Pages

Mpya Kuhusu Kesi ya Lulu

Lulu
Kesi ya mauaji ya marehemu Steven Kanumba inayomkabili movie star wa Tanzania Elizabeth Michael (Lulu) imeendelea kutajwa katika mahakama ya Hakimu mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam huku suala la umri wa mshitakiwa huyo likiendelea kuwekwa kiporo.
Mbele ya hakimu mkazi mfawidhi wa mahakama ya Hakimu mkazi Kisutu AUGUSTINA MMBANDO, Wakili wa Serikali KENNETH SEKWAO amesema upelelezi bado haujakamilika na kwa sasa ipo katika hatua ya kutajwa.
Mapema baada ya LULU kufunguliwa mashitaka ya mauaji ya..

Saran Wrap Toilet Prank

SuperGlue Hat Prank 

Maajabu - Nyati Azaa Binaadamu!!


DarSlam



KATIKA hali ya kustaajabisha, nyati anayefugwa na raia mmoja anayeishi nje kidogo ya Jiji la Bangkok nchini Thailand amezaa kiumbe kinachofanana na binadamu kwa asilimia 80.
Mashuhuda walisema kiumbe hicho kilichozaliwa hivi karibuni, kuanzia kichwani kwenda hadi tumboni ni mwonekano wa kibinadamu.
Hata hivyo, miguu na mikono yake ina kwato kama za mama yake ambaye..

Dr. Dre Tops Forbes Highest-Paid Musicians List

DarSlam
Hip-hop artist Dr. Dre has topped a Forbes list of the 25 highest-paid musicians in 2012.
The 47-year-old became one of the leading names in rap in the early 1990s with N.W.A. and has worked with artists including Eminem and Snoop Dogg.
According to Forbes, the producer’s headphones business, Beats by Dre, helped him make $100 million (£62.3m) in pre-tax earnings.
The top 10 also included Take That at number five.
The group, who reformed in 2005, made $69 million (£43m) earned from an eight-date tour at London’s Wembley Stadium in June and July 2011.
That also became the highest-grossing single stadium tour to date.
Last year’s highest-paid musicians, U2, finished in fourth place this year with combined earnings of $78 million (£48.6m) from their three-year 360 tour.
Other British stars in the top 25 included Pink Floyd’s Roger Waters (second), Elton John (third) Paul McCartney (joint eighth), Coldplay (21), Adele (22) and Sade (25).
Taylor Swift, 22, finished level with Paul McCartney and 18-year-old Justin Bieber tied with US country star Toby Keith at number 10 with earnings of $55 million (£34m).
Forbes puts its annual highest-paid musicians list together by estimating artists’ earnings from music sales, live shows, endorsements and merchandising.
The top 25 list
1. Dr. Dre – $100 million (£62.3m)
2. Roger Waters – $88m (£54.8m)
3. Elton John – $80m (£49.8m)
4. U2 – $78m (£48.6m)
5. Take That – $69m (£43m)
6. Bon Jovi – $60m (£37.3m)
7. Britney Spears – $58m (£36.1m)
8. Paul McCartney – $57m (£35.5m) 
9. Taylor Swift – $57m (£35.5m)
10. Justin Bieber – $55m (£34m)
11. Toby Keith – $55m (£34m)
12. Rihanna – $53m (£33m)
13. Lady Gaga – $52m (£32.4m)
14. Foo Fighters – $47m (£29.2m)
15. Diddy – $45m (£28m)
16. Katy Perry – $45m (£28m)
17. Kenny Chesney $44m (£27.4m)
18. Jay-Z – $40m (£24.9m)
19. Red Hot Chili Peppers – $39m (£24.2m)
20. Beyonce – $38m (£23.6m)
21. Coldplay – $37m (£23m)
22.  Adele – $35m (£21.7m)
22. Kanye West – $35m (£21.7m)
24. Michael Buble – $34m (£21.1m)
25. Sade – $33m (£20.5m).