Pages

Mlete Mwathirika wa Dawa za Kulevya, Pili Missanah Foundation


 Mahojiano na Dada Pilli Misanah mwanzilishi na Mkurugenzi wa kituo cha Pilli Misannah Foundation "Back to life sober house" iliyopo Kigamboni, Dar es Salaam
 Pili Missanah
P. O. Box 1281,
Dar es Salaam, Tanzania.
Cell: +255715744464 au +255757858563 au +255713118996
Email: pilimisanah@yahoo.com

Nakala za Makalla Vol II - JCB

JCB

Angalia Video ya Mwanajeshi Mstaafu Akidaiwa kuua Mtoto


 Mwanajeshi mstaafu Samwel Haule wa eneo la Amboni mafuriko jijini Tanga anadaiwa kumuua mtoto mlemavu wa viungo mwenye umri wa miaka 17 Risala Ally kwa kumkata kwa kisu sehemu za tumboni na kusababishautumbo kumwagika hatua iliyoharakisha kifo chake muda mchache baada ya kufikishwa hospitali ya rufaa ya mkoa wa Tanga Bombo.

Barnaba - Sorry Teaser

Mwaka Mpya wa Kiislamu 1434 Hijriyya


DarSlam

MAKAMU wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk. Mohammed Gharib Bilal ameongoza waumini wa Kiislamu kuupokea mwaka mpya wa Kiislamu katika hafla iliyoandaliwa na Jumuiya ya Istikaama (ISTIQAAMA) tawi la Dar es salaam.
Sherehe hizo za kuukaribisha mwaka mpya wa Kiislamu 1434 Hijriyya ambazo zilifanyika katika ukumbi wa Karimjee jijini Dar es salaam zilihudhuriwa na waumini wa Kiislamu kutoka nchi mbalimbali pamoja na mabalozi wa Sudan, Oman na Iran nchini Tanzania.
DarSlam Akizungumza na waumini hao Dk. Bilal aliwataka Waislamu kuuanza mwaka mpya wa Kiislamu kwa kuepuka machafuko na kudumisha amani ambao ndio msingi mkuu wa dini ya Kiislamu.
Makamu wa Rais alisema katika serikali wameanza kuingia wasi wasi kutokana na vurugu za hivi karibuni ambazo zimeashiria kuvunjika kwa amani nchini.
“Mimi na wenzangu Serikalini tumeanza kuingia wasi wasi. Hivi karibuni katika nchi yetu kumetokea vurugu ambazo hatimaye zimeashiria kuvunjika kwa amani ya nchi yetu. Mali zimepotea na wengine wamepoteza maisha kwa kisingizio cha dini,” alisema Dk. Bilal na kuongeza
“Machafuko hayo yametufanya tujiulize hawa watu wanafuata misingi ipi ya Dini ambayo imewafanya wao wawe na jazba kiasi cha kushindwa kuwa na busara katika maamuzi yao. Je ni vipimo vipi vya msingi wa Dini ambavyo wao wanavifuata. Tunashindwa kupata jawabu”.
Makamu wa Rais aliwaeleza waumini hao kuwa kwa mawazo yake anaona matatizo mengi yanayolenga Uislam ni ukosefu wa elimu, ile ya Uislam wenyewe, na elimu ya dunia na kuwataka Waislamu kusoma kwa dhati jambo ambalo anaamini linaweza kusaidia mambo ya jazba yakapungua na hatimaye kutokomea kabisa.
“Tukiendeleza jazba ndio ziwe na nguvu kuliko mafunzo ya Quran tukadhani kuwa mwenye jazba ndiye Muislamu wa kweli tutaharibikiwa,” alibainisha. Akisoma risala ya Jumuiya hiyo, Sheikh Juma Nassor Alhinai aliiomba serikali kuifanya siku ya kwanza ya mwaka mpya wa Kiislamu kuwa ni ya mapumziko
Naye Sheikh Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam, AlhajiMussa Salum alikubaliana na wazo hilo lakini aliwataka Waislamu wenyewe kubadilika kwa kuitangaza tarehe hiyo ya kwanza ya mwaka mpya kwa kuipa nafasi katika maisha yao ya Kiislamu ili iweze kutambulika ipasavyo.
 Picha na OMR

Burudika na Top 65 Bongo Fleva za Dj Choka


Today's Quote


We must be concerned not merely about who murdered them, but about the system, the way of life, the philosophy which produced the murderers.
-Martin Luther King Jr

"I have no Intention of Becoming a Woman" Mike Tyson Sex Change



Former undisputed heavyweight champion of the world "Iron" Mike Tyson has issued a statement via an African website denying stories claiming he has had a sex change.
The bizarre story stems from a spoof news item from a British satirical website, which hoodwinked a number of online publications in Africa.
The NewsBiscuit story, titled "Mike Tyson sex change operation a 'complete success', say surgeons" , was inundated with hits after The Standard in Zimbabwe and SpyGhana both reported the news as fact.
Zambian website Zambia Watchdog is also thought to have published the story, but it has subsequently been removed.
Quotes attributed to Tyson in the story stated: "Some people might think it strange that I’m now a woman.
"But even at the height of my career, when pound for pound I was regarded as the best fighter in the world, I never lost touch with my feminine side and knew that one day I would grow breasts and have a vagina."
However, Tyson has since been quoted on SpyGhana as saying: "I am still a man and I have always been fully in touch with my masculinity and have no intention of becoming a woman.
"The claims are not only untrue but unbelievably stupid. I was at the Pacquiao-Marquez fight on Saturday and any reasonable person could tell I was looking like a man."
The story went on to suggest he wanted to replace his long-standing nickname of "Iron Mike" with "Iron Maiden", and change his name from Mike to Michelle after a successful 16-hour operation.
Comic writer John O'Farrell from NewsBiscuit told the BBC: "We've had half as many visitors from Africa in the last few days as we'd expect generally in a whole month."

Trey Songz Arrested for Making It Rain in the Club

Trey Songz
Trey Songz was arrested for throwing money at a woman, literally. The "Heart Attack" singer was accused of assaulting a woman when one of the dollar bills he threw in the air "struck the complainant's left eye causing substantial pain to her left eye."
Per TMZ, Songz was having an album release party at a gentleman's club in Queens, New York City on August 21. He got involved in an altercation outside the club somewhere between 4:00 and 4:15 A.M. on the 22nd.
Police said, "Tremaine Neverson [Songz's real name] , did throw a sum of United States currency at the complainant and said sum of United States currency struck the complainant's left eye causing substantial pain to her left eye."
The cops did not arrest him that night but a month later for misdemeanor assault. He was ordered to attend a court session on November 1 in New York where an order of protection was issued. He is scheduled to attend the court again in February.
Songz is in the middle of promoting his fifth studio album "Chapter V", which debuted at number one on the US Billboard 200 chart, with first week sales of 135,000 copies.

Kumbh Mela,Hija Inayofanyika Watu Wakiwa Uchi wa Mnyama India

DarSlam
Mamilioni ya watu kwa wakati mmoja wakiwa uchi nchini India kiibada zaidi.Kumbh Mela ni tamasha la kiibada kutumbuiza na Wahindu nchini India kila miaka 12. tamasha linalofatia litakuwa 2022..
Kumbh Mela
Angalia picha zaidi bofya read more..