Unstable Science Official video by Lufu from his album Rare Breed
Angalia Picha za Vitu Alivyoibiwa Marehemu Sharo Milionea!!!

Baadhi ya vitu vya marehemu Sharo milionea vilivyokamatwa baada ya msako mkali baina ya Polisi na wananchi wa Kijiji Songa Kibaoni.
Na Mashaka Mhando,Tanga
WATU wanaosadikiwa kuiba vitu vya marehemu Hussein Mkiety maarufu kwa jina la 'Sharo Milionea' aliyefariki kwa ajali ya gari katika kijiji cha Songa Kibaoni wilayani Muheza Novemba 26 mwaka huu, wamesalimisha baadhi ya vitu hivyo kwa mwenyekiti wa Kijiji hicho huku wakiendelea kuishi mafichoni kuogopa kutiwa mbaroni.
Watu hao wamesalimisha vitu hivyo baada ya Mkuu wa wilaya ya Muheza Subira Mgalu ambaye ni mwenyekiti wa kamati ya ulinzi na usalama kuwatangazia kwamba..
Na Mashaka Mhando,Tanga
WATU wanaosadikiwa kuiba vitu vya marehemu Hussein Mkiety maarufu kwa jina la 'Sharo Milionea' aliyefariki kwa ajali ya gari katika kijiji cha Songa Kibaoni wilayani Muheza Novemba 26 mwaka huu, wamesalimisha baadhi ya vitu hivyo kwa mwenyekiti wa Kijiji hicho huku wakiendelea kuishi mafichoni kuogopa kutiwa mbaroni.
Watu hao wamesalimisha vitu hivyo baada ya Mkuu wa wilaya ya Muheza Subira Mgalu ambaye ni mwenyekiti wa kamati ya ulinzi na usalama kuwatangazia kwamba..
Watanzania Wankufa Kimyakimya kwa Asbetos Bila Kuambiwa Ukweli!!

Licha ya mabati ya asbestos kupigwa marufuku duniani kutokana na kusababisha saratani na kuathari mazingira, nyumba za serikali zimeendelea kubakia na mabati hayo hali inayotishia afya za familia zinazoishi kwenye nyumba hizo.
Mabati haya nchini yalitumika kwenye ujenzi na pia ilichanganywa na malighafi nyingine kuzalisha bidhaa mbalimbali za viwandani.
Hata hivyo licha ya kukataza matumizi ya bidhaa hizo miaka ya 1990, maelfu ya familia nchini zinaishi kwenye nyumba zilizoezekwa na asbestos bila hatua za kubadilishwa mabati hayo kuchukuliwa.
Gazeti hili lilithibitisha kuwa licha ya kupiga marufuku matumizi ya asbestos hakuna sheria iliyoamuru ziondolewe na kuharibiwa. Nyumba za serikali na za watu binafsi zimeendelea kubaki na mabati hayo licha ya kuhatarisha afya kwa wakazi.
Wafanyakazi wa Shirika la Umeme (Tanesco) wanaoishi Ubungo jijini Dar es Salaam kwa karibu miaka 40 wameendelea kuvuta sumu ya..
Mabati haya nchini yalitumika kwenye ujenzi na pia ilichanganywa na malighafi nyingine kuzalisha bidhaa mbalimbali za viwandani.
Hata hivyo licha ya kukataza matumizi ya bidhaa hizo miaka ya 1990, maelfu ya familia nchini zinaishi kwenye nyumba zilizoezekwa na asbestos bila hatua za kubadilishwa mabati hayo kuchukuliwa.
Gazeti hili lilithibitisha kuwa licha ya kupiga marufuku matumizi ya asbestos hakuna sheria iliyoamuru ziondolewe na kuharibiwa. Nyumba za serikali na za watu binafsi zimeendelea kubaki na mabati hayo licha ya kuhatarisha afya kwa wakazi.
Wafanyakazi wa Shirika la Umeme (Tanesco) wanaoishi Ubungo jijini Dar es Salaam kwa karibu miaka 40 wameendelea kuvuta sumu ya..
Dar es Salaam Kusimamisha Mabasi Binafsi Yanayotoa Huduma ya Usafiri wa Umma

Serikali ya Tanzania kuanzia Jumamosi (tarehe 1 Disemba) itaacha kutoa leseni kwa makampuni binafsi ambayo yanaendesha mabasi ya usafiri wa umma jijini Dar es Salaam, Mamlaka ya Udhibiti wa Usafiri wa Majini na Nchi Kavu (SUMATRA) ilitangaza.
Pia serikali haitahuisha leseni zilizopo kwa magari binafsi ya usafiri, hata hivyo, yataendelea kufanya kazi hadi vibali vyao vimalizike muda wa matumizi, kwa mujibu wa Mkurugenzi Mkuu wa SUMATRA Ahmad Kilima.
Waendeshaji wa mabasi ya usafiri wa umma ambao wanataka kufanya kazi kama makandarasi wa serikali watapewa leseni za muda hadi mikataba itakapoanza kutumika mwezi Juni 2013.
Harakati hii ni sehemu ya mpango mkubwa wa kubadilisha mabasi madogo na mfumo wa mabasi ya umma yaendayo kasi unaosimamiwa na serikali. Serikali inategemea mpango wa..
Pia serikali haitahuisha leseni zilizopo kwa magari binafsi ya usafiri, hata hivyo, yataendelea kufanya kazi hadi vibali vyao vimalizike muda wa matumizi, kwa mujibu wa Mkurugenzi Mkuu wa SUMATRA Ahmad Kilima.
Waendeshaji wa mabasi ya usafiri wa umma ambao wanataka kufanya kazi kama makandarasi wa serikali watapewa leseni za muda hadi mikataba itakapoanza kutumika mwezi Juni 2013.
Harakati hii ni sehemu ya mpango mkubwa wa kubadilisha mabasi madogo na mfumo wa mabasi ya umma yaendayo kasi unaosimamiwa na serikali. Serikali inategemea mpango wa..
Bakwata Yamkana Sheikh Ponda Mahakamani

BARAZA Kuu la Waislamu Tanzania (Bakwata), limemkana Katibu wa Jumuiya na Taasisi za Kiislamu Tanzania, Sheikh Ponda Issa Ponda na wenzake, baada ya kudai mahakamani kuwa eneo walilovamia wakidai ni mali ya Waislamu linamilikiwa kihalali na kampuni ya Agritanza.
Katibu Mkuu wa Bakwata, Sheikh Suleiman Lolila alisema hayo jana wakati akitoa ushahidi katika kesi ya jinai inayomkabili Ponda na wenzake 49 katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, wakidaiwa pamoja na mambo mengine kuvamia na kupora ardhi na wizi wa vifaa vya ujenzi.
Akitoa ushahidi wake jana huku akiongozwa na Wakili Mwandamizi wa Serikali, Tumaini Kweka, Lolila ambaye ni shahidi wa kwanza wa upande wa mashtaka alidai kuwa..
Waliomkata Kidole Sharo Milonea Kisa Pete Wamekamatwa na Polisi!

Siku kadhaa baada ya marehemu msanii sharomilionea kuzikwa, vile vitu ambavyo vilisemekana kupotea ama kuibiwa wakati wa ajali vimeanza kupatikana.
Akithibitisha habari za kupatikana kwa vitu hiuvyo, swahiba wake wa karibu ambaye alikuwa akiishi na Sharomilionea Kitale amesema amepata taarifa kutoka kwa mwenyekiti wa kijiji kule Muheza Tanga kwamba baadhi ya vitu vimepatikana.
Kwa mujibu wa maelezo yake, vitu ambavyo vilikuwa vimeibwa ni pamoja nasimu mbili aina ya Blackberry na Samsung, Viatu, Cheni, tairi la spea ya gari, Betri, Radio ya gari na shilingi milioni sita taslimu ambazo alikuwa akimpelekea mama yake.
Bwana kitale aliendelea kwa kusema, cha kusikitisha zaidi katika tukio hilo la wizi, ni unyama uliofanywa na wezi hao ambapo baada ya kushindwa kumvua pete kwenye kidole cha msanii huyo, waliamua kumkata kidole na kuondoka na pete hiyo.
Aidha alisema kuwa kwa mujibu wa taarifa alizonazo kutoka kwa mwenyekiti wa kijiji kuna wanakijiji wamerudisha baadhi ya vitu kama..
Kwa mujibu wa maelezo yake, vitu ambavyo vilikuwa vimeibwa ni pamoja nasimu mbili aina ya Blackberry na Samsung, Viatu, Cheni, tairi la spea ya gari, Betri, Radio ya gari na shilingi milioni sita taslimu ambazo alikuwa akimpelekea mama yake.
Bwana kitale aliendelea kwa kusema, cha kusikitisha zaidi katika tukio hilo la wizi, ni unyama uliofanywa na wezi hao ambapo baada ya kushindwa kumvua pete kwenye kidole cha msanii huyo, waliamua kumkata kidole na kuondoka na pete hiyo.
Aidha alisema kuwa kwa mujibu wa taarifa alizonazo kutoka kwa mwenyekiti wa kijiji kuna wanakijiji wamerudisha baadhi ya vitu kama..
Subscribe to:
Posts (Atom)