Pages

Suma Lee ft Linex - Boda boda

DarSlam
From Kigoma to Tanga mpaka Zenji kwa Boda boda Official Video..

Bac T ft Spax - I Miss U

Check out official video  by Bac T feat Spax..

Feza Schools Vacancies

Feza Schools are currently seeking qualified, committed and experienced candidates to fill the following positions from January 2013.
1. Nursery School Teachers
2. Primary and Secondary School Teachers for both NECTA and IGCSE System
3. High School Teachers
4. School Secretary
5. Lab. Technicians
6. Librarians
7. Art Teacher
8. Music/ Drama Teacher

QUALIFICATIONS
An applicant should hold;
- Bachelors Degree in education with minimum 2 years teaching experience in a reputable institution
- Good command of written and spoken English and Swahili
- Team player, aggressive and able to work under little or no supervision

Apply in confidence to:
E-mail : info@fezaschools.org
or
P.O.Box 77966
Dar es Salaam
                                               Source : Daily News 12 Nov 2012

Wanafunzi Wa Kitanzania Nchini Urusi Wakosa Malazi Na Chakula!

KUTOKA KWA WANAFUNZI WA TANZANIA NCHINI URUSI.
Sisi wanafunzi wa kitanzania nchini Urusi ,tunakosa huduma za msingi kama vile malazi , chakula na bima ya afya. Serikali kupitia bodi ya mikopo ya elimu ya juu na Wizara ya Elimu na mafunzo ya ufundi ,kwania njema iliamua kusomesha wanafunzi wa kitanzania katika nchi mbalimbali duniani ikiwemo Urusi.
Lakini kutokana na utendaji mbovu na ubinafsi wa baadhi ya watendaji wa Bodi ya mikopo, kumekua na ucheleweshwaji wa ulipaji wa pesa za kujikimu , malazi na bima ya afya kwa zaidi ya miezi mitatu sasa bila sababu za msingi toka kuanza kwa mwaka wa masomo 2012/13.
Hali hii imetupelekea wanafunzi kuanza kufukuzwa katika hosteli tunazoishi pamoja na kutopatiwa huduma za afya pindi tunapo ugua.Ikumbukwe kuwa katika nchi za ulaya huwezi pata matibabu kama huna bima ya afya.
Shukrani zetu za dhati ziende kwa Ubalozi wa Tanzania nchi Urusi kwa kushirikiana bega kwa bega na Wanafunzi katika kutafuta ufumbuzi wa tatizo hili linalotukabili katika kipindi hiki kigumu pamoja na majuku mengi waliyonayo, pamoja na jitihada hizo mpaka sasa hakuna ufumbuzi wowote uliopatikana.
Tunaandika waraka huu kwa huzuni na masikitiko makubwa sana kwa sababu kutopatiwa mikopo mpaka sasa sio tu kunafanya wanafunzi waishi maisha magumu na hatari, vilevile kunatia aibu Taifa kwa kutolipa ada kwa wakati.
Tunaamini kabisa Serikali kupitia bodi ya mikopo ,wizara ya elimu na mafunzo stadi na ufundi na ubalozi wa Tanzania Nchini Urusi una nia njema kabisa kusomesha vijana wake nje ya nchi, ispokua tu kuna baadhi
ya watendaji wa bodi ya mikopo wamekua wazembe na kutowajibika kwani wamekua wakitoa majibu ya uongo na jeuri kwa uongozi wa wanafunzi na maafisa wa ubalozi wa Tanzania nchini Urusi.
Ombi letu kwenu ni kutufikishia ujumbe huu kwa wahusika na watendaji wa ngazi za juu za bodi ili waweze kutusaidia sisi wanafunzi wa Urusi ambao tupo hatarini huku ugenini.
Tunatumaini kutokana na Uzito wa tatizo letu wahusika watalishughurikia na kulitatua tatizo hili kwa haraka zaidi na kutupa ufafanuzi wa ucheleweshwaji wa mikopo ya wanafunzi kwa zaidi ya miezi mitatu(3).

Cheka Upate Afya

DarSlam
 Baada ya Usafiri wa treni sasa bajaji Harakatii za kupunguza Foleni Dar baada ya 100 yrs Dar kama LONDON...watakubaliii tuh
Cheka Upate AFYA

AT Ft Stara Thomas - Nipigie

DarSlam Another Hot Co'labo, If you've never heard of this ...now its your chance to watch Nipigie by AT feat.Bongo Fleva's First Lady Stara Thomas...

Mitt Romney Comments on President Obama's Win in 2012 Election


 David Muir has the latest on the GOP candidate's failed bid for the White House..