Pages

MAELEZO YA AWALI YA POLISI NA MAWAKILI BAADA YA LWAKATARE WA CHADEMA KUKAMATWA NA KUPEKULIWA

Chadema,Wilfred Lwakatare Dar es Salaam. Mkuu wa Kitengo cha Usalama wa Chadema,Wilfred Lwakatare jana alikamatwa, akahojiwa na kupekuliwa na polisi kwa tuhuma za uchochezi wa uvunjifu wa amani.

Msemaji wa Jeshi la Polisi, Advera Senso aliliambia Mwananchi jana kuwa Lwakatare alikamatwa kutokana na taarifa zilizopatikana kutoka katika video kwenye mitandao ya kijamii zikimuonyesha akiwahamasisha watu kufanya vitendo vya uvunjifu wa amani au uhalifu. Alipoulizwa mahali na lini alikamatwa Lwakatare, Senso alisema hilo halijalishi, lakini jambo la msingi ni kwamba wako naye kwa ajili ya uchunguzi na hakutaka kuweka bayana ni lini wangemwachia.

Siku nzima ya jana mitandao ilikuwa imetawaliwa na habari ya picha ya video ikimwonyesha Lwakatare akidaiwa kupanga mikakati ya kumteka Mhariri Mtendaji wa Mwananchi, Dennis Msacky. Lwakatare alionekana akitoa maelekezo kwa watu, ambao sura zao hazikuonekana, akiwataka kufuatilia nyendo za Msacky.
Alionyeshwa akiwataka watu hao kumkamata bila ya..
Year: 2003 (Imported this January, 2013), Mileage: Almost 52,000 km, Displacement (CC) 1,790 with VVT-i Engine, Body Type: Station Wagon, Color: Metallic Grey, Fuel: Gasoil/ Petrol, Gear box type: Automatic, Sitting capacity: 7, Motor vehicle license and Insurance validity: Expires January 2014, Other details: All duties paid, Good tires, New Break Pads, No mechanical problems, Serviced upon arrival, In very good shape and condition: Reason for Sale: Bought for a wife who wants 4x4.

PICTURES

IMAG0892IMAG0893  IMAG0885IMAG0890IMAG0891IMAG0896

YOU NEED THIS VEHICLE CALL:
 |  m +255 78 944 4774, +255 75 444 4774

B.O.B Click na Micharazo - Wamekaa (Video)

Tanzania Harlem Shake aka Bongo Shake

Kali TV Online: This week's Around Town

This week, Kali TV attended the new African Film Festival in Silver Spring Maryland and also was invited to Ghana independence party at Vita Lounge in Washington DC.

Suta Ze King ft Pius MC - Moto Bati (Video)

JCB na Steph Waterz ft Raf MC - Hamna Shida (Audio)

JCB na Steph Waterz ft Raf MC

TAZAMA HII VIDEO YA MIKAKATI YA CHADEMA KUFANYA MAUAJI KWA WANAHABARI!!

VIDEO; MIKAKATI YA MATESO YA KIBANDA NA MWANDISHI MWANDAMIZI WA GAZETI LA MWANANCHI; MHUSIKA MKUU HUYU HAPA...
KWA MUDA SASA HAPA TANZANIA KUMEKUWEPO NA MATUKIO YA KUSIKITISHA YA KUTEKA NA KUTESA WANAHARAKATI WA HAKI ZA BINADAMU AKINA MWANGOSI, ULIMBOKA NA WENGINE.. SISI WAZALENDO NA WAPENDA AMANI YA TANZANIA TUNASEMA TUMECHOKA NA SASA BASI TUNAWEKA WAZI KILA KITU ILI UMMA UJUE KINACHOENDELEA..KWELI DAIMA ITAKUWEKA HURU...VIDEO HII INAONYESHA SEHEMU TU YA MATUKIO YALIYOKWISHATEKELEZWA NA CHADEMA , MPANGO MZIMA UKIRATIBIWA NA MKURUGENZI WA ULINZI NA USALAMA WA CHAMA WILLIFRED LWAKATARE KWA MAELEKEZO YA MWENYEKITI MH. MBOWE NA KATIBU MKUU DR SLAA. KATIKA VIDEO HII LWAKATARE ANATOA MAELEKEZO KWA KIJANA WAKE KWENDA KUTEKELEZA UTEKAJI WA MWANDISHI WA KAMPUNI YA MWANANCHI HUKU AKITOLEA MFANO WA MATUKIO AMBAYO CHAMA KILIYATEKELEZA KAMA LILE LA IGUNGA AMBAPO MUSSA TESHA ALIMWAGIWA TINDIKALI NA LILE LA MOROGORO AMBAPO KIJANA MMOJA ALIFARIKI KATIKA VURUGU ZA MAANDAMANO YA CHADEMA AMBAPO POLISI WALITOA TAARIFA KUWA KIJANA HUYO AMEANGUKIWA NA KITU KIZITO. HII VIDEO NI SEHEMU TU YA VIDEO ZINGINE AMBAZO TUTAZITOA WAKATI MUAFAKA UKIFIKA..
Sorce: YouTube

Top Gear is Now Credited on the River Nile Wikipedia Page

BBC Top Gear
In the Africa Special Part 2 episode of Series 19 of the BBC television programme Top Gear, the three presenters (Jeremy Clarkson, Richard Hammond and James May) held a race where the first to find the source would be thought of as the discoverer of the source of the River Nile. The location of the supposed source is suggested to be south west of Lake Victoria, in the Serengeti on a tributary named the Grummeti, on the opposide side of Lake Victoria to where Dr. Burkhart Waldecker (Burundi) and where Joanna Lumley (Rwanda) thought the source was. 
However, this has not been proven, though evidence suggests that this is highly likely by taking into account that the mouth of a river has to flow into a tidal area. The Nile mouth is said to be at Alexandria however this leads out into the Mediterranean Sea which is not tidal meaning that the actual mouth of the Nile is at the Strait of Gibraltar between Spain and Morocco flowing into the Atlantic Ocean. 
Geographically, the source of a river should also be as far away from the mouth as possible. This evidence suggests that the theorem of Dr. Burkhart Waldecker and Joanna Lumley are incorrect and the theory of BBC Top Gear is correct. Though these theorem could all be incorrect as the Top Gear theory has not been proven as the source is the River Nile is still disputed to the present day.
BBC Top Gear