Rais Kikwete Asisitiza Kuwa Vitambulisho Vya Taifa Havitauzwa.
Rais Jakaya Kikwete amesema serikali itagharamia gharama zote za mamlaka ya vitambulisho vya taifa nchini NIDA ili kuondokana na changamoto zilizojitokeza awali huku akiwataka watendaji wakuu na watumishi wa NIDA wawe wazalendo na waaminifu kwa kuepuka kutoa vitambulisho kwa watu wasiostahili.
Father and Son Built Underground Cannabis Factory Back Garden
David Mundy and his son built a secret underground cannabis factory 12ft beneath their back garden.
David Mundy, 54, spent hours digging out the den – dubbed a ‘potting shed’ – at the rear of his property in Pendlebury, helped by son Anthony, 29.
The pair were each given a 15-week suspended sentence by Manchester Crown Court for production of a class B drug. They were also ordered to carry out 80 hours of unpaid work.
Now David Mundy has been ordered to pay back more than £13,000 he made from selling the drugs.
A confiscation hearing was told that officers raided the family home in October 2011 after a tip-off and discovered the underground entrance beneath the paving flag.
They found concealed ladders leading to the underground farm, running under the hillside on the East Lancashire Road.
The cavern contained 17 plants worth more than £8,000.
The confiscation hearing was held under the Proceeds of Crime Act at Manchester Crown Court. It was found that Mundy had made £13,480 from his secret drug business. If he fails to repay the cash within ...
David Mundy, 54, spent hours digging out the den – dubbed a ‘potting shed’ – at the rear of his property in Pendlebury, helped by son Anthony, 29.
The pair were each given a 15-week suspended sentence by Manchester Crown Court for production of a class B drug. They were also ordered to carry out 80 hours of unpaid work.
Now David Mundy has been ordered to pay back more than £13,000 he made from selling the drugs.
A confiscation hearing was told that officers raided the family home in October 2011 after a tip-off and discovered the underground entrance beneath the paving flag.
They found concealed ladders leading to the underground farm, running under the hillside on the East Lancashire Road.
The cavern contained 17 plants worth more than £8,000.
The confiscation hearing was held under the Proceeds of Crime Act at Manchester Crown Court. It was found that Mundy had made £13,480 from his secret drug business. If he fails to repay the cash within ...
Mtanzania Ramadhani Shauri Apewa Nafasi ya Kugombea Ubingwa wa Dunia wa IBF
TAARIA KWA UMMA
FEBRUARY 6, 2013
DAR-ES-SALAAM, TANZANIA
Bingwa wa IBF katika bara la Afrika uzito wa unyoya (Featherweight) Ramadhani Shauri amepewa nafasi ya kugombea ubingwa wa dunia wa IBF kwa vijana walio chini ya miaka 25 uzito wa Lightweight. Shauri ambaye alishinda taji la ubingwa wa IBF katika bara la Afrika mwaka jana baada ya kumpiga bondia Sunday Kizito wa Uganda ana rekodi ya mapambano 17.
IBF imeamua kumpatia Shauri nafasi ya kugombea ubingwa huo wa dunia kwa vijana baada ya kuangalia mkanda wa video wa pambano lake la ubingwa wa Afrika na kuridhika kuwa anaweza kushindania ubingwa huo wa vijana,
Mabondia wengi wa Marekani ambao walikuja kuwa mabingwa wa dunia na kuweza kupata pesa nyingi walianza kuwa mabingwa wa dunia kwa vijana na hivyo kuweza kupanda chati kwenye viwango vya IBF. Mbondia hao ni kama Bernard Hopkins, Floyd Maywealther na Oscar De la Hoya.
Kama Shauri atashinda na kuwa bingwa wa dunia upande wa vijana atakuwa kwenye macho ya mapromota wakubwa duniani kama kina Dong King, Bob Arum na wengine wengi. Nafasi kama hii inaipa nchi ya Tanzania nafasi nzuri sana ya kujitangaza kibiashara na utalii kwani dunia inaiona kuwa kati ya nchi zinazotoa mabingwa wa dunia.
Kama Shauri atashinda taji hili atakuwa Mtanzania wa kwanza tangu historia ya ngumi nchini kuweza kushinda taji la shirikisho kubwa kati ya manne duniana ambayo ni IBF, WBA, WBO na WBA.
Shiriksiho la Ngumi la Kimatafia Afrika (IBF/Africa) ambalo lina makao yake makuu ya kuhudumia bara la Afrika, Ghuba ya Uajemi na Mashariki ya Kati ndilo lililomtafutia Shauri nafasi aliyopata.
IBF/Africa inawahamasisha Watanzania walio na mapenzi mema na nchi yao pamoja na makampuni mbalimbali bifsi ya umma yajitokeze kwa wingi kumpatia Shauri ufadhili wa kuweza kuligombea taji hili.
Mungu mbariki bondia Ramadhani Shauri, Mungu ibariki Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Amen.
Imetolewa na:
UTAWALA
Shiriklisho la Ngumi la Kimataifa Afrika (IBF/Africa)
Dar-Es-Salaam, Tanzania
FEBRUARY 6, 2013
DAR-ES-SALAAM, TANZANIA
Bingwa wa IBF katika bara la Afrika uzito wa unyoya (Featherweight) Ramadhani Shauri amepewa nafasi ya kugombea ubingwa wa dunia wa IBF kwa vijana walio chini ya miaka 25 uzito wa Lightweight. Shauri ambaye alishinda taji la ubingwa wa IBF katika bara la Afrika mwaka jana baada ya kumpiga bondia Sunday Kizito wa Uganda ana rekodi ya mapambano 17.
IBF imeamua kumpatia Shauri nafasi ya kugombea ubingwa huo wa dunia kwa vijana baada ya kuangalia mkanda wa video wa pambano lake la ubingwa wa Afrika na kuridhika kuwa anaweza kushindania ubingwa huo wa vijana,
Mabondia wengi wa Marekani ambao walikuja kuwa mabingwa wa dunia na kuweza kupata pesa nyingi walianza kuwa mabingwa wa dunia kwa vijana na hivyo kuweza kupanda chati kwenye viwango vya IBF. Mbondia hao ni kama Bernard Hopkins, Floyd Maywealther na Oscar De la Hoya.
Kama Shauri atashinda na kuwa bingwa wa dunia upande wa vijana atakuwa kwenye macho ya mapromota wakubwa duniani kama kina Dong King, Bob Arum na wengine wengi. Nafasi kama hii inaipa nchi ya Tanzania nafasi nzuri sana ya kujitangaza kibiashara na utalii kwani dunia inaiona kuwa kati ya nchi zinazotoa mabingwa wa dunia.
Kama Shauri atashinda taji hili atakuwa Mtanzania wa kwanza tangu historia ya ngumi nchini kuweza kushinda taji la shirikisho kubwa kati ya manne duniana ambayo ni IBF, WBA, WBO na WBA.
Shiriksiho la Ngumi la Kimatafia Afrika (IBF/Africa) ambalo lina makao yake makuu ya kuhudumia bara la Afrika, Ghuba ya Uajemi na Mashariki ya Kati ndilo lililomtafutia Shauri nafasi aliyopata.
IBF/Africa inawahamasisha Watanzania walio na mapenzi mema na nchi yao pamoja na makampuni mbalimbali bifsi ya umma yajitokeze kwa wingi kumpatia Shauri ufadhili wa kuweza kuligombea taji hili.
Mungu mbariki bondia Ramadhani Shauri, Mungu ibariki Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Amen.
Imetolewa na:
UTAWALA
Shiriklisho la Ngumi la Kimataifa Afrika (IBF/Africa)
Dar-Es-Salaam, Tanzania
Job Vacancies Apply Now
UNITED NATIONS DEVELOPMENT PROGRAMME
DRIVERSLocation : Dar es Salaam
Contract : Fixed Term Appointment
QUALIFICATIONS
- Secondary Education supplemented with a Certificate from a Technical/ Vocational School
- Valid Driving Licence - Class "C"
- Two or three years work experience as a driver, safe driving record, knowledge of driving rules and regulations and skills in minor vehicle repair
-Fluency in English and Kiswahili languages
MODE OF APPLICATION
Interested candidates, please apply through this link CLICK HERE. You are encouraged to read the detailed Terms of Reference before applying.
Note : After initial submission, you will be prompted to upload your CV please upload a copy of updated P11 Form instead of a CV. P11 form is mandatory.
Deadline : 19th February, 2013
Your Personality Depends On How You Sleep At Night
It is probably safe to say that most of you do not think much about the way you get your Zzzs at night. But would you if you knew that the way you sleep could tell a lot about the type of personality you have?
According to body language expert Robert Phipps, the way people sleep at night actually determines a lot about the type of personality they have. In a new study on the topic, Phipps has identified four sleeping positions that affect personality.
“Our sleeping position can determine how we feel when we wake,” said Phipps.
The study was carried out as part of a survey for Premier Inn, one of the largest hotel chains in the UK. Hotel spokeswoman Claire Haigh said ...
Slaa: Hakuna Mbunge Yoyote wa CHADEMA Atakayehojiwa na Kamati ya Bunge -Video
Katibu Mkuu wa CHADEMA Dr. Willbrod Slaa amesema CHADEMA kimechoshwa na uonevu na ukiukwaji mkubwa wa Kanuni unaofanywa na kiti cha Spika. Amesema hakuna Mbunge yoyote wa CHADEMA atakayeenda kuhojiwa na Kamati ya Bunge mpaka hapo rufaa zote 10 za Wabunge wa CHADEMA dhidi ya kiti cha Spika zitakapojibiwa
Subscribe to:
Posts (Atom)