
MWENYEKITI WA BARAZA LA MITIHANI - (NECTA ) ANADAI KUWA HAYUKO TAYARI KUYABADILI MATOKEO YA KIDATO CHA NNE -2012

Chanzo cha karibu cha Prof.Mukandala kinadai kuwa mara baada ya kutolewa taarifa ya Serikali inayotaka 'kuboreshwa' kwa matokeo hayo,Prof.Mukandala ameonesha kukataa amri hiyo hadi sasa.
"Sisi tulipitisha matokeo hayo mbele yao na kwa idhini yao.Iweje leo Baraza libadili matokeo?.Tunafanya hivi kwa faida ya nani na kwa ustawi wa elimu ya wapi?" alinukuliwa akihoji Prof.Mukandala.
Habari za kuaminka zinadai kuwa Prof.Mukandala pamoja na Katibu Mtendaji Dr.Joyce Ndalichako wanajiandaa kuachia ngazi kama Serikali itasimamia uamuzi wake huo.
Hata hivyo, siku za hivi karibuni mwanahabari wetu alizungumza na Ofisa Habari wa NECTA, John Nchimbi ambaye alisema wamekwishapokea maelekezo kwa barua na kufanyia kazi ili kujitahidi ndani ya muda mfupi matokeo yawe yametoka.
Nchimbi alikiri kuwapo kwa kasoro katika matumizi ya mfumo huo mpya wa usahihishaji, kwani hawakushirikisha wadau wengi kabla ya kuanza kutumia, lakini lengo la Baraza lilikuwa jema katika kukuza elimu nchini
“Kutokana na tangazo hili, wanafunzi hawa wote hawana matokeo tangu juzi ( yalipofutwa bungeni ), hivyo wasubiri matokeo mapya yatakayotangazwa, na waelewe wazi kuwa si lazima waliofeli wafaulu wote,” alisema Nchimbi.
Freebongo
Alex Ferguson Retires as Manchester United Manager
Manchester United manager Alex Ferguson is retiring after more than a quarter of a century at the helm, thesoccer club announced Wednesday.
The 71-year-old Scot has managed the English club — which is listed on the New York Stock Exchange and has millions of fans around the world — since 1986.
During more than two decades at the helm, Ferguson has won more than 30 trophies, including 13 league championships and two Champions League wins.
Tanzania Sports
The 71-year-old Scot has managed the English club — which is listed on the New York Stock Exchange and has millions of fans around the world — since 1986.
During more than two decades at the helm, Ferguson has won more than 30 trophies, including 13 league championships and two Champions League wins.
Tanzania Sports
PRESIDENT JAKAYA KIKWETE PRESS CONFERENCE IN ARUSHA AFTER CHURCH BOMBING
President Jakaya Mrisho Kikwete talks to the press at the Kilimanjaro
International Airport in Arusha after visiting the bombed church at
Olasiti, consoled families of victims who died from the blast and
visited the injured admitted at St Elizabeth and Mount Meru Hospitals in
Arusha May 7, 2013
DJ Simple K on The Mix. Muungano Day
Reggae and dance hall finest Dj...Dj simple do what he does....Shout out to ya boy!!!
Lwakatare, Ludovick Wafutiwa Mashitaka ya Ugaidi

Mahakama Kuu ya Tanzania imefuta mashitaka yote ya ugaidi yaliyokuwa yanawakabili Mkurugenzi wa Ulinzi na Usalama wa CHADEMA Wilfed Lwakatare na mwenziye Ludovick Joseph.Taarifa zinasema Mahakama Kuu imebakiza shitaka moja tu, la kula njama ya kuteka na kudhuru, kosa ambalo kimsingi ni la jinai na lenye dhamana.
Taarifa zaidi zinasema kuwa watuhumiwa wamerudishwa rumande kwa kuwa dhamana haikuwa imeandaliwa.
Katika kesi hii, Lwakatare anawakilishwa na jopo la mawakili watano ambao ni Mabere Marando, Tundu Lissu, Prof. Abdallah Safari, Peter Kibatala na Nyaronyo Kicheere.
Taarifa zaidi zinasema kuwa watuhumiwa wamerudishwa rumande kwa kuwa dhamana haikuwa imeandaliwa.
Katika kesi hii, Lwakatare anawakilishwa na jopo la mawakili watano ambao ni Mabere Marando, Tundu Lissu, Prof. Abdallah Safari, Peter Kibatala na Nyaronyo Kicheere.
Beyonce Launches Online Shop

So if you can’t make it to the Mrs. Carter World Tour aka The Concert of the Century at least you can snag you a stylish hat and tee and that should help some.
Visit the site world.shop.beyonce.com
P-Funk Majani Amefunguka Kuhusu Lady JayDee
Producer mwenye historia kubwa na ya kipekee katika muziki wa Bongo Fleva P-Funk Majani ameonesha kumuunga mkono Lady JayDee na kwamba anadhani ni muda sasa wengine wakafuata nyayo zake, yeye mwenyewe majani amemhakikishia Jide kuwa yuko nae “Count Me in”.
Ameongeza kuwa endapo wasanii na watayarishaji wa muziki wakiungana hakuna kitakachowazua isipokuwa Mungu.
Ameongeza kuwa endapo wasanii na watayarishaji wa muziki wakiungana hakuna kitakachowazua isipokuwa Mungu.
Subscribe to:
Posts (Atom)