Pages

Kutoka Bungeni Siku ya Leo

Bungeni 
Waziri wa Maji, Prof. Jumanne Maghembe (kushoto) akiteta na Mbunge wa Ubungo (Chadema), John Mnyika katika viwanja vya Bunge leo, baada ya hoja yake binafsi kukataliwa Bungeni.PICHA ZOTE /MWANAKOMBO JUMAA WA MAELEZO

Spika wa Bunge Anne Makinda akitoa ufafanuzi hali iliyotokea Bungeni leo.

Mbunge wa Same Mashariki, Anne Kilango Malecela (kushoto) akifurahia jambo na William Ngeleja (Sengerema), katika viwanja vya Bunge baada ya Spika wa Bunge Anne Makinda (hayupo pichani) kuahirisha kikao hadi kesho.

Mbunge wa Moshi Mjini, Mzee Philemon Ndesamburo (kushoto), pamoja na Said Arfi (Mpanda Mjini)wakifuatilia hoja mbalimbali Bungeni leo Dodoma.

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (TAMISEMI), Hawa Ghasia (kushoto) akimsikiliza Mhandisi Stella Manyanya (Viti maalumu) kuhusu yaliojiri Bungeni leo.

Waziri wa Viwanda na Biashara, Dkt. Abdalla Kigoda (kulia) akibadilishana mawazo na Naibu Wazri wa afya na Ustawi wa Jamii, Dkt Seif Rashid katika viwanja vya Bunge leo baada ya kuahirishwa mkutano wa kumi, kikao cha sita.

Lulu Alipoenda Kumpa Pole Wastara

Elizabeth Michael,Lulu,Wastara Juma
 MWISHONI mwa wiki iliyopita, msanii Elizabeth Michael “Lulu” alikwenda kumpa pole msanii mwenzake Wastara Juma kwa kufiwa na mumewe, Sajuki.
Elizabeth Michael,Lulu,Wastara Juma
Elizabeth Michael,Lulu,Wastara Juma Huzuni ilitawala nyumbani kwa Wastara mara baada ya Lulu kuwasili, lakini hatimaye baada ya muda mrefu wa maongezi nyuso za wasanii hao zikapambwa na tabasamu.
                                    Saluti 5

Q-Chief Achukua Fomu Za Kushiriki Big Brother Africa

Q-Chief
Msanii mkongwe katika muziki huu wa Bongo Flava, Q Chief nae amekuwa miongoni mwa watu waliojitokeza kuchukua fomu ya kushiriki lile shindano linalokusanya waafrika mbalimbali na kuwa katika jumba moja la Big Brother Africa.

Shindano hilo ambalo linatarajiwa kuanza kufanyika mwishoni mwa mwezi wa tano mwaka huu ambalo huchukua washiriki kutokea nchi tofauti za Africa na kuishi kwa pamoja kwa takribani siku 90. Kutoka Tanzania, ma-star waliochukua fomu hizo hadi sasa ni mwanadada Wema Sepetu, Hemedy na Q-Chief.

Nikki Mbishi na Godzilla ft. Cliff Mitindo - Kill yoself

Nikki Mbishi, Godzilla Feat Cliff Mitindo

It Happens Only in India !!!

Prezzo and Goldie to Tie The knot This Surtaday

Prezzo and Goldie
Last year in November news of eccentric Nigerian artist Goldie Harvey and Kenya’s king of bling Prezzo engaging went viral on social media. Although Goldie came out publicly and declared that they were not an item Prezzo kept the fire burning and told the media he had gone to Nigeria for a ceremony called Ibankwu similar to kikuyu’s ruracio.
Well even after the dust settled another revelation has just been unraveled and the high end couple is said to be tying the knot this Saturday, February 9th, 2013.
Yeah right, Prezzo may settle down in Lagos where the wedding is scheduled to be held if the article by Big Brother Africa is anything to go by. How Kenyans missed the news is still not clear:
Here is the article:
"It is no longer news that Nigerian music queen Goldie and Kenya music president, Prezzo are an item. Goldie has always had a thing for men outside her home country Nigeria and even since when they were in the BBA house; they had been having a good relationship.
Though things went out of hands at the end of the show, their loves story continued after the show. Like a knight in shining armour, Prezzo headed for Nigeria to ask for his lovers hand in marriage. We can confirm that the two are set to marry. Last week in a formal ceremony at Goldie’s parents’ residence in Lagos, Nigeria, Prezzo asked for Goldie’s hand in marriage.
The wedding ceremony will hold in February 9th in Lagos. Prezzo promises to take the whole of Kenya down to Nigeria for the ceremony."

President Obama's Message to the People of Kenya (Swahili Captions)

In a video message, President Barack Obama tells the people of Kenya that the upcoming elections are a historic opportunity for Kenyans to stand together, as a nation, for peace and progress, and for the rule of law.

President Obama Speaks on Preventing Gun Violence

Gangsta Style - Psy Gangnam Style Remix

Short emails You Should Never Reply

Scam
- Hello
Am miss Rebeca ,interested in you,
and wish to have you as my friend,
for a friend is all about Respect,Admiration and love passion also
friendship is consist of sharing of ideas and planing together,
i intend to send you my picture for you,if you reply me.
thanks from Rebeca.
Congratulations
Your E-Mail ID has won 1,000,000.00 GBP in the Cocacola Online Promo. contact our fiduciary agent for claims with the contact Email: mdcocaunit2012@hotmail.co.uk
*Full Names
*Residential Address
*Valid Phone Mobile Number:

-Good Day To You,
My Name is Alhajii Hassan; I am a banker by profession. I am from Ouagadougou,Burkina Faso, West Africa. My reason for contacting you is to transfer anabandoned fund $10.6M to your account if you agree with me.
The owner of this fund died since 2004 with his Next Of Kin. I want to presentyou to the bank as the Next of Kin/beneficiary of this fund.
Further details of the transaction shall be forward to you ...