Pages

U Heard ya XXL Dec 10th 2012


Hapo Vipi Mdau



Majambazi Wavamia Msafara wa Maiti Singida na Kupora Zaidi ya Milioni 19 Na Kusachi Jeneza!

DarSalam
Gari aina ya Land Cruiser mali ya chuo cha SUA cha mjini Morogoro kama linavyoonekana baada ya kupigwa mawe na watu wanaodhaniwa kuwa ni majambazi nje kidogo ya mji wa Singida.Watu wasiofahamika idadi yao na ambao wanadhaniwa kuwa ni majambazi, wamevamia gari lililokuwa linasafirisha maiti kutoka Morogoro mjini hadi mkoa wa Mara na kupora zaidi ya shilingi milioni 19.8.
Baada ya kumaliza zoezi la uporaji huo, majambazi hayo yalishusha jeneza na kisha kulifumua na kuanza kulisachi.
Jeneza hilo lilikuwa limebeba mwili wa..

Point 7 Ft Jos Mtambo & Q Chief- Mke wa mtu

Tangazo la Ajira

Kazi

Bi Kidude Avishwa na Rais Kikwete Nishani ya Sanaa na Michezo

Bi Kidude
Rais Jakaya Kikwete, akimvisha Nishani ya Sanaa na Michezo, Bi Fatma Baraka Khamis (Bi Kidude)-BASADA, wakati wa sherehe ya kutunuku Nishani, iliyofanyika jana kwenye Viwanja vya Ikulu, jijini Dar es Salaam.
DarSlam
Bi Kidude, akiwa katika pozi baada ya kuvishwa Nishani yake na Rais Kikwete, huku akiimba wimbo wake wa Laiti, kwa poooozi.

Miaka 7 ya THT Dar Live

DarSlam
 Vijana wa THT wakiwasha moto wakati wa sherehe yao ya kutimiza miaka 7 ndani ya Dar Live usiku wa kuamkia leo.
DarSlamTHT

Ray C Atinga Ikulu!!! Uso kwa Uso na Rais Kikwete!

Ray c na Rais Kikwete 
Picha na Freddy Maro wa Ikulu.
Raisi Jakaya Kikwete akiwa pamoja na Ray C, Mama yake mzazi Ray C - Margreth Mtweve na aliyevaa nguo za pinki upande wa kulia ni dada yake na..

Mkasi With P Funk


Police Tweet Lost Cannabis and Ask Owner to Pick it up at The Station

Cannabis
It’s a bit different from your normal lost and found message.
The message has been retweeted more than 8,100 times, so the owner might have got the message by now…