Pages

Mtanzania Ramadhani Shauri Apewa Nafasi ya Kugombea Ubingwa wa Dunia wa IBF

TAARIA KWA UMMA
FEBRUARY 6, 2013
DAR-ES-SALAAM, TANZANIA
Bingwa wa IBF katika bara la Afrika uzito wa unyoya (Featherweight) Ramadhani Shauri amepewa nafasi ya kugombea ubingwa wa dunia wa IBF kwa vijana walio chini ya miaka 25 uzito wa Lightweight. Shauri ambaye alishinda taji la ubingwa wa IBF katika bara la Afrika mwaka jana baada ya kumpiga bondia Sunday Kizito wa Uganda ana rekodi ya mapambano 17.

IBF imeamua kumpatia Shauri nafasi ya kugombea ubingwa huo wa dunia kwa vijana baada ya kuangalia mkanda wa video wa pambano lake la ubingwa wa Afrika na kuridhika kuwa anaweza kushindania ubingwa huo wa vijana,
Mabondia wengi wa Marekani ambao walikuja kuwa mabingwa wa dunia na kuweza kupata pesa nyingi walianza kuwa mabingwa wa dunia kwa vijana na hivyo kuweza kupanda chati kwenye viwango vya IBF. Mbondia hao ni kama Bernard Hopkins, Floyd Maywealther na Oscar De la Hoya.
Kama Shauri atashinda na kuwa bingwa wa dunia upande wa vijana atakuwa kwenye macho ya mapromota wakubwa duniani kama kina Dong King, Bob Arum na wengine wengi. Nafasi kama hii inaipa nchi ya Tanzania nafasi nzuri sana ya kujitangaza kibiashara na utalii kwani dunia inaiona kuwa kati ya nchi zinazotoa mabingwa wa dunia.
Kama Shauri atashinda taji hili atakuwa Mtanzania wa kwanza tangu historia ya ngumi nchini kuweza kushinda taji la shirikisho kubwa kati ya manne duniana ambayo ni IBF, WBA, WBO na WBA.
Shiriksiho la Ngumi la Kimatafia Afrika (IBF/Africa) ambalo lina makao yake makuu ya kuhudumia bara la Afrika, Ghuba ya Uajemi na Mashariki ya Kati ndilo lililomtafutia Shauri nafasi aliyopata.

IBF/Africa inawahamasisha Watanzania walio na mapenzi mema na nchi yao pamoja na makampuni mbalimbali bifsi ya umma yajitokeze kwa wingi kumpatia Shauri ufadhili wa kuweza kuligombea taji hili.

Mungu mbariki bondia Ramadhani Shauri, Mungu ibariki Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Amen.
Imetolewa na:
UTAWALA
Shiriklisho la Ngumi la Kimataifa Afrika (IBF/Africa)
Dar-Es-Salaam, Tanzania

Kipanya Leo

Kipanya

Job Vacancies Apply Now

UNITED NATIONS DEVELOPMENT PROGRAMME
DRIVERS
Location : Dar es Salaam
Contract : Fixed Term Appointment

QUALIFICATIONS
- Secondary Education supplemented with a Certificate from a Technical/ Vocational School
- Valid Driving Licence - Class "C"
- Two or three years work experience as a driver, safe driving record, knowledge of driving rules and regulations and skills in minor vehicle repair
-Fluency in English and Kiswahili languages

MODE OF APPLICATION
Interested candidates, please apply through this link CLICK HERE. You are encouraged to read the detailed Terms of Reference before applying.
   Note : After initial submission, you will be prompted to upload your CV please upload a copy of updated P11 Form instead of a CV. P11 form is mandatory.

Deadline : 19th February, 2013

Your Personality Depends On How You Sleep At Night

Curled up in fetal position, hugging a pillow. How do you sleep at night? Do you sleep on your tummy with limbs out-stretched? Do you lay curled up in a fetal position? Or do you sleep like a log?
It is probably safe to say that most of you do not think much about the way you get your Zzzs at night. But would you if you knew that the way you sleep could tell a lot about the type of personality you have?
According to body language expert Robert Phipps, the way people sleep at night actually determines a lot about the type of personality they have. In a new study on the topic, Phipps has identified four sleeping positions that affect personality.
“Our sleeping position can determine how we feel when we wake,” said Phipps.
The study was carried out as part of a survey for Premier Inn, one of the largest hotel chains in the UK. Hotel spokeswoman Claire Haigh said ...

Slaa: Hakuna Mbunge Yoyote wa CHADEMA Atakayehojiwa na Kamati ya Bunge -Video

Katibu Mkuu wa CHADEMA Dr. Willbrod Slaa amesema CHADEMA kimechoshwa na uonevu na ukiukwaji mkubwa wa Kanuni unaofanywa na kiti cha Spika. Amesema hakuna Mbunge yoyote wa CHADEMA atakayeenda kuhojiwa na Kamati ya Bunge mpaka hapo rufaa zote 10 za Wabunge wa CHADEMA dhidi ya kiti cha Spika zitakapojibiwa

Deni la taifa. Kila Mtanzania Anadaiwa Sh450,000

 Deni la taifa
Baada ya Rais Jakaya Kikwete kutangaza matokeo ya sensa, inayokaribia watu 45 milioni, siku chache baadaye deni la taifa lilitangazwa kufikia Sh21 trilioni huku katika wastani kila mtu akidaiwa Sh467,404. Fedha hizo zinatokana na mkopo baada ya Serikali kukopa kwa ajili ya kujenga miundombinu kama barabara, bomba la gesi, mishahara ya wafanyakazi, na miradi mingine. Kwa mujibu wa taasisi isiokuwa ya kiserikali ya Tanzania Coalition on Debt and Development (TCDD), serikali inadaiwa ‘mzigo wa madeni’ unaofika Sh21 trilioni.
Mkurugenzi wa taasisi hiyo Hebroni Mwakagenda, anafafanua kwamba Serikali inakopa fedha hizo Benki Kuu (BoT), Benki za Biashara, Kampuni za Bima na Mashirika ya Hifadhi za Jamii, Benki ya Dunia (WB), Benki ya Maendeleo Afrika (ADB) na Shirika la Fedha Ulimwenguni (IMF).
Mwakagenda anasema deni limeongezeka kwa dola 456.1 milioni sawa na Sh7.3 trilioni katika kipindi cha mwaka mmoja tu, tangu Oktoba 2011.

Akichanganua kuhusu deni hilo Mwakagenda abainisha kuwa mpaka kufikia Oktoba mwaka jana, deni la nje lilikuwa Sh15.9 trilioni, kiwango ambacho ni cha juu kabisa kwa nchi kukopa kutoka ...

Getriez ft Masebo, Ibra da Hustler na Bou Nako - Nimekmis

Getriez ft Masebo, Ibra da Hustler na Bou Nako

French 'Spiderman' Climbs Again, This Time a Hotel in Havana!!

Alain Robert of France
Daredevil French climber Alain Robert, known as the French Spiderman, climbs the Habana Libre hotel in Havana, Cuba on Feb. 4, 2013. Robert climbed the 22 floors of the hotel in 28 minutes.

Alain Robert of France, who is known as "Spiderman," climbs up the Habana Libre hotel in Havana on February 4. Robert, who scales buildings all over the world without safety equipment, successfully climbed the hotel which is 413 feet high.
Alain Robert of France
Alain Robert of France, who is known as "Spiderman" climbs up the Habana Libre hotel as a youth looks out a window in Havana.

Alain Robert of France climbs the Habana Libre hotel.

People watch Alain Robert of France, who is known as "Spiderman", as he climbs the Habana Libre hotel in Havana.

Robert celebrates atop the hotel with the Cuban national flag.

Damian Marley - Ghetto Youth

Polisi Wamfanyia Kitu Mbaya Lady Jaydee

Lady Jaydee
Jana kupitia mtandao wa Twitter mwanadada Lady Jaydee alisimulia kitendo kilimchokera baada ya polisi walioitwa kwenda kumsaidia akiwa kwenye chumba cha hoteli baada ya kuzidiwa ambao waliamua kuwapigia simu waandishi wa habari za udaku waje wapate picha na habari.

“Police mnatumwa kuja kuni rescue mgonjwa Hotel Room, mnaita waandishi waje kuchukua story! Hamjanitendea haki, nimesikitishwa,” alitweet Jaydee.
“Nawaambia I can’t walk wananilazimisha shuka watu watakubeba gari tumepaki nyuma. Kumbe camera ziko chini huko zinangoja.”

Akijibu swaliu lililouliza kama waandishi hao walipata walichokitaka Jaydee alijibu, “I told them walete doctor humo hotel room kama hawaezi waondoke. Hotel staff told me nsishuke kuna camera chini.”
“Mwenyewe nashangaa hawakuwa wanajali mimi kupata nafuu bali maslahi. Hakuna utu hapo.”
Alimalizia kwa kuandika, “Hamtujali, na hamjali lolote. Kila mtu ana shida zake ila msichukulie advantage kutunyima haki zetu za msingi. Nimeumia sana!

Hata hivyo Jaydeea alidai kuwa kwa sasa anaendelea vizuri ingawa hatukuweza kufahamu alikuwa hoteli gani na wapi pamoja na tatizo lililokuwa likimsumbua.