Pages

Kijana wa Miaka 19 Aliyeshinda Udiwani Kenya

Kibiwota MungeAnaitwa Kibiwott Munge ambae amekua Mkenya wa kwanza mwenye umri mdogo kushinda kiti cha Udiwani na kuwashinda wagombea wengine wote ambao wengine wanalingana na baba yake.
Baba mzazi anasema alianza kumnunulia Munge Magazeti akiwa darasa la nne.

Kwa mapenzi aliyonayo kwa siasa, Munge anasema kwenye bunge la 9 la Kenya alikua ana uwezo wa kutaja majina ya wabunge wote 222, yani anawajua wote kichwani

Kipanya Leo

Kipanya

Dayna nyange ft Blu - Leo (Audio)

Dayna nyange ft Blu

Celta Vigo Sub Drinks Beer on the Bench (Video)

Most footballers' pre-match fluids consist of brightly-coloured isotonic drinks washed down with spring water.
Not so Celta Vigo's Enrique De Lucas, whose choice of beverage was caught on cameras before Celta Vigo's game against Sevilla on Monday.
The Celta substitute sat on the bench cradling a plastic cup of beer. He later came on in the 75th minute of a heavy 4-1 defeat.

Ujumbe kwa Wadau Toka kwa Dayna Nyange

Dayna Nyange. Naitwa Dayna Nyange. mwanamuziki wa bongo fleva. ni mwanamke wa kitanzania. naungana na wanawake wengne duniani kote ktk kuhadhmisha cku ya wanawake duniani. 
Nawashauri wanawake wenzangu juu ya kuji2ma kufanya kaz ili kujipatia maendeleo bila kutegemea wanaume. Naamini wenyewe 2naweza tena bila ata ya kuwezeshwa. Nakupitia siku hii muhmu kwetu. naiomba serikali ya jamhuri ya muungano wa Tanzania kuhakikisha inapambana vilivyo juu ya unyanyasaji wa kijinsia tunaoupata wanawake. hasa ubakaji, ukeketaji na mauaji yanayoendelea zidi yetu, tunaiomba serikali ihakikishe kwamba wahusika wa matukio kama hayo wanachukuliwa hatua za haraka ili kukomesha maovu hayo. 
pia nijukumu la kila mwanamke na Niwajibu wetu kina mama pia na jamii kwa jumla kupambana na majanga haya. tushikamane kujiletea. Tupendandane tushikamane WANAWAKE TUNAWEZA. 
 by dayna nyange.

50 Cent - Hustler's Ambition (Video)

Scam Series #14

Scam Series #14
Dear Sir/Madam,
Greeting to you. This is just a short true note about your unpaid fund, therefore, you need to relax and read very well to your best understanding. I am Mr.Anwarul Quaium, A computer scientist hired from Bangladesh to work with Central Bank of Burkina Faso because of my ability to operate computerized activities. I am 25 years old, just started working with C.B.B. I came across your file which was marked 'X' and your released disk painted RED, I took time to study it and found out that you have paid VIRTUALLY all fees but the fund was not released to you.

My boss in collaboration with the Governor of Central Bank of Burkina Faso (CBB) has refused to tell you the truth on how to claim your fund. This is because they have been using the interest accumulated from your fund every year to enrich themselves without your knowledge, instead they allow you spend money unnecessarily, I do not intend to work here all the days of my life, I can make the funds be released to you if you can certify me of my security and assure me that when I make the release, you will settle me.

Infect, I needed to do this because you need to know the status of your Funds and cause for the delay as well being in your shoe, Please this is like a Mafia setting in Burkina Faso, you may not understand it because...

Jiamini! Campaign Champion Talks About Mother’s Day

Meet Susan Zorro, the wife of legendary Tanzanian musician Banana Zorro.
“There’s nothing I’m prouder of than being the mother of two children, Randy (4) and Jermeine (2). I love my kids more than anything in this world,” Susan declared during an interview celebrating Mother’s Day.

Susan and Banana believe that it is very important that they make decisions for their family and raise their children together. And no decision has been more important than their choice to adopt a modern method of family planning.
“My husband and I worked together to select and use a family planning method that is suitable for us,” explains Mrs. Zorro. “As a mother, I feel happy that my husband supported me in my decision about the use of family planning methods [especially as there are many] men who do not support their partners [on this issue].”

Vocal advocates for family planning, Susan and Banana Zorro are champions for the Jiamini! Campaign, a new family planning (FP) campaign, led by the Ministry of...

Zanzibar International Film Festival 2013 - Call for Submissions

Zanzibar International Film Festival

Goodwill Ambassador Angélique Kidjo Visits Child Mothers in Tanzania

Angelique Kidjo
Angelique Kidjo having a playful moment with one of the children at the Temeke Vocational Centre.

DAR ES SALAAM, Tanzania, West African singer and UNICEF Goodwill Ambassador Angélique Kidjo recently visited Tanzania to highlight issues related to girls’ education, particularly early pregnancies, which have forced many girls to drop out of school.
“I feel very sad when I see these young girls, because being a mother at that age isn’t easy – even at 30 it’s not easy,” Ms. Kidjo said as she sat in front of a group of child mothers at the Temeke Vocational Centre in Dar es Salaam.

Second chance
In Tanzania, one in four girls under the age of 18 has already had their first child. Most of these girls were...