Odinga Amefikisha Malalamiko Mahakamani
Polisi mjini Nairobi, Kenya, wamefyatua moshi wa kutoza machozi kuwatawanya mamia ya wafuasi wa Waziri Mkuu Raila Odinga, nje ya mahakama makuu.
Mawakili wa Bwana Odinga waliwasilisha kesi mahakamani kupinga matokeo ya uchaguzi mkuu wa mapema mwezi huu, ambapo Bwana Odinga alishindwa kwa kura elfu chache na Bwana Uhuru Kenyatta.
Hapo awali Bwana Odinga aliwasihi wafuasi wake wasijihusishe na vurugu.
Mawakili wa Bwana Odinga wamekwenda mahakamani wakidai kuwa kumepita udanganyifu kwenye uchaguzi.
Soma Jinsi Lulu Alivyo Banwa Twitter Kuhusu Kifo cha Kanumba
Wakati zimebaki siku chache tu kutimia mwaka mmoja tangu msanii marehemu Steven Kanumba afariki dunia, msanii Elizabeth Michael a.k.a Lulu, ambaye bado anakabiliwa na kesi ya mauaji ya bila kukusidia ya msanii huyo, Lulu azungumza...Ikiwa ni kwa mara ya kwanza, Lulu (@hotlulumichael) ametweet maneno kadhaa katika ukurasa wake wa twitter zikionesha na kuthibitisha anavyomkumbuka na k**-miss Marehemu Kanumba.
Cheki tweets zenyewe hapa chini:
Taarifa Kutoka Simba Sports Club
Ndugu wanahabari,
KUMEKUWAPO na taarifa za kufanyika kwa Mkutano Mkuu wa Wanachama wa Simba uliopangwa kufanyika Kesho (Machi 17, 2013) jijini Dar es Salaam kujadili mustakabali wa klabu.
Ikumbukwe kwamba Mkutano Mkuu wa Wanachama ndiyo.. chombo cha juu kabisa cha maamuzi kwa klabu yetu. Katiba ya Simba SC imeupa Mkutano Mkuu hadhi ya juu mno na ndiyo maana imeweka utaratibu wa kufanyika kwake.
Miongoni mwa utaratibu ni kwamba ni lazima uitishwe na Mwenyekiti aliye madarakani wa klabu. Kwa kushirikiana na Kamati ya Utendaji, ndiye atakayepanga ajenda, mahali na..
Nyaya za Transfoma za TANESCO Zenye Thamani ya Tsh.20 Mil Zimekamatwa Dodoma
Kamanda wa Polisi Mkoani Dodoma David A. Misime-ACP
POLISI Mkoani Dodoma inawashikilia watu watatu baada ya kuwakuta wakiwa na nyaya za Transfoma za jumla ya 20 milion mali ya Tanesco.
Nyaya hizo aina ya kopa zenye uzito wa kilo 76 na nusu zilikutwa kwa watu hao baada ya msako wa polisi wakishirikiana na Shirika la umeme Tanzania Tanesco
Kamanda wa polisi mkoa wa Dodoma David Misime alisema nyaya hizo za matumizi ya Transfoma hutumika kwa kufanyia Winding na nyingine ni kwa ajili ya kuzuia Radi [earthing] na kwamba imebainika ziliibiwa maeneo ya kizota na Ihumwa baada ya transfoma zake kuangushwa.
Misime aliwataja waliokamatwa kuwa ni Abdul Bakari 17 mkazi wa Chang'ombe, Stanel Shayo 26 muuza vyuma chakavu Nkuhungu na Peter Kessy 50 mkazi wa Area E manispaa ya Dodoma.
Aliongeza kuwa jeshi hilo linamsaka Jamal Said Sondo wa Chang'mbe Juu aliyekimbia ya mfanyakazi wake Abdul Bakari kukamatwa
Kamanda huyo amewataka wote wanaojihusisha na biashara ya vyuma chakavu wajiepushe na kununua nyaya na vifaa vingine vya Tanesco pamaja na vyuma vyote viavyohusiana na miundo mbinu.
Wakati huohuo Jeshi hilo linamshikilia Denis Sadala 38 mkazi wa Mazase Wilayani Mpwapwa Kwa kumkuta akimiliki Gobore bila kibali, huku likiendelea kumsaka Matagi Charles 33 mkazi wa kijiji hicho aliyekimbia na kutelekza Gobore alilokuwa akimiliki kinyume na Sheria.
POLISI Mkoani Dodoma inawashikilia watu watatu baada ya kuwakuta wakiwa na nyaya za Transfoma za jumla ya 20 milion mali ya Tanesco.
Nyaya hizo aina ya kopa zenye uzito wa kilo 76 na nusu zilikutwa kwa watu hao baada ya msako wa polisi wakishirikiana na Shirika la umeme Tanzania Tanesco
Kamanda wa polisi mkoa wa Dodoma David Misime alisema nyaya hizo za matumizi ya Transfoma hutumika kwa kufanyia Winding na nyingine ni kwa ajili ya kuzuia Radi [earthing] na kwamba imebainika ziliibiwa maeneo ya kizota na Ihumwa baada ya transfoma zake kuangushwa.
Misime aliwataja waliokamatwa kuwa ni Abdul Bakari 17 mkazi wa Chang'ombe, Stanel Shayo 26 muuza vyuma chakavu Nkuhungu na Peter Kessy 50 mkazi wa Area E manispaa ya Dodoma.
Aliongeza kuwa jeshi hilo linamsaka Jamal Said Sondo wa Chang'mbe Juu aliyekimbia ya mfanyakazi wake Abdul Bakari kukamatwa
Kamanda huyo amewataka wote wanaojihusisha na biashara ya vyuma chakavu wajiepushe na kununua nyaya na vifaa vingine vya Tanesco pamaja na vyuma vyote viavyohusiana na miundo mbinu.
Wakati huohuo Jeshi hilo linamshikilia Denis Sadala 38 mkazi wa Mazase Wilayani Mpwapwa Kwa kumkuta akimiliki Gobore bila kibali, huku likiendelea kumsaka Matagi Charles 33 mkazi wa kijiji hicho aliyekimbia na kutelekza Gobore alilokuwa akimiliki kinyume na Sheria.
Na John Banda, Dodoma
Exclusive: Lil Wayne In Critical Condition After More Seizures!
Lil Wayne is in ICU in critical condition after suffering yet another seizure, and we're told it doesn't look good ... TMZ has learned.
We broke the story ... the 30-year-old rapper was rushed to Cedars-Sinai Hospital in L.A. Tuesday night after suffering multiple seizures. He was released Wednesday but just hours later one of his bodyguards found him in his room, on the floor and unconscious.
Wayne was rushed to the hospital again, but this time he did not stabilize. He was taken to ICU, where he was placed in restraints because he was shaking uncontrollably.
We're told Wayne is currently "unstable," and has been placed in an induced coma. He is breathing through tubes.
We're told several people are at Wayne's bedside crying, and a number of rap artists and family members are on the way. Sources say the scene is violent as Wayne shakes uncontrollably.
Sources say there's evidence Wayne went on a Sizzurp binge after being released Wednesday, because doctors found high amounts of codeine in his system.
We're told Wanye's stomach was pumped 3 times to flush the drugs from his system. TMZ
We broke the story ... the 30-year-old rapper was rushed to Cedars-Sinai Hospital in L.A. Tuesday night after suffering multiple seizures. He was released Wednesday but just hours later one of his bodyguards found him in his room, on the floor and unconscious.
Wayne was rushed to the hospital again, but this time he did not stabilize. He was taken to ICU, where he was placed in restraints because he was shaking uncontrollably.
We're told Wayne is currently "unstable," and has been placed in an induced coma. He is breathing through tubes.
We're told several people are at Wayne's bedside crying, and a number of rap artists and family members are on the way. Sources say the scene is violent as Wayne shakes uncontrollably.
Sources say there's evidence Wayne went on a Sizzurp binge after being released Wednesday, because doctors found high amounts of codeine in his system.
We're told Wanye's stomach was pumped 3 times to flush the drugs from his system. TMZ
Meet Uhuru Kenyatta's Victory Speechwriter, She's 22 Years Old
Meet Uhuru Kenyatta's victory speechwriter
She may be only 22 years old, but has already secured her place in Kenya's history.
Juliet Wang'ombe wrote the victory speech Kenya's president elect Uhuru Kenyatta read on Saturday.
The BBC's Anne Soy met up with her and asked how she ended up as a presidential speechwriter
She may be only 22 years old, but has already secured her place in Kenya's history.
Juliet Wang'ombe wrote the victory speech Kenya's president elect Uhuru Kenyatta read on Saturday.
The BBC's Anne Soy met up with her and asked how she ended up as a presidential speechwriter
Subscribe to:
Posts (Atom)
