Pages

Hekaheka ya Dec 21 Kuhusu Housegirl Aliezikwa na Houseboy!!

Mahojiano ya Wadau wa Filam na Muziki -147 Critics, Dr. Vicensia Shule


Mahojiano haya yametokana na
-C. Sheria ya Ushuru wa Bidhaa, SURA 147
98. Mheshimiwa Spika, napendekeza kufanya marekebisho
katika Sheria ya Ushuru wa Bidhaa, SURA 147 kama ifuatavyo:-
ii. Mheshimiwa Spika, kumekuwa na kilio cha muda
mrefu cha wasanii kudurufiwa kazi zao za sanaa na
kukosa maslahi kwa kazi wanazofanya. Ili kutatua tatizo
hili, Serikali kupitia Mamlaka ya ...

Alichoandika Nape Nnauye Kuhusu Ushindi wa Godbless Lema

Godbless Lema

Mapokezi ya Mh.Lema Yanavyoendelea



Mapokezi ya Mbunge wa Arusha mjini Godbless Lema katika jiji la ...

Fidstyle Friday Week ya 34,35 na 36 with Mansu-Li, Illmatix na Tifah



Lulu Aachiwa kwa Dhamana!?!

Lulu
Mahakama ya hakimu mkazi Kisutu Dar es salaam jana december 21 2012 imefunga jalada la kesi ya kuua bila kukusudia inayomkabili mwigizaji Elizabeth Michael maarufu kama Lulu tayari kwa kulipeleka Mahakama kuu ya Tanzania ili hiyo kesi ianze kusikilizwa.
Kabla ya kusomwa kwa maelezo ya kesi hiyo ambapo Lulu hakutakiwa kujibu chochote kutokana na Mahakama ya Kisutu kutokuwa na mamlaka ya kusikiliza kesi hiyo, Hakimu wa Mahakama ya Kisutu Augustina Mmbando amemtaka wakili wa serikali kutaja idadi ya mashahidi watakaotoa ushahidi wao wakati kesi hiyo itakapoanza kusikilizwa.
Wakisoma kwa awamu maelezo ya mashahidi wa kesi hiyo, mawakili wa serikali kwenye hiyo kesi wamesema wanao mashahidi tisa wanaotarajiwa kuwatumia kwenye kesi na kuongeza kwamba shahidi namba moja ni Seth Bosco mdogo wa Marehemu Kanumba waliekua wakiishi pamoja.
Kwenye maelezo yaliyosomwa na Seth mahakamani, imeelezwa kwamba siku ya...

Lord Eyes ft Ben Pol - No More Drama

LORD EYES

Saudi Prince Alwaleed bin Talal's £240million Private Airbus A380 with a Turkish Bath, Boardroom and Concert Hall

The same model is used by Singapore Airlines and Emirates and can fly 800 passengers 8,000 miles before refuelling
Flying palace: An artist's impression of what the £300 million customised Superjumbo will look like and a few of the luxuries on board
The plane will even boast a dedicated prayer area, in which computer-generated mats move to point towards Mecca.
The Western-educated prince, 57, is known as the Warren Buffett of the Middle East because of his reputation as a shrewd investor. He also owns 7 per cent of Rupert Murdoch’s News Corporation.
The new airliner joins Prince Alwaleed’s stable of private jets, including a modified Boeing 747 and an Airbus 321. He is also the proud owner of a 280ft superyacht, 5KR, formerly owned by Donald Trump, which featured in the Bond film, Never Say Never Again.
Business class: The plane's boardroom features a table which functions as a giant touchscreen and (right) a white spiral staircase winds around the lift which travels three floors and also drops onto the tarmac to act as the prince's private entrance
The new jet, which has already been ..

Edinburgh University's Julius Nyerere Master's Scholarships for 2013 - 2014



The University of Edinburgh is offering three scholarships for three Tanzanian students for postgraduate Master's study for any subject for 2013 - 2014. The deadline for submitting applications is 1st April 2013.
The university set up the Julius Nyerere Master's Scholarship in 2009 in memory of Tanzania's founding president, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere, who received a scholarship in 1949 and studied at Edinburgh University, graduating in 1952 with a Masters of arts degree.
The scholarship is worth £10,000 and will cover full overseas tuition fee, living costs worth £10,000 and return air travel to Edinburgh.
The scholarship is for one year only.
Further details can be obtained here:
http://www.ed.ac.uk/schools-departments/student-funding/postgraduate/international/region/nyerere