Pages

Dr. Dre Tops Forbes Highest-Paid Musicians List

DarSlam
Hip-hop artist Dr. Dre has topped a Forbes list of the 25 highest-paid musicians in 2012.
The 47-year-old became one of the leading names in rap in the early 1990s with N.W.A. and has worked with artists including Eminem and Snoop Dogg.
According to Forbes, the producer’s headphones business, Beats by Dre, helped him make $100 million (£62.3m) in pre-tax earnings.
The top 10 also included Take That at number five.
The group, who reformed in 2005, made $69 million (£43m) earned from an eight-date tour at London’s Wembley Stadium in June and July 2011.
That also became the highest-grossing single stadium tour to date.
Last year’s highest-paid musicians, U2, finished in fourth place this year with combined earnings of $78 million (£48.6m) from their three-year 360 tour.
Other British stars in the top 25 included Pink Floyd’s Roger Waters (second), Elton John (third) Paul McCartney (joint eighth), Coldplay (21), Adele (22) and Sade (25).
Taylor Swift, 22, finished level with Paul McCartney and 18-year-old Justin Bieber tied with US country star Toby Keith at number 10 with earnings of $55 million (£34m).
Forbes puts its annual highest-paid musicians list together by estimating artists’ earnings from music sales, live shows, endorsements and merchandising.
The top 25 list
1. Dr. Dre – $100 million (£62.3m)
2. Roger Waters – $88m (£54.8m)
3. Elton John – $80m (£49.8m)
4. U2 – $78m (£48.6m)
5. Take That – $69m (£43m)
6. Bon Jovi – $60m (£37.3m)
7. Britney Spears – $58m (£36.1m)
8. Paul McCartney – $57m (£35.5m) 
9. Taylor Swift – $57m (£35.5m)
10. Justin Bieber – $55m (£34m)
11. Toby Keith – $55m (£34m)
12. Rihanna – $53m (£33m)
13. Lady Gaga – $52m (£32.4m)
14. Foo Fighters – $47m (£29.2m)
15. Diddy – $45m (£28m)
16. Katy Perry – $45m (£28m)
17. Kenny Chesney $44m (£27.4m)
18. Jay-Z – $40m (£24.9m)
19. Red Hot Chili Peppers – $39m (£24.2m)
20. Beyonce – $38m (£23.6m)
21. Coldplay – $37m (£23m)
22.  Adele – $35m (£21.7m)
22. Kanye West – $35m (£21.7m)
24. Michael Buble – $34m (£21.1m)
25. Sade – $33m (£20.5m).

Salmin Ft Chozi Sebuyu -Vikwazo

Prankster Dave Engledow and His Daughter Alice Bee

DIPPY dad Dave Engledow pictures himself as a great father and he’s got the photos to DISPROVE it..

Bubbling over ... dad, daughter and champagne
Dave Engledow
Prankster Dave and his daughter Alice Bee star in a calendar of wacky snaps showing the pair in a series of dangerous situations.

Hallo wee 'un ... Alice inside a pumpkin
Dave Engledow
They include..

Unstable Science

Unstable Science Official video by Lufu from his album Rare Breed

Angalia Picha za Vitu Alivyoibiwa Marehemu Sharo Milionea!!!

Sharo Mlionea
Baadhi ya vitu vya marehemu Sharo milionea vilivyokamatwa baada ya msako mkali baina ya Polisi na wananchi wa Kijiji Songa Kibaoni.
Na Mashaka Mhando,Tanga
WATU wanaosadikiwa kuiba vitu vya marehemu Hussein Mkiety maarufu kwa jina la 'Sharo Milionea' aliyefariki kwa ajali ya gari katika kijiji cha Songa Kibaoni wilayani Muheza Novemba 26 mwaka huu, wamesalimisha baadhi ya vitu hivyo kwa mwenyekiti wa Kijiji hicho huku wakiendelea kuishi mafichoni kuogopa kutiwa mbaroni.
Watu hao wamesalimisha vitu hivyo baada ya Mkuu wa wilaya ya Muheza Subira Mgalu ambaye ni mwenyekiti wa kamati ya ulinzi na usalama kuwatangazia kwamba..

Watanzania Wankufa Kimyakimya kwa Asbetos Bila Kuambiwa Ukweli!!

 
Licha ya mabati ya asbestos kupigwa marufuku duniani kutokana na kusababisha saratani na kuathari mazingira, nyumba za serikali zimeendelea kubakia na mabati hayo hali inayotishia afya za familia zinazoishi kwenye nyumba hizo.
Mabati haya nchini yalitumika kwenye ujenzi na pia ilichanganywa na malighafi nyingine kuzalisha bidhaa mbalimbali za viwandani.
Hata hivyo licha ya kukataza matumizi ya bidhaa hizo miaka ya 1990, maelfu ya familia nchini zinaishi kwenye nyumba zilizoezekwa na asbestos bila hatua za kubadilishwa mabati hayo kuchukuliwa.
Gazeti hili lilithibitisha kuwa licha ya kupiga marufuku matumizi ya asbestos hakuna sheria iliyoamuru ziondolewe na kuharibiwa. Nyumba za serikali na za watu binafsi zimeendelea kubaki na mabati hayo licha ya kuhatarisha afya kwa wakazi.
Wafanyakazi wa Shirika la Umeme (Tanesco) wanaoishi Ubungo jijini Dar es Salaam kwa karibu miaka 40 wameendelea kuvuta sumu ya..

Dar es Salaam Kusimamisha Mabasi Binafsi Yanayotoa Huduma ya Usafiri wa Umma

DarSlam 
Serikali ya Tanzania kuanzia Jumamosi (tarehe 1 Disemba) itaacha kutoa leseni kwa makampuni binafsi ambayo yanaendesha mabasi ya usafiri wa umma jijini Dar es Salaam, Mamlaka ya Udhibiti wa Usafiri wa Majini na Nchi Kavu (SUMATRA) ilitangaza.
Pia serikali haitahuisha leseni zilizopo kwa magari binafsi ya usafiri, hata hivyo, yataendelea kufanya kazi hadi vibali vyao vimalizike muda wa matumizi, kwa mujibu wa Mkurugenzi Mkuu wa SUMATRA Ahmad Kilima.
Waendeshaji wa mabasi ya usafiri wa umma ambao wanataka kufanya kazi kama makandarasi wa serikali watapewa leseni za muda hadi mikataba itakapoanza kutumika mwezi Juni 2013.
Harakati hii ni sehemu ya mpango mkubwa wa kubadilisha mabasi madogo na mfumo wa mabasi ya umma yaendayo kasi unaosimamiwa na serikali. Serikali inategemea mpango wa..

Kutana na Mshabki wa Yanga Aliepata Umaarufu kwa Kulia Machozi

Mikke, Polygone and Short wave - I and I