Polisi Wamfanyia Kitu Mbaya Lady Jaydee

Jana kupitia mtandao wa Twitter mwanadada Lady Jaydee alisimulia kitendo kilimchokera baada ya polisi walioitwa kwenda kumsaidia akiwa kwenye chumba cha hoteli baada ya kuzidiwa ambao waliamua kuwapigia simu waandishi wa habari za udaku waje wapate picha na habari.
“Police mnatumwa kuja kuni rescue mgonjwa Hotel Room, mnaita waandishi waje kuchukua story! Hamjanitendea haki, nimesikitishwa,” alitweet Jaydee.
“Nawaambia I can’t walk wananilazimisha shuka watu watakubeba gari tumepaki nyuma. Kumbe camera ziko chini huko zinangoja.”
Akijibu swaliu lililouliza kama waandishi hao walipata walichokitaka Jaydee alijibu, “I told them walete doctor humo hotel room kama hawaezi waondoke. Hotel staff told me nsishuke kuna camera chini.”
“Mwenyewe nashangaa hawakuwa wanajali mimi kupata nafuu bali maslahi. Hakuna utu hapo.”
Alimalizia kwa kuandika, “Hamtujali, na hamjali lolote. Kila mtu ana shida zake ila msichukulie advantage kutunyima haki zetu za msingi. Nimeumia sana!
Hata hivyo Jaydeea alidai kuwa kwa sasa anaendelea vizuri ingawa hatukuweza kufahamu alikuwa hoteli gani na wapi pamoja na tatizo lililokuwa likimsumbua.
Oprah Winfrey OWN Network Sued For Sex Discrimination.
Oprah Winfrey and sexual discrimination are usually not mentioned in the same sentence, but Oprah’s OWN network has been hit with a sex discrimination lawsuit. Carolyn Hommel a former senior director of scheduling and acquisitions at Oprah’s OWN Network in 2010 claims she was fired after she became pregnant.
In a suit, obtained by ABCNews.com, Hommel, who is seeking unspecified damages, claims that her superior at OWN, Michael Garner, gave her a “negative and untruthful performance” after she became pregnant, ruining her chances of promotion.
But after she went on maternity leave in February 2012, not only was her job eliminated, but she was passed over for the vice president’s position, which instead went to the temporary employ
In a suit, obtained by ABCNews.com, Hommel, who is seeking unspecified damages, claims that her superior at OWN, Michael Garner, gave her a “negative and untruthful performance” after she became pregnant, ruining her chances of promotion.
But after she went on maternity leave in February 2012, not only was her job eliminated, but she was passed over for the vice president’s position, which instead went to the temporary employ
T.I Covers The Source
T.I. graces the cover of The Source Magazine for their February issue. T.I. gives a update of his upcoming role in the movie Identity Thief, which will be in theaters on February 8th. Trouble Man album in stores.
“It’s my first comedy so I’m looking forward to seeing that. I just want to keep my tools sharp…. Different people see T.I. in different ways. As long as they ain’t giving me a rapper. That’s what I don’t want to do. Anything else, I’d pretty much be open minded within reason of course.”
“It’s my first comedy so I’m looking forward to seeing that. I just want to keep my tools sharp…. Different people see T.I. in different ways. As long as they ain’t giving me a rapper. That’s what I don’t want to do. Anything else, I’d pretty much be open minded within reason of course.”
Unaependa Kuvaa Sare za Jeshi Hii Inakuhusu, Msikilize Waziri wa Ulinzi
Mara Nyingi tunaona wasanii wakiwa na Sare za jeshi kwenye kazi zao tofauti hapa Tanzania. Mfano Kwenye majukwa ya matamasha tofauti na kwenye Video zao. Kupitia sammisago.com napenda kukufahamisha kuwa Leo Bungeni Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa, Mh.Shamsi Vuai Nahodha Alisema Ni Marufuku Kwa Wasanii Tanzania Kuvaa Sare zinazo fanana na sare za Jeshi Kwenye Kazi Zao Na kwa sasa serikali inawasaka watu wanaofanya vitendo hivyo, Wakikamatwa watachukuliwa hatua za Kisheria .
Sporah Visited Tanzania High Commission UK
OKAY, so after researching OBSTETIC FISTULA in Africa and speaking to experts from AMREF who are working in this field, I found out Tanzania has one of the highest adolescent pregnancy rates in the world. We visited the wife of the Tanzania High Commissioner to the UK to talk about the subject.
S
High Commissioner' to the UK's Wife: Mrs Joyce Peter Kallaghe
Sporah expressing her concern about ...
Sugu Amuonya Roma Mkatoliki, Ni Juu ya Roma 2030
Sugu Mwana muziki ambaye kwa sasa ni Mheshimiwa kwa tiketi ya ubunge alioupata Mbeya Joseph Mbilinyi alimaarufu kama Mr 11 au Sugu ameonyesha wazi kukerwa na msanii mwenzie Roma kwa kile alichodai Roma ana kurupuka na hajui anachokifanya. Akizungumza nda ya EATV Katika kipindi cha friday Night Live Sugu amesema kuwa msanii huyo anapaswa kuijua misingi ya hip hop na pia Sugu amemuonya na kumtaka roma awe muangalifu na anachokiandika na kukitowa kwa jamii na sio kukurupuka kama mtu aliyestuliwa toka usingizini.
Sugu amesema yeye ni mfuasi wa hip hop hivyo ukitaka kuwa mwana hip hop lazima uzame ndani sana ili ukiandika kitu uwe na uhakika nacho na si kufanya kama Roma anavyofanya.Namtahadharisha bwana mdogo awe muangalifu na anachokiandika na si kukurupuka hip hop ina misingi yake na ni lazima uzame ndani sana maana hip hop ni maisha na ukweli mtupu, pia aelewe hip hop ni sauti ya kumkombowa mnyonge sasa unapoimba mambo ambayo huna uhakika nayo haipendezi maana utakuwa hujaisaidia jamii husika alisema sugu.
Roma
Katika wimbo huo wa 2030 kuna kipande kina sema pesa ndio imemaliza vita yaRuge na Sugu kitu ambacho kimeonyesha kumkera Sugu na kusema kuwaRoma anakurupuka na kuandika asichokijua maana kwa mstari huo tu umefanya niaamini kila achoandika hana anachokijua maana mstari huu unanihusu na hakuna ukweli juu ya alichokiimba.
Sugu amemtaka Roma kusikiliza nyimbo walizoimba kaka zake ili zimuongoze katika sanaa yake amesema asikize nyimbo kama za profesa jay,afande sele,solo thang atagunduwa kuwa zilikuwa ni harakati za uhakika mfano mdogo amesema asikilize miss Tanzania ya Solo Thang atajua anachomaanisha.
Roma alipotafutwa kujua amejisikiaje baada ya mheshimiwa kuchukizwa na wimbo wake Roma alisema Sugu ni kaka yake na anaamini kama kuna baya atamuita na atamrekebisha alipoulizwa kama alikuwa na uhakika kuwa vita ya Sugu na Ruge imemalizwa na pesa
Katika wimbo huo wa 2030 kuna kipande kina sema pesa ndio imemaliza vita yaRuge na Sugu kitu ambacho kimeonyesha kumkera Sugu na kusema kuwaRoma anakurupuka na kuandika asichokijua maana kwa mstari huo tu umefanya niaamini kila achoandika hana anachokijua maana mstari huu unanihusu na hakuna ukweli juu ya alichokiimba.
Sugu amemtaka Roma kusikiliza nyimbo walizoimba kaka zake ili zimuongoze katika sanaa yake amesema asikize nyimbo kama za profesa jay,afande sele,solo thang atagunduwa kuwa zilikuwa ni harakati za uhakika mfano mdogo amesema asikilize miss Tanzania ya Solo Thang atajua anachomaanisha.
Roma alipotafutwa kujua amejisikiaje baada ya mheshimiwa kuchukizwa na wimbo wake Roma alisema Sugu ni kaka yake na anaamini kama kuna baya atamuita na atamrekebisha alipoulizwa kama alikuwa na uhakika kuwa vita ya Sugu na Ruge imemalizwa na pesa
Subscribe to:
Posts (Atom)
