Pages

Afande Sele - Dini Tumeletewa (Audio)

http://4.bp.blogspot.com/-WHPrftNWoq8/UIWLY0Mt9qI/AAAAAAAATG4/N_IvZP46bn4/s400/afande-sele.jpg

Tangazo Tanzania DMV, Mazoezi ya Jumapili Kama Kawaida

Tanzania DMV
Tanzania DMV kesho Jumapili itafanya mazoezi Midaa ya Saa 5: PM mahali ni :-
4203 Metzerott Rd College Park‎ Maryland‎ 20740 Mnaombwa wachezaji wote muwahi mapema iwezekanavyo

Lionel Messi vs Cristiano Ronaldo Top 30 Goals Ever (Video)

Matokeo ya Mechi za Ligi Kuu Uingereza

Ligi Kuu Uingereza
Ligi Kuu Uingereza

Juma Nature Ametolewa Nduki EATV, ni Baada ya Kungia Mjengoni Akiwa Amevaa Kandambili

http://a2.ec-images.myspacecdn.com/images01/21/77e52aae17de16b397d28185b7356534/l.jpg
Msanii mkongwe na maarufu nchini, Juma Kassin Kiroboto, aka Nature, ameonyesha kukerwa na kile kilichoendelea jana usiku katika kipindi cha burudani cha televishen inayotizamwa africa ya mashariki alipokuwa akifanya nao interview. Nature alionekana akiwa amevaa kawosh na ndala na mara baada ya mahojiano mafupi ya mwanzo ambapo mtangazaji alisema watarejea baada ya mapumziko mafupi Nature hakuonekana tena. Kilichotokea kwa mujibu wa Nature mwenyewe, ni wakati wa mapumziko hayo, mtangazaji wa kipindi hicho alimfata na kumuambia kuwa hataendelea na interview tena kwasababu ya mavazi aliyokuwa kavaa ambayo ni ndala na kawosh. kuonyesha kukerwa kwake na ishu hiyo Nature aliamua kuandika kupitia ukurasa wake wa facebook....
"hivi kwa mfano angekuwepo mzungu pale na kavaa ndala wangesitisha mahojiano na kuvaa kaoshi ni tatizo,kunywa nimekunywa bt kuna baya nimeliongea na hivi kama kweri we nimuandishi wa habari unaruhusiwa kuvaa vile kisheria kama yule mtangazaji nimeboreka kinoma na ikiwezekana nasitisha kuanzia ssa kupeleka ngoma zangu pale siitaji interview"
 http://millardayo.com/wp-content/uploads/2013/04/Juma-Nature-april-20-2013-on-kutolewa-kwenye-interview.png

Sikiliza Live! Clouds FM, Times FM, Radio Free Africa, Bomba FM, Radio One, Radio Kili FM, Bongo Fleva na Hip Hop

Link inapatikana juu kabisa ya blog hii na pembeni ya blog. Kazi kwako!!

Crazy Transformers!! Kali Kuliko

Boston Bomber Captured Alive!!

Dzhokhar Tsarnaev,
Police captured Dzhokhar Tsarnaev, 19, on Friday night after a day-long manhunt using helicopters and heavily armed officers in a Boston suburb
Apprehended 'covered in blood and hiding in a covered boat in Watertown by homeowner who ventured out after curfew was lifted'
He and law enforcement officers engaged in a furious exchange of gun-fire that began shortly after 7pm
Over 30 rounds were fired in the exchange - as terrified residents of Franklin Street were evacuated by police
The stand-off continued until approximately 8.45 p.m. when Boston police announced on Twitter that Tsarnaev had been apprehended
Tsarnaev reportedly surrendered himself to police having been shot twice
He was rushed to Beth Israel Deaconess Medical Center and is reported to have lost a great deal of blood
He is currently in a 'serious condition'
His Miranda rights have been revoked and he is being treated as an exception due to national security
Residents were warned to stay indoors amid gunfire, flash-bang explosions and tear gas
On his arrest - jubilant crowds took to the streets of Boston to thank police, FBI and law enforcement officials - chanting 'USA!'
Tamerlan Tsarnaev, 26, killed after explosions and machine gun fire on Thursday night
Both suspects are brothers from the Russia region near Chechnya and had lived in U.S. since 2002

Waliomaliza Darasa la Saba Kuanza Kujiunga na Chuo Kikuu -Tanzania

TCU
Tume ya Vyuo Vikuu Nchini (TCU) imepanga kuanza kuwadahili wanafunzi wa kujiunga na masomo ya vyuo vikuu kwa kutumia uzoefu wao ambapo udahili huo utakaoanza mwaka huu wa masomo 2013/14, utakuwa ukiwahusisha wale ambao elimu yao imeishia darasa la saba na kuendelea, lakini walikosa sifa ya kuendelea na masomo kwa ngazi ya chuo kikuu.

Kupitia utaratibu huo mpya, mtahiniwa atajiunga na Chuo Kikuu kulingana na fani atakayoiomba na atatakiwa kufanya mitihani mitatu na kufaulu kwa wastani wa daraja B ambapo Mkurugenzi wa Ithibati na Ubora wa Elimu ya Juu kutoka TCU, Dk Savinus Maronga aliliambia Mwananchi kwamba baada ya kuona kuna watu wengi wanaopenda kuendelea na masomo ya elimu ya juu lakini wameshindwa kutokana na kutokuwa na vigezo, TCU imeamua kuanzisha mitihani hiyo maalumu.
Alisema kuwa mfumo huo unaojulikana kama ‘Recognition of Prior Learning’ (RPL), utamwezesha mwombaji kudahiliwa vyuoni kupitia tume hiyo kama wanavyofanya watahiniwa wengine, Sifa zinazotakiwa ili kujiunga…. mwombaji anatakiwa kuwa na umri kuanzia miaka 25 na kuendelea, sambamba na kuwa na elimu isiyopungua darasa la saba, atakiwa kuwa na nia ya kujiunga na elimu ya chuo kikuu na uzoefu wa kile ambacho anakusudia kukisoma, awe na uwezo wa kuandika na kusoma Lugha ya Kiingereza, ambayo ndiyo inayotumika kufundishia vyuoni”

Mkurugenzi amekaririwa akisema “Kuna watu wameishia darasa la saba, lakini wamefanya kazi katika eneo moja, mfano karani wa mahakama, mwandishi wa habari kwa muda mrefu, mfumo huu utawawezesha kuendelea na masomo bila tatizo, kutakuwa na mitihani ya masomo matatu ambayo mtahiniwa ili apate nafasi ya kuendelea na masomo ni lazima afaulu kwa wastani wa daraja B, daraja la kwanza linaloanza na alama A ni 75-100, daraja B+ ni 60-75, B ni 50-59, C ni 40-49, D ni 35-39 na daraja E ni 0-34.

International African Festival Tübingen, Germany 2013, The Largest Extravanganza !

http://www.afrikafestival.net/templates/gkwebdesign_afrikv01/images/header.jpg
African Pilgrimage to Tübingen, Germany 2013 – outdoor & Entry Free
International African Festival Tübingen proudly announces its 2013 season today, bringing together world class African lifestyle, music, food, exciting newcomers to the international stage from 8- 11 august 2013 – African Village (Festplatz) Open-air –Down town Tübingen, Germany
It is the fastest and largest growing Diaspora cultural event transforming the city of Tübingen in south of Germany into a pilgrim city, bringing African Diaspora worldwide irrespective of country of origin, gender and religious background , friends and well wishers of Africa together
More than 100.000 visitors are expected to attend International African Festival Tübingen 2013
This event promises a multi-dimensional exploration of interplay of authentic African culture and lifestyle -150 artists –live- featuring fresh sounds and voices –Ngoma Africa Band, Soweto Entsha, Wamali percussions, street arts, workshops and culinary expression.
The Festival once again invites artist and audiences of all ages to experience African music, arts, culture and party, a mélange between traditional and modern Africa, bringing African hip-hop, Bongo Dansi,Kwaito,Afro-Pop,soukouss and African movies on the international stage
Festival highlights will include- a grandiose opening ceremony lead by African children & youths, celebrities, African ambassadors rep. in Germany under the chairman ship of the Ghana Ambassador, program for families, panel discussion and late night events - the biggest African party in Germany, Stuttgart on Saturday night –form 22 o’clock featuring celebrities and Sunday will be special day for family – special church and Gospel day and closing ceremony
Visual art is at the focus on our Festival and this year the African royal ballet is visiting all the way from Mali featuring Djiby & Basy Kouyate, dance styles and moves to support and build schools in Mali, Christoffel-Blindemission project helping the blind to see in Africa, bongob trust and many more.
Stay updated on www.afrikafestival.net, follow and like us on facebook
For more details you may please contact:
Madam Enie Muyang Tatah,CEO and Founder / Call +49-15210610374 /Email: kontakt@afrikafestival.net