Pages

Bakwata Yamkana Sheikh Ponda Mahakamani

Ponda
BARAZA Kuu la Waislamu Tanzania (Bakwata), limemkana Katibu wa Jumuiya na Taasisi za Kiislamu Tanzania, Sheikh Ponda Issa Ponda na wenzake, baada ya kudai mahakamani kuwa eneo walilovamia wakidai ni mali ya Waislamu linamilikiwa kihalali na kampuni ya Agritanza.
Katibu Mkuu wa Bakwata, Sheikh Suleiman Lolila alisema hayo jana wakati akitoa ushahidi katika kesi ya jinai inayomkabili Ponda na wenzake 49 katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, wakidaiwa pamoja na mambo mengine kuvamia na kupora ardhi na wizi wa vifaa vya ujenzi.
Akitoa ushahidi wake jana huku akiongozwa na Wakili Mwandamizi wa Serikali, Tumaini Kweka, Lolila ambaye ni shahidi wa kwanza wa upande wa mashtaka alidai kuwa..

Anatibu Magonjwa ya Vichwa Sugu, Matibabu ni Bureee!!

Interview ya Afande Sele Ndani ya XXL

Waliomkata Kidole Sharo Milonea Kisa Pete Wamekamatwa na Polisi!

 Siku kadhaa baada ya marehemu msanii sharomilionea kuzikwa, vile vitu ambavyo vilisemekana kupotea ama kuibiwa wakati wa ajali vimeanza kupatikana.
Akithibitisha habari za kupatikana kwa vitu hiuvyo, swahiba wake wa karibu ambaye alikuwa akiishi na Sharomilionea Kitale amesema amepata taarifa kutoka kwa mwenyekiti wa kijiji kule Muheza Tanga kwamba baadhi ya vitu vimepatikana.
Kwa mujibu wa maelezo yake, vitu ambavyo vilikuwa vimeibwa ni pamoja nasimu mbili aina ya Blackberry na Samsung, Viatu, Cheni, tairi la spea ya gari, Betri, Radio ya gari na shilingi milioni sita taslimu ambazo alikuwa akimpelekea mama yake.
Bwana kitale aliendelea kwa kusema, cha kusikitisha zaidi katika tukio hilo la wizi, ni unyama uliofanywa na wezi hao ambapo baada ya kushindwa kumvua pete kwenye kidole cha msanii huyo, waliamua kumkata kidole na kuondoka na pete hiyo.
Aidha alisema kuwa kwa mujibu wa taarifa alizonazo kutoka kwa mwenyekiti wa kijiji kuna wanakijiji wamerudisha baadhi ya vitu kama..

Did You Know?

End of The World 21 Dec 2012 - Mayan Calendar

DarSlam
The 2012 phenomenon comprises a range of eschatological beliefs according to which cataclysmic or transformative events will occur on 21 December 2012. This date is regarded as the end-date of a 5,125-year-long cycle in the Mesoamerican Long Count calendar. Various astronomical alignments and numerological formulae have been proposed as pertaining to this date, though none have been accepted by mainstream scholarship.
A New Age interpretation of this transition is that this date marks the start of time in which Earth and its inhabitants may undergo a positive physical or spiritual transformation, and that 2012 may mark the beginning of a new era.Others suggest that the 2012 date marks the end of the world or a similar catastrophe. Scenarios suggested for the end of the world include the arrival of the next solar maximum, an interaction between Earth and the black hole at the center of the galaxy, or Earth's collision with a planet called "Nibiru".
Scholars from various disciplines have dismissed the idea of such cataclysmic events occurring in 2012. Professional Mayanist scholars state that predictions of impending doom are not found in any of the extant classic Maya accounts, and that the idea that the Long Count calendar "ends" in 2012 misrepresents Maya history and culture.Astronomers and other scientists have rejected the proposals as pseudoscience, stating that they conflict with simple astronomical observations and amount to "a distraction from more important science concerns, such as global warming and loss of biological diversity"

Masai Nyotambofu - Rungu na Mukuki

Aina Mbalimbali za Usafirishaji

DarSlam
DarSlam
DarSlam

The True Story of Hemp/ Cannabis /Marijuana / Bangi!!

DarSlam
No one seems able to determine the exact date that hemp/cannabis/marijuana appeared on the scene. This document will trace hemp back as far as history will allow, from 8500 BC in China to present day, noting the important role this much maligned weed has played in numerous civilizations down through the ages.
The oldest human ever found was wearing a hemp blouse with a silk like quality. In 2700 BC Chinese written history tells us that hemp was used for fiber, oil, and as medicine. By 450 BC hemp was being cultivated in the mid east for the same purpose. Hemp was first introduced into Europe around 1000 AD, and by the sixteenth century it was known to be the most widely cultivated crop in the world producing rope, sails, cloth, fuel, paper, paint, food and medicine.

Of course hemp was an important product to the new world. In 1762 Virginia rewarded farmers with bounties for hemp culture and manufacture, and imposed penalties upon those who did not produce it. The Declaration of Independence was drafted on hemp paper, and Betsy Ross chose hemp as the material for this country's first flag. George Washington grew hemp for..