President elect Uhuru Kenyatta went back to his roots in Gatundu . Uhuru, who served as the member of parliament for two terms, returned for the first time to thank the residents for electing him as the fourth president of Kenya. Uhuru accompanied by his family attended a church service in his home area. NTV's Jane Ngoiri was there to witness the occasion.
Ile Harusi ya Mtoto wa Miaka 8 Aliyemuoa Mwanamke wa Miaka 61,Hii Hapa
Mtoto huyu aitwae Sanele amekaririwa akisema “nilimwambia mama yangu, nahitaji kweli kuoa na nimefurahi nimemuoa Helen lakini nikikua nitaoa mwanamke wa umri wangu”
Mama mzazi wa Sanale anasema “babu yake ndio alimchangulia Sanale amuoe Helen kwa sababu yeye(Babu) anampenda, na wamefanya hivyo ili kutimiza maagizo ya wazee wa koo ambao wameshafariki, yani ni kama matambiko”
Honi ya Dalala Yamshtua Mwanafunzi,Aangukia Mtaro wa Maji ya Mvua na Kufariki
Inataarifiwa kuwa watoto hao walikuwa wawili wakipita eneo hilo na kushitushwa na honi ya gari ya daladala iliokuwa ikiwapita, ndipo ikabidi kusogea pembeni. Watoto wale wawili wakateleza katika eneo hilo. Mmoja wao alijitahidi kutoka na kutaka kumuokoa mwezake lakini akashindwa kutokana na nguvu ya maji yaliokuwa yakipita katika mtaro huo unaokatiza barabara.
Jitihada za wananchi zilishindikana kuuopoa mwili huo uliokuwa umeganda katika mtaro huo na kikosi cha zimamoto wakachukua jitihada za kuchimba sehemu ya pili ya barabara hiyo na kuupata.
Wananchi wakiangalia sehemu uliotolewa mwili wa Mwanafunzi wa Darasa la Kwanza wa skuli ya Kijitoupele , baada ya kuteleza na kuingia katika mtaro wa maji na huku mvua ikinyesha na kusababisha kuchukuliwa na maji na kuvutwa katika mtaro huo na kusababisha kifo chake, wakati akienda skuli asubuhi leo.na Picha ya chini ni eneo aliloteleza na kuingia katika mtaro huo katika eneo hilo wananchi wakiangalia baada ya kutolewa.
Gari la Wagongwa la Kikosi cha Uokozi Zanzibar likiondoka sehemu ya tukio baada ya kufanikiwa kuupata mwili wa mwanafunzi wa darasa la kwanza wa skuli ya Kijitoupele, baada ya kuteleza na kuingia katika mtaro huo ulioko katika barabara ya kwenda fuoni eneo la Kijitoupele Zanzibar.
Picha zote, maelezo na taarifa shukrani: Othman Mapara wa ZanziNews blog
Jack Patrick, Jamii Imechoka Kuona Picha Zako za Uchi!!
NI kipindi ambacho sekta ya urembo inakua japo kwa kusuasua Bongo. Leo ngoja nizungumze na modo maarufu Jacqueline Patrick Cliff mwenye hulka ya kujianika utupu kwa asilimia 95 mitandaoni kila kukicha.
Jack ulipata jina uliposhika namba tatu kwenye Miss Ilala na kushiriki Miss Tanzania mwaka 2005/06.
Pia uliuza nyago kwenye video ya mwanamuziki wa Bongo Fleva, Albert Magwea ‘Ngwair’ iliyokwenda kwa jina la She Got A Gwain. Kuanzia hapo jina likawa kubwa na ukawa mwanamitindo maarufu Bongo.
Ni katika kipindi hicho cha umaarufu ukaolewa na mtoto wa aliyekuwa mwanasiasa mkongwe, Abdallah Fundikira, Abdulatif kabla ya jamaa huyo kutupwa nyuma ya nondo za mahabusu ya Keko, Dar akikabiliwa na msala wa kusafirisha mihadarati. Tangu hapo ndoa yenu ilidaiwa kuingia mdudu kwa kuwa wewe hukuwahi kwenda kumuona mumeo mahabusu.
Utambulisho huo unakutosha.
Mara kadhaa Jack uliwahi kuripotiwa kwa picha zisizotazamika kwa watoto na wakubwa. Wiki iliyopita tena ilisambaa picha ukiwa mtupu kwa madai kwamba ni za jarida maarufu.
Sawa, wewe ni modo lakini mbona kuna mamodo wengi ndani na nje ya Bongo hawakai utupu kama wewe?
Mara zote picha zako zikisambaa mitandaoni ukiwa ovyo huwa zinaambata na maandishi kutoka kwako kuwa ‘huna tatizo na mtu’ hivyo unajiachia unavyotaka. Sawa, kila mtu ana uhuru wa kufanya mambo yake lakini wewe sasa umezidi.
Ni juzi tu zilisambaa zile zilizokuonesha ukishikwa vibaya kwenye maungo nyeti wakati wa utengenezaji wa video ya Nataka Kulewa ya Mwanamuziki Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’.
Kuna wenye mtazamo kama wako, wanapenda kukusifia mitandaoni kuwa upo ‘seksi’ lakini matunda yake ni nini? Kwa nini wakusifie wewe wasijiweke wao wakiwa utupu? Wakati mwingine si kila anayekupigia makofi anakupongeza.
Ukitaka kujua, sikiliza milio ya makofi. Mingine ni ya kukukejeli, irekodi halafu isikilize ukiwa umetulia, utagundua ninachokisema. Ni mfano tu hapa hakuna makofi bali maoni ya kukusifia. Yapime. Utajua ni ya kukuchora.
Wakati unaolewa ulijitetea juu ya suala hilo kuwa jamaa anakuoa wewe na siyo picha na pia anajua vyema kazi yako ya mitindo.
Baadaye pia nilikusikia tena ukitoa utetezi dhaifu kuwa unafanya hivyo ili kupata tenda za matangazo. Mbona hayo matangazo hatuyaoni? Au yanatumika wapi? Kuna mtu aliwahi kudai upigaji wa picha hizo una biashara nyuma yake. Je, ni kweli? Mbali na matangazo yasiyoonekana, hiyo biashara nyingine ni ipi?
Nilichojifunza ni kwamba ukiacha wazazi, hata watoto wamechoshwa na picha zako za utupu.
Wanajiuliza, wanajifunza nini kutoka kwako kama dada, mke wa mtu au kioo cha jamii. Wamezichoka! For the love of game!
GLOBAL PUBLISHER
Jack ulipata jina uliposhika namba tatu kwenye Miss Ilala na kushiriki Miss Tanzania mwaka 2005/06.
Pia uliuza nyago kwenye video ya mwanamuziki wa Bongo Fleva, Albert Magwea ‘Ngwair’ iliyokwenda kwa jina la She Got A Gwain. Kuanzia hapo jina likawa kubwa na ukawa mwanamitindo maarufu Bongo.
Ni katika kipindi hicho cha umaarufu ukaolewa na mtoto wa aliyekuwa mwanasiasa mkongwe, Abdallah Fundikira, Abdulatif kabla ya jamaa huyo kutupwa nyuma ya nondo za mahabusu ya Keko, Dar akikabiliwa na msala wa kusafirisha mihadarati. Tangu hapo ndoa yenu ilidaiwa kuingia mdudu kwa kuwa wewe hukuwahi kwenda kumuona mumeo mahabusu.
Utambulisho huo unakutosha.
Mara kadhaa Jack uliwahi kuripotiwa kwa picha zisizotazamika kwa watoto na wakubwa. Wiki iliyopita tena ilisambaa picha ukiwa mtupu kwa madai kwamba ni za jarida maarufu.
Sawa, wewe ni modo lakini mbona kuna mamodo wengi ndani na nje ya Bongo hawakai utupu kama wewe?
Mara zote picha zako zikisambaa mitandaoni ukiwa ovyo huwa zinaambata na maandishi kutoka kwako kuwa ‘huna tatizo na mtu’ hivyo unajiachia unavyotaka. Sawa, kila mtu ana uhuru wa kufanya mambo yake lakini wewe sasa umezidi.
Ni juzi tu zilisambaa zile zilizokuonesha ukishikwa vibaya kwenye maungo nyeti wakati wa utengenezaji wa video ya Nataka Kulewa ya Mwanamuziki Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’.
Kuna wenye mtazamo kama wako, wanapenda kukusifia mitandaoni kuwa upo ‘seksi’ lakini matunda yake ni nini? Kwa nini wakusifie wewe wasijiweke wao wakiwa utupu? Wakati mwingine si kila anayekupigia makofi anakupongeza.
Ukitaka kujua, sikiliza milio ya makofi. Mingine ni ya kukukejeli, irekodi halafu isikilize ukiwa umetulia, utagundua ninachokisema. Ni mfano tu hapa hakuna makofi bali maoni ya kukusifia. Yapime. Utajua ni ya kukuchora.
Wakati unaolewa ulijitetea juu ya suala hilo kuwa jamaa anakuoa wewe na siyo picha na pia anajua vyema kazi yako ya mitindo.
Baadaye pia nilikusikia tena ukitoa utetezi dhaifu kuwa unafanya hivyo ili kupata tenda za matangazo. Mbona hayo matangazo hatuyaoni? Au yanatumika wapi? Kuna mtu aliwahi kudai upigaji wa picha hizo una biashara nyuma yake. Je, ni kweli? Mbali na matangazo yasiyoonekana, hiyo biashara nyingine ni ipi?
Nilichojifunza ni kwamba ukiacha wazazi, hata watoto wamechoshwa na picha zako za utupu.
Wanajiuliza, wanajifunza nini kutoka kwako kama dada, mke wa mtu au kioo cha jamii. Wamezichoka! For the love of game!
GLOBAL PUBLISHER
10 Little Habits that Steal Your Happiness
You ultimately become what you repeatedly do. If your habits aren’t helping you, they’re hurting you. Here are a few examples of the latter that will steal your happiness if you let them:
1. Focusing on everyone’s story except your own. Don’t be so satisfied with the success stories of others and how things have gone for them that you forget to write your own. Unfold your own tale and bring it to life. You have everything you need to become what you are capable of becoming. Incredible change happens when you decide to take control. This means consuming less and creating more. It means refusing to let others do your thinking, talking, and deciding for you. It means learning to respect and use your own ideas and instincts to write your passage.
If you want your life story to soar to new heights, you’ve got to clear a path, reduce the time-sinks and burdens weighing you down, and pick up the things that give you wings. Keep your best wishes and your biggest goals close to your heart and dedicate time to them every day. If you truly care about what you do and you work diligently at it, there’s almost nothing you can’t accomplish.
2. Waiting for the perfect moment.
Don’t buy into the myth of the perfect moment. Moments aren’t perfect; they’re what you make them. So many people wait around for the stars to align to do what they’re here to do. The perfect moment, the perfect opportunity, the perfect state of being, etc. Wake up! These states of...
Kendrick Lamar Is MTV's No. 1 Hottest MC In The Game
MTV's Hottest MC's in the Game list has reached it's conclusion as the final two spots were handed out tonight.
Coming in at No. 2 is Atlanta rapper 2 Chainz. Some people may question Tity Boibeing ranked this high, but there's no denying the fact that he was everywhere in 2012.
His album Based On a T.R.U. Story debuted at No. 1 on the Billboard 200 with sales of147,000 copies in its first week. The project spawned the hits "I'm Different," "No Lie" and "Birthday Song." The album was nominated for Best Rap Album at the 55th Grammy Awards
"No Lie" has since been certified platinum with sales over 1 million.
2 Chainz also appeared on A$AP Rocky's "F*ckin' Problems," Nicki Minaj's "Beez in the Trap," Kanye West's "Mercy" and many more.
Coming in at No. 1 on the list is Compton's Kendrick Lamar. The Top Dawg Entertainment artist came into his own in 2012.
K. Dot's good kid, m.A.A.d city album sold 242,000 copies in its first week and has been certified gold by the Recording Industry Association of America (RIAA).
The project featured the hit singles "Swimming Pools (Drank)" and "Poetic Justice."
Kendrick made guest appearances on A$AP Rocky's "F*ckin' Problems," Birdman's"B-Boyz"; Schoolboy Q's "Blessed" and A$AP's "1 Train."
Congrats to Kendrick on nabbing the top spot.
Subscribe to:
Posts (Atom)




