Pages

Sababu Zilizopelekea Waziri wa Uchukuzi Dk Harrison Mwakyembe Kugeuka Mbogo Mamlaka ya Bandari

Mwakyembe
WIZARA ya Uchukuzi imewatimua kazi Wakurugenzi wa 3 na Mameneja 2 wa Waliokuwa Watumishi wa Mamlaka ya Bandari Tanzania (TPA) Makao Makuu Dar es Salaam. Akitangaza Uamuzi huo kwa Wana Habari Ofisini kwake, Waziri wa Uchukuzi, Dk Harrison Mwakyembe amesema kuwa katika taarifa yake aliyo isoma kuwa Wakurugenzi hao walitimuliwa kazi kwa nyakati tofauti baada uchunguzi wa Tuhuma zilizokuwa zikiwakabili kukamilika ikiwa ni pamoja na watuhumiwa kuhojiwa.
Kubwa zaidi lililowapelekea wakubwa hao wa TPA kuachwa nje ya Meli ya Dk. Mwakyembe ni Matumizi mabaya ya Madaraka na Ubadhirifu wa Mali ya Umma na kuitia Hasara serikali na huenda Bodi ya Wakurugenzi ikijiridhisha ikawafungulia Mashitaka Mahakamani.

Dk. Mwakyembe ambaye yupo mstari wa mbele katika vita dhidi ya ubadhirifu wa Mali za Umma kwa kuwashughulikia ipasavyo watendaji wa Sekta zake zote hasa TPA na ATC, aliwataja walio timuliwa kazi kuwa ni ...

Kipanya Leo

Kipanya Leo

Scam Series #9

Hello Dearest,
  How are you today, Please accept my sincere apologies if my email does not meet your business or personal ethics, I really like to have a good relationship with you, and I have a special reason why I decided to contact you because of the urgency of my situation here.
  Please I write not only to introduce myself to you, but also tender a joint investment business proposal for your considerations and acceptance. I know that receipt of my communication shall be a great surprise to you considering the fact that we did not know each other or had any business negotiations before now, I am also aware of the fact that there is a lot of fraudulent business proposals circulating around the world, which makes it imperative for one to be extremely careful before accepting and venturing any business proposal from unfamiliar person like me.

 I however, pray your respected self not to allow the above unnatural abnormalities to influence your decision to accept my genuine proposal and intentions which undoubtedly would be of immense mutual benefits to both of us. I pledge to you for urgent and dedicated attention which this issue deserves.
 I deem it necessary to introduce myself in detail for you and the need for your assistance to claim and invest my inheritance for me, I am Miss. Elizabeth Hindolo Trye, 24years old girl from Republic of Sierra Leone, the only daughter of late former Minister of Tourism and Cultural Affairs a position he carried with ..

Hemedy PHD - Going crazy {Official Video}

INCREDIBLE VIDEO - Bulgarian Politician Ahmed Doğan Failed Assassination

The leader of Bulgaria's opposition Movement for Rights and Freedoms, Ahmet Dogan, escaped an apparent assassination attempt Saturday while addressing a party congress in Sofia, local media reported.
The attacker pointed a gun at Dogan, but was prevented from firing, according to the reports. While security wrestled with the attacker, Dogan was tackled to the ground by his bodyguards.
The party, which mainly represents the Turkish minority in Bulgaria, had called the convention to elect a new leadership. Dogan, 58, has led the party since founding it in 1990.
After taking part in the governing coalition, the party switched to the opposition following the 2009 elections, which were won by the conservative Gerb party of Prime Minister Boyko Borisov.
Movement for Rights and Freedoms, Ahmet Dogan,

Mkasi With Mr Blue

African Troops Kill Rebel who Guarded Warlord Kony

warlord Kony
By RODNEY MUHUMUZA
KAMPALA, Uganda (AP) — Ugandan troops in the Central African Republic have killed the chief bodyguard of Joseph Kony, the fugitive head of the Lord's Resistance Army, a Ugandan army official said Monday.
Ugandan Col. Felix Kulayigye said the bodyguard, a rebel commander known only as Binani, was among a small group of rebels when he was killed in a firefight Friday 280 kilometers (175 miles) north of Djema, a base in the Central African Republic where Uganda-led African Union troops are being advised by U.S. special forces. It was not clear if Kony, a self-styled mystic who has eluded capture for more than two decades, was part of the group of rebels that fled the attack in which Binani was killed, Kulayigye said.
"He was a member of the LRA high command," Kulayigye said of Binani. "He was Kony's chief bodyguard and he was also the LRA's main logistician."

Kulayigye said it is "unfortunate" that Binani was not captured alive. He might have shared information on Kony, about whom there is little known these days, Kulayigye said. Although the LRA rebellion started in the Uganda in the 1980s, the group now operates in Congo, the Central African Republic and South Sudan. African Union troops hunting for Kony and other LRA commanders are assisted by about 100 U.S. military advisers.
Kony is wanted by the International Criminal Court for war crimes and crimes against humanity.

Mimi na Tanzania - Madhara ya Madhara ya Madawa ya Kulevya

Watanzania Tuokoe Maisha ya Mtoto Hanifa (Miaka 5)

Mtoto Hanifa Salum Hassan
Mtoto Hanifa Salum Hassan mwenye umri wa miaka mitano anasumbuliwa na ugonjwa wa Saratani ya Damu (Leukemia) ambao umemfanya ashindwe kusimama na kutembea, anasumbuliwa na maumivu ya kichwa wakati wote, wakati mwingine hushindwa kupumua hivyo kulazimika kupumua kwa kutumia mashine pia hawezi kula analishwa kwa kutumia mirija na pia kila baada ya muda inabidi abadilishiwe damu.

MATIBABU
Matibabu ya mtoto Hanifa ni ya gharama kubwa sana. Ugonjwa wake haukujulikana alipopelekwa Hospitali ya taifa Muhimbili lakini alipopelekwa nchini India gharama za uchunguzi pekee zilikuwa dola 7,600 ambapo mtoto Hanifa aligundulika kuwa na ugonjwa wa Acute lymphoblastic Leukemia. Matibabu yake yalipangwa yawe kwa awamu tatu ambapo ..

Obama Sworn in, Second Term Officially Begins

As mandated by the U.S. Constitution, President Obama was sworn in at 11:55 a.m. ET by Chief Justice John Roberts for his second term as president. The president took the oath during a small, private ceremony in the White House Blue Room, with his hand on a Bible from First Lady Michelle Obama's family, which was held by her during the oath.