Dar Metro Gazeti la Matangazo Litakalo Gawiwa Bure kwa Wasomaji
Meya wa Jiji la Dar es Salaam, Didas Massaburi (kushoto) akikabidhiwa gazeti jipya la Dar Metro na Ofisa Mtendaji Mkuu wa Kampuni ya Jambo Concepts Tanzania Limited inayochapisha gazeti hilo, Juma Pinto (kulia), ofisini kwake Karimjee, Dar es Salaam leo. Gazeti hilo maalumu kwa matangazo linalotolewa mara mbili kwa mwezi, hugawiwa bure kwa wasomaji.
Meya wa Jiji la Dar es Salaam, Didas Massaburi (kushoto) akisoma gazeti jipya la..
Trinidad James - All Gold Everything
Trinidad James, New video. Too based. Too cray. WorldWide News!!
Kenya Launches Gay and Lesbian Awards
The Kenya Human Rights Commission and the National Gay and Lesbian Human Rights Commission (NGLHRC) on Saturday launched the first gay and lesbian awards. The event, held at Charter Hall honoured Lesbians, Gays, Bisexuals, Transsexual, Intersex and Queer (LGBTIQ) individuals for their contributions to the Kenyan Society. Politicians, employers and journalists who are committed to advancing equality and social acceptance for LGBTIQ individuals in Kenya were also awarded.
Angalia Video ya Mbuzi Aliyezaa Mtoto Nusu Binaadamu
Mombasa kumetokea maajabu ya kipekee. Treni imeteleza na kuanguka kutoka kwenye reli, lakini la kushangaza zaidi ni tukio la mbuzi aliyezaliwa akiwa na maumbile ya mwanadamu.
Mlete Mwathirika wa Dawa za Kulevya, Pili Missanah Foundation
Mahojiano na Dada Pilli Misanah mwanzilishi na Mkurugenzi wa kituo cha Pilli Misannah Foundation "Back to life sober house" iliyopo Kigamboni, Dar es Salaam
Pili Missanah
P. O. Box 1281,
Dar es Salaam, Tanzania.
Cell: +255715744464 au +255757858563 au +255713118996
Email: pilimisanah@yahoo.com

Angalia Video ya Mwanajeshi Mstaafu Akidaiwa kuua Mtoto
Mwanajeshi mstaafu Samwel Haule wa eneo la Amboni mafuriko jijini Tanga anadaiwa kumuua mtoto mlemavu wa viungo mwenye umri wa miaka 17 Risala Ally kwa kumkata kwa kisu sehemu za tumboni na kusababishautumbo kumwagika hatua iliyoharakisha kifo chake muda mchache baada ya kufikishwa hospitali ya rufaa ya mkoa wa Tanga Bombo.
Subscribe to:
Posts (Atom)
