on Twitter: https://twitter.com/airtelfootball
Like us on Facebook: http://www.facebook.com/AirtelFootball

Sikiliza U Heard 9th May -Diva in love with Prezzo!!

Diva in love with Prezzo!!