Krokodil: Russia's Deadliest Drug (NSFW)
A homemade drug called Krokodil is gaining popularity in Siberia and its effects on users are horrific. Krokodil is Russian for Crocodile, because of the way addicts' skin begins to get turn scaly, dry and eventually rot right off their bodies. Even most heroin users are frightened by Krokodil and want nothing to do with this terrifying drug.
A Baby was Found Chewing on the Dead Snake

The infant, Imad Gadir, whose family resides in Shfaram, was not hurt when he bit the unlucky coin snake, but was taken to Haifa's Ramabam Medical Center, just in case.
According to Imad's grandfather, Shaheen Shaheen, who recalled the family's tumultuous morning, the boy woke up when his father left for work at 6:30 am. The 1-year-old left his parents' bed and headed to his room, where he found the 35-centimeter (13-inch) snake. He then grabbed it and bit its head off.
"It wasn't a pretty sight," Shaheen said. "He's a baby, he didn't know what he was doing. He thought it was a game. I don't wish this kind of thing on anyone."
When Imad's mother realized what had happened she began screaming, until a neighbor jumped the house's fence, entered the room and snatched the snake out of the boy's hand. "I went to the kitchen to get him some milk, and when I came back I saw he was already eating," the mother, Alain, said. "I screamed until the neighbors came. I still can't believe what I saw."
Veteran snake-catcher Eli Cohen said he has never come across a case of this kind.
"I guess the kid acted out of a childish instinct when he put the snake in his mouth," he said. "Luckily for him, the coin snake isn't poisonous, otherwise it could have ended in a tragedy."
Eli Cohen, the owner of a pest control company, estimated that the snake was three years old, and said that his bite often hurts but is not dangerous to anyone who isn't allergic to it. He said that this type of reptile chokes his prey. "If it was a bigger snake, the boy could have been strangled."
Wauweni Maaskofu na Mapadre: Sheikh Ilunga (Video)
Tazama Sheikh Ilunga Hassan akiwahamasisha Waislam Juu ya Kulipa Kisasi.
Bugatti ft. Future, Rick Ross -Ace Hood (Video)
Music video by Ace Hood performing Bugatti. (C) 2013 Cash Money Records Inc. under exclusive license to Republic Records, a division of UMG Recordings, Inc.
Mdahalo wa Bloggers Kuhusu Kucopy na Kupaste!

Ahmad Michuzi:- ASANTEEEE...! MIMI NILIISHASEMA SANA KUHUSU HILI JAMBO,NAONA TUSHIRIKIANE TU KUHIMIZANA KUWA WABUNIFU NA KUJITUMA,TUACHE TABIA YA MLO MMOJA BILA YA KUONGEZA MATUNDA,MATOKEO YAKE TUTAKOSA AFYA NA KUANZA KUCHEKWA HUKO NJE,MLO MMOJA TUONGEZE NA MATUNDA ILI KUJENGA AFYA,SUALA LA TUNDA LIPI WEWE NDIYE UTAKAEAMUA,LIPI LINAKUFAA.
Joseph Lukaza:- asante sana na wewe kwa kutoa lililola moyoni sufiani maana sisi wengine tushaliongelea sana hadi kufikia hatua ya kuchukiwa na baadhi ya watu wenye blogs hizo za kukopy na kupaste.Inaweza kuisaidia pia.Mfano jana Nimepiga picha kuhusu wafuasi wa Shekhe Ponda kisutu Sekunde tu nishaziona Sehemu tena Bila hata Credit
Issa Michuzi:- Pamoja na kwamba sitaki kuchukua upande katika hili, ila naungana mkono na Mbeya Yetu.
Na kwa kuwa wote letu ni kupasha habari iko haja kuketi na kutafakari maana tusigombee fito wakati tunajenga nyumba moja. Ni kweli inakatisha tamaa ila mie binafasi niliacha kulalama siku kibao kwani nilikuja kumaizi kwamba anayenyofoa kazi yangu hunipromoti pia.Yaani msomaji akiikuta habari aliyoiona kwangu harudi tena kwa aliyeCopy kwanini asipate vitu original?
Pia kaka Sufiani wewe (na mimi na wengine tunaofanya kazi ofisi za umma) ulitakiwa uwe wa mwisho kulalama, maana kama alivyosema Mbeya Yetu, kama ukiacha kutuma picha za Mkuu itasaidia nini?
Cha msingi hapa ni kulazimisha kila anyetumia kazi ya mtu aseme alikoitoa. kinyume cha hapo huyo ni mwizi na mgomvi nasi tutamtenga.
hayo ni mawazo yangu binfasi ila nangoja toka kwa wengine.
MM
Mbeya Yetu:- Asante kwa ujumbe wako lakini kumbuka ulimwengu wa dijitali ni tofauti na ulimwengu wa analojia wa magazeti. Mbeya yetu haiungani na ujumbe ulio andika kwa jazba. Na tunapenda kusema tuu kama ushauri kwamba kama unaona kazi zako zinaibiwa basi weka water mark katikati ya picha kisha pale chini andika ukitaka picha isiyo na watermark wawasiliane nawe.
Pia jambo jengine la msingi ni kwamba habari hizi umelalamika za kufanana basi tunaomba na wewe ili kuondoa hilo usiwe unatuma story mfano zinazofanana kwa bloggers wengine hii itasaidia sana, hawa wa kukopy na kupaste kila siku ndo story hii hii tuu.
Ukitaka ku fight fanya mambo kwa akili na si kwa kutumia maguvu . Weka water mark tuu mwisho kabisa sisi sote lengo ni moja kufikisha ujumbe
Joseph Lukaza:- asante sana na wewe kwa kutoa lililola moyoni sufiani maana sisi wengine tushaliongelea sana hadi kufikia hatua ya kuchukiwa na baadhi ya watu wenye blogs hizo za kukopy na kupaste.Inaweza kuisaidia pia.Mfano jana Nimepiga picha kuhusu wafuasi wa Shekhe Ponda kisutu Sekunde tu nishaziona Sehemu tena Bila hata Credit
Issa Michuzi:- Pamoja na kwamba sitaki kuchukua upande katika hili, ila naungana mkono na Mbeya Yetu.
Na kwa kuwa wote letu ni kupasha habari iko haja kuketi na kutafakari maana tusigombee fito wakati tunajenga nyumba moja. Ni kweli inakatisha tamaa ila mie binafasi niliacha kulalama siku kibao kwani nilikuja kumaizi kwamba anayenyofoa kazi yangu hunipromoti pia.Yaani msomaji akiikuta habari aliyoiona kwangu harudi tena kwa aliyeCopy kwanini asipate vitu original?
Pia kaka Sufiani wewe (na mimi na wengine tunaofanya kazi ofisi za umma) ulitakiwa uwe wa mwisho kulalama, maana kama alivyosema Mbeya Yetu, kama ukiacha kutuma picha za Mkuu itasaidia nini?
Cha msingi hapa ni kulazimisha kila anyetumia kazi ya mtu aseme alikoitoa. kinyume cha hapo huyo ni mwizi na mgomvi nasi tutamtenga.
hayo ni mawazo yangu binfasi ila nangoja toka kwa wengine.
MM
Mbeya Yetu:- Asante kwa ujumbe wako lakini kumbuka ulimwengu wa dijitali ni tofauti na ulimwengu wa analojia wa magazeti. Mbeya yetu haiungani na ujumbe ulio andika kwa jazba. Na tunapenda kusema tuu kama ushauri kwamba kama unaona kazi zako zinaibiwa basi weka water mark katikati ya picha kisha pale chini andika ukitaka picha isiyo na watermark wawasiliane nawe.
Pia jambo jengine la msingi ni kwamba habari hizi umelalamika za kufanana basi tunaomba na wewe ili kuondoa hilo usiwe unatuma story mfano zinazofanana kwa bloggers wengine hii itasaidia sana, hawa wa kukopy na kupaste kila siku ndo story hii hii tuu.
Ukitaka ku fight fanya mambo kwa akili na si kwa kutumia maguvu . Weka water mark tuu mwisho kabisa sisi sote lengo ni moja kufikisha ujumbe
Ukumbi: Sufiani Mafoto
Subscribe to:
Posts (Atom)