Mawakala wa Kuuza Wasichana Watiwa Mbaroni Zanzibar

Sakata la biashara ya binadamu ambalo limeibuka kwa kasi nchini limeanza kufanyiwa kazi na serikali baada ya Jeshi la Polisi Kikosi cha Maji kuwatia mbaroni mawakala watano ambao ni wanawake wakituhumiwa kujihusisha na biashara hiyo. Kamanda wa Polisi wa Kikosi cha Maji, Mboje Kanga, akizungumza na NIPASHE jana kuhusu hatua ambazo zinachukuliwa na jeshi hilo kukabiliana na tatizo hilo, alisema mawakala waliokamatwa ni wakazi wa Zanzibar na kwamba hatua za kisheria zimeanza kuchukuliwa dhidi yao.
Kamanda Kanga ambaye hata hivyo, hakutaja majina ya mawakala hao, alisema walikamatwa kati ya Januari 23 na 24, mwaka huu wakiwa na watoto watano ambao waliwanunua kutoka mikoani.
Alisema watoto ambao ni wanafunzi wa shule za msingi walikamatwa wakitaka kusafirishwa na mawakala hao kwenda Zanzibar, umri wao ni kati ya miaka 14 na 15 na walitoka katika wilaya za mikoa ya Ruvuma, Tabora na Mtwara.
Aliongeza kuwa katika mahojiano na watoto hao walisema walipata ridhaa ya kuchukuliwa na mawakala hao ambao haijafahamika baada ya kusafirishwa kwenda Zanzibar wangepelekwa katika nchi gani.
“Biashara ya binadamu imeshamiri sana nchini, lakini tumejipanga kukabiliana nayo, tutaendelea kuwasaka mawakala wengine zaidi wanaojihusisha na biashara hiyo,” alisema Kamanda Kanga.
Uchunguzi uliofanywa na NIPASHE, umebaini kuwa biashara hiyo iliibuka kuanzia Desemba mwaka jana na kushika kasi Januari mwaka huu na wanaosafirishwa wengi ni watoto wa kike kutoka ...
Kamanda Kanga ambaye hata hivyo, hakutaja majina ya mawakala hao, alisema walikamatwa kati ya Januari 23 na 24, mwaka huu wakiwa na watoto watano ambao waliwanunua kutoka mikoani.
Alisema watoto ambao ni wanafunzi wa shule za msingi walikamatwa wakitaka kusafirishwa na mawakala hao kwenda Zanzibar, umri wao ni kati ya miaka 14 na 15 na walitoka katika wilaya za mikoa ya Ruvuma, Tabora na Mtwara.
Aliongeza kuwa katika mahojiano na watoto hao walisema walipata ridhaa ya kuchukuliwa na mawakala hao ambao haijafahamika baada ya kusafirishwa kwenda Zanzibar wangepelekwa katika nchi gani.
“Biashara ya binadamu imeshamiri sana nchini, lakini tumejipanga kukabiliana nayo, tutaendelea kuwasaka mawakala wengine zaidi wanaojihusisha na biashara hiyo,” alisema Kamanda Kanga.
Uchunguzi uliofanywa na NIPASHE, umebaini kuwa biashara hiyo iliibuka kuanzia Desemba mwaka jana na kushika kasi Januari mwaka huu na wanaosafirishwa wengi ni watoto wa kike kutoka ...
50 Cent Azungumzia Shambulizi La Risasi Kwa Rick Ross

Kama ulisikia, Jumapili hii rapper kutoka Miami, Rick Ross alirushiwa risasi na watu wasiojulikana akiwa na gari yake aina ya Rolls Royce na kunusurika kuuawa... Sasa... Rapper 50 Cent azungumzia tukio hili na kuliita kuwa lilipangwa. "Staged"
50 Cent ambae amekuwa kwenye beef na Rick Ross kwa muda mrefu sasa, amesema hili limekuwa kama tukio lilipangwa na la kudanganya. Rapper huyo anasema, kama hakukua hata na matundu ya risasi katika gari hiyo aliyokuwa anaendesha jamaa, then huu wote ni uongo.
50 Cent alitweet, "Hahaha fat boy hit the building? lol it looks staged to me. No hole’s in da car".
Ripoti ya police wa eneo hilo, Fort Lauderdale pia ilisema, risasi nyingi zilirushwa ila hakuna hata moja iliyolipata gari alilokuwa anaendesha Rick Ross.
50 Cent ambae amekuwa kwenye beef na Rick Ross kwa muda mrefu sasa, amesema hili limekuwa kama tukio lilipangwa na la kudanganya. Rapper huyo anasema, kama hakukua hata na matundu ya risasi katika gari hiyo aliyokuwa anaendesha jamaa, then huu wote ni uongo.
50 Cent alitweet, "Hahaha fat boy hit the building? lol it looks staged to me. No hole’s in da car".
Ripoti ya police wa eneo hilo, Fort Lauderdale pia ilisema, risasi nyingi zilirushwa ila hakuna hata moja iliyolipata gari alilokuwa anaendesha Rick Ross.
Morbid Gallery Reveals How Victorians Took Photos of Their DEAD Relatives Posing on Couches, Beds and Even in Coffins

The Victorians experimented with different types of photography – and even took snaps of dead relatives
But if his posture seems rather unnatural, it is for good reason. He is dead.
These remarkable pictures show the morbid way that the deceased were remembered in the late 19th century.
Children were often shown in repose on a couch or in a crib
The invention of the daguerreotype – the earliest photographic process – in 1839 brought portraiture to the masses.
It was far cheaper and quicker than commissioning a painted portrait and it enabled the middle classes to have an affordable, cherished keepsake of their dead family members.
Known as post-mortem photography, some of the dearly departed were photographed in their coffin.
The invention of the daguerreotype – the earliest photographic process – in 1839 brought portraiture to ...
President Obama Joins Immigration Reform Push

US President Barack Obama will try to build support later for an immigration overhaul, a day after a bipartisan group of senators said the time was right for reform. Mr Obama will present his plan at a high school in Las Vegas, Nevada.
It is expected to mirror the senators’ framework, though possibly with a faster path to citizenship for many of the 11 million undocumented immigrants. The move reflects the growing influence of Hispanic voters.
Speaking at 11:15 local time (19:15 GMT) on Tuesday, Mr Obama will make his case for an immigration revamp, which is expected to largely reflect a blueprint he rolled out in 2011.
Mr Obama is not expected to unveil legislation, but to rally support for the proposals promoted on Monday by a group of four Democratic and four Republican senators.
Like the bipartisan plan, Mr Obama is also expected to push for an overhaul of the ...
It is expected to mirror the senators’ framework, though possibly with a faster path to citizenship for many of the 11 million undocumented immigrants. The move reflects the growing influence of Hispanic voters.
Speaking at 11:15 local time (19:15 GMT) on Tuesday, Mr Obama will make his case for an immigration revamp, which is expected to largely reflect a blueprint he rolled out in 2011.
Mr Obama is not expected to unveil legislation, but to rally support for the proposals promoted on Monday by a group of four Democratic and four Republican senators.
Like the bipartisan plan, Mr Obama is also expected to push for an overhaul of the ...
Bamboo ft Sugar - 25 Flow Official Video
Bamboo Returns with his much loved swahili Flow...reppin the 254. We call it 25Flow..
UK Aid: View From The Street
A short video exploring the views about overseas aid from people on the street in the UK, from their initial impressions to reactions about revealing facts and figures.
Secretary Clinton Holds Global Town Hall
U.S. Secretary of State Hillary Rodham Clinton holds a Townterview at the Newseum in Washington, DC on January 29, 2013 at 9:30 AM. A "Townterview" is a mix of a town hall and a television interview.
The concept was first introduced by the Secretary when she entered office as a way to broaden People to People engagement. This is her 59th town hall and an opportunity to engage with young people around the world in advance of her last day as Secretary of State on Friday, February 1st.
The concept was first introduced by the Secretary when she entered office as a way to broaden People to People engagement. This is her 59th town hall and an opportunity to engage with young people around the world in advance of her last day as Secretary of State on Friday, February 1st.
Subscribe to:
Posts (Atom)
+(1).jpg)