Baucha ft Ally Kiba - Kelele Official Video

Police Confiscates Pure Gold Car!
The jeweler store in Nanjing, China got to idea to advertise with Infinity G37 made from pure gold. Gold Car was parked on a street near shopping center, police came to confiscate because it was not registered. The Crowd look shocked on luxury Infinity G37 and how police took it away…
Owner received penalty for leaving unregistered car in public
China took step to advertise with golden car, because they assume that by 2020 year, almost half of all gold goods will be manufactured in China. They Decided to use Infinity G37, which is one of latest models after InfinityG35, from this nice brand owned by Nissan





Owner received penalty for leaving unregistered car in public
China took step to advertise with golden car, because they assume that by 2020 year, almost half of all gold goods will be manufactured in China. They Decided to use Infinity G37, which is one of latest models after InfinityG35, from this nice brand owned by Nissan
These Watches Cost More Than A House - Video
It's only a matter of time before some tough rappers will start showing them off in their music videos.
G Nako Akizungumzia Bum Kubam DVD
G Nako ambaye naye yupo katika BUM KUBAM DVD itakayozinduliwa hivi karibuni akizungumza juu ya movement hiyo inayokwenda kubadilisha sanaa ya Tanzania. Angalia video..
Real Google Street Vehicle Revealed!
This is not actually owned by Google but could be used in street view purposes.
more pics..








Shangaa ya Firauni -Chama Cha Makahaba Chasajiliwa Malawi

Malawi
ZAIDI ya makahaba 2000 nchini Malawi wameungana kwa ajili ya kupinga manyanyaso wanayoyapata na kuboresha mazingira ya afya, baada ya kuzindua rasmi chama cha kuwatetea juzi.
Kundi hilo linaundwa na vyama visivyo vya kiserikali vya ndani na nje ya nchi hiyo, ikiwa ni la kwanza kutambuliwa rasmi na kupewa usajili katika nchi hiyo ya kusini mwa Afrika ambapo biashara ya ukahaba inaharamishwa.
“Muda wa kujadili kwa pamoja matatizo yanayowakabili ndio huu. Mnajua namna Polisi na Mahakama vinavyowabana na kwamba mnahitaji kupata huduma nzuri za kulinda afya zenu na afya ya uzazi bila kipingamizi,” alisema mwanasheria wa haki za binadamu, Chrispin Sibande alipokuwa akizungumza na kundi la wateja wake wapatao 50 ambao ni makahaba.
Makahaba nchini humo mara nyingi wamekuwa wakikamatwa na Polisi hata kwa makosa madogo ikiwemo kukutwa wakiwa wamekaa bila kazi, ambayo pia huambatana na kutozwa faini.
Miaka mitatu iliyopita, makahaba 14 walikamatwa na Polisi na kulazimishw akupimwa Virusi vua Ukimwi (VVU) na wote kukutwa wakiwa wameathirika, ambapo walishtakiwa mahakamani kwa kufanya biashara ya ngono huku wakijua kuwa wana maradhi hayo ya kuambikiza, ambapo walichajiwa Dola7 kila mmoja na kuachiwa huru.
Baadaye waliishtaki Serikali ya nchi hiyo kwa kuingilia mambo yao binafsi katika kesi ambayo hadi sasa bado inasubiri kusikilizwa katika mahakama kuu.
Wataalamu wa afya nchini humo wanasema maambukizi ya Ukimwi miongoni mwa makahaba hao yanafikia asilimia 70. Mawakili wao wanasema kuw awanatumiani umoja wao utawasaidia pia katika kuwaelimisha kuepuka maambukizi hayo.
Report: Mjengwa
Wavuvi wa Dagaa Mwanza na Karabai za Solar!
Mstahiki Meya wa jiji la Mwanza Stanslaus Mabula (katikati) akibonyeza swichi ya taa za kuchaji zinazotumia umeme wa solar kuashiria uzinduzi rasmi wa mradi wa uvuvi wa karabai zinazotumia nishati ya jua, kushoto kwake ni rais wa Umoja wa majiji rafiki (jiji la Housberg na jiji la Mwanza) Michael Shorfa's toka nchini Ujerumani na kulia kwake ni mjumbe aliyeambatana na rais huyo, pembeni kabisa ni kiongozi wa BMU Luchelele iliyopo kata ya Mkolani ambao utakuwa ni wa majaribio kabla ya kuenea maeneo mengine kanda ya ziwa Victoria.
Subscribe to:
Posts (Atom)

