Pages

G Nako Akizungumzia Bum Kubam DVD

G Nako ambaye naye yupo katika BUM KUBAM DVD itakayozinduliwa hivi karibuni akizungumza juu ya movement hiyo inayokwenda kubadilisha sanaa ya Tanzania. Angalia video..

Real Google Street Vehicle Revealed!

street view 
 This is not actually owned by Google but could be used in street view purposes. 
more pics..
DarSlam
DarSlam
DarSlam
DarSlam
DarSlam
DarSlam
DarSlam
DarSlam

Shangaa ya Firauni -Chama Cha Makahaba Chasajiliwa Malawi

DarSlam
Malawi
ZAIDI ya makahaba 2000 nchini Malawi wameungana kwa ajili ya kupinga manyanyaso wanayoyapata na kuboresha mazingira ya afya, baada ya kuzindua rasmi chama cha kuwatetea juzi.
Kundi hilo linaundwa na vyama visivyo vya kiserikali vya ndani na nje ya nchi hiyo, ikiwa ni la kwanza kutambuliwa rasmi na kupewa usajili katika nchi hiyo ya kusini mwa Afrika ambapo biashara ya ukahaba inaharamishwa.
“Muda wa kujadili kwa pamoja matatizo yanayowakabili ndio huu. Mnajua namna Polisi na Mahakama vinavyowabana na kwamba mnahitaji kupata huduma nzuri za kulinda afya zenu na afya ya uzazi bila kipingamizi,” alisema mwanasheria wa haki za binadamu, Chrispin Sibande alipokuwa akizungumza na kundi la wateja wake wapatao 50 ambao ni makahaba.
Makahaba nchini humo mara nyingi wamekuwa wakikamatwa na Polisi hata kwa makosa madogo ikiwemo kukutwa wakiwa wamekaa bila kazi, ambayo pia huambatana na kutozwa faini.
Miaka mitatu iliyopita, makahaba 14 walikamatwa na Polisi na kulazimishw akupimwa Virusi vua Ukimwi (VVU) na wote kukutwa wakiwa wameathirika, ambapo walishtakiwa mahakamani kwa kufanya biashara ya ngono huku wakijua kuwa wana maradhi hayo ya kuambikiza, ambapo walichajiwa Dola7 kila mmoja na kuachiwa huru.
Baadaye waliishtaki Serikali ya nchi hiyo kwa kuingilia mambo yao binafsi katika kesi ambayo hadi sasa bado inasubiri kusikilizwa katika mahakama kuu.
Wataalamu wa afya nchini humo wanasema maambukizi ya Ukimwi miongoni mwa makahaba hao yanafikia asilimia 70. Mawakili wao wanasema kuw awanatumiani umoja wao utawasaidia pia katika kuwaelimisha kuepuka maambukizi hayo.
Report:  Mjengwa

Safari Fashion Week, this Wednesday 14th at the Carnivore

Wavuvi wa Dagaa Mwanza na Karabai za Solar!

DarSlam Mstahiki Meya wa jiji la Mwanza Stanslaus Mabula (katikati) akibonyeza swichi ya taa za kuchaji zinazotumia umeme wa solar kuashiria uzinduzi rasmi wa mradi wa uvuvi wa karabai zinazotumia nishati ya jua, kushoto kwake ni rais wa Umoja wa majiji rafiki (jiji la Housberg na jiji la Mwanza) Michael Shorfa's toka nchini Ujerumani na kulia kwake ni mjumbe aliyeambatana na rais huyo, pembeni kabisa ni kiongozi wa BMU Luchelele iliyopo kata ya Mkolani ambao utakuwa ni wa majaribio kabla ya kuenea maeneo mengine kanda ya ziwa Victoria.

Taxi Cab Assaults in Dar - Warning to U.S. Citizens

DarSlam
U.S. Embassy Dar es Salaam, Tanzania
Security Message for U.S. Citizens
Taxi Cab Assaults in Dar
November 10, 2012
Over the past several weeks, the U.S. Embassy has received many reports of U.S. citizens being assaulted and robbed while riding in taxis in Dar es Salaam. Being the victim of a crime is not always preventable, but there are some steps you can take to protect yourself. The assaults follow a similar pattern: a person enters a taxi, often hailed by a third party. Another person is already in the car, or someone else gets in shortly thereafter. Then they demand your money. If you resist, they beat, threaten, and frighten you. They drive you from one ATM to another to withdraw funds until you reach your limit. Victims report they are being hit, cut, and bruised if they do not cooperate. When the victim's fund source has been depleted, the assailants drop off the victim. The perpetrators call themselves the "Tanzanian" or "Little Mafia." Please note these assaults are happening during the day as well as night.
We strongly urge you to observe these safety suggestions:
· Use only use a licensed taxi* selected by a reputable hotel or restaurant, or one parked at an official taxi stand.
· Never get in a taxi hailed by someone you just met.
· Avoid riding in group taxis (daladalas and bajajis).
· Do not travel alone.
· If a taxi stops to pick up another passenger, exit immediately.
· Do not carry a credit or debit card unless absolutely necessary.
· Keep only a small amount of cash that you need for that specific activity.
· Keep your passport in a secure location; put a photocopy in your pocket.
· Avoid carrying a bag, jewelry, or any personal electronics. If you must carry a bag, ensure it is 'quick release', i.e., one that you can drop before being dragged or injured.
· If assaulted or robbed, report the incident to the police and ask for a written report. (You will need the report for insurance or other future claims.)
· If you are the victim of violent crime overseas, you may be eligible for benefits offered by your state's victim compensation fund. Follow this link for more information.
· Be mindful of your safety at all times.
· Please contact us if you are the victim of a violent crime in Tanzania.
*What Does a Licensed Taxi Look Like?
(Please note we cannot vouch for the safety of any vehicle or driver, this is just a checklist to determine whether a taxi might be licensed.)
· A white car with a white (never yellow) license plate
· A colored stripe running laterally on the side panels of the vehicle
· A number inside a circle on both passenger doors
· Specific windshield stickers, namely:
o A valid insurance certificate
o TRA sticker indicating the maximum number of passengers
o A motor vehicle license certificate
o A municipal council parking stand sticker
· Does the driver's i.d. match the name of the car registration and taxi licenses?
Please be safe when you use public transportation.
The U.S. Embassy in Dar es Salaam encourages U.S. citizens to enroll in the Smart Traveler Enrollment Program (STEP) for the most up-to-date safety and security information. Keep all of your information in STEP up-to-date by maintaining your current phone numbers and email addresses where you can be reached in case of an emergency.
You can stay in touch and get updates by checking the U.S. Embassy Dar es Salaam website. You can also get global updates at the U.S. Department of State's Bureau of Consular Affairs website, where you can find the current Worldwide Caution, Travel Warnings, Travel Alerts, and Country Specific Information. Follow us on Twitter and the Bureau of Consular Affairs page on Facebook as well, or you can download our free Smart Traveler iPhone App for travel information at your fingertips.
Current information on safety and security can also be obtained by calling 1-888-407-4747 toll-free in the United States or a regular toll line at-1-202-501-4444 for callers from other countries. These numbers are available from 8:00 a.m. to 8:00 p.m. Eastern Time, Monday through Friday (except U.S. federal holidays).
U.S. Embassy in Dar es Salaam, Tanzania
686 Old Bagamoyo Road, Msasani
Tel: [255] (22) 229-4000
Fax: [255] (22) 229-4721
Email: drsacs@state.gov
After-hour emergencies: Call the switchboard and wait for an operator to answer.

How Web Porn Harms Kids

FOR all the wonders the web has brought, the vast quantity of freely-available hardcore porn can cause kids lasting damage.
New figures show the alarming total of children expelled or suspended from school for sexual assault between 2006 and 2011.
Education campaigners claim they are being taught about sex too young. But that overlooks the profound impact online sex images and videos have on impressionable minds.
Before the internet, even teenagers determined to see explicit porn struggled to find it.
Now they can be casually exposed to it from a far younger age. Indeed, on the day they first use a computer.
Even an entirely innocent Google search can yield an avalanche of adult content.
It is hard to blame a child who finds such images so easily for assuming overt and aggressive sexual behaviour is normal.
And it is no wonder so many are hooked on internet porn.
The Government’s response has been truly pathetic.
They talked tough about a sensible opt-in system where parents had to contact their internet service provider to access porn. Like so many other sound policies of this compromised Coalition, it has turned to dust.
The “civil liberties” of porn users — their right to find it without effort — are deemed to outweigh the right of parents to shield their kids from it. A feeble and ineffective “opt-out” system is now the front-runner.
This is madness.
Movies have rightly been subject to classification since 1913 because scenes may be too violent or sexual for kids. TV has a 9pm watershed.
But on the web, anything goes.
Parents cannot oversee every online search their child carries out, especially once they’re teenagers, or have a smartphone.
Governments must force ISPs and mobile networks to restrict kids’ access to porn while leaving adults a choice.
Google must remove X-rated search results.
Children’s lives are being ruined. The technology giants must face up to their responsibilities.
The Sun report

Mtoto wa Rais Afungwa Jela Bangui

Rais wa Jamhuri ya Afrika ya Kati, Francois Bozize, anaripotiwa kuchukua hatua isiyo ya kawaida ya kuamrisha mwanawe mwenyewe wa kiume afungwe, kwa sababu hakulipa bili kubwa ya hoteli.
 
 Afisa wa polisi alisema mtoto huyo wa Rais Bozize, Kevin, anadaiwa zaidi ya dola 13,000 baada ya kukaa kwa siku kadha kwenye hoteli ya fahari katika mji mkuu, Bangui.
Kevin Bozize ni kepteni kwenye jeshi la nchi hiyo.

Madam Ritha Akimpaka Salama J Poda, Wanja na Lipstiki Live!!! MJ Kawapotezea - Full Video

 
DarSlam
DarSlam

Wakili wa Lord Eyez Afunguka Kutokana Kesi ya Wizi wa Msanii Huyo

DarSlam
 Msanii wa Bongo Fleva kutoka A town city almaarufu kama Lord eyez ambaye siku za hivi karibuni alikabiliwa na kesi ya kuiba vifaa vya gari sasa
Latest Info ni kwamba msanii huyu pamoja na Wakili wake waliamua kuweka wazi juu ya kesi inayomuanda hivi sasa.Wakili huyu anayekwenda kwa jina la Peter Kibatala alisema kwamba kesi hii imefanya mpaka Lord Eyez kuonekana kwamba yeye ndiyo mhusika wa kuiba vifaa hivyo lakini sasa hivi wanaachia kwanza Mahakama ndiyo itakayo chukua uamuzi sahihi kuhusiana na kesi hiyo.Lakini hapo hapo tuliweza kusikia ujumbe kutoka kwa weusi walizungumza na kusema kwamba tukio kama ili limewaathiri pale wanapokutana na watu mbalimbali na kusikia story za watu kusema kwamba wote watakuwa wanahusika katka kesi hiyo wakati ni story ambazo sio za kweli.Baada ya hapo tuliweza pia kusikia ujumbe kutoka kwa Lord Eyez mwenyewe aliweza kuzungumza kusema kwamba mahakama ndiyo itaamua kuchukua sheria kwamba alihusika au ajahusika katika tukio kama hilo la kuiba vifaa vya gari,ambayo kesi hiyo inatarajia kusomwa Mahakama ya Mwanzo siku ya tarehe 13,14 na 15 mwezi huu hapa jijini Dar es Salaam lakini pia alimalizia kwa kusema japokuwa kwa sasa hivi yupo kitaani huku akisikilizia Mahakama imeamuaje kwa hiyo anachotaka kukifanya ni anataka kudondosha ngoma yake mpya kali ambayo anataka kufanya suprise kwa mashabiki wake katika industries hii ya muziki wa Bongo Fleva.
DarSlam 
 Lord Eyez
DarSlam 
 Nikki wa Pili
DarSlam 
 G nako
DarSlam 
 Lord Eyez akiwa na wakili wake
DarSlam

DarSlam
DarSlam
DarSlam 
 Weusi!!!!!!!!!
Imeandikwa na Dj Fetty