Pages

Msanii Matumaini Anahitaji Msaada, Kwa Siku Anameza Vidonge 39

Matumaini Mchekeshaji na muigizaji wa Tanzania Tumaini Martin ‘Matumaini’ amevunja ukimya kuelezea maendeleo ya afya yake akidai kusumbuliwa na maumivu makali ya miguu kwasasa.

Akiongea na BK Cop leo Matumaini amesema kuwa anaendelea kutumia dozi ingawa hali ya afya yake bado si shwari kutokana na kugulia maumivu makali ya miguu hali inayomfanya ashindwe kutembea.
Msanii huyo ameeleza kuwa kwa siku moja huwa anameza vidonge zaidi ya 39 lakini hapati lishe nzuri kwababu ya kutokuwa na pesa na kujinunulia chakula.
Aidha amedai kuwa wakati alipokuwa msumbiji alipata misaada ya kifedha kutoka kwa wasanii mbalimbali lakini hasaidiwi tena tangu alipofika Tanzania.
‘Niliomba msaada kwenye magazeti ambapo niliacha namba zangu za tigo pesa lakini meseji nyingi nazopokea ni za pole; hata hivyo kuna watu wanadai wametuma kwa namba ya Michael Sangu (Mkt Chama cha waigizaji) ambayo alitoa gazetini lakini mimi sikuwahi kuonana tena na Michael tangu aliponililipia matibabu wakati natoka hospitali’. Alisema Matumaini
Mnamo Februari 9 mwaka huu Matumaini aliruhusiwa kutoka hospitali ya Amana jijini Dar es salaam alipokuwa amelazwa kwa siku tatu tatizo kubwa likiwa ni miguu na alitakiwa kurudi tena hospitali baada ya kumaliza dozi aliyoandikiwa na daktari.

Awali Matumaini alikwenda kuishi nchini msumbiji na kuripotiwa kusumbuliwa na maradhi, lakini alishindwa kutibiwa akiwa huko ambako Naibu Waziri wa Habari vijana na utamaduni na michezo Bw Amos Makalla akishirikiana na baadhi ya wasanii alichukua jukumu la kutoa nauli ya kumrudisha nchini

Gulo

Gulo

Wanafnzi Jijini Dar Wanashinda Kwenye Danguro Hili

Danguro
Mkuu wa Shule ya Sekondari ya Majani ya Chai, Yasinta Assey akionyesha baadhi ya nguo na viatu vya wanafunzi vilivyokutwa katika eneo linalodaiwa kuwa danguro linalotumiwa na wanafunzi wa shule hiyo, jana. Picha na Pamela Chilongola

Kwa ufupi
Mkuu wa Sekondari hiyo, Jasinta Assey alikiri na kusema kwamba vitendo vya uvutaji bangi na biashara ya ukahaba kwa wanafunzi wake, vinachangiwa na askari wa Kituo kidogo cha Stakishari ambao alidai wanachukua rushwa kwa wauzaji wa bangi na nyumba bubu za wageni.
Dar es Salaam. Baadhi ya wanafunzi wa Shule ya Sekondari ya Kata ya Majani ya Chai iliyopo Kipawa jijini Dar es Salaam, wametajwa kujiingiza katika kashfa ya ngono, kuvuta na kuuza bangi katika moja ya nyumba zinazozunguka shule hiyo.
Hilo ni tukio lingine jipya, kwani mwishoni mwa mwaka jana, kuliibuka matukio ya ajabu kwa wanafunzi wa Shule ya Msingi, Ruaruke, Rufiji mkoani Pwani ambao walielezwa kujihusisha na uvutaji bangi hata kukonyeza na kubaka walimu wao.
Mkuu wa Sekondari hiyo, Jasinta Assey alikiri na kusema kwamba...

I've Archieved My Dream: Malala - Taliban Shooting Victim

Birmingham: Malala Yousafzai
From Pakistan to Birmingham: Malala Yousafzai, 15, was gunned down by the Taliban in revenge for her campaigning on girls' education, but began her studies at Edgbaston High School for Girls
The Pakistani teenager nursed back to health in Britain after being gunned down by the Taliban returned to school

 Malala Yousafzai, 15, was shot in the head by extremists opposed to her campaign for girls' education.
She was attacked by gunmen who boarded her school bus in Pakistan last October.
Close to death, she was flown to Britain for treatment, and surgeons at Queen Elizabeth Hospital in Birmingham saved her life.
Malala Yousafzai
ZiauddinFresh start: Malala walked to school in Birmingham accompanied by her father, Ziauddin
She says, 'I am excited that today I have achieved my dream of going back to school,' she said. 'I want all girls in the world to have this basic opportunity. I miss my classmates from Pakistan very much but I am looking forward to meeting my teachers and making new friends here in Birmingham.'

Muuwaji Ameibuka Dar!!

TAARIFA MUHIMU: MuuwajiKuna muuwaji ameibuka jijini Dar es salaam kwa sasa, jana aliuwa mtu mmoja maeneo ya Kinondoni. Amempiga risasi ya kifua Mtu mmoja ndani ya gari alilokuwa anaendesha kwenye Barabara ya Kinondoni, katikati ya Mkwajuni na Magomeni.
Tukio kama hilo lilitokea Juzi kwenye Barabara ya Bagamoyo, Muuwaji huyo ni mwembamba na huendesha Pikipiki.
Ni vyema mkawa makini mnapokuwa mnaendesha Magari, maana chanzo chake kikuu huwa ni kusababisha Ajali na punde unapoanzisha mabishano nae huamua kutoa Bastola na kumpiga risasi Dereva.
Tafadhali, tusaidiane kusambaza ujumbe huu kwa wote tunaowajali na kuwapenda.......!

Bobby Brown has Started his 55-Day Jail Sentence for Drink-Driving

http://www.trbimg.com/img-50881999/turbine/la-et-mg-bobby-brown-arrested-dui-again-201210-001/600 
 The 44-year-old ex-husband of late singing legend Whitney Houston was led away in handcuffs after appearing in court earlier today.
A judge had previously ordered the R&B star to begin his sentence by 20th March, and the star left it until the very last day of the deadline to hand himself in.

He had been given the punishment last month having pleaded no contest to the charges following his arrest in October.
The singer will be placed on probation for four years after completing his spell behind bars.
New Edition star Bobby was also ordered to install a breathalyser on his car to prevent him from starting the engine if he goes over the legal limit.

Langa - Am Supplying (Audio)

https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEh6Qi2HkUxR50CO_7ppOHxeqy_6qSNI2mTHDn44v8r4bqqoHkBmxDmPiPGQmNz8TQvCPwi_Csy-deD4e_cQy-a1kEVt-l1YoX_BtJB8iN13xSQb6FCv8D3IxMN12hVxFfHHRPxvZ6EMzTBd/s1600/164.jpg

Climax Bibo - Geto Boy (Official Video)

Rapper Too Short, Arrested for DUI

http://api.ning.com/files/qF30SjJZiAh9VlbdrqovTzoSDtfdn-dR*L1Hp2Fb2MmXOHzbpZNKAjJn1AI3dNYaBoe0RTuHT0JJ1OJG3JVmzanElYyLNm1q/tooshort.jpg
Rapper Too Short has just been arrested for DUI ... after allegedly attempting to run from police, TMZ has learned.
Law enforcement sources tell TMZ, Short -- real name Todd Anthony Shaw -- was pulled over in L.A. a couple hours ago for some traffic violation ... and when cops approached the vehicle, he appeared under the influence.
Now here's where it gets weird -- when police attempted to administer a breathalyzer test, law enforcement sources tell us Too Short took off ... and tripped as he ran down the street.

Police got their man and placed him under arrest ... then tossed him into a police cruiser.

On the way back to the station, things got even crazier -- we're told Too Short tried to dump narcotics in the back of the cruiser.
Our sources say Too Short blew a .09 ... just over the .08 legal limit.
According to law enforcement sources, Too Short is currently being booked for DUI and felony narcotics possession.

Troublesome '96 - 2pac Alitukana kwa Kiswahili?

Verse II
Gutter ways, my mentality is ghetto
A guerilla in this criminal war, we all rebels
Death before dishonor bet I bomb on 'em first
Niggaz knew we came for murder, pullin' up in a hearse
Westside was the war cry bustin' off freely
Screamin, "F*#k - ALL Y'ALL NIGGAZ" in Swahili
Pistol packin fresh out of jail, I ain't goin' back
Release me to the care, of my heartless strap
Say my name three times like Candyman
Bet I roll on yo' ass like an avalanche
A sole survivor, learned to get high and pull drivebys
Murder my foes, can't control my nine
Hearing thoughts of my enemies pleadin' please
Busta-ass motherfuckers tried to flee
Picture me lettin' this chump survive
Ran up on his ass, when I dumped he died;
Cause I'm Troublesome
      >> sikiliza  kipande 1:20