
Mabilionea Watano wa Tanzania

Anayeongoza katika orodha hiyo ni Bakhressa anayemiliki mali na fedha zenye thamani ya Dola za Marekani 620 milioni sawa na Sh992 bilioni (Dola moja Sh1,600) akifuatiwa na Dewji ambaye utajiri wake ni Dola 560 milioni (Sh896 bilioni). Wengine na kiasi cha mali na fedha wanazomiliki kwenye mabano ni Rostam (Sh672 bilioni- Dola 420 milioni) Mengi (Sh448bilioni- Dola 280 milioni) na Mufuruki (Sh176 bilioni - Dola 110 milioni).
Matajiri hao wamepatikana baada ya kuangalia nafasi zao kifedha, ufanisi wa kampuni zao katika soko la hisa, mfumo wa wanahisa katika soko la hisa na mtiririko mzima wa fedha katika akaunti zao kwenye benki mbalimbali.
Jarida hilo linalotoka mara moja kwa mwezi kutoka Afrika Magharibi, limesema matajiri hao wa Tanzania ni kati ya Waafrika wenye utajiri ambao ni mabilionea 4,800 kutoka mataifa 17.
Asilimia kubwa ya watu 1,523 ni mamilionea na wamo katika ripoti ya watu matajiri Afrika.
Jarida hilo linataja jinsi matajiri hao walivyokuwa wajasiriamali wadogo kabla ya kuibuka na kuwa mabilionea.
Said Salim Bakhresa
Jarida hilo limesema chanzo cha utajiri wa Bakhressa ni mapato yanayotokanana uzalishaji wa bidhaa mbalimbali kwenye viwanda vyake.
Mfanyabiashara huyo aliacha shule akiwa na umri wa miaka 14 na kuanzisha biashara zake. Alianza kuuza urojo Zanzibar na baadaye alifungua mgahawa miaka ya 1970.
Mgahawa huo ulipanuka na alitumia faida yake kufungua mashine ya kusaga pamoja kiwanda za usindikaji vyakula, huku akiunda Kundi la..
Teja Akutwa Amekufa kwa Kujidunga Madawa ya Kulevya
mwili wa kijana Stan Mhepelwa ukiwa katika gari ya polisi leo


Bomba la sindano lililokutwa katika chumba hicho

Mwili wa kijana huyo ukitolewa
Bomba la sindano lililokutwa katika chumba hicho
Mwili wa kijana huyo ukitolewa
Mejja - Over my EX
Mejja - Over My Ex... Album: Hali Duni. Produced by Beat ya Clemo/ Calif Records
Video by LUCH PRODUCTION.
Video by LUCH PRODUCTION.
The Zanzibar Doors of Butiama
The Zanzibar door
at the Kagera residence, Butiama, at the entrance to the personal
library of Mwalimu Julius Kambarage Nyerere that houses more than 8,000
volumes. A Zanzibar chest is seen on the lower left side.
There are (probably) only two Zanzibar doors in Mara region and they are all found in Butiama, at Mwitongo.
When the war between Idi Amin's Uganda and Tanzania under President Mwalimu Julius Kambarage Nyerere ended in 1979, the Tanzanian army chose to build a house for its commander-in-chief as a gift for the victory against Idi Amin's forces.
Over a hilltop, steps from where he was born and is now buried, he pointed to a spot where he wanted the house to be built. We refer to the house as the Kagera residence, using Tanzania's preferred naming of the 1978-9 war with Uganda: the Kagera War.
During the construction of the Kagera residence the then president of Zanzibar, Salmin Amour, donated two Zanzibar doors to the house. One of these doors is located at the house's entrance while the second one is located at the entrance of the personal library of Mwalimu Nyerere that contains more than 8,000 volumes.
The doors are not as elaborately decorated as this one, but they provide a unique view and serve as a permanent link between Butiama and Zanzibar.
There are (probably) only two Zanzibar doors in Mara region and they are all found in Butiama, at Mwitongo.
When the war between Idi Amin's Uganda and Tanzania under President Mwalimu Julius Kambarage Nyerere ended in 1979, the Tanzanian army chose to build a house for its commander-in-chief as a gift for the victory against Idi Amin's forces.
Over a hilltop, steps from where he was born and is now buried, he pointed to a spot where he wanted the house to be built. We refer to the house as the Kagera residence, using Tanzania's preferred naming of the 1978-9 war with Uganda: the Kagera War.
During the construction of the Kagera residence the then president of Zanzibar, Salmin Amour, donated two Zanzibar doors to the house. One of these doors is located at the house's entrance while the second one is located at the entrance of the personal library of Mwalimu Nyerere that contains more than 8,000 volumes.
The doors are not as elaborately decorated as this one, but they provide a unique view and serve as a permanent link between Butiama and Zanzibar.
Ice Prince Zamani - Truth
Ice Prince Zamani drops the visuals to this new & exclusive single, "Truth".
Directed by James Mävrik Films. Song was produced by Chopstix
Directed by James Mävrik Films. Song was produced by Chopstix
Vurugu Tupu Nchini Tanzania!!!
MAENEO ya mikoa ya Morogoro, Mtwara na Dar es Salaam, jana yaligeuka
uwanja wa fujo na vurugu zilizosababisha vifo, majeruhi na uharibifu wa
mali, huku polisi wakitumia mabomu ya machozi kuwatawanya wananchi.
Vijana wakazi wa Dumila na vitongo vyake wakiangusha gari aina ya Land
Cruizer T 241 AMS mali ya mfugaji katika barabara kuu ya Dodoma-Morogoro
wakati wa vurugu zilizodumu kwa masaa sita kwa kuweka vizuwizi kwa
lengo la kumshinikiza mkuu wa mkoa wa Morogoro Joel Bebdera kusikiliza
kero za wakulima.Picha na Juma Mtanda
Vurugu hizo zimehusisha wakulima na wafugaji wa jamii ya Kimasai kwa
upande mmoja wa Morogoro, Mtwara Mikindani wananchi waliizingira nyumba
ya Diwani wa Kata ya Mikindani kwa madai ya kuwahifadhi watu wanaodaiwa
kuwa washirikina ndani ya nyumba yake, huku Dar es Salaam eneo la
Kariakoo, polisi na Wamachinga wakipambamba na Mgambo wa Jiji.
Mkoani Mororgoro mtu mmoja aliyefahamiwa kwa jina la Mohamed Msigara
(60) amefariki dunia na wengine kadhaa kujeruhiwa baada ya kutokea
vurugu kati ya wakulima na wafugaji Kijiji cha Dumila, wila yani Kilosa,
baada ya wafugaji wa Jamii ya Kimasai kuingiza mifugo yao kwenye
mashamba ya wakulima yaliyo katika Kitongoji cha Mfulu, Kilosa.
Pamoja na mauaji hayo, wasafiri waliokuwa wakitumia Barabara ya Morogoro
– Dodoma, nao walionja machungu ya vurugu hizo, baada ya kukwama kwa
saa 5 kutokana na wananchi wa kijiji hicho, kufunga barabara kwa mawe,
magogo ya miti na kuchoma magurudumu ya gari.
Wananchi hao walichukua hatua hiyo huku wakisisitiza kutaka kuonana na
Mkuu wa Mkoa wa Morogoro, Joel Bendera, ili kumaliza mvutano huo.
Katika vurugu hizo wanakijiji hao walivunja vioo vya madirisha ya baadhi
ya nyumba tano za kulala wageni, kuharibu gari dogo aina ya Landcruser
pamoja na kupora mali mbalimbali zi nazodaiwa kumilikiwa na
wafanyabiashara wa jamii ya Kimasai.
Kabla ya kufanya uharibifu huo saa 2:30 asubuhi, wananchi hao walifanya
maandamano sambamba na kusimama katikati ya barabara, hali
iliyosababisha polisi kufika eneo hilo kwa ajili ya kuwadhibiti.
Askari wa Kutuliza Ghasia (FFU), walifika eneo la tukio 5:20 asubuhi na
kufanikiwa kuwatawanya wananchi hao kwa kutumia mabomu ya machozi,
hatimaye kufungua barabara hiyo.
Pamoja na barabara hiyo ya Morogoro – Dodoma, wananchi hao pia walifunga
barabara ya...
Subscribe to:
Posts (Atom)
