
Licha ya mabati ya asbestos kupigwa marufuku duniani kutokana na kusababisha saratani na kuathari mazingira, nyumba za serikali zimeendelea kubakia na mabati hayo hali inayotishia afya za familia zinazoishi kwenye nyumba hizo.
Mabati haya nchini yalitumika kwenye ujenzi na pia ilichanganywa na malighafi nyingine kuzalisha bidhaa mbalimbali za viwandani.
Hata hivyo licha ya kukataza matumizi ya bidhaa hizo miaka ya 1990, maelfu ya familia nchini zinaishi kwenye nyumba zilizoezekwa na asbestos bila hatua za kubadilishwa mabati hayo kuchukuliwa.
Gazeti hili lilithibitisha kuwa licha ya kupiga marufuku matumizi ya asbestos hakuna sheria iliyoamuru ziondolewe na kuharibiwa. Nyumba za serikali na za watu binafsi zimeendelea kubaki na mabati hayo licha ya kuhatarisha afya kwa wakazi.
Wafanyakazi wa Shirika la Umeme (Tanesco) wanaoishi Ubungo jijini Dar es Salaam kwa karibu miaka 40 wameendelea kuvuta sumu ya..
Mabati haya nchini yalitumika kwenye ujenzi na pia ilichanganywa na malighafi nyingine kuzalisha bidhaa mbalimbali za viwandani.
Hata hivyo licha ya kukataza matumizi ya bidhaa hizo miaka ya 1990, maelfu ya familia nchini zinaishi kwenye nyumba zilizoezekwa na asbestos bila hatua za kubadilishwa mabati hayo kuchukuliwa.
Gazeti hili lilithibitisha kuwa licha ya kupiga marufuku matumizi ya asbestos hakuna sheria iliyoamuru ziondolewe na kuharibiwa. Nyumba za serikali na za watu binafsi zimeendelea kubaki na mabati hayo licha ya kuhatarisha afya kwa wakazi.
Wafanyakazi wa Shirika la Umeme (Tanesco) wanaoishi Ubungo jijini Dar es Salaam kwa karibu miaka 40 wameendelea kuvuta sumu ya..