Katibu Mkuu wa CHADEMA Dr. Willbrod Slaa amesema CHADEMA kimechoshwa na uonevu na ukiukwaji mkubwa wa Kanuni unaofanywa na kiti cha Spika. Amesema hakuna Mbunge yoyote wa CHADEMA atakayeenda kuhojiwa na Kamati ya Bunge mpaka hapo rufaa zote 10 za Wabunge wa CHADEMA dhidi ya kiti cha Spika zitakapojibiwa
Deni la taifa. Kila Mtanzania Anadaiwa Sh450,000
Baada ya Rais Jakaya Kikwete kutangaza matokeo ya sensa, inayokaribia watu 45 milioni, siku chache baadaye deni la taifa lilitangazwa kufikia Sh21 trilioni huku katika wastani kila mtu akidaiwa Sh467,404. Fedha hizo zinatokana na mkopo baada ya Serikali kukopa kwa ajili ya kujenga miundombinu kama barabara, bomba la gesi, mishahara ya wafanyakazi, na miradi mingine. Kwa mujibu wa taasisi isiokuwa ya kiserikali ya Tanzania Coalition on Debt and Development (TCDD), serikali inadaiwa ‘mzigo wa madeni’ unaofika Sh21 trilioni.
Mkurugenzi wa taasisi hiyo Hebroni Mwakagenda, anafafanua kwamba Serikali inakopa fedha hizo Benki Kuu (BoT), Benki za Biashara, Kampuni za Bima na Mashirika ya Hifadhi za Jamii, Benki ya Dunia (WB), Benki ya Maendeleo Afrika (ADB) na Shirika la Fedha Ulimwenguni (IMF).
Mwakagenda anasema deni limeongezeka kwa dola 456.1 milioni sawa na Sh7.3 trilioni katika kipindi cha mwaka mmoja tu, tangu Oktoba 2011.
Akichanganua kuhusu deni hilo Mwakagenda abainisha kuwa mpaka kufikia Oktoba mwaka jana, deni la nje lilikuwa Sh15.9 trilioni, kiwango ambacho ni cha juu kabisa kwa nchi kukopa kutoka ...
French 'Spiderman' Climbs Again, This Time a Hotel in Havana!!
Daredevil French climber Alain Robert, known as the French Spiderman, climbs the Habana Libre hotel in Havana, Cuba on Feb. 4, 2013. Robert climbed the 22 floors of the hotel in 28 minutes.
Alain Robert of France, who is known as "Spiderman," climbs up the Habana Libre hotel in Havana on February 4. Robert, who scales buildings all over the world without safety equipment, successfully climbed the hotel which is 413 feet high.
Alain Robert of France, who is known as "Spiderman" climbs up the Habana Libre hotel as a youth looks out a window in Havana.
Alain Robert of France climbs the Habana Libre hotel.
People watch Alain Robert of France, who is known as "Spiderman", as he climbs the Habana Libre hotel in Havana.
Robert celebrates atop the hotel with the Cuban national flag.
Polisi Wamfanyia Kitu Mbaya Lady Jaydee

Jana kupitia mtandao wa Twitter mwanadada Lady Jaydee alisimulia kitendo kilimchokera baada ya polisi walioitwa kwenda kumsaidia akiwa kwenye chumba cha hoteli baada ya kuzidiwa ambao waliamua kuwapigia simu waandishi wa habari za udaku waje wapate picha na habari.
“Police mnatumwa kuja kuni rescue mgonjwa Hotel Room, mnaita waandishi waje kuchukua story! Hamjanitendea haki, nimesikitishwa,” alitweet Jaydee.
“Nawaambia I can’t walk wananilazimisha shuka watu watakubeba gari tumepaki nyuma. Kumbe camera ziko chini huko zinangoja.”
Akijibu swaliu lililouliza kama waandishi hao walipata walichokitaka Jaydee alijibu, “I told them walete doctor humo hotel room kama hawaezi waondoke. Hotel staff told me nsishuke kuna camera chini.”
“Mwenyewe nashangaa hawakuwa wanajali mimi kupata nafuu bali maslahi. Hakuna utu hapo.”
Alimalizia kwa kuandika, “Hamtujali, na hamjali lolote. Kila mtu ana shida zake ila msichukulie advantage kutunyima haki zetu za msingi. Nimeumia sana!
Hata hivyo Jaydeea alidai kuwa kwa sasa anaendelea vizuri ingawa hatukuweza kufahamu alikuwa hoteli gani na wapi pamoja na tatizo lililokuwa likimsumbua.
Oprah Winfrey OWN Network Sued For Sex Discrimination.
Oprah Winfrey and sexual discrimination are usually not mentioned in the same sentence, but Oprah’s OWN network has been hit with a sex discrimination lawsuit. Carolyn Hommel a former senior director of scheduling and acquisitions at Oprah’s OWN Network in 2010 claims she was fired after she became pregnant.
In a suit, obtained by ABCNews.com, Hommel, who is seeking unspecified damages, claims that her superior at OWN, Michael Garner, gave her a “negative and untruthful performance” after she became pregnant, ruining her chances of promotion.
But after she went on maternity leave in February 2012, not only was her job eliminated, but she was passed over for the vice president’s position, which instead went to the temporary employ
In a suit, obtained by ABCNews.com, Hommel, who is seeking unspecified damages, claims that her superior at OWN, Michael Garner, gave her a “negative and untruthful performance” after she became pregnant, ruining her chances of promotion.
But after she went on maternity leave in February 2012, not only was her job eliminated, but she was passed over for the vice president’s position, which instead went to the temporary employ
T.I Covers The Source
T.I. graces the cover of The Source Magazine for their February issue. T.I. gives a update of his upcoming role in the movie Identity Thief, which will be in theaters on February 8th. Trouble Man album in stores.
“It’s my first comedy so I’m looking forward to seeing that. I just want to keep my tools sharp…. Different people see T.I. in different ways. As long as they ain’t giving me a rapper. That’s what I don’t want to do. Anything else, I’d pretty much be open minded within reason of course.”
“It’s my first comedy so I’m looking forward to seeing that. I just want to keep my tools sharp…. Different people see T.I. in different ways. As long as they ain’t giving me a rapper. That’s what I don’t want to do. Anything else, I’d pretty much be open minded within reason of course.”
Unaependa Kuvaa Sare za Jeshi Hii Inakuhusu, Msikilize Waziri wa Ulinzi
Mara Nyingi tunaona wasanii wakiwa na Sare za jeshi kwenye kazi zao tofauti hapa Tanzania. Mfano Kwenye majukwa ya matamasha tofauti na kwenye Video zao. Kupitia sammisago.com napenda kukufahamisha kuwa Leo Bungeni Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa, Mh.Shamsi Vuai Nahodha Alisema Ni Marufuku Kwa Wasanii Tanzania Kuvaa Sare zinazo fanana na sare za Jeshi Kwenye Kazi Zao Na kwa sasa serikali inawasaka watu wanaofanya vitendo hivyo, Wakikamatwa watachukuliwa hatua za Kisheria .
Subscribe to:
Posts (Atom)
