Pages

Mwanajeshi Aliyepiga Picha na Mbunge Godbless Lema Akamatwa

Chadema 
Mtu aliyejitambulisha kuwa askari wa Jeshi la wananchi wa Tanzania (JWTZ),kambi ya Monduli,Arusha kwenye mkutano wa Chadema Mji mdogo Mererani,Simanjiro mkoani Manyara hivi karibuni akiwa ndani ya gari ya jeshi baada ya kutiwa nguvuni,

Chadema


 Picha alizopiga na Viongozi mbalimbali wa Chadema
Chadema
 Mtu aliyejitambulisha kuwa askari wa Jeshi la wananchi wa Tanzania (JWTZ),kambi ya Monduli,Arusha akiwa na wabunge wa Chadema, Godbless Lema (Arusha Mjini) na Joshua Nassari (Arumeru Mashariki) baada ya kumalizika kwa mkutano wa hadhara uliohutubiwa na wabunge hao katika Mji mdogo Mererani,Simanjiro mkoani Manyara hivi karibuni.
                                                    Na Kingkif

Prank, Kulahappy: Naswa-Kenya

Msanii Maarufu wa Filamu Tanzania Juma Kilowoko (SAJUKI) Amefariki Dunia Leo!

Juma Kilowoko (SAJUKI)
Juma Kilowoko (SAJUKI)
Msanii maarufu wa Filamu nchini Juma Kilowoko(Sajuki)ambaye hivi karibuni Serikali ilijitolea kubeba jukumu la kugharamia matibabu yake na hatimaye hivi karibuni kulazwa kwenye kitengo cha wagonjwa mahututi (ICU) kwenye hospitali ya Taifa ya Muhimbili amefariki dunia leo Alfajiri akiwa amelazwa katika hospitali ya Muhimbili.

Sajuki aalifikishwa hospitalini hapo mwishoni mwa Desemba 2012, alikofikishwa akitokea Amana, alikokuwa akipata matibabu mbaada ya kuanguka jukwaani jijini Arusha, alipopanda kutaka kusalimia mashabiki wake ikiwa ni harakati za kutafuta fedha michango ya pesa za kumpeleka tena India kupata matibabu.
Katibu wa Baraza la Filamu Tanzania (TAFF), Wilson Makubi, amethibitisha kutokea kwa msiba wa Sajuki, ambaye alikuwa akisubiriwa apate nafuu ili Serikali ya Tanzania igharamie safari na matibabu yake nchini India.
Makubi alisema kuwa, maandalizi ya msiba huo yatatangazwa baada ya wahusika na wadau kukukutana, huku akiwataka mashabiki wa sanaa na msanii huyo kwa ujumla kuwa wavumilivu katika kipindi hiki cha maandalizi ya mazishio yake.
Kabla na baada ya kuifika India kwa matibabu, Sajuki aligunduliwa kuwa na ugonjwa wa uvimbe pembeni ya ini, ambapo aliporejea alionekana kuimarika kiafya, kabla ya kuanza kuugua tena.
Simon Mwakifwamba (kushoto) na wadau wengine wakimsaidia Sajuki (katikati) kutoka jukwaani baada ya kudondoka katika Uwanja wa Sheikh Amri Abeid, jijini Arusha mwishoni mwa mwaka jana. 
Kifo cha Sajuki kinafanya muendelezo wa vifo vya wasanii nguli wa filamu na muziki ulioanzia mwaka uliopita, ambapo wakali kama Steven Kanumba, John Maganga, Mlopelo, Sharo Milionea, Mariam Khamis ‘Paka Mapepe’ walifariki kwa nyakati tofauti kutokana na maradhi na ajali.

Mchakato wa mazishi ya Sajuki unafanyika Tabata, jijini Dar es Salaam. MUNGU ailaze ROHO ya marehemu SAJUKI mahali pema PEPONI. Ameen

Top 24 za Clouds FM


How to Become a Powerful Speaker!!

Powerful Speaker
We are living in a professional world. You might have possess great expertise but you'll always be judged on your speaking skills. In public speaking the message and you are the same in your audience's mind. 

Every time you open your mouth to speak, you have two choices. You can inspire, make the sale, get your message across, influence others, and make a powerful impact; or you can bore, lose the sale, embarrass yourself, or, worst of all, make no impression whatsoever. 

Being well-prepared will not only make you a more powerful speaker, it will instill confidence and help you overcome your public speaking fears.

Steps to become a powerful speaker:-
  • Know your audience - Research and study your audience. Knowing your audience's age range, interest, education, work, ethnic background, and marital status, if it is relevant to your talk is very important. 
  • What is the end result of your speech - What’s really at the heart of your speech? By knowing that in hand you can create a powerful punch that drives home your message instead of rambling on and losing your audience’s interest. 
  • Your Competence - If audiences understand your level of knowledge and experience, they will simply trust you more. Every one of us is at his or her best when we talk about something that matters to us deeply. 
  • Sound - Alter your pitch, volume, speaking rate, inflection, stress and word coloring. The less monotone, the better. 
  • Grab their attention - Use humor, quotations and rhetorical questions to get them thinking about your speech. 
  • Be passionate - Believe and care about what you say. If you don't believe on what you talk no one will. Remember people may disagree with you, but they will respect you. 
  • Be yourself - Imitating other powerful speakers won't cut it for you. Your audience will know immediately and you will loose your trust. 
  • Be creative - Even if you are speaking to the first graders if you are not creative for their level you will be bored. 
  • Ditch the technology - When preparing your speech, try saying your thought out loud a few different ways. Keep doing it until you hear the best way. Now write it down. Don't first prepare your lousy presentation or write down an uninspiring story and then practice it. You will bore your audiences to death. 
  • Share a story - Although not everyone will be able to relate to your story but letting the audiences know that you share their values tend to warm up the audience. 
  • Delivery Skills - Every audience will be judging you--whether you like it or not, and whether they know they're doing it or not. Approaching your speech as more of a “me-to-you” discussion rather than a full-blown broadcast will make it more manageable (and less stressful) and easier on you. 
  • Move around - A top speaker uses the maximum space given to him to deliver his speech. Use your hands and gestures to engage the audience visually.
  • Don't let technology overpower your speech -  PowerPoint presentations are great for making specific points, but they can be overwhelming and boring. 
  • Focus on the big picture rather than all the pieces - That is to say end your speech with the same message you began with.

The Most Anorexic Woman In The World Speaks Out!!!

'I Know Why he Pulled the Trigger': High School Student,17, Suspended for Writing a Poem About Sandy Hook Shooter!

why he pulled the trigger 
       By JILL REILLY
A 17-year old high school student has been suspended for a poem she wrote about the mass shooting at Sandy Hook Elementary School.
Courtni Webb wrote the poem in a personal notebook about Adam Lanza and what she felt were his reasons for the mass murder at the Connecticut school earlier this month.
On December 14, crazed Lanza gunned down 20 students, aged just six and seven, and six adults in one of the worst school shootings in American history.
Scroll down for video
       Suspended: Courtni Webb, 17, who poem about the shooting tragedy

poem about Sandy Hook shooter
Causing controversy: 'I understand the killings in Connecticut. I know why he pulled the trigger,' wrote Courtni Webb in a poem
Sandy Hook shooter
Action: The Life Learning Academy, a 60-pupil vocational school for students, suspended Courtni after reading the poem
He was armed with a high-powered rifle, similar to that used by US soldiers, two handguns and ...

Green Beach in China


Seaweed
                                      Seaweed (enteromorpha prolifera)
Seaweed

Green Beach in China
Green Beach in China