Judith Daines Wambura Mbibo akielezea mitazamombali mbali kuhusiana na uwekaji STAMP kwenye kazi za sanaa ya Muziki na Filamu,huuukiwa ni muendelezo wa kuwahoji wadau mbalimbali kuhusiana na mabadiliko hayo ya sheria ya ushuru wa bidhaa.
Yanga Yatoka Sare na Timu ya Ulaya

Armini Bielefeld ilianza soka kwa kasi kwa lengo la kujipatia bao la mapema lakini umakini wa walinzi wa Yanga na mlinda mlango Ally Mustafa 'Barthez' ilikuwa kikwazo kwao kwani mashambulizi yao yaliishia mikononi mwake.
Ikiwa ni mchezo wake wa kwanza wa kujipima nguvu Young African iliweza kuonyesha soka safi katika kipindi cha kwanza hali iliyowashangaza wajerumani hao na kipindi cha pili kuamua kufanya mabadiliko ya kikosi kizima.
Viungo wa Yanga Frank Domayo, Haruna Niyonzima na Kabange Twite waliweza kutawala mchezo kwa dakika 45 zote za kipindi cha kwanza huku baadhi ya wajerumani waliokuwa wakishuhudia mchezo huo kushangazwa na kiwango cha timu ya Yanga
Hadi mapumziko timu zote zilikwenda mapumziko , Young Africans 0 - Arminia Bielefeld.
Kipindi cha pili Arminia Bielefeld iliamua kubadilisha kikosi chake chote cha wachezaji kwa lengo la..
Ikiwa ni mchezo wake wa kwanza wa kujipima nguvu Young African iliweza kuonyesha soka safi katika kipindi cha kwanza hali iliyowashangaza wajerumani hao na kipindi cha pili kuamua kufanya mabadiliko ya kikosi kizima.
Viungo wa Yanga Frank Domayo, Haruna Niyonzima na Kabange Twite waliweza kutawala mchezo kwa dakika 45 zote za kipindi cha kwanza huku baadhi ya wajerumani waliokuwa wakishuhudia mchezo huo kushangazwa na kiwango cha timu ya Yanga
Hadi mapumziko timu zote zilikwenda mapumziko , Young Africans 0 - Arminia Bielefeld.
Kipindi cha pili Arminia Bielefeld iliamua kubadilisha kikosi chake chote cha wachezaji kwa lengo la..
Justin Bieber & Selena Gomez Split For Good?
According to Us Weekly, Justin, 18, and Selena, 20, had their New Year's vacation in Puerta Vallarta, Mexico end abruptly after a massive blowout.
"They had another huge fight, and Selena won't forgive him," a source claimed.
The pair reportedly rang in the New Year separately in Los Angeles, after Selena flew home on
December 30.
"He's been really down about the breakup," the source added.
Another source went on to claim, "Selena is done with him."
As previously reported on AccessHollywood.com, Justin delivered a message to his fans on Saturday after photos surfaced online showing the singer star holding what appears to be a marijuana joint.
"Everyday growing and learning. Trying to be better," he Tweeted, after TMZ posted photos of the singer partying with friends, clutching what the website alleges is "a smoldering blunt." "U get knocked down, u get up.
Adding, "I see all of u. I hear all of u. I never want to let any of you down. I love u and thank u," he wrote.
"They had another huge fight, and Selena won't forgive him," a source claimed.
The pair reportedly rang in the New Year separately in Los Angeles, after Selena flew home on
December 30.
"He's been really down about the breakup," the source added.
Another source went on to claim, "Selena is done with him."
As previously reported on AccessHollywood.com, Justin delivered a message to his fans on Saturday after photos surfaced online showing the singer star holding what appears to be a marijuana joint.
"Everyday growing and learning. Trying to be better," he Tweeted, after TMZ posted photos of the singer partying with friends, clutching what the website alleges is "a smoldering blunt." "U get knocked down, u get up.
Adding, "I see all of u. I hear all of u. I never want to let any of you down. I love u and thank u," he wrote.
Mwisho wa Kutumia Leseni za Udereva za Zamani ni March 31 Mwaka Huu

Na Mobini Sarya, Tanpress
JESHI la Polisi nchini kwa kushirikiana na Mamlaka mapato nchini (TRA) limeboresha mfumo wa utoaji leseni za udereva ambazo zimeanza kutolewa kwa njia aya Smart Card ili kuendana na ukuaji wa Teknolojia duniani.
Wakizungumza na wandishi wa habari jijini Dar es Salaam, Mnadhimu wa kikosi cha usalama barabarani ACP Johandani Kahatano na Naibu Kamishna wa TRA Yusuph Salum wamesema kuwa mwisho wa kubadilisha leseni kwa maedereva wote ni Machi 31 Mwaka huu.
Wameeleza kuwa baada ya muda huo zoezi la ubadilishaji Leseni za aina zote halitafanyika na mfumo wa utoaji Leseni utabadilishwa ili kubakia na uwezo wa kutoa Lesseni kwa madereva wanaoomba Lesseni kwa mara ya kwanza.
Hivyo madereva wote wametakiwa kuhakikisha wanatumia muda huo wa...
JESHI la Polisi nchini kwa kushirikiana na Mamlaka mapato nchini (TRA) limeboresha mfumo wa utoaji leseni za udereva ambazo zimeanza kutolewa kwa njia aya Smart Card ili kuendana na ukuaji wa Teknolojia duniani.
Wakizungumza na wandishi wa habari jijini Dar es Salaam, Mnadhimu wa kikosi cha usalama barabarani ACP Johandani Kahatano na Naibu Kamishna wa TRA Yusuph Salum wamesema kuwa mwisho wa kubadilisha leseni kwa maedereva wote ni Machi 31 Mwaka huu.
Wameeleza kuwa baada ya muda huo zoezi la ubadilishaji Leseni za aina zote halitafanyika na mfumo wa utoaji Leseni utabadilishwa ili kubakia na uwezo wa kutoa Lesseni kwa madereva wanaoomba Lesseni kwa mara ya kwanza.
Hivyo madereva wote wametakiwa kuhakikisha wanatumia muda huo wa...
Nigerian Professor Claims to Have Found Possible Cure for HIV/AIDS

He told the News Agency of Nigeria in Benin, that research on the project was started in 2010 and culminated in the development of “Deconcotion X (DX)–Liquid or Bioclean 11 for the cure of HIV and AIDS. He said the herbal drug had undergone “a series of successful tests.
Prof Ibeh told NAN,
We are at the threshold of making history, in the sense that we seem to have with us something that will permanently take care of what over time seems to have defied all solutions. We are talking about the latest discovery of an oral drug made from plants extraction in Nigeria for the possible cure for the pandemic, HIV and AIDS virus.
The existing retroviral drugs are intervention drugs for the management of AIDS but our new discovery is a possible cure. We have tried to look at the product first; its toxicological analysis and discovered that..
Mgao wa Umeme Haupo na Hautakuwepo, Bei Haitapanda,Tuvumilie Umeme uwe Unazimwa ili Tuboreshe Miundombinu - Prof. Muhongo!

Pia alisema Serikali, haitakubali kupandisha bei za umeme hadi hapo mapato na matumizi ya shirika hilo yatakapofanyiwa ukaguzi na kujiridhisha.
Profesa Muhongo, alitoa kauli hiyo mjini Dar es Salaam juzi, wakati akizungumza katika kipindi cha Dakika 45 kinachorushwa na kituo cha televisheni cha ITV mjini Dar es Salaam juzi.
Alisema msimamo wa Serikali, hadi sasa ni kwamba bei ya umeme haitapanda.
“EWURA na TANESCO, wamefuata taratibu zao za kubadilisha bei, lakini nimewaeleza na narudia kusisitiza chochote watakachojadili labda waje na bei ya kushusha umeme…Serikali haikubali bei ya kupandisha umeme huo ndio msimamo haubadiliki.
“Bei haitapanda, nimewaambia TANESCO kwamba endapo wanataka kupandisha bei ni lazima tukae chini na wao tuangalie matumizi yao ya fedha wanazozikusanya, sasa ikiwa kama matumizi yao ni makubwa hayaendani na hali halisi cha kwanza ni kufumua hilo shirika la TANESCO, nashukuru Watanzania walitoa maoni yao kuhusu muundo wa shirika wanalolitaka sasa yamekusanywa na wiki hii tutaletewa wizarani.
“Ujumbe wa mwaka wa 2013, ni lazima tufumue TANESCO tujenge upya ambayo itakidhi mahitaji yetu ya...
Profesa Muhongo, alitoa kauli hiyo mjini Dar es Salaam juzi, wakati akizungumza katika kipindi cha Dakika 45 kinachorushwa na kituo cha televisheni cha ITV mjini Dar es Salaam juzi.
Alisema msimamo wa Serikali, hadi sasa ni kwamba bei ya umeme haitapanda.
“EWURA na TANESCO, wamefuata taratibu zao za kubadilisha bei, lakini nimewaeleza na narudia kusisitiza chochote watakachojadili labda waje na bei ya kushusha umeme…Serikali haikubali bei ya kupandisha umeme huo ndio msimamo haubadiliki.
“Bei haitapanda, nimewaambia TANESCO kwamba endapo wanataka kupandisha bei ni lazima tukae chini na wao tuangalie matumizi yao ya fedha wanazozikusanya, sasa ikiwa kama matumizi yao ni makubwa hayaendani na hali halisi cha kwanza ni kufumua hilo shirika la TANESCO, nashukuru Watanzania walitoa maoni yao kuhusu muundo wa shirika wanalolitaka sasa yamekusanywa na wiki hii tutaletewa wizarani.
“Ujumbe wa mwaka wa 2013, ni lazima tufumue TANESCO tujenge upya ambayo itakidhi mahitaji yetu ya...
Kali TV Online: This Week's Around Town
In this first episode of 2013 Kali TV covers Black Girls Ignite Africa Workshop in Maryland which Chardelle Moore was invited to talk as Kali TV Host on her role as young woman in the media. Kali TV also travelled to NY to cover Yoliswa Cele US Africa Synergy Ambassador fundraising event which focuses on helping kids in Kwazulu Natal. We also featured Young African Professional Network (YAP) end of the year party and also visited Sibusiso Kunene a South African Immigrant who feeds homeless every tuesday in Washington DC.
Huenda Mwanamuziki Joseph Chameleone wa Uganda Akafunguliwa Mashitaka ya Mauaji!
Gazeti la Sunday Mail la Uganda limeripoti kwamba Polisi wa nchi hiyo wanaendesha uchunguzi ambapo huenda wakamfungulia mashitaka ya mauaji mwanamuziki Jose Chameleone, mke wake Daniella na kundi la muziki la Leon Island.
Ni kutokana na kifo cha Robert Karamagi (27) aliyefariki katika Hospitali ya Mulago baada ya majeraha aliyoyapata nyumbani kwa mwanamuziki huyo huko Seguku Kamanda wa Polisi wa Wilaya ya Kajjansi Ibrahim Saiga alisema wamechukua ushahidi mbalimbali kutoka kwa majirani na mashuhuda walioona, ushahidi ambao unapingana na ule uliotolewa na familia ya Mayanja.
Pamoja na kusema faili la uchunguzi huo litapelekwa kwa Mwendesha Mashitaka wa Serikali (DPP) kwa ushauri, Saiga alisema pia baba wa Karamagi alikana kwamba mwanaye alijimwagia mafuta na kujiwasha moto, pia alisema mwanaye alipomwita hospitalini alimwambia aliteswa, akafungwa kamba, akamwagiwa mafuta na kuchomwa moto na mwanamuziki huyo pamoja na wenzake wa kundi lake.
Ni kutokana na kifo cha Robert Karamagi (27) aliyefariki katika Hospitali ya Mulago baada ya majeraha aliyoyapata nyumbani kwa mwanamuziki huyo huko Seguku Kamanda wa Polisi wa Wilaya ya Kajjansi Ibrahim Saiga alisema wamechukua ushahidi mbalimbali kutoka kwa majirani na mashuhuda walioona, ushahidi ambao unapingana na ule uliotolewa na familia ya Mayanja.
Pamoja na kusema faili la uchunguzi huo litapelekwa kwa Mwendesha Mashitaka wa Serikali (DPP) kwa ushauri, Saiga alisema pia baba wa Karamagi alikana kwamba mwanaye alijimwagia mafuta na kujiwasha moto, pia alisema mwanaye alipomwita hospitalini alimwambia aliteswa, akafungwa kamba, akamwagiwa mafuta na kuchomwa moto na mwanamuziki huyo pamoja na wenzake wa kundi lake.
Jose Chameleone akihojiwa na NTV Uganda na kusema kwamba hilo swala wameliacha kwenye mikono ya polisi, gazeti la sunday mail limeripoti pia kwamba alhamisi iliyopita Jose Chameleone alihojiwa na wapelelezi kwa muda mrefu lakini aliachiwa kwa dhamana.
Subscribe to:
Posts (Atom)