Nelson Mandela Returns Home After 18 Days in Hospital
A spokesman for President Jacob Zuma confirmed that Mr Mandela was transported to his home in Johannesburg’s Houghton neighbourhood, where he will continue to recover under the close watch of his personal doctors.
“He will undergo home-based high care at his Houghton home until he recovers fully,” Mac Maharaj, the presidential spokesman said. “We request a continuation of the privacy consideration in order to allow for the best possible conditions for full recovery.”
Mr Mandela, who is 94, was flown on December 8 from his rural residence in Qunu village to the capital Pretoria, where he spent 19 days in hospital receiving treatment for a recurring lung infection.
Doctors also discovered that he had developed gallstones and he had surgery to have them removed.
It was his longest hospital stay since coming out of prison in 1990 after 27 years in detention.
South Africa’s first black president spent Christmas Day in hospital, where he was visited by wife Graca Machel and members of the Mandela family, along with Mr Zuma, who said he was “looking much better” and “in good spirits”.
It is unclear when Mr Mandela might be allowed to return to his village home in Qunu, in the remote Eastern Cape province, where he spent his boyhood and built a house after being released from prison in 1990.
Top 10 African Films of 2012, Bongo Movie Chali!
Zikiwa katika mitindo, mandhari na maudhui tofautitofauti Filamu hizi zimeweza pia kuoneshwa katika majumba makubwa ya Sinema duniani.
Lakini mtandao huu umetoa nafasi kwa wadau wenyekipingamizi kuweka mambo wazi, kama kuna Filamu iliyo bora zaind ya hizi.., na kwa maoni ya Mo blog ni vyema tukazitafuta Filamu hizi tukazitazama na kupima ubavu wetu na waafrika wenzetu. Ni kweli hatustali kuwa katika 10 bora????!!!!

Dear Mandela (South Africa)

The Curse (Morocco)

When China Met Africa (UK)

The films of the Mosireen Collective (Egypt)

Kempinski (Mali)

The 9 Muses (UK)

Tey (Senegal)

Otelo Burning (South Africa)

Cursed Be The Phosphate (Tunisia)
Mo blog
Lakini mtandao huu umetoa nafasi kwa wadau wenyekipingamizi kuweka mambo wazi, kama kuna Filamu iliyo bora zaind ya hizi.., na kwa maoni ya Mo blog ni vyema tukazitafuta Filamu hizi tukazitazama na kupima ubavu wetu na waafrika wenzetu. Ni kweli hatustali kuwa katika 10 bora????!!!!
Dear Mandela (South Africa)
The Curse (Morocco)
When China Met Africa (UK)
The films of the Mosireen Collective (Egypt)
Kempinski (Mali)
The 9 Muses (UK)
Tey (Senegal)
Otelo Burning (South Africa)
Cursed Be The Phosphate (Tunisia)
Mo blog
Baada ya Diva Kuiponda Ngoma ya Baucha Kelele



Asiyeipenda Bodi Mpya TPA Aache Kazi ;Dk Mwakyembe

Akizungumza na wafanyakazi wa bandari hivi karibuni ambapo aliitambulisha bodi mpya ya TPA yenye wajumbe nane jijini Dar es salaam, Dk Mwakyembe alisema yeyote ambaye anahisi hataweza kufanya kazi na bodi hiyo anaweza kujiengua mwenyewe. Kuteuliwa kwa bodi hiyo kunatokana na kuvunjwa kwa bodi ya awali iliyobainika kutokuwa na ufanisi katika utendaji wa kazi jambo ambalo limesababisha TPA kukosa mapato huku wachache wakinufaika.
Mwakyembe alisema bodi hiyo itakuwa na wajumbe wanane na itaongozwa na Raphael Mollel, na amewataka wafanyakazi kuipa ushirikiano ili kutimiza malengo waliojiwekea.
“Bodi hii ni mpya naomba tuipe ushirikiano ili tuweze kufanikisha malengo yetu tuliyojiwekea,” alisema Dk Mwakyembe.
Pia Mwakyembe aliwataka walioIngia kwa njia zisizo halali ikiwamo kuingizwa na ndugu zao wajiandae, kwani katika suala hilo hatakuwa na mchezo katika lengo la kuisafisha bandari.
“Nadhani wenyewe wanajitambua hivyo wajiandae, hatuko hapa kwa ajili ya kubebanabebana na matokeo yake ni ufanisi wa kazi kuwa mbovu na tutaanza kuwashughulikia siku chache zijazo,” alisema Dk Mwakyembe.
Mwananchi
Mwakyembe alisema bodi hiyo itakuwa na wajumbe wanane na itaongozwa na Raphael Mollel, na amewataka wafanyakazi kuipa ushirikiano ili kutimiza malengo waliojiwekea.
“Bodi hii ni mpya naomba tuipe ushirikiano ili tuweze kufanikisha malengo yetu tuliyojiwekea,” alisema Dk Mwakyembe.
Pia Mwakyembe aliwataka walioIngia kwa njia zisizo halali ikiwamo kuingizwa na ndugu zao wajiandae, kwani katika suala hilo hatakuwa na mchezo katika lengo la kuisafisha bandari.
“Nadhani wenyewe wanajitambua hivyo wajiandae, hatuko hapa kwa ajili ya kubebanabebana na matokeo yake ni ufanisi wa kazi kuwa mbovu na tutaanza kuwashughulikia siku chache zijazo,” alisema Dk Mwakyembe.
Mwananchi
Adam Mchomvu Ametangaza Ruksa Video ya Jonii Itengenezwe na Wewe

"Yes, kama kumbukumbu zako zitakuwa poa basi haina shaka utakuwa unakumbuka kama Jumamosi iliyopita nilitoa ruhusa kwa mtu yeyote anaona anaweza fanya video ya ngoma yangu matata ya 'Jonii' amabayo kitambo kidogo ilisumbua kwenye gemu lakini nilikuwa sijagonga kichupa chake kwa masababu kibao tu".Ni maneno ya Baba Jonii, Mfate hapa http://mchomvuink
Subscribe to:
Posts (Atom)


