Obesity Killing Three Times as Many as Malnutrition!!

increasing prosperity has led to expanding waistlines in countries from Colombia to Kazakhstan, as people eat more and get less everyday exercise
By Stephen Adams, Medical Correspondent
With the exception of sub-Saharan Africa, eating too much is now a more serious risk to the health of populations than eating poorly, found the Global Burden of Disease study, published in a special edition of The Lancet.
Across the world, there has been significant success in ...
By Stephen Adams, Medical Correspondent
With the exception of sub-Saharan Africa, eating too much is now a more serious risk to the health of populations than eating poorly, found the Global Burden of Disease study, published in a special edition of The Lancet.
Across the world, there has been significant success in ...
Mahojiano ya Wadau wa Filam na Muziki -147 Critics, Dr. Vicensia Shule
Mahojiano haya yametokana na
-C. Sheria ya Ushuru wa Bidhaa, SURA 147
98. Mheshimiwa Spika, napendekeza kufanya marekebisho
katika Sheria ya Ushuru wa Bidhaa, SURA 147 kama ifuatavyo:-
ii. Mheshimiwa Spika, kumekuwa na kilio cha muda
mrefu cha wasanii kudurufiwa kazi zao za sanaa na
kukosa maslahi kwa kazi wanazofanya. Ili kutatua tatizo
hili, Serikali kupitia Mamlaka ya ...
Mapokezi ya Mh.Lema Yanavyoendelea

Mapokezi ya Mbunge wa Arusha mjini Godbless Lema katika jiji la ...
Lulu Aachiwa kwa Dhamana!?!

Kabla ya kusomwa kwa maelezo ya kesi hiyo ambapo Lulu hakutakiwa kujibu chochote kutokana na Mahakama ya Kisutu kutokuwa na mamlaka ya kusikiliza kesi hiyo, Hakimu wa Mahakama ya Kisutu Augustina Mmbando amemtaka wakili wa serikali kutaja idadi ya mashahidi watakaotoa ushahidi wao wakati kesi hiyo itakapoanza kusikilizwa.
Wakisoma kwa awamu maelezo ya mashahidi wa kesi hiyo, mawakili wa serikali kwenye hiyo kesi wamesema wanao mashahidi tisa wanaotarajiwa kuwatumia kwenye kesi na kuongeza kwamba shahidi namba moja ni Seth Bosco mdogo wa Marehemu Kanumba waliekua wakiishi pamoja.
Kwenye maelezo yaliyosomwa na Seth mahakamani, imeelezwa kwamba siku ya...
Subscribe to:
Posts (Atom)

