Pages

Padri Anusurika Kutekwa

ALAZIMIKA KUJIFICHA NYUMBANI KWA WATU
PADRI wa Kanisa Katoliki Jimbo Kuu la Mwanza, Alfonce Twimann’ye mwishoni mwa wiki alilazimika kujificha katika nyumba ya watu baada ya kukimbizwa na watu wasiojulikana eneo la Nyakato mkoani Mwanza.

Habari za kuaminika na zilizothibitishwa na padri huyo maaarufu kwa mahubiri mkoani hapa, zimesema kuwa watu wawili waliokuwa katika pikipiki, walimwandama wakati akielekea Kitongoji cha Mahina kutoa huduma za kiroho kwa mmoja wa waamini wa Kanisa Katoliki.

Akizungumza na Tanzania Daima Jumamosi kwa njia ya simu, Padri Alfonce alisema akiwa katika kituo kimoja cha mafuta eneo la Nyakato wiki iliyopita, alishangaa kuona kwa mbali kikundi cha watu kikimtazama na baadhi yao wakioneshana vidole kumwelekea alipokuwa ameegesha gari.

Padri huyo aliongeza kuwa, wakati anaondoka baada ya kuweka mafuta katika gari, watu wawili waliokuwa katika pikipiki walimfuata, kwa mwendo wa kasi jambo lililompa wasiwasi.
“Nilipata hofu na kuongeza mwendo huku nikijitahidi kuzuia wasinipite, na kubadili mwelekeo na kuingia mtaa mwingine.
“Watu hao nao walikata kona na kunifuata, wakijaribu...

Siri ya Mtungi Sehemu ya 7

Maisha yanakuwa magumu kwa Cheche hasa pale Lulu anapoanza kumsumbua kwa kumhitaji. Inabidi sasa apambane na maswali yenye ukweli kutoka kwa Shoti, kuhusu mazingira ya uhusiano wake na shangingi lile, pamoja na kero kubwa toka kwa rafiki yake Dafu anayeyaingilia maisha yake. Mke wake, Cheusi, naye anapata utulivu wa akili toka kwa muuza urembo wa mitaani.
Mabadiliko makubwa yanatokea kwenye maisha ya Nusura pale anapojitayarisha kuolewa na Mzee Kizito. Mpenzi wake, Duma ni wa mwisho kujua kuhusu ndoa hiyo. Na pale anapofahamu hilo toka kwa Masharubu, baba yake Nusura, kunazuka tatizo kubwa.

Farm to Fridge - The Truth Behind Meat Production (Video)

Mercy For Animals presents Farm to Fridge. Narrated by Oscar-nominee James Cromwell, this powerful film takes viewers on an eye-opening exploration behind the closed doors of the nation's largest industrial farms, hatcheries, and slaughter plants -- revealing the often-unseen journey that animals make from Farm to Fridge.

The Most Amazing Ball Skills Ever!

Orphaned Girl Starts University in Zimbabwe Aged 14

Aged 14
Maud Chifamba, middle, started her studies in accounting September 10 at the University of Zimbabwe. Aged 14, she is the country's youngest ever university student.

STORY HIGHLIGHTS
-14-year-old Maud Chifamba has been admitted to the University of Zimbabwe
-Maud, who is studying to be an accountant, is the youngest ever student in the country
-Unable to pay her school fees, the orphaned girl had to study alone at home
-She is being described as "confident, efficacious and unique"

She grew up in grinding poverty, losing both her parents at a tender age but 14-year-old whizz-kid Maud Chifamba has defied adversity and hardship to break academic records.

Against all odds, the extremely bright teenager has written history as last week she became the...

Angalia Sehemu Alipokua Analazwa Yule Binti Alietekwa kwa Miezi 4


 Huyu ni mmoja wa vijana watatu waliokamatwa, walitoka Kigoma kuja Kibaha kufanya kazi ya ulinzi kwenye mashamba, huyu mkazi wa kibaha kijiji cha kidimu anashikiliwa na polisi kwa kosa la kumteka msichana wa hapo kijijini kwa miezi minne kabla ya ishu kufumuka february 26 baada ya binti kupata upenyo na kutoroka.

Kwenye hayo matofali hapo ndipo alipokua analazwa binti alietekwa na kutumika kingono, mwanaume alikua akimaliza haja yake ndio anamrudisha humo ndani, vijana waliohusika ni watatu na wanashikiliwa na polisi tayari kwa kufikishwa mahakamani, stori itaendelea leo kwenye Leo Tena ya Clouds Fm.


Huyu ndio binti mwenyewe wa miaka 16 alietekwa, alipata ujauzito wa miezi miwili lakini vijana hao wakautoa kwa kutumia majani ya cha.
Akionyesha sehemu aliyokua analazwa.

Huyu binti alipotea toka novemba 2012 na alishatafutwa kila sehemu ikiwa ni pamoja na waganga kutumika, wazazi walishaomba sana kanisani na kukata tamaa wakijua binti yao ameshakufa mpaka wakaweka msiba kabisa.

Account Feki ya Tanesco Twitter, Matusi Kibao

Tanesco Twitter,
Tanesco Twitter,

Hotuba ya Rais Kikwete ya Mwisho wa Mwenzi Februari 2013

Mtendaji Mkuu TAZARA Ameachia Ngazi

TAZARA) Bw. Akashambatwa Mbikusita-Lewanika,
Mtendaji Mkuu wa Mamlaka ya Reli ya Tanzania na Zambia (TAZARA) Bw. Akashambatwa Mbikusita-Lewanika, hatimaye ameachia ngazi baada ya kuendesha kampeni kali ya miezi kadhaa kutaka aendelee kuongoza Mamlaka hiyo kwa miaka mingine mitatu.
Hatua hiyo ya kuachia ngazi imekuja baada ya Bodi ya Wakurugenzi na Baraza la Mawaziri la Mamlaka hiyo kuonyesha dhahiri kutotaka Mzambia huyo aendelee na uongozi wa TAZARA kutokana na utendaji wake mbovu na uongozi mbaya uliowabagua wafanyakazi wa Mamlaka hiyo kwa misingi ya utaifa wao.

Habari za ndani za Mamlaka hiyo zimesema Bw. Akashambatwa ambaye kipindi chake cha uongozi kiliisha tarehe 22 Januari, 2013 kiliongezwa kwa maombi maalum ya Serikali ya Zambia kwamba Serikali hiyo ilihitaji muda mrefu kidogo kumpata mbadala wake, licha ya Serikali ya Tanzania kutoridhishwa na utendaji wake.
Katika kikao chake cha tarehe 20 Februari, 2013 jijini Lusaka, Zambia, Baraza la ...

Sema Wewe