
Beyonce Admits Inauguration Miming

Singer Beyonce has admitted miming during her rendition of the American national anthem at the inauguration of President Obama last month.
She told reporters that she was a “perfectionist” and – due to lack of rehearsal time – “did not feel comfortable taking a risk”.
“I wanted to make him [Obama] and my country proud, so I decided to sing along with my pre-recorded track.”
“I’m very proud of my performance,” she said.
The star opened the press conference in New Orleans by asking reporters to stand before performing a live rendition of the national anthem.
She told reporters that she was a “perfectionist” and – due to lack of rehearsal time – “did not feel comfortable taking a risk”.
“I wanted to make him [Obama] and my country proud, so I decided to sing along with my pre-recorded track.”
“I’m very proud of my performance,” she said.
The star opened the press conference in New Orleans by asking reporters to stand before performing a live rendition of the national anthem.
Viongozi wa Taasisi za Kiislamu Kuamua Hatma ya Sheikh Ponda

Taarifa zinasema Jumuiya ya Taasisi za Kiislamu na Shura ya Maimamu Tanzania imeitisha mkutano Jumapili ijayo katika kiwanja cha Nuurul Yaqiin karibu na Uwanja wa Mwembe Yanga mjini Dar-es-Salaam.
Mkutano huo unatazamiwa kuonyesha msimamo wa waislamu juu ya katibu mkuu wa Jumuia na Taasisi za Kiislamu Tanzania bara, Sheikh Ponda Issa anaekabiliwa na kesi ya uchochezi.
Walioandaa mkutano huo wanalalamika Sheikh Ponda na wenzake wamenyimwa haki ya dhamana.
Kesi ya Sheikh Ponda ilisikilizwa Alkhamisi wiki hii na inatazamiwa kuendelea Februari 18 mwaka.
Mkutano huo unatazamiwa kuonyesha msimamo wa waislamu juu ya katibu mkuu wa Jumuia na Taasisi za Kiislamu Tanzania bara, Sheikh Ponda Issa anaekabiliwa na kesi ya uchochezi.
Walioandaa mkutano huo wanalalamika Sheikh Ponda na wenzake wamenyimwa haki ya dhamana.
Kesi ya Sheikh Ponda ilisikilizwa Alkhamisi wiki hii na inatazamiwa kuendelea Februari 18 mwaka.
Man Builds Light Plane in Bayelsa
Unemployment or underemployment need not keep anyone from fulfilling their dreams says a young man from Brass in Bayelsa state, who in homestead has built a light plane that he hopes will fly someday soon.
Dk. Cheni: Nimemaliza kwa Lulu Nahamia kwa Kajala
Na Gladness Mallya
STAA aliyekuwa mstari wa mbele katika kuhakikisha msanii wa filamu Elizabeth Michael ‘Lulu’ anapata dhamana, Mahsein Awadh ‘Dk. Cheni’ amefunguka kuwa baada ya kufanikiwa kwa Lulu sasa anahamia kwa msanii mwingine, Kajala Masanja.
Mahsein Awadh ‘Dk. Cheni’ akiwa na Lulu pamoja na mama yake baada ya kukamilisha dhamana.
Akizungumza nje ya Mahakama Kuu jijini Dar baada ya Lulu kuachiwa, Dk. Cheni alisema kwa sasa anaanza mchakato wa kumsaidia Kajala mpaka ajue hatima ya kesi inayomkabili.
“Unajua Lulu siyo mtu wa kwanza kumsaidia na mama yake ndiye aliniomba, nilishawasaidia wengi. Hata Cloud alipofungwa nilifuatilia mimi na Dude mpaka mwisho, hatukukata tamaa na kwa Kajala nitafanya hivyo kwa sababu ni mwenzetu jamani, naamini Mungu anaweza sana na atafanikisha kila kitu,” alisema Dk. Cheni.
Kajala anasota Segerea akikabiliwa na kesi ya kuuza nyumba iliyokuwa imewekwa bondi na serikali kutokana na mumewe kutakatisha fedha haramu
Akizungumza nje ya Mahakama Kuu jijini Dar baada ya Lulu kuachiwa, Dk. Cheni alisema kwa sasa anaanza mchakato wa kumsaidia Kajala mpaka ajue hatima ya kesi inayomkabili.
“Unajua Lulu siyo mtu wa kwanza kumsaidia na mama yake ndiye aliniomba, nilishawasaidia wengi. Hata Cloud alipofungwa nilifuatilia mimi na Dude mpaka mwisho, hatukukata tamaa na kwa Kajala nitafanya hivyo kwa sababu ni mwenzetu jamani, naamini Mungu anaweza sana na atafanikisha kila kitu,” alisema Dk. Cheni.
Kajala anasota Segerea akikabiliwa na kesi ya kuuza nyumba iliyokuwa imewekwa bondi na serikali kutokana na mumewe kutakatisha fedha haramu
Sanni M'Mairura - American Idol Season 12
Mama yake ni Mtanzania na Baba yake ni Mkenya, Sanni M'Mairura amefanikiwa kuingia kwenye haya mashindano ambayo majaji wake wa sasa hivi ni pamoja na mastaa wa muziki duniani Maria Carey na rapper Nicki Minaj,
Subscribe to:
Posts (Atom)

