Pages

Asiyeipenda Bodi Mpya TPA Aache Kazi ;Dk Mwakyembe

Wafanyakazi wa Mamlaka ya Bandari(TPA
WAZIRI wa Uchukuzi Dk Harisson Mwakyembe amewataka Wafanyakazi wa Mamlaka ya Bandari(TPA), wasioikubali bodi aliyoiteua hivi karibuni kuachia ngazi mara moja na kwamba watalipwa stahiki zao.
Akizungumza na wafanyakazi wa bandari hivi karibuni ambapo aliitambulisha bodi mpya ya TPA yenye wajumbe nane jijini Dar es salaam, Dk Mwakyembe alisema yeyote ambaye anahisi hataweza kufanya kazi na bodi hiyo anaweza kujiengua mwenyewe. Kuteuliwa kwa bodi hiyo kunatokana na kuvunjwa kwa bodi ya awali iliyobainika kutokuwa na ufanisi katika utendaji wa kazi jambo ambalo limesababisha TPA kukosa mapato huku wachache wakinufaika.

Mwakyembe alisema bodi hiyo itakuwa na wajumbe wanane na itaongozwa na Raphael Mollel, na amewataka wafanyakazi kuipa ushirikiano ili kutimiza malengo waliojiwekea.
“Bodi hii ni mpya naomba tuipe ushirikiano ili tuweze kufanikisha malengo yetu tuliyojiwekea,” alisema Dk Mwakyembe.
Pia Mwakyembe aliwataka walioIngia kwa njia zisizo halali ikiwamo kuingizwa na ndugu zao wajiandae, kwani katika suala hilo hatakuwa na mchezo katika lengo la kuisafisha bandari.
“Nadhani wenyewe wanajitambua hivyo wajiandae, hatuko hapa kwa ajili ya kubebanabebana na matokeo yake ni ufanisi wa kazi kuwa mbovu na tutaanza kuwashughulikia siku chache zijazo,” alisema Dk Mwakyembe.
Mwananchi

Adam Mchomvu Ametangaza Ruksa Video ya Jonii Itengenezwe na Wewe

Jonii


"Yes, kama kumbukumbu zako zitakuwa poa basi haina shaka utakuwa unakumbuka kama Jumamosi iliyopita nilitoa ruhusa kwa mtu yeyote anaona anaweza fanya video ya ngoma yangu matata ya 'Jonii' amabayo kitambo kidogo ilisumbua kwenye gemu lakini nilikuwa sijagonga kichupa chake kwa masababu kibao tu".Ni maneno ya Baba Jonii, Mfate hapa http://mchomvuink

ROMA 2030 Intro

Roma

Kipanya Loe

 Kipanya LEO

Don Omar - Zumba Campaign Video

Scam Series #2

Scam
  Dear Friend,
I am Mr Jida James, a chartered chief auditor with BANK OF AFRICA of Burkina Faso Ouagadougou West Africa. I got your contact address from your country through online directory. Your impressive and managerial records made me to solicit for your partnership in these regards. You are the only person that I have contacted for this business and with the trust that you will not let me down.

After going through some old files in the records during the audit for the year in my own department which I am heading now, I discovered that there was an account opened in this bank since 2000 and since then till now nobody has operated on this very account.
  The owner of this account as I discovered from the bank record secretly , is Late Mr. Jerome N. Snaga, a foreigner and a miner at the Anglo Gold Platinum Mining Company in Mafikeng Burkina Faso, as a geologist by profession and he has died since 2001 and Up till now, no other person knows about this account or anything concerning this money, no other persons name or group was ...

Ufahari wa kwenye misiba Uonesheni Kwenye Ugonjwa wa Mzee Small

Mzee Small 
Staa wa Vichekesho na Filamu Bongo, Said Mohamed Ngamba ‘Mzee Small’ akiwa amelazwa hospitali kutokana na maradhi yanayomsumbua.
KWENU mnaohusika na sanaa ya filamu Bongo. Mnajitambua sina haja ya kuwataja mmojammoja kwa majina, nitamaliza ukurasa bure.
Mimi najua mpo poa, mnaendelea na majukumu yenu ya kila siku. Binafsi niko poa, naendelea na majukumu yangu ya kila siku ikiwamo hili la kuwaandikia barua.
Barua yangu leo moja kwa moja nailekeza kwa nyinyi wote ambao watu sasa hivi wanawatambua kwa jina la mastaa wa filamu katika soko la Bongo, Bongo Movies.
Kikubwa ni kwamba, natambua mchango mlionao katika kusogeza gurudumu la maendeleo ya nchi. Natambua umuhimu wenu wa kuwatibu watu kisaikolojia kupitia filamu zenu mnazozifanya.
Hongereni kwa hilo.Katika taaluma yangu ya uandishi wa habari, mara kadhaa nimeshuhudia uwezo wenu katika kufanikisha mambo yanayowahusu, iwe ni sherehe au misiba.
Eeeh, kwenye sherehe basi mnalipuka na kushangweka kwelikweli. Kwenye misiba, mnahakikisha ...

Kad-Go Bonus

Usiku wa X-Mass Dar Live ktk Picha

X-Mass Dar Live
Wasanii mahiri wa muziki wa kizazi kipya nchini Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ na Omary Nyembo ‘Ommy Dimpoz’ usiku wa kuamkia leo wameweka historia kwa kufanya shoo ya aina yake ndani ya ukumbi wa kisasa wa Dar Live uliopo Mbagala Zakhem jijini Dar es Salaam. Wasanii hao walisindikizwa na mkali Juma Nature na kundi lake la Wanaume Halisi, Msanii mkongwe Ally Baucha pamoja na Bendi ya Extra Bongo. Shoo hii imeletwa kwenu kwa hisani
X-Mass Dar Live
X-Mass Dar Live
Watu weweee: Kila mmoja akiwa na shauku ya ...

Scam Series#1

Scam
Hello Dear,
Please permit me to introduce myself, my name is Maureen Kipkalya Kones, 24yrs old female (single) and i'm from Kenya in East Africa. I appeal to you to exercise a little patience and read through my letter because i feel quite safe dealing with you in person, for that, I'm writing this mail to you with due respect, trust and humanity and with pains, tears and sorrow from my heart, strongly believing in Al-Mighty God/Allah that you will consider my letter and help me and also benefit from me. Although, we have neither met in person nor by communication. But i believe, it is one day you get to know someone, either by physical or through correspondence. Honestly, i wish to contact you personally for a long term business relationship and investment assistance in your country.

My Father (Hon. Kipkalya Kones) was the former Kenyan road Minister. He and the assistant minister of home affairs (Mr.Lorna Laboso) were on board when the plane crashed on ..